Kilicho na thamani Kwa WAKRISTO ni UKRISTO kwanza kuliko Utanzania.
Пікірлер: 395
@santonjosephmsadick3899Ай бұрын
Huyu ni mwalimu wa kweli ni moja ya binadamu ninao wapenda na kuwakubali ktk maisha yangu,
@hasbunakhamis487Ай бұрын
Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah
@user-lk4zc4gc5i4 ай бұрын
Makafiri wanatokwa na mapovu baada ya ukweli kuwachoma Allah akurehemu sheikh
@MohamedKasalama6 ай бұрын
Allah akurehem shekh wetu ujumbe umefika
@abasingaruka187222 күн бұрын
SawA, Ubarikiwe
@saidmasoud900410 ай бұрын
Mwenyezi mungu amrehemu alikua mwamba sana.
@mkwipunda203610 ай бұрын
Innaalillah wainnaa ilayhi rajiun Allah rahmet eylesin mekanı cennet olsun amin amin amin
@daudimwaitebele42010 ай бұрын
Innalillah wainnaillaih raaajiuun Hii khutba ni ya mda mrefu sanaaa so watu hamjui huyu aneongea kana kwambia kaongea jana watu wanamtusi tu Huyu jamaa alikua mwiba kwa serikali Alisha ondolewa mda mrefu tu so acheni kumtukana huyu
@Zainabnoor0087-ze10 ай бұрын
Allah akulipe mema, shk ilunga maneno yako ni hazina ya Karne kwa waislam wa Tanzania
@martinmkoba36110 ай бұрын
Kweli mbumbumbu aisee
@Zainabnoor0087-ze10 ай бұрын
@@martinmkoba361 jibu hoja za ust ilunga mgalatia usie na akili
@princeshahulo217410 ай бұрын
@@martinmkoba361 mbumbumbu ni wewe usiyejua wakati sahihi ni upi kichwa chako kinawaza ukafiri wako ata kama unapotoka na ukweli unaona, hakika kuna watu wanamacho na hawaoni wana masikio lakini hawasikii!!!!
@martinmkoba36110 ай бұрын
Hapo kaongea oja gani zaidi ya chuki makafiri wakubwa nyie
@presenterkabuma164610 ай бұрын
@@martinmkoba361We mbwa kama huna la kusema kaa kimya,kenge wewe.
@munic668610 ай бұрын
Allahumaghfrillahu waskaana filjanna
@beduisanze10 ай бұрын
asiekuelewa nichizi sana
@camilomassao897110 ай бұрын
Sasa aeleweka anasema nini cha kueleweka kwa mfano.😳
@camilomassao897110 ай бұрын
Mipasho tu
@qasammamachinya444810 ай бұрын
Safi dirunga,uko sawa
@tashone788410 ай бұрын
Hoja za shekh alizoibua serikali ilishindwa kumjibu akatamani afikishwe mahakamani aombwe ushahidi haikuwahi kutokea alisema hoja na ushahidi anaoibua ni mdogo kuliko aliouhifadhi. Tulitamani sana open kesi tupate faida.
@babazungu318010 ай бұрын
History hiyo inawaingia makafir
@maryamos766310 ай бұрын
Usitukane bila sababu. Issue ni dini?
@godsondeo753910 ай бұрын
Mimi ni mkristo nawapenda sana niwastarabu ..ingekuwa wanazungumza kama wewe 😊😊😊😊😊
@jamalkishangu10 ай бұрын
Hutuba hii ina miaka mingi lakini inatafsiri hali ya wanayoendea kuishi nayo Waislamu nchini Tanzania dhidi ya ndugu zao Wakristo. Rejea kuhusu sakata la bandari ya Dar, kwa kuwa aliyesimamia mkataba kati ya Dubai na Tanzania ni Rais Muislamu ameelezwa katika hali inayo tisha.
