Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
Пікірлер: 16
@SalamaRamadhan-c1vАй бұрын
Mashaallah madrasa yetu Allah aidumishe milele
@NassorKhamis-l6rКүн бұрын
Mashallah
@ALIMOHD-bk9lr Жыл бұрын
Maashallah Ukutani ni zizi la wanachuoni ZANZIBAR. MUNGU atukhitimishe kwa nyendo njema
@fatmasaid97652 жыл бұрын
Mashaallah historia nzuri jazaka Allah kheri
@h77-f8m2 жыл бұрын
Maashallah Allah awalipe
@mbarakaljabri34502 жыл бұрын
Tusi wasahau waasisi wa Msk Baraza Maalim Himid, Abdalla Muadhini, Syd Hamad nk. Wao ndio walimu wa Maalim Abdalla Abubakar Abdalla Bakathir.
@salemaliy19636 ай бұрын
Waislam hapo panasitahiki kufanywa chuo kikuu
@aliy3303 Жыл бұрын
Ostadh Khalid nini kilimuondoa koz yupo hai
@AlawiyaMSaleh2 жыл бұрын
Dunia inamaajabu
@princesaha3262 Жыл бұрын
Tuleteeni historia za ulamaa wetu wote,kama kina sheikh Habib Ali kombo
@al-hashimyal-qurayshy69782 жыл бұрын
Shauri LETU: KUNA WATU MUKAWAFUATE AMBAO wanajua historia ya hapo hao ni wageni wote..hawamjui Maalim bakathiri.. Kamfateni Mtu Anaitwa MAALIM ABUU...huyu ndie Kipenzi cha bakathiri...Ndie Naibu wa hicho chuo..lkn Watu wanajitoa ufahamu.
@al-hashimyal-qurayshy69782 жыл бұрын
na Maalim Abuu Amewacha hicho chuo kutokana Fitna za abrahman habshy..Alikua Anamtesa Sana Bakathir huyu Habshy..JITAHIDINI MKITOA HISTORIA TOENI KWA UKWELI
@princesaha3262 Жыл бұрын
Anamtesa vipi??
@al-hashimyal-qurayshy69782 жыл бұрын
WE abrahman habshy umetok pemba Maalim Abuu Anakupokea leo umekua weye ndio Unaijua Zaidi historia ya hapo??na huyo Ndugu Hikman ndio kabisa..Ama kweli Watu hawapo..Allah atatusaidia.