HIVI NDIVYO MADAKTARI WALIVYOTUMBULIWA ZANZIBAR

  Рет қаралды 27,498

KTV TZ ONLINE

KTV TZ ONLINE

Күн бұрын

Пікірлер: 113
@nureyna629
@nureyna629 5 жыл бұрын
Mtihani, Allah ampe nguvu aweze kufanya kazi zake kwa ufasaha,
@rajabkheir8998
@rajabkheir8998 5 жыл бұрын
Daktar mmoja vituo viwili....bado anaonekana sio mzalendo....baba sheni tuanze wilaya mbili dc mmoja.....alafu no usafiri twende sawa
@burhanisaidi9811
@burhanisaidi9811 5 жыл бұрын
Siasa na udocta ni vitu viwili tofauti! Kama mkuu wa wilaya una imani na wananchi bas umuajiri daktari mwwngine sio kuleta siasa.
@aishaomar4318
@aishaomar4318 5 жыл бұрын
Kabisa kaka 👍
@hamudseif
@hamudseif 5 жыл бұрын
Yan hiyo ndio athar ya kuwapa uongoz wanawake na watu wajinga
@omarjumanne4471
@omarjumanne4471 5 жыл бұрын
Uajiri wa kiujomba ujomba hill pia tatizo kwa Zanzibar
@khadijambarouk2983
@khadijambarouk2983 5 жыл бұрын
Tatizo sio madaktari Bali serikali ajira hawatoi Kuna watu kibao wamemaliza kusoma hawawapi ajira mpk uwe na kadi ya CCM utasema hicho Chama ndio kilichokusomesha
@RashidHaroun-c2j
@RashidHaroun-c2j Күн бұрын
Jamani wasomi wetu mna shida sana hali mushaiona live ao waloajiriwa si wazalendo hawafanyi weledi na kutimiza wajibu wao wakazi apo wamejengewa nyumba hawakai halafu bado mnasema tatizo hakuna ajira
@samsungjsevenprime5717
@samsungjsevenprime5717 5 жыл бұрын
Ktv tz online hakika hii ni Fahari yetu 👍
@SA-xj8hc
@SA-xj8hc 5 жыл бұрын
Kazi nzuri bi Hamida Kamishna , lakini serikali iwape pembejeo wafanyakazi kama usafiri nk. Pia wafanyakazi tubadilike “service to man means service to god”
@mainaabuu8931
@mainaabuu8931 5 жыл бұрын
Mungu awape taufiq wawexe kutekeleza majukumu yao ipasavo
@w4058
@w4058 3 жыл бұрын
Bora hata nisikomet chochote mshenzi tuu huyu mku wa nini sijui
@aliissa6632
@aliissa6632 5 жыл бұрын
Haiwezakani kabisa wakati yuko na familia yake huwezi kumwambia mtu lala sehemu fulani wakati kuna shifti basi hakuna kosa
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 5 жыл бұрын
MashaaAllah mana mm namuangalia huyo bibi kiongozi alivyokua mnene. Yy mwenyewe hata anaeza kufanya kazi au anamsisitiza mwenziwe kuacha kazi tu?
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 5 жыл бұрын
Hahaha umeona ee anahitaji kujiangalia mwenyewe kwanza
@omarjumanne4471
@omarjumanne4471 5 жыл бұрын
Gari wanapewa wanasiasa wataalamu. Hawasaminiwi
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 5 жыл бұрын
Nyote washenz . Huyo jimama yeye mwenyewe hafanyi kazi . Na kama kaowa au kaolewa .itakuwaje . Wapeni nyumba waje wakae pamoja na familia yao
@omarjumanne4471
@omarjumanne4471 5 жыл бұрын
Mkuu wa wilaya. Una gari mtaalam hana gari maajabu hayo siasa mbere
@RashidHaroun-c2j
@RashidHaroun-c2j Күн бұрын
Mtaalamu amejengewa nyumba aishi kituoni pake mkuu wa wilaya ni mtu wa ku zunguka wilaya nzima ivi bado hujaona tofauti kuwa na gari ni sheria nyengine za utumishi na mtumishi wa aina gani ndo anatakiwa awe na gari sasa daktari gari yee aitumie kwenye nini hebu zingatieni bana msituumize kichwa
@zayyatiyussuf9566
@zayyatiyussuf9566 5 жыл бұрын
SHUKRAN KTV TZ online hakika hii ni FAHARI yetu
@aishaomar4318
@aishaomar4318 5 жыл бұрын
Na daktari m1 spitali 2 halafu alale apoapo akirokea mgonjwa usiku amuhudumie jamani na nyinyi mumfikirie
@MohamedMohamed-fz5qh
@MohamedMohamed-fz5qh 5 жыл бұрын
Hawa wanasiasa akili zao wanazijua wenyewe
@BESTTV1LIVE
@BESTTV1LIVE 5 жыл бұрын
Mumepa usafiri wa kutoka huko porini kwenda sehemu nyingine?