@geofreyndambo863510 ай бұрын
Yule aliyefunga mkataba ya migodi kule mwanza ni muislamu?yule aliyepigwa risasi ni muislamu?wale waliomkimbia nchi ni waislamu? acheni mambo ya kipuuzi
@clarencehilary55887 ай бұрын
Namashaka na huyu mzee kama hakua mchawi basi ni mfuga majini
Waislam ndio wazlendo wa nchi hii tunaona uzalendo wao wa kuuza nchi kwa waarabu huo ndio uzarendo
@camilomassao897110 ай бұрын
Ndiyo naamini elimu ni Mkombozi wa fikra.
@sesicasi136410 ай бұрын
Wewe uislamu huujui. Sasa ukristu umeufahamia wapi? Pumbavu mkubwa! Eti ule mkate wao!!! Zee puuzi sana hili!!
@adammj625810 ай бұрын
Huwa hamjuagi kujibu hoja mnakimbilia matusi,,,kama mgeni ndio ujue hapo Kanisa lililetwa na Wakoloni kwa maslahi yao na ndio hayo,,,kuwagawa waTanzania,,, Anglican Church, UK na Lutheran German na ndio Wakoloni,,unabisha!!???
@saidmkwabi946010 ай бұрын
Tuelimishe baba ila machoko hawapendi
@camilomassao897110 ай бұрын
Sasa nyie wenye uzalendo mmetetea nini kama si upepo fuata bendera?
@abuuramadhan809310 ай бұрын
Tunahitaji hospital za Kanda na wilaya zijengwe kila mahali tuachane na hospital za kanisa zilipe Kodi zinakwepaa Kodi kupitia partnership
@othmarluwawilo830810 ай бұрын
Ustaadhi Ilungu ovyoooo!
@songombingo10810 ай бұрын
Ovyo mama yako. Fala wewe. Kama humpendi usimsikilize. Nyambaffff
@ahmadmzoa7410 ай бұрын
Watu wenye busara hupambana na hoja za mtu na si mwenye hoja mwenyewe. Kuzipangua kielimu imma +au- .Na sio kupayuka.Lete hoja yenye ubainifu: ndio au siyo (Burhan).Matusi yana msaada gani kama sio dalili ya kufilisika utambuzi. Marehemu shekhe Ilunga (ALLAH SUBHANAHU WATAALA Amrehemu)Hakuwahi kujibiwa hizo hoja.
@reubenbushiri175310 ай бұрын
Alijibiwa na Mwalimu Daniel Mwankemwa ipo hapa KZbin-Inajulikana Kama Mfumo kristo Ni Mfumo wa kifikirika tafuta hiyo ipo part 1 na part 2.Ebu jaribu kusikiliza hiyo
@ahmadmzoa7410 ай бұрын
@@reubenbushiri1753 Shukran Mr. Reuben ngoja niisikilize.
Wewe mgaratia PUNGUZA chuki,, ZIDISHA MAARIFA!huyu mzee anaongea ukweli! Nyie wakristo,, ukristo kwanza nchi baadae,,ila waislam wanavyofeli nchi kwanza dini baadae kwa ujinga huu wa waislamu ndio mmekuwa jeuri ya mpaka kuitumana serikali!
@user-tq5gl1qv2y9 ай бұрын
We yahud ayakuhusu we endelea kuabudu masanam
@richardmakweta887510 ай бұрын
Haya Ni maajabu ya dunia kweli walio nauelewa wa Mambo niwachache😅😅
@husseinmwanjela864410 ай бұрын
Upo sahihi
@user-ux4rb8qo6t10 ай бұрын
Aaaaalaaaah! Maamuma! Dubai chanzo!
@bonifacerobert296010 ай бұрын
CCM Hii mbinu ni mbinu ovu. Swala hapa siyo Uislamu na Ukristo SAMIA SULUHU HASSAN. Swala ni limkataba la ajabu jamani.
