Shukran kwa historian nzuri inayoelimisha jamii. Nyuma naona screen ya TV, ni maoni yangu kwamba iko under utilised, mnaonaje kabla ya kutengeza program kutengeza mifano ya kinachozungumzwa? Hongereni sana kwa nzuri kwa jamii.
@RAMADHANKHAMIS5 жыл бұрын
Atapunguziwa pumzi gwiji huyo kama kuna mifano ya wanawake mwenyewe akionyesha kuhusu vazi hilo. Ni kichekesho kwa mwanamume akieleza kwa undani kuhusu asilolivaa, si kwasababu simuamini bali kuna mitazamo kadhaa ya suala kama hili. Kipindi si cha moja kwa moja, kwa hivyo kuna muda wa kuitayarisha kimbele pengine kutuonyesha pia vazi hilo mitaani. Napendelea kesho wawepo bibi, mama na mwari kwenye kipindi hiki.
@khalifanassor53495 жыл бұрын
Kweli ukifutika mkoba ndani hata mwizi hawezi kukubakuwa
@jarsjam88945 жыл бұрын
Sio kizero ni kizoro. Na hiyo kulipachika juu sio kwa ugomvi tu hata ukitaka kubeba mzigo unalipachika juu kwanza
@alihijiiddi89775 жыл бұрын
KAMA HUYO ANAYO KUHOJI KAVAA KIUTAMANISHAJI KWA KUTAKAKUPENDEZA NA SHUNGI LISILOMAANA BASI TU KUMSHANGALISHE MWANAME KWA KUMDANGANYA AONWE ANANYWELE NYINGI KWA NIABA WA KILALWA NA WANAUME ATONGOZWE KWAHIYO NI SHIRKI NA NI USHETANI 🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿👹👹🇹🇿👹👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿👹👹👹🇹🇿👹👹NA SI UWISILAMU
@mohdapper5 жыл бұрын
unajua nini sisi wazanzibar tunhapenda kumanya mambo kiuzoefu tu lkn nyinyi alfatah kweli mnashindwa kukipanga kipindi kiler keli?? au tussle mlikua maharaka sana?? manage ni kipindi cha kupagiliwa na kila kitu kikaonekana mfano wake