@mohdjuma7031
@mohdjuma7031 5 жыл бұрын
Wanafunzi WA Zanzibar school of health nakuoneni muhajir,MKUBWa na wengineo
@sharifabdul6085
@sharifabdul6085 5 жыл бұрын
Safi sana mkuu,ni mtihani kweli kuona mtu anatetea uzembe wa namna hii,hapa tunazungumzia afya ambayo ni maisha ya watu,lazima watu wawajibike,maana ktk kiapo ulikubali sasa kama huwezi ni bora kuacha sio kusema hufanyi then unapewa mshahara
@iqbalmuhamed4420
@iqbalmuhamed4420 5 жыл бұрын
Musimlaumu daktari kwasababu daktari mmoja mnampangia sehemu mbili wakati kutoa ajira mnashindwa na daktari wapo wengi tu ss mtu gani anakae fanya kazi spitali mbili na apate mda gani wa kukaa na familia yake
@hebbyommy9355
@hebbyommy9355 5 жыл бұрын
True,,
@omarjumanne4471
@omarjumanne4471 5 жыл бұрын
Zanzibar siasa nyingi Hanna kitu
@AliAli-xi3hu
@AliAli-xi3hu 5 жыл бұрын
Asiende mazikoni wala asiwe karibu na familia yake? Wekeni madaktari watatu wawe wanapumzishana Lkn Daktari mmoja vituo viwili hii Sio haki
@adillhabib2006
@adillhabib2006 5 жыл бұрын
Kwa mshahara gan
@ibrahimame9805
@ibrahimame9805 8 ай бұрын
Hapa siasa 2 sio utendaji ccm oyee
@tanitani3387
@tanitani3387 5 жыл бұрын
KTV online hakika hii ni fahari yetu.
@familylove5417
@familylove5417 5 жыл бұрын
Mmh wallah wazungu wanaweza kwenda peponi wote
@salehhamadi6070
@salehhamadi6070 5 жыл бұрын
Why
@hajiharoub8125
@hajiharoub8125 5 жыл бұрын
Hizo hisia zako zinakudanganya
@ahmeidyoung2410
@ahmeidyoung2410 5 жыл бұрын
Safi sana mkuu wa mkoa
@salmajadi9224
@salmajadi9224 5 жыл бұрын
Na hawafanyi kazi kwaupendo daktar anatakiwa awe na upendo wakufanya kazi
@ashuashu3843
@ashuashu3843 5 жыл бұрын
Ndio mambo ya dunia(dunia duara Jambo la muhimu ni busara na uvumilivu na ushirikiano.
@mohdiddi7792
@mohdiddi7792 5 жыл бұрын
Uzalendo ni kufanya kazi kwenye mazingira magumu mbona nyinyi wanasiasa hamufanyi kazi kwenye mazingira magumu muna magari ya bei mishahara mizuri marupurupu tele
@MohamedMohamed-fz5qh
@MohamedMohamed-fz5qh 5 жыл бұрын
Hawa akili zao wanazijua wenyewe
@RashidAli-rn3ro
@RashidAli-rn3ro 5 жыл бұрын
Hamna jipya hvi madaktari hawapo wakaajiriwa mpka dokta mmoja vituo 10? Lkn pia maslah ya smz ni mabovu wafanyakazi hawapewi motisha lazima watoke iman na nchi yao bana
@omarymbaraj8072
@omarymbaraj8072 6 күн бұрын
Mnawakwangia huko hata mimi sikai Ukongoroni, Charawe Subutu! Pia Vituo havina Walinzi!