@MaryamKudra-gf8zs10 ай бұрын
Huu ndio ukweli wakristo siwazalendo mpaka kesho wanajua wajiita waroman, waislail taifa teule niwadini sana ndio maana nchi hii inakwamishwa na hawa wadiini wenye kuinyonya nchii hii kwa maslahi ya mabwana zao.
@camilomassao897110 ай бұрын
Elezea jinsi nchi inavyonyonywa, tetea hoja yako, bado ina hang!
@camilomassao897110 ай бұрын
Wenye uelewe wasaidieni hawa
@williammwanganya55010 ай бұрын
Naomba niwaweke sawa kumbukumbu kutokana na baadhi ya comment hii clip ni ya muda sana shekh ilunga ashafariki zaidi ya miaka mitatu imepita
@robertphilip38510 ай бұрын
Sante mkuu kwakutuweka sawa
@nassorsharifu983710 ай бұрын
lakini maneno yake yako sawa.
@robertphilip38510 ай бұрын
@@nassorsharifu9837 sawa Gani huyu mbwa sahivi anaungua huko jehanam
@zuberiathumani428710 ай бұрын
Uukweli unauma kwa wenye fikra finyu na ubinafc
@richardmakweta887510 ай бұрын
Inashangaza Sana ebu fikiria kwamfano wanaoomba suala la bandari lkatika uwekezaji lifanyiwe marekebisho kwavipengele katika mkataba husika,swali hivi kijiografia Ninani walio wengi katika maeneo hayo ya bandari niwaislamu au niwakristo Kama niwaislamu je, wanaopinga mkataba wauwekezaji katika maeneo hayo yabandari ni wakristo au Ni waislamu,mbona viongozi wakiislamu hatuoni mkipinga badala yake kila kukicha udini kivipi, ama kweli wenye haki watakao iona pepo niwachache kwa hapo mlipofikia mnapotea sana.
@mhogomchungu716810 ай бұрын
Tatizo kubwa viongozi wa chadema na viongozi wa kikristo ndio waliowafanya waislamu wautetee mkataba kwa kauli zao za kibaguzi, Kuna waloanza kusema wazanzibari wanauza bara , mara wanaleta waislamu waarabu kurudisha utumwa, mara DP world wakikusanya mapato watajenga msikiti mkubwa Mbeya , mawazo ya aina hiyo ni kuonesha uadui wazi kwa waislamu na ndipo mlipokosea. Naamini raia wengi hawajawahi hata kuuona huo mkataba ikiwemo mimi na wewe na kama ushausoma nitumie link nikauangalie
@starvista82310 ай бұрын
Unatengeneza uongo tu
@OthmanKiroga10 ай бұрын
May Allah grant him jaanat Firdausi.
@nassorsharifu983710 ай бұрын
Aamin
@maftahmusa951310 ай бұрын
Amin
@hilmialiomar198310 ай бұрын
Amin
@jamesbayo191010 ай бұрын
KWA MUNGU. HAKUNA. MADHEHEBU KUNA. IMANI. HIVYO. KILA. DHEHEBU IHESHIMU NYINGINE KINYUME. NA. HIVYO. NIDHAMBI. NA NI. UBATILI. MTUPU.
@imanimfuruki904010 ай бұрын
Mashallah
@ahmadmzoa7410 ай бұрын
Hawa wenye tabia za kutukana na kubeza watu inawezekana walishatukana hata wazee wao huko makwao. Kila mtu akiwa na mtazamo tofauti na wao wanamtusi. Sisi Waislamu tunakatazwa kuwatusi watu, hata wasiokuwa Waislamu majumbani mwetu na Misikitini. Ukiona Muislaimu katukana huyo amepinda kwa kukosa malezi.
