HISTORIA MWINYI, RAIS PEKEE ALIYETAWALA ZNZ NA JAMHURI YA MUUNGANO TZ, ALIPOZALIWA, MKE, WATOTO

  Рет қаралды 41,299

Millard Ayo

Millard Ayo

5 ай бұрын

Пікірлер: 107
@naliakafatuma9870
@naliakafatuma9870 5 ай бұрын
Poleni Sana nyote MWENYEZI MUNGU awape nguvu awapikanie awashindie awaweseshe vyema kwa kila Jambo katika Jina la YESU KRISTO ameeeen
@ANJELAMSANGI
@ANJELAMSANGI 5 ай бұрын
Mwenyezi Mungu ukupe kauli thabiti mzee wetu.Tulikupenda ila Mungu kakupenda zaidi.
@abdullahibaris7182
@abdullahibaris7182 4 ай бұрын
Naomba ALLAH ampe family and friends na wanyeji subra INSHALLAH
@SharifaOman-bf1bn
@SharifaOman-bf1bn 5 ай бұрын
Inalilah wainailah rajuu Mzee ruhusa
@jameskimbeo2328
@jameskimbeo2328 5 ай бұрын
mungu amlaze mahari pema pepon. aminaa
@abassyakoub1464
@abassyakoub1464 4 ай бұрын
Mungu akulipe kwa ulichokitanguliza Rais wetu. Umesifika kwa kuinua hali za wananchi wako wakati wa Uongozi wako ndani ya kipindi kifupi tu. Tunahitaji Rais kama wewe kuziinua hali za wananchi hivi sasa.Pumzika mzee wetu ❤❤❤💯
@omaryomary4356
@omaryomary4356 5 ай бұрын
Innalilah wainaillah rajioun ...dah mzee kafa na miaka 100,,Allah amhifadhi mzee wetu
@user-ed5zc4jm7g
@user-ed5zc4jm7g 5 ай бұрын
Mwenyezi mungu ampunguzie azabu yakabuli😢😢
@MateiPs-kr9tg
@MateiPs-kr9tg 5 ай бұрын
Mwenyezi mung amtangulie🙏🙏
@zulachama1067
@zulachama1067 5 ай бұрын
Innalilaiwainahilai rajurn, mungu hakulaze mahala pema peponi, ndugu familia wazanzibari na Tanzania poleni sana kwa msiba huo.watching from mombasa- kenya.
@driss4957
@driss4957 4 ай бұрын
Mzee Mwinyi alisoma wakati Watanzania wengi bado wapo maporini...
@andrewngarya6293
@andrewngarya6293 5 ай бұрын
Pumzika kwa Amani 🕯️
@user-ks6wj1uf9k
@user-ks6wj1uf9k 5 ай бұрын
Allh amrehm
@mrefumedia8681
@mrefumedia8681 4 ай бұрын
Poleni ndugu Wetu watanzania kwa kupoteza ayati rais wa hawamu ya bili pole kutoka🇰🇪
@livematchcentre21
@livematchcentre21 5 ай бұрын
Ni 1925 sio 1923
@user-ot5oh3hm8v
@user-ot5oh3hm8v 4 ай бұрын
Innalliah wainaillah --- MUNGU awape Amani kwa familia na nchi ya Tanzania 🙏 pumusika amani rais mwinyi 🌱🇰🇪
@Zubaiba
@Zubaiba 5 ай бұрын
Innalillahi wainnalillah rajiun, Allah ampe kauli dhabit
@zainabchumu8559
@zainabchumu8559 5 ай бұрын
Allahumma Amiyn
@jamilamohammed2771
@jamilamohammed2771 4 ай бұрын
Ameen
@zubedaali4155
@zubedaali4155 4 ай бұрын
Mungu akupe kauri sabiti Mzee mwinyi kapumuzike kwa hamani mwendo umeumaliza❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Amina
@user-tg7vq3ty8p
@user-tg7vq3ty8p 5 ай бұрын
Innalillah wainailah rajioun. Ila mtangazaji hakumtendea haki Hayati Mwinyi kwa kutolitaja suala la kujiuzuru kwake kwa makosa ya watu wengine. Mwenyezi Mungu aiweke roho ya Rais Ally Hassan Mwinyi mahali pema peponi.
