Mandonjo & Domookaya are my favourite Tazn artist. mashahiri yenye ujumbe pia yana hadithi
@hadijambwana7698 жыл бұрын
yani long time sana. uko wapi mandojo &domokayaa..... amkeni jamani...
@HASSANBAKARI-q9c2 ай бұрын
Kweli maisha sio safari ndefu nenda kaka r.i.p
@kalugoshukran77397 жыл бұрын
Nawakubali ndojo na domokaya, uzikwe hai. big up
@navwadaressalaam31226 жыл бұрын
Tembelea Official Domokaya Channel kupata mixtape mpya ya Mcheza Kwao, album ya kwanza ya Domokaya wa Band ya Man Dojo na Domokaya tarehe 02.08.18. Usisahau kusubscribe.
@konkiliquid16115 жыл бұрын
kitambo wakati namfukuzia ndojo kufanyanae hitsong sinza madukan . namshukuru Mungu kuchelewa kwa kolabo kukanifanya nikutane na NEEMA YA WOKOVU.
@mkwavi8 жыл бұрын
katika interview za wasanii wa bongo yaan hii nime enjoy sana nyimbo za hawa jamaa zina nikumbusha nipo primary miaka ya 2004 kurud nyuma
@asimaismail55598 жыл бұрын
nyimbo naipenda
@jamesjuliussimfukwe.78603 жыл бұрын
nawakubali sana mandojo hiloo domokaya felo.xxl
@owencreativity4 жыл бұрын
Nalia namola kumbe wanga ndowanao mix..'💥🤟🏽
@victorrichard28832 ай бұрын
RIP MAN DOJO
@immahfred21278 жыл бұрын
nikikumbuka bongo fleva iliyofanywa zaman,, miaka ya 2005 kurud nyuma nataman kulia,, walifanya kaz kwel, cku hz hamna lolote
@stylistofficial14056 жыл бұрын
Immah Fred wali fanya vizur wachache ila now wengi wana fanya poa alfu zamani walikua awafuati vina
@expert58984 жыл бұрын
Sure kabisa
@michaelmahenge5932 жыл бұрын
Hawa jamaa balaaa sana moto wa kuotoe mbali na ndio rapper wa kwanza kuanza kutumia Gita Tanzania na kuonyesha kwamba they are real musician
@cabbonecs2 ай бұрын
2024 RIP MANDOJO🎉
@husenihabibu36897 жыл бұрын
MAJAMAA WALIKUWA WANAJUA
@obedmlule58636 жыл бұрын
Nawakubali mko vzr
@tompatel8498 жыл бұрын
hawa jamaa wanajua sana nawakubali sana bonge la interview. napenda sana ile verse`HAWARIZIKI KUNIONA NDANI YA SUTI WANA ROHO NYEUSI ZISIZONG'AA KWA JIKI.
@twangalazedon61957 жыл бұрын
Tom Patel
@brisketkidari16237 жыл бұрын
niaje hii ngoma inanima nzuka kila nikiisikiliza haini tosh
@brisketkidari16237 жыл бұрын
vaa miwani man naona ile sana upo full
@rahjah58825 жыл бұрын
Reminiscing this one ☝️
@kinged98628 жыл бұрын
inanikumbusha mbali kweli mziki safari ya maisha
@saumusalimuhassan30418 жыл бұрын
Me nakumbuka nyimbo ile mlioimba na Jide,
@francisraphael38165 ай бұрын
daaah dadeki kitambo sn hapo fetty bado mbichi sn
@atambitomotesTz71006 жыл бұрын
time sana mko wapi jamani
@lutachahalajohnkalokozi62972 ай бұрын
R.i.p mandojo
@elivtv54446 жыл бұрын
Man dojo naomba kofia yetu
@musambelwa29686 жыл бұрын
Mko wapi ahh ya kale ni dhahabu
@timothymponeja86063 жыл бұрын
Noma sana
@sadamissa56872 ай бұрын
Rest easy bro 😢😢😢
@amosyohana53513 жыл бұрын
Tunaoangalia baada ya dazen kwenda Efm
@mohamedrashid65783 жыл бұрын
Wapi nitapata mashairi ya wimbo huu?
@Zainab-mv8je2 ай бұрын
Rip
@piusnkwale5 жыл бұрын
Dah hatari sana.
@expert58984 жыл бұрын
Historia yao inagusa sana
@neemajulius39105 жыл бұрын
Mnajua
@changainstitute45846 жыл бұрын
daah ila mlikiua shida saana bruh... Trust.!!
@ThomasMorris-p1s2 ай бұрын
Kitambo clous ipo kitega uchumi
@ThomasMorris-p1s2 ай бұрын
Rest in peace ndojo
@johnmichael-zg6sd2 ай бұрын
Uvaaji wa kofia wa jamaa ndo wakipekeee
@jamesjuliussimfukwe.78603 жыл бұрын
taswira
@queenhalimoja25996 жыл бұрын
nawapenda nyie
@greccensalanje83645 жыл бұрын
Inanikumbusha mbali sana miaka ya 2004 nilikuwa mererani machimboni nachimba madini kwa papakinyi