@sundaymsuya143310 ай бұрын
Kuna wa2 wabaguzi km waislam hum tz
@ahmadmzoa7410 ай бұрын
@@sundaymsuya1433 Tamaa yetu sisi watu waielewe haki na kisha kuifuata. Sisi tunatambua vitabu vinne: 1.Zaburi, 2.Taurati,3.Injili na Quran. Na pia tunaviamini.
@godsondeo753910 ай бұрын
Kumbuka mwalimu alifuta ukabila na kwa sasa tuna amani wewe unatoa wapi hayo? Alafu wewe ni mtu wa umri tumia elimu saidizi . Udini usitegemee kwetu ila hio ipo kwako na hutatoboa uchichezi ...uelewe hakuna mungu wa kikrito na wa kiislam mungu akusaidie
@peterbangari427310 ай бұрын
Mzee anafanya uchochezi wa dini halafu serekali imwangalia tu .
@agnessangawe384410 ай бұрын
HAMWEZI KUHUBIRI MAFUNDISHO YA IMANI YAKO. BILA KUTUKANA AU KUKASHIFU UKIRISTO. MIDOMONI NA MIOYO YENU IMEJAA CHUKI NA FITINA. UNALETA UBAGUZI LIZEE LISILO NA HEKIMA.
@zeelamipango10 ай бұрын
Msenge mmoja hv asiyejielewa
@MaryamKudra-gf8zs10 ай бұрын
mtukane ujue utakuja mlipa kwa gharama kubwa mbele ya Allah
@adammj625810 ай бұрын
Ndio ushajibu hoja hapo!!?? Mbona Maaskofu wenu wanayajua na hawabishi!!? Anzia hapo kujifunza,,,nyie ni maAgent wa Wakoloni
@user-ux4rb8qo6t10 ай бұрын
Wewe ndo mzalendo. Acha izo
@billgussy609910 ай бұрын
Huyu ni mjinga na mchochezi apuuzwe. Wakristo si kwelu kwamba wote Wana mawazo mamoja ndo maana unaona spika ni mkristo lakin anaunga mkono bandari ibinafaishwe. Kiufupi huyu Sheikh anaakili ndogo Sana ya kupambanua mambo 😂😂😂
@AshrafuJonny-sz4gs10 ай бұрын
Upo sahihi ila jambo labandali likopalepele hatumtaki dpwold
wazito kuelewa ni wadini wakristo wanao inyonya nchii hii
@walidmgonja364410 ай бұрын
Kweli wewe taahira hata kiswahili hujui Eti waisram,kuerewa,ndio nini hii?
@wanguwangu3410 ай бұрын
Huyu marehemu amefufuka na kutoa wrong history asiyoijua.
@Asamtz36010 ай бұрын
Daah ukiisoma dini ukaielewa kupitiliza haya ndo madhara yake ipo haja ya kutoa elimu ya kujitambua na kuyatambua mambo elim sifuri kabisa
@faustinbyendeye13810 ай бұрын
Hawa jamaa ni watu tuu walislimu Kama vile tuu wakristo na ukristo .
@othmarluwawilo830810 ай бұрын
Mnafikiliza taarifa za mwendawazimu.
@yassinhamza196910 ай бұрын
Ina maana ww hotuba ile ya nyerere hukuisikia
@salehkhamis-ob8ln10 ай бұрын
ilunga wape vidonge vyao hawajielewi hao
@gulalakitinya761510 ай бұрын
Kwahiyo Waarabu nao waliacha uzalendo katika nchi zao.