@makamemufadhil627
@makamemufadhil627 5 жыл бұрын
Musituzingue Zanzibar kuna jaa uozaa eti hospitali kama huna mwenyeji huduma hupati ipasavyoo
@mohammedmnyimbi3688
@mohammedmnyimbi3688 Жыл бұрын
Viongozi lazima watambue Sheria za kazi.ili kituo kiwe Cha masaa 24 na idadi ya wafanyakazi Ni miongoni mwa sifa ,mfanyakazi kwa siku anatakiwa afanye kazi kw masaa nane na nusu na apate siku mbili za off km unataka ake kituoni masaa 24 huo Ni muda wa ziada haumlazimu km hataki. Km viongozi mnahisi Kuna umuhimu mlipeni over time.msiwanyanyase.
@jumailyass9308
@jumailyass9308 5 жыл бұрын
Uzalendo hauji na njaa
@magibomwita8134
@magibomwita8134 5 жыл бұрын
Dah hatari sana kwa nchi zetu maana daktari mmoja awezi kuhudum sehemu mbili
@suleimankhamis8298
@suleimankhamis8298 3 жыл бұрын
dah
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 5 жыл бұрын
Hata wao serekali wote wanaofanya kaz ni wavivu
@aminattai2676
@aminattai2676 8 ай бұрын
Yaani zanzibar usingizi ni mwingi sana,kiongozi ata kuongea hajui,mungu tusaidie usingizi zanzibar kiutendaji uondoke na pia viongozi wa zanzibar muache kuvaa vi suti vyenu vinavofana,kila mtu akishaitwa muheshimiwa basi vile visuti kama mesenja,haijuilakani dereva nani haijuilikani usalama nani haijuilikani waziri au muwakilishi au mbunge kutoka zanzibar ni nani,badilikeni kwenye mavazi.
@iqbalmuhamed4420
@iqbalmuhamed4420 5 жыл бұрын
Sheria na huruma musijifanye wakuu kisha mkaongea tu
@syedsaad8449
@syedsaad8449 3 жыл бұрын
Wameonewa wapo huru Umuhimu ni kazi nzuri tu daktari hafukuzwi??
@abubakarmohammed5994
@abubakarmohammed5994 5 жыл бұрын
Huyo mkuu wa Wilaya yeye mwenyewe mgonjwa angalia hivo alivyo tumbo,ziwa, tako yote yamekaliana sehemu 1 hata hawezi kumaintain mwili wake...Ovyooooo
@hadijaismail3619
@hadijaismail3619 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@imamnassor3038
@imamnassor3038 5 жыл бұрын
endeleeni tu hao ni ccm mbele kwa mbele
@saidmohd5090
@saidmohd5090 5 жыл бұрын
Tuuzieni hizo nyunba cc tunazitaka
@aishaomar4318
@aishaomar4318 5 жыл бұрын
Muajiri madaktari wengi lkn sio daktari m1.wapo kibao wamemaliza kusomea waajirini na wengine zaidi
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 Ай бұрын
Kama ziko Hospitals lakini hakuna Madaktari hiyo ni balaa kubwa. Basi bora leteni Companies za njee waje kufanya kazi.. Zanzibar haina maendeleo kabisa.
@captain_kharus4784
@captain_kharus4784 5 жыл бұрын
Madactar wangapi wapo majumbani bila ya ajira
@shankalimauno5786
@shankalimauno5786 5 жыл бұрын
duuuu. kweli hapo si unakufa unajiona
@omarkhamis6335
@omarkhamis6335 5 жыл бұрын
siasa mbele mama usiwe nanyodo kiasihicho
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 Ай бұрын
Nyumba ya Daktari imejaa mavi ya mbuzi. 😂😂😂😂Zanzibar hakuna nidhamu kwa walopewa majukumu Wananchi wako kwenye mateso makubwa.
@EshaHamd-ed9yv
@EshaHamd-ed9yv 8 ай бұрын
Kwanza hawa Madaktari umewaandalia Maandalizi ya makazi au ni kutaka sifa Kwa watu Sasa hao Madaktari hata usafiri hawana mumewakusudia Nini Kituo kipo lakini Kwa kutoa huduma itakuwa ngumu wapeni usafiri wa uhakika ili wawahi kazini mapema la sihivyo mutapepeya miku tu
@adillhabib2006
@adillhabib2006 5 жыл бұрын
Ajirini watu na ww mkuu wa wilaya acha kaz
@mohamed.hassani9917
@mohamed.hassani9917 5 жыл бұрын
Wapeni usafiri wa magari ,magari yote mnaendesha nyinyi wanasiasa ,Udaktari ni kujitolea boresheni huduma vile vile wajihisi kama wako town.