@abdullahjongo
@abdullahjongo 5 ай бұрын
SIO ALLY AASAN, NI ALLY HASSAN... Utangazaji gani huo?!
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 4 ай бұрын
Kabisaa
@QueenMushi
@QueenMushi 4 ай бұрын
😂
@elijahalexze5
@elijahalexze5 5 ай бұрын
Mwinyi ndiye rais aliyetawala Zanzibar baada ya jumbe,pia ni rais aliyejiepusha Na maswali ya kutaka kujua muundo WA Muungano wala maslahi ya Muungano Jambo ambalo lilimpendeza mzee Nyerere kisha kumwamishia bara.
@user-cs6jr5fr8d
@user-cs6jr5fr8d 4 ай бұрын
Ali Asani Mwinyi..... ✖️ Ali Hassan Mwinyi..... ✅
@charlesmaige
@charlesmaige 5 ай бұрын
Apumzike kwa aman
@vincentmushi1247
@vincentmushi1247 4 ай бұрын
Mungu amlaze mahala pema peponi...mwendo ameumaliza...kipenzi cha wengi mzee Ruksa...nakumbuka kipindi cha utawala wake kila biashara ilikuwa inauzika...pesa ilikuwepo Yalikuwa maisha ya bata kinomaaa...lkn nakumbuka alisema azikiwe mkuranga...sijui hii imekaaje...
@adkajisi4536
@adkajisi4536 4 ай бұрын
Speech ya lini hiyo?
@user-cs6jr5fr8d
@user-cs6jr5fr8d 4 ай бұрын
Makadala.... ✖️ Makadara.... ✅
@khamissaid5525
@khamissaid5525 5 ай бұрын
Mungu akulaze mahali peponi
@salyali7807
@salyali7807 5 ай бұрын
Kaja kuchuma neema zanzibar baadae wanawabadilikia kwa kutawala.. Allah atamlipa analostahiki
@JaphethBabu
@JaphethBabu 4 ай бұрын
Tulikupenda lakini ❤mung kakupenda said.iragie inguluwock nairobii😮
@bahatinassorali5222
@bahatinassorali5222 4 ай бұрын
Kumbe kazaliwa bara huyu 😢kumbe si mzanzibar
@adkajisi4536
@adkajisi4536 4 ай бұрын
Hata Karume alizaliwa bara Zanzibar alihamia 😀
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 5 ай бұрын
1923-2024 Miaka 100 mungu wangu nenda kwa amani mzee wa ruksa umeona mengi mwamba
@binseif2216
@binseif2216 5 ай бұрын
1925 born
@mansaeductoin
@mansaeductoin 5 ай бұрын
Kwetu tunamwita Mzee wa ruksa
@abdullahibaris7182
@abdullahibaris7182 4 ай бұрын
INNA NILLAH WA INA ILEYHI RAJAIOON
@user-cs6jr5fr8d
@user-cs6jr5fr8d 4 ай бұрын
Luga..... ✖️ Lugha.... ✅
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 4 ай бұрын
Ali Hassan Mwinyi. Sio asani
@TaarabChannel
@TaarabChannel 4 ай бұрын
Na umwambie pia sio Hali Assan. Watu wa dar mna taabu ya matamshi
@user-je8hj2fv1q
@user-je8hj2fv1q 5 ай бұрын
Maskin Mwinyi wetu Mwendo ameumaliza ukuwa nabaya Maskini, Msalimie Magufuli
@user-cs6jr5fr8d
@user-cs6jr5fr8d 4 ай бұрын
Shule ya msingi.... ✖️ Skuli ya msingi..... ✅
@adkajisi4536
@adkajisi4536 4 ай бұрын
Bara tunatumia Neno shule .ko ni sawa tu
@user-cs6jr5fr8d
@user-cs6jr5fr8d 4 ай бұрын
Tumieni hamjakatazwa
@user-kv8sq6qz7g
@user-kv8sq6qz7g 5 ай бұрын
Mzee Ruhsa alipenda kuona watanzania wanamiliki mali zao wemyewe jamani aliruhusu hata tuvae nguo nzuri pumzika kwa amani
@aminattai2676
@aminattai2676 5 ай бұрын
Haitwi Ali Asante,ANAITWA Ali Hassan,kama hamujui kiswahili tafuteni kazi za kupiga bodi,kuwa muandishi wa habari kwa Tanzania kiswahili fasaha ni muhimu na ni kioo cha jamii
@dr.swagztv3559
@dr.swagztv3559 4 ай бұрын
Kwhyo unamzid
@jrm9448
@jrm9448 4 ай бұрын
Al asan mwinyi ndio nini??? Hebu punguza mbwembwe basi. Millard vitu kama hivi jaribu kusoma mwenyewe. Hawa vijana wanajaribu kukuiga wanaishia kuvurunda.