@richardmakweta887510 ай бұрын
Hivi nikwanini viongozi mnaendeleza mjadala wakidini kwani Hawa wanao ongea nakulalamika katika nchi hii wameutaja wapi uislaamu ,tunaomba kueni makini choko choko hizi zaudini hazina maana yoyote kwakuwa Jambo Hilo halipo,lakini inavyoonesha mnalazimisha watu waanze kuzungumzia Jambo Hilo ambalo halipo ili mpatate mahali pakuanzia kuleta chuki,hamtaweza kwakuwa hata wafuasi wenu wanawashangaa
@adammj625810 ай бұрын
Ungeanza na wa makanisa maana wao kwanza hawaitakii mema nchi wanalinda maslahi ya Wakoloni,huyo anajibu hoja
@happinessmwaipopo742610 ай бұрын
Pumbavu kabisa watu kwenye familia tumechanganyika waislam na wakristo wewe mzee unatuletea unazi. Hebu tutokee huko
@maftahmusa951310 ай бұрын
Kama ni upumbavu bila shaka utakua nao wewe nakama unabisha katizame katika kitabu alicho andika Padri wa kizungu missionary Dr Jhon Siyvalon KANISA KATOLIKI NA SERIKALI YA TANGANYIKA. hapo ndipo utafahamu mpumbavu ni nani kati ya wewe na yeye
@zuberiathumani428710 ай бұрын
Ilunga katumia facts za marejeo ya vtabu ww unatumia mihemuko ya kiimani nan mpumbavu....?
@piuskanyampala454010 ай бұрын
Hawa ndo wanaongoza Kwa upotoshajii,hawana na muda wa kuhubiri upendo au mambo yakoo
@ahmadmzoa7410 ай бұрын
Una hoja au matamanio ya nafsi kuwa muadilifu kijana.
@maftahmusa951310 ай бұрын
sawa kabisa shekh
@romanamassawe81410 ай бұрын
Kisha kufa huyo, hayupo duniani
@maftahmusa951310 ай бұрын
@@romanamassawe814 Maneno yake bado yako hai na yataendelea kua hai
@romanamassawe81410 ай бұрын
@@maftahmusa9513 hata maneno ya shetani Bado yapo hai, alimwambia Hawa siku mkila tunda la mti huu mtafanana na mungu, je maneno ya shetani hayaishi mpaka leo ?. Kufa wote tutakufa ila ukifa unaenda wapi ?. Hilo gaidi Sasa hivi lipo jehanamu ya milele,
@petermasanilo73210 ай бұрын
Serikali wachukue hatua Kwa hiyo mchonganishi
@jafumnyupe525010 ай бұрын
Allah Akbar!
@nancyaloys839210 ай бұрын
MUNGU Yuko wapi apo? Unaubiri nn ushetan .
@zobakazizi763710 ай бұрын
Waarabu waliacha magofu ya Watumwa Zanzibar.
@camilomassao897110 ай бұрын
Sio zanzibar tu, nenda kilwa uone magofu na ujifunze walivyowanyanyasa Watanzania na kuwadhalilisha, kuwatumikisha, ni wakoloni tu kama wakoloni wengine. Nafikiri kuna haja ya kuacha kuangalia udini, tujifunze kwa Traore na Tanzania haichukui muda, time will tell!
@tindatinda733010 ай бұрын
Ilunga ulikotokea Rudi ukajitafakari maana ulileta machafuko kuhusu kuchinja ktk utawala WA Kikwete.
@princemahamba24210 ай бұрын
Udini utaanzia kwenye utawala huu
@bonifacerobert296010 ай бұрын
CCM MNAKOTUPELEKA, TUTAJUTA WATANZANIA. NAHISI MPO WACHACHE WAKUU WA JUU AMBAO MNAJUA MNAO USALAMA KAMILI NINYI NA FAMILIA ZENU.
@zaidyabdalah369110 ай бұрын
Msituletee mambo ya udini hapa, hatutaki kabisa mambo hayo
@dadihemedi28849 ай бұрын
Hujui jambo lolote kaa kimya
@camilomassao897110 ай бұрын
Roho tu inawauma. Hata zikijengwa kila kijiji watu wanafuata huduma na si hospital hii ni ya nani. Acha kupoteza muda wako, zungumza ya msingi na si chuki na wivu. Eti kanisa😱
@castrocastro961510 ай бұрын
Acha uchonganishi ustadhi. Tz sote ni ndo maana familia moja unakuta kuna waislam na wakristo. Lkn pia tumeona waislam kwa waktisto tens kwa upendo. Ondoa udini hapa ww
@georgechiwango738110 ай бұрын
Umesahau historia mzee. Tafuta kitabu kinaitwa uhuru wa watumwa. Uone jinsi waarabu walichowafanyia babu zetu na bibi zetu.