@thaniyasuleimansimai5486
@thaniyasuleimansimai5486 4 жыл бұрын
Kufa.nya kazi kwa mazoea ndio sababu inayopelekea haya.ukijumlisha na dharau kama mnazi mmoja anofunguwa chumba cha ultrasound ni mtu mmoja tu na funguo anaondoka nayo usiku likitokezea tatizo anasema mie siji saivi uko.... yani 😢 mtihani kwa kweli Na wakati kapangiwa zamu yake awepo mda ule lakini ikisha hachukuliwi hatua yoyote. Wewe unaenda zikwa yamekwisha.
@ameeranassor1619
@ameeranassor1619 5 жыл бұрын
Mmewapa usafiri? Eti daktari anapanda daladala au boda boda😂😂😂😂😂 Motû kishasoma miaka zaidi mitano Tena Mara nyingi huwa nje ya nihilism halafu muwaweke kwenye mabanda ya mbuzi,Kituo cha kutoa huduma masa 24 kilo wapi wakati umeme unazimwa Kama unavyozimwa kutwa.Hakuna cha uzalendo mnatakiwa muwajali wafanyakazi wenu ikiwa daktari aache maisha hake ahamie eneo la kazi basi wawekeeni mazingira rafiki
@alyhamad4687
@alyhamad4687 5 жыл бұрын
serikali iengeze wafanyakazi wenye uzalendo
@adillhabib2006
@adillhabib2006 5 жыл бұрын
Hamnalolote mshaishiwa
@ismailmashimba3470
@ismailmashimba3470 5 жыл бұрын
Viongozi wa Zanzibar hawawezi kutumbua majitu
@ibnually7428
@ibnually7428 5 жыл бұрын
Nyumba ziko vizuri lakin zinaonekana hazikaliwi na mtu Pia zinahitaji maboresho kidogo
@samsungjsevenprime5717
@samsungjsevenprime5717 5 жыл бұрын
Ni vzr wakiwepo madoctar kuanzia 4 waweze kuingia kwa kupishana asiwepo mmoja itakuwa usumbufu kwa wagonjwa na kwa huyo Doctar
@nassornasser3733
@nassornasser3733 5 жыл бұрын
Serikali yenyewe ya kizalimu washanzi nyii
@sulymansalymaly3859
@sulymansalymaly3859 5 жыл бұрын
Nyinyi kazi zenu siasa chafu tu rekebisheni sana hao madaktar uchwara na wauguzi wenu uchwara wana dharau sana hawajui wajibu wao unakuta mtu anasomea unesi au udaktari halaf hatak kuwahudumia sasa kma huwez kuhudu kasomee mambo mengine kwann ujitie huko pumbavu zao aanzeni hosptl kubwa nazo ujinga mtupu
@saidmohd5090
@saidmohd5090 5 жыл бұрын
Kinacho takiwa kifanyike hizo nyumba Kama madocta hawazitaki kukaa zipijwe mnada cc tunazitaka
@hebbyommy9355
@hebbyommy9355 5 жыл бұрын
Ha ha ha haaaaaaaa
@kibojewee2710
@kibojewee2710 5 жыл бұрын
Hata mimi nazitaka🤣🤣🤣
@amnemkubwa7353
@amnemkubwa7353 5 жыл бұрын
😁😁😁😁😀
@EshaHamd-ed9yv
@EshaHamd-ed9yv 8 ай бұрын
Hawa tatizo wanaajiri watoto wenu vyeti hawana huna lolote wewe Mkuu wa Wilaya Wewe mwenyewe hufanyi uadilifu
@khamisijuma4842
@khamisijuma4842 5 жыл бұрын
Tatizo wazanzibari tunafanya mabo kwa muhali maana ktk hospital yetu kuuu unapo kwenda usiku Mara unaambiwa daktari ametoka
@salummbaruok9408
@salummbaruok9408 5 жыл бұрын
Humo kwenye nyumba huduma muhimu zipo lkn? Isijekuwa choo kibovu, maji hamna, n.k
@fifo262
@fifo262 5 жыл бұрын
Muongeze kuwaajiri watu wapooo
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 5 жыл бұрын
👀
@kibojewee2710
@kibojewee2710 5 жыл бұрын
Niuzieni mimi hiyo hospitali
@zayyatiyussuf9566
@zayyatiyussuf9566 5 жыл бұрын
Naomba uniajili naahadi nitakua 💪
@jumamwadhini6066
@jumamwadhini6066 5 жыл бұрын
kwani dokta wahicho kitengo yupo peke yake
@ibrahimmpemba8779
@ibrahimmpemba8779 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 viongozi wetu hawa eeeeh. Sasa masaa ya kazi ya daktari yakoje? Mkuu wa Wilaya au mkuu wa vilaza?