@machanohaji9841
@machanohaji9841 5 ай бұрын
Jina langu emanueli masai katau tuna penda sana babu yetu mungu amulaze sehumu pasuri salimi ya magufuli na lowaza
@ashrafkhamis1051
@ashrafkhamis1051 4 ай бұрын
Makiwa Kwa family na wananchi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania bara na visiwani Zanzibar
@zamdauseni9787
@zamdauseni9787 5 ай бұрын
Mungu skuweke mahala pema pepuni
@zainabmaulidi9846
@zainabmaulidi9846 4 ай бұрын
Innalilah wainaileh rajiun ALLAH ampe kauli dhabit
@yusuphtima
@yusuphtima 4 ай бұрын
Duuuu Kaz ya Mungu Haina makosa tuna mwombea apumzike kwa aman😭😭😭😭
@user-xs3qi1lj7t
@user-xs3qi1lj7t 4 ай бұрын
Allah amlaze mahala pema peponi
@prudenceleeheung4487
@prudenceleeheung4487 5 ай бұрын
Mungu amlaze mahala pema peponi
@user-xs3qi1lj7t
@user-xs3qi1lj7t 4 ай бұрын
Allah ampe kauli thabiti
@user-qq5wr2yi2q
@user-qq5wr2yi2q 4 ай бұрын
kiukwl mhexhmiw alfany mamb meng na ya kpendez katk nch ye2 enz ya utawal wke
@user-cs6jr5fr8d
@user-cs6jr5fr8d 4 ай бұрын
Barozi..... ✖️ Balozi..... ✅
@adkajisi4536
@adkajisi4536 4 ай бұрын
Sawa Bakita
@jibrilshee9440
@jibrilshee9440 5 ай бұрын
أنا لله وانا إليه
@bazomporasulayman8634
@bazomporasulayman8634 5 ай бұрын
إنا لله وإنا إليه راجعون
@yusuphswai6851
@yusuphswai6851 4 ай бұрын
oya bas ana miaka 101
@kudramzee5769
@kudramzee5769 4 ай бұрын
Kwaheri mzee ruksa ulitutoa kwenye kuvaa midabwada hadi kuvaa nguo za maana
@user-zf8cf2yu7g
@user-zf8cf2yu7g 5 ай бұрын
Inalilah wainailah rajuun mzee wetu uende salm😢😢😢😢
@DaNiyaHodge
@DaNiyaHodge 4 ай бұрын
Rip Ali Hassan Mwinyi, you will be missed
@machanohaji9841
@machanohaji9841 5 ай бұрын
Poleni family ya babu yetu
@sultansallah8772
@sultansallah8772 4 ай бұрын
Ikiyokua Tanganyika????????
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 4 ай бұрын
Ss mtu anapo alipo zaliwa kwnn mnaenda kumzika asipo zaliwa i so sawa
@prince.eric_msemwa9732
@prince.eric_msemwa9732 4 ай бұрын
poleni familia
@user-wj3tm3en5y
@user-wj3tm3en5y 4 ай бұрын
pumzika kwa Aman mzeewetu
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 4 ай бұрын
Ina lillahi Wa Ina Ilayi Rajiuun
@salyali7807
@salyali7807 5 ай бұрын
Allah atamlipa analostahiki
@HadijaRajabu-pr9di
@HadijaRajabu-pr9di 4 ай бұрын
Ni kabila fani huyu?.
@infinixoman-nd7nh
@infinixoman-nd7nh 4 ай бұрын
Innalilah wainailaihy rajiuun
@user-cs6jr5fr8d
@user-cs6jr5fr8d 4 ай бұрын
Wabong bwan mnafanan na wa Kenya matamshi ya lugha ya kiswahili yanawasumbuw kwel😂
@gloireupite6316
@gloireupite6316 4 ай бұрын
Ni 1923 au 1925???😢😢😢
@user-wo7wg1ir3g
@user-wo7wg1ir3g 5 ай бұрын
Hii history haipo sawa Alisoma primary miaka mi3 tu?