@user-km7xi4ev9jАй бұрын
Waarabu ndio waliojenga kanisa pale mkunazini zanziba. km kituo kikuu cha biashara ya utumwa? Cc tuna ushahidi wa athari za wakristo/wazungu kua wao ndio waliokua wakiwafanya watu watumwa
@frank01tz10 ай бұрын
Upimwe akili. Mtu mzima hovyo
@antonywilliama286810 ай бұрын
umepewa bahasha umezeka hadk akili
@mohdkhamis103110 ай бұрын
Antony apewe bahasha kaburini nyny kwanza kila anaewaambia ukweli kapewa bahasha huyu shekh amefariki miaka mitano iliyopita na pia hajazungumzia bandar kazungumzia wakristo nchi hii hawana uzalendo na nchi yao zaidi ya kanisa kwanza sio kweli
@camilomassao897110 ай бұрын
Wakristo mnaowasema ni waelewa hata serikali inawashangaa mnapoongea maneno na si kutoa hoja na kutetea hoja
@biddii197210 ай бұрын
Hapo kunapambaniwa bandari iende na waaarabu mungu tusaidie
@youssefsanje874310 ай бұрын
Bandari ya babaako
@mkude10 ай бұрын
NYINYI MNAWACHUKIA WARABU KWASABABU YA CHUKI TU.Wangepewa wazungu mnge kaa kimya
@biddii197210 ай бұрын
@@youssefsanje8743 😂😂😂😂
@biddii197210 ай бұрын
@@mkude mm sichukiii waarabu tu ata wazungu na wachukia inchi yetu mpaka kesho ina nyonywa na wazungu siwezi kuwapenda ,na mm na simama kama chadema sio dini yoyote ile ,sisi kama chadema tulipiga kelele juu ya mikataba ilio kua ikifanywa na wazungu apa kwetu kama hukusikia pia sikulaumu Sasa amekuja muarabu tukikataa mnasema Ooooh mbona wazungu walichukua Kwaio mna lipiza sindio 😂😂😂kweli sisi watu weusi atuna akili 😂😂 ila so mbaya mungu alituumba ivo Ila nikuambie kitu mungu ndio muweza ya yote ngoja tuone mwisho ukoje na usicho kijua ni kwamba NAMPENDA SANA RAISI SAMIA kaaa ukili jua hilo na yeye ni binadamu tu kama mm akikosea ana rekebishwa😁😁
@hamzaswaibu947010 ай бұрын
Acha ubwege kumbuka waarabu ndo wanajenga bwawa la Nyerere na reli ya umeme au hujui😀😀
@awadhially2 ай бұрын
Mtu wa maana kabisa huyu
@praygodmawalla788410 ай бұрын
We are not Arabs and never can we. Tumerogwa dini imefumba watu macho.
@HildaPaul-hm4jk3 ай бұрын
Tusamee shekhe inatosha
@Hudatztv3 ай бұрын
Mko vizuri kwa kweli
@ismaelgadiye448810 ай бұрын
Huna akili
@ussiussi341310 ай бұрын
Ww unazo lakini zina ulemavu katika ufahamu.
@ambitiousholyspirit39510 ай бұрын
waliosaini miataba huu ndio wanaoleta haya!