@hamudseif
@hamudseif 5 жыл бұрын
Siasa nyingi, ajir madaktari ww wachen siasa
@ismailjuma3692
@ismailjuma3692 5 жыл бұрын
Ajirini wengine basiii
@مريمسالم-ب2ج
@مريمسالم-ب2ج 5 жыл бұрын
Muda wa kura umefika sheria na huruma kwan serekali imeaji daktar mmoja tu musiwe wachoyo wa fadhila kosa dogo tu habar mitandaon
@adillhabib2006
@adillhabib2006 5 жыл бұрын
Msiyatumie madaraka kimabavu
@riphatmuhene9615
@riphatmuhene9615 5 жыл бұрын
Ovyoooo
@ibrahimame9805
@ibrahimame9805 8 ай бұрын
Daftari l a Kudumu twalinunua mamilion daktari mahospitalin i hamna miaka 60 mapinduziiiiii hahahaaa
@salumal-shaib5980
@salumal-shaib5980 5 жыл бұрын
Mwambie tu huna kazi kuanzia Leo na sio aandike barua
@MohamedMohamed-fz5qh
@MohamedMohamed-fz5qh 5 жыл бұрын
Hawezi kumwambia kwa sababu anajua huwezi kumpanga mfanyakazi mmoja katika vituo viwili (kisheria).
@nureyna629
@nureyna629 5 жыл бұрын
Apo cha kufanyika ni kuweka mazingira Sawa hapo anapoishi Daktari atakaa tu, lkn km mazingira hayo binafc sikai, chwaka huko heeeeh,
@umiy1971
@umiy1971 5 жыл бұрын
kila anaeongelea uzalendo hapa basi aujue na maana , nyie mshawahi kuuguliwa na familia ikawa huna muuguzi karibu ? au kwa kuwa hayajawafika ? ushawahi kupoteza mpendwa wako kwa uzembe wa dakitari kutokuwa kazini ? ukipewa jukumu aidha likatae kuwa huliwezi au litekeleze ipasavyo , mna maana gani mkisema ana familia yake atalalaje mbali ?? kwani wale alopangiwa kuwahudumia sio binaadamu ?? si analipwa ? na kama kulikuwa na malalamiko si ayapeleke kunako husika ??
@zayyatiyussuf9566
@zayyatiyussuf9566 5 жыл бұрын
Hospital manug'uniko police na hao popo bawa viringo majini wabakaji manug'uniko kilakitu👎😠👉😂😂😂😂yatatibiwa mavi ya mbuzi.Watumbue majipu yaki toka damu usaha alimradi yasha tumbuliwa👌
@adillhabib2006
@adillhabib2006 5 жыл бұрын
Munaachisha kaz wasomi
@bindawood978
@bindawood978 5 жыл бұрын
Ugatuzi,changamoto na majensi kiswahili chei chei.