@adkajisi4536
@adkajisi4536 4 ай бұрын
Hakusoma sekondari
@MARIAMDOE-gb2po
@MARIAMDOE-gb2po 4 ай бұрын
Amezaliwa tanganyika akaishi visiwan sasa huyu mnamzika huko bas kwao n hukuuu
@user-qk4lx4hg7g
@user-qk4lx4hg7g 5 ай бұрын
Ooh rip mzee we tu ruska
@maryammwinyimkuu3008
@maryammwinyimkuu3008 5 ай бұрын
😢😢😢
@saidabdus9014
@saidabdus9014 4 ай бұрын
Ni nani aliekwambia kisarawe ilikua ni Tanganyika?
@adkajisi4536
@adkajisi4536 4 ай бұрын
Ilikuwa Zanzibar sio?
@saidabdus9014
@saidabdus9014 4 ай бұрын
Ni muhimu kuisoma vizuri historia ya Tanzania kabla na baada ili tuweze kujua ukweli wa mambo tusikubali kulishwa matango pori.
@mrefumedia8681
@mrefumedia8681 4 ай бұрын
Na Hussein mwinyi ni baba ya rais wa Zanzibar???
@user-dg8gq2kn6g
@user-dg8gq2kn6g 5 ай бұрын
Innalillah wainna Ilaihi rajiun
@exprodigitaltechtv5571
@exprodigitaltechtv5571 4 ай бұрын
alitwala au kuongoza?
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 5 ай бұрын
Innalillaih wainnaillaih rajiuun
@noot-oe2mw
@noot-oe2mw 4 ай бұрын
Inalilah wainalilah rajuuni
@user-wo7wg1ir3g
@user-wo7wg1ir3g 5 ай бұрын
Kazaliwa tarehe 8 /5/1925 sio 1923
@musaabdullahi9059
@musaabdullahi9059 5 ай бұрын
kwaheri mwinyi
@user-ig3oz8kf7k
@user-ig3oz8kf7k 5 ай бұрын
Dunia mapito, msanii fran aliimba
@neemamakala1345
@neemamakala1345 5 ай бұрын
Upumzike kwa Aman.ni miak99
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 4 ай бұрын
8/5/1925
@TaimurSematore
@TaimurSematore 5 ай бұрын
Umetutoka baba
@user-sl7tv1gg7m
@user-sl7tv1gg7m 5 ай бұрын
Mmh
@machanohaji9841
@machanohaji9841 5 ай бұрын
🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉
@SAIDIMUKSIN-iy2op
@SAIDIMUKSIN-iy2op 5 ай бұрын
Safari ya mkuranga
@chariedecute8200
@chariedecute8200 5 ай бұрын
Ujaona wamesema anazikwa j.mosi na kusema atazikwa unguja.😢
@machanohaji9841
@machanohaji9841 5 ай бұрын
🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙊🙊🙊🙊
@user-dn7gn6ib4k
@user-dn7gn6ib4k 5 ай бұрын
Innallllah wainnali rajiun
@zulachama1067
@zulachama1067 5 ай бұрын
Innalilaiwainahilai rajurn, mungu hakulaze mahala pema peponi, ndugu familia wazanzibari na Tanzania poleni sana kwa msiba huo.watching from mombasa- kenya.
@abdullahibaris7182
@abdullahibaris7182 4 ай бұрын
Aamiin YAA ALLAH
@jamilamohammed2771
@jamilamohammed2771 4 ай бұрын
Ameen
@user-xs3qi1lj7t
@user-xs3qi1lj7t 4 ай бұрын
Allah ampe kauli thabiti
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 35 МЛН
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 11 МЛН
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
Wasafi Media
Рет қаралды 1,8 МЛН
RAIS MWINYI AFUNGUKA USIA ALIOACHIWA NA BABA YAKE MZEE MWINYI
8:29
Wasafi Media
Рет қаралды 109 М.
Maneno ya Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa rais Magufuli
13:03
Azam TV
Рет қаралды 93 М.
KIFO CHA MZEE MWINYI -SHEIKH OTHMAN ATOBOA SIRI
8:19
arkas online tv
Рет қаралды 30 М.