@gracemsalila773510 ай бұрын
Hovyoooo mtu mzima hovyoooooo
@uwezotv10 ай бұрын
Wanini wakeisto wanaficha majina yao mtandaoni hii ni dalili mbaya hawa ni watu wabaya sana ukiona mtu hataki kujulikana jinalake huyo atakua habisi ,nwizi jambazi ,muuwaji hawa ni tatizo kubwa na vita walionayo ninkwenye arizi ndio wanaongoza kuleta migogoro ya arizi na ni wauwaji wakubw
@judicatendengerio-ndossi158310 ай бұрын
Waarab wa UAE wana uzalendo na Tanzania kuliko Wamasai wa Ngorongoro na Tanganyika.
@YoshuaSeverino4 ай бұрын
Tuishukru Bakwata kwa kuwa na viongozi wa elewa sana,
@ritchiemuta109210 ай бұрын
Duuuyuhhhh
@happyjeremiahmhuli404310 ай бұрын
Uzalendo wa bandari haupo
@mwinjilistiaristidesmeja183410 ай бұрын
Hivi ni kweli kuwa hamwezi kuongelea dini yenu mpaka muutaje Ukristo? Na hii ni kuonyesha kuwa hoja za dini yenu ni dhaifu kwa hiyo hoja zenu zinakamilika kwa kuutaja Ukristo
@luchinguawadh364710 ай бұрын
makafili hamna akili ndo maana mnauziwa hadi mchanga na mafuta ya alizeti na mwamposa
@machaggechacha24310 ай бұрын
Bwege huyo!!! Achana naye. Usipoteze muda wako.
@jumamasasikatuga282310 ай бұрын
Huyu jamaa nilijua anamaneno mazuri kube hakuna kitu kabisa
@maftahmusa951310 ай бұрын
Kwa mazuzu hana kitu lakini kwa wenye akili kubwa kunaujumbe mkubwa na muhimu na maranyigi mahamnazo si rahisi kumaizi lulu.
@jesusislord919010 ай бұрын
Mwehu pale kwenye kaaba huonagi ma raisi wanavyolindwa...hii nchi imeendelezwa na wakristo nchi zilizotawaliwa na waarabu kama maultinania mpaka leo ni watumwa wa waarabu Eritrea kadhalika somalia
@manrectorz10 ай бұрын
WEWE NI MPUMBAVU, MWARABU HAJAWAHI KUTAWALA NCHI YOYOTE AFRICA. BAADA YA UKOLONI KUTANGAZWA AFRICA, BAADA YA BERLIN CONFERENCE 1884.
@jesusislord919010 ай бұрын
@@manrectorz sio kutawala tu amechukuwa kabisa amejimilikisha Egypt ni nchi ya kiarabu?? Libya Tunisia Morocco hizi ni nchi za kiarabu?? Alietawala znz na tanganyika kabla ya mjerumani alikuwa mchina?? Mbona history zenu mwaarabu aliuwa watu weusi Egypt ilikuichukuwa na sasa hiyo history hamuitaki na mwaarabu hataki muijuwe na mashekh hawezi kuwaambia.. kwasababu msimamo wao ni kuwa waarabu ni wema duniani hakuna
@presenterkabuma164610 ай бұрын
Nyie kweli ndo wasenge mnaropoka tu wala hamjui lolote,kazi kudanganywa tu na wapumbavu wenu huko.
@jesusislord919010 ай бұрын
@@presenterkabuma1646 wewe huyo hakudanganyi??
@user-rs4vz2vt9z10 ай бұрын
Huyu mchawi katoka wapi?.
@presenterkabuma164610 ай бұрын
Mchawi babaako
@user-rs4vz2vt9z10 ай бұрын
@@presenterkabuma1646 mama yako.
@happinessmwaipopo742610 ай бұрын
Nasikia alishadanja
@mlawayusuph884210 ай бұрын
@@happinessmwaipopo7426 eti nasikia alishadanja! na ww ipo cku utaelekea hko taka uctake
@presenterkabuma164610 ай бұрын
@@user-rs4vz2vt9zMchawi wakubwa nyie.