@manyotaskipper5765
@manyotaskipper5765 5 жыл бұрын
Ktv mtafuten MALIIM SEIF SHARIF HAMAD MUMUHOJI LINI ANAAPISHWA MIAKA INAKATIKA KIJAMBO CHETU VIPI
@JannatJannat-s6j
@JannatJannat-s6j Ай бұрын
Sasa uzalendo wa kufanya kazi vituo. Viwili. Dotka Hana makosa. Muajiri watu. Wawe dota
@mariamdjae9825
@mariamdjae9825 5 жыл бұрын
Huwo ni unyanyasaji kwa raiya, halafu wasingiziw serikali na imewaajiri na wanalipwa mshahara kamili kwa mujibu kwa mujibu wanavyotakikana wafanye kazi, ukichunguza muhishimiwa wanafanya kazi kwenye private. Sasa serikali ichukue hatua kwenye private hospital lazima wajue list za madakrari na nursy wanofanya kazi dipo mtapowapata wote wanao dhalilisha wagonjwa, pia hospital wizara ya afya lazima wawawekee madaktari kusayni time shift kwa kila kituo anacho ingia na kutoka sio wakilipwa pesa za bure na hawatoi huduma kwa raiya. Serikali haitoshindwa kuwekwa computer kwa kila kituo kwa ajili ya hao madakrari na wafanyakazi kusayni wananapoingia na kutoka.
@MohamedMohamed-fz5qh
@MohamedMohamed-fz5qh 5 жыл бұрын
Wewe huyajui, wanafunzi tu wanaotakiwa kufundishwa kwa hizo computer basi unapita skuli hamna hata computer moja.
@mtumwasamaki6911
@mtumwasamaki6911 5 жыл бұрын
Ali Issa nyumba zipo kwani wamekatazwa kuishi na familia zao ? Kama hawakukatazwa muhimu walale kwa kuhudumia wananchi
@princeganji2779
@princeganji2779 5 жыл бұрын
Wagonjwa kweli nyie
@jumailyass9308
@jumailyass9308 5 жыл бұрын
Ongezeni maslah na sio kuwadhalilisha mtu mmoja hawezi kufanya kazi 24hrs,ktk dunia hiii hakuna inchi inafanya hivyo mnatudhalilisha kwa kuwa hatuna pakwenda, kirahisi tu tuache kazi sidhani Kama Dr shein kawaagiza kufanya hivyo
@khamisbakar7637
@khamisbakar7637 5 жыл бұрын
umempiga chura teke kwa mshahara gani si bora ukauze dagaa hupangiwi mda
@ahmadashaury6782
@ahmadashaury6782 5 жыл бұрын
Xx kimtizamo doctor yupo sehemu 2 jmn uyo mtu atafany nn jmn
@ahmadrashid815
@ahmadrashid815 5 жыл бұрын
Wanasiasa huu wanaoufanya kwa watoa tiba wetu ni uhuni kabisa huwez kumpa daktar vituo viwili halaf unataka apige kazi masaa 24 Tuache siasa kwenye taaluma tusizozijua Tuache wenye taaluma wafanye kazi kwa taaluma zai na sio kwa matashi ya wanasiasa
@ahmadrashid815
@ahmadrashid815 5 жыл бұрын
Mkuu on call unaijua kwel au unatamka tuu 🤤🤤🤤 nyumba tupu haikai mtu 🤤🤤🤤🤤 On call mnawalipa allowance zao ????
@hbomy974
@hbomy974 5 жыл бұрын
Langu jicho to
@rasanxavi6899
@rasanxavi6899 5 жыл бұрын
Ujinga tuu, hizo zinazoongelewa zote ni Pumba tuu.... Wamekaa kama hawana akilj
TAZAMA KIAMA KILICHOWAKUTA WAUZA GONGO ZANZIBAR
6:43
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 6 М.
НИКИТА ПОДСТАВИЛ ДЖОНИ 😡
01:00
HOOOTDOGS
Рет қаралды 3 МЛН
Will A Basketball Boat Hold My Weight?
00:30
MrBeast
Рет қаралды 123 МЛН
Try Not To Laugh 😅 the Best of BoxtoxTv 👌
00:18
boxtoxtv
Рет қаралды 6 МЛН
Não sabe esconder Comida
00:20
DUDU e CAROL
Рет қаралды 55 МЛН
HII NDIO SIRI YA UTUKUFU WA MPEMBA
14:30
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 9 М.
SIMANZI NA MAJOZNI KHUTBA YA BABU DUNI
15:30
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 50 М.
The Story Book : Mizimu Ndani Ya Pango La Ngonga Zanzibar
30:04
Wasafi Media
Рет қаралды 239 М.
НИКИТА ПОДСТАВИЛ ДЖОНИ 😡
01:00
HOOOTDOGS
Рет қаралды 3 МЛН