@denisrukangula222710 ай бұрын
Aliyeko kwenye madaraka ni mkristo Huyu anae taka KUUZA bandari
@salehkhamis-ob8ln10 ай бұрын
Bandari ni ya watu wa pwani. Watu wa nyanda za juu na kanda ya ziwa mtuache na mikataba yetu. Nyinyi kwenu huko ni mapori na wanyama tu watu wa pwani ndio wa kulalamika sio nyinyi mnaotoka maporini
@happyjeremiahmhuli404310 ай бұрын
Hadidu rejea
@barazamwaja386810 ай бұрын
Y
@jesusislord919010 ай бұрын
Sasa wameanza kujifichua Quran 5;51) Quran 9;29
@Donyo-rh8do10 ай бұрын
Huyu mzee alishakufa siku nyingi jamani
@josephzacharia311610 ай бұрын
Hiyo vita unayoianzisha ianzie kwako iishie kwako we vuruga tu
@kanoa64510 ай бұрын
Hudatv bravo
@samoskiyalo609510 ай бұрын
Hawana uzalendo je nikweli au ni kupotosha kristo ataleta kiyama kwenu itakuwaje ?
@agnessangawe384410 ай бұрын
Yaani mwongo wewe. Ukiwa Kanisani ukishapokea mkate mtakatifu huwezi kusalimiana na mtu. ACHA CHUKI WEWE MNAFIKI MZEE.ROHO MBAYA SURA KAMA FENESI
@azizabdallah58510 ай бұрын
WAISLAMU WA TANZANIA TUNAONA AIBU KUWA NA SHEKH KAMA HUYU ANAETETEA UFISADI WA VIONGOZI WA JUU WA SERIKALI KWA KIVULI CHA DINI...!
@IbnuAlly-cg2gn10 ай бұрын
Nenda uko na upuuzi wako Ww muislamu au msanii tu
@mohdkhamis103110 ай бұрын
Ametetea nini kaa usome dini yako huyu amewazungumza wakristo kuwa si wazalendo wa nchi yao zaidi ya kanisa kwa taarifa yako huyu shekh amefariki miaka mitano iliyopita
@slymsameer541510 ай бұрын
Wewe huna akili kabisa hata chembe
@alimaulid954310 ай бұрын
Sheikh huyu ameshakufa miaka mingi hii ni ya zamani kwa hiyo hatetei ufisadi na hajatumwa na ccm
@princeshahulo217410 ай бұрын
Cyo kosa lako shida akili yako na malezi yakwenu bila shaka hutambui unaloongea!!?
@alumonkisinda457410 ай бұрын
tusiachiane mzigo huu ni wa kwetu sote jamani tusiachiane
@lemonadesoldier137710 ай бұрын
Marehemu aliyekufa amefufuka
@mzulwa200610 ай бұрын
Hizo ndio fikra zinazoishi
@user-rs9ws1om8b10 ай бұрын
Sitaki kutoa comment yangu mpaka nitakapo fahamu academic CV yake huyo anaeongea. Simwelewi!
@AmosNicas10 ай бұрын
Wewe mzee hujitambui kama ukristo uliletwa na wakoroni vp uisilamu uliletwa Kwa ajiri ya biashara yaani warabu
@user-gr9wc7bc2m10 ай бұрын
Hawa jamaa tz msiangalia lwenu
@barnabasmsagamasi61110 ай бұрын
Umepewa kiasi gani na CCM?
@maftahmusa951310 ай бұрын
Unaropoka tu hii clips ina zaidi ya miaka 20 bilashaka wewe ulikua bado unachezea michanga. kipindi CCM wakidi CUF ni chama cha waislam
@user-cw2nj4io3v10 ай бұрын
Unaelewa unachokisema?, usipotoshe watu , unafahamu madhara ya kuyasema hayo nyakati hizi?,wewe kweli ni kiongozi mcha Mungu au kiongozi mcha dini?,