Asante kwa somo zuri sana ulilotupa. Mimi nina umri mkubwa 60yrs. Ningependa nije USA au Cansda lakini siyo mjini. Niwe nje ya mji nilime na kufuga nguruwe, ng'ombe na kuku naweza nikatoboa? Nitaanzaje nikifika huko.
@husseinkaoneka58348 ай бұрын
SUBIRI WATOTO WAKO WAKULEE TU
@suzanetilito8194 Жыл бұрын
Na wengi wetu sisi tunachangua kazi na hatuna kitu mimi mazeee kazi ni kazi ikiwa hiyo kazi halali nafanya bila noma ili mradi najua kuna kitu naingiza mfukoni mwangu aaah fresh
@yahayahanafi3234 Жыл бұрын
😅
@gabrielzakaria2810 Жыл бұрын
Nakwelewa
@haroubsons11 ай бұрын
shukuran kwa somo zuri mm nina ujuzi awa mapishia ya kitanzania je anwea kupata kazi hizo
@daudijoseph76294 ай бұрын
thanks kaka umenifanya nipate ham ya kwenda marekani
@wilsonlorry6948 Жыл бұрын
Kaka Nakukubali sana
@trueone_tz Жыл бұрын
asante kwa uchanuaji mwanakwetu
@jtheophil549910 ай бұрын
Unafanya jambo zuri sana sana.Lakini punguza kidogo kuongea .Nimesubiri mada adi nataka kusinzia jamani.Shauku kama yote.
@peterdeus60938 ай бұрын
Maelezo mengi saana bro, unachelewa kufikia point tuyohitaji kusikia
@user-fq4ys9ws7u Жыл бұрын
Kaz Kaz mm najipanga. Kwajili yakwenda. Kanada ninandoto yakupambana
@barakanyamafu59377 ай бұрын
MUNGU akubaliki sana
@SalamaJuma-mg3ru3 ай бұрын
Ahsante broo mm hata kuosha miguu wazungu niko tayari
@JohnSaully5 ай бұрын
Mi naitwa John sauly mr na niko Dar es salamu ndugu yangu ila kiukweli ninaham sana ya kufika marekani tena sana na sio kufika tu kwa kuinjoi hapana ila napenda nifike kwa aajili kuhaso ama kutafuta maisha kaka, ila kwa maelezo yako kaka nimekuelewa sana mkuu, ila mkuu nafikaje na wewe akupataje? Angalau tuongee mkuu
@enemtatuka5863 Жыл бұрын
Nakubar brother kaka
@ArrivalTv Жыл бұрын
+1682-368-9282 WhatsApp number
@rauhiarihani52216 ай бұрын
hi namba haipo whtsap
@cleanywilley69186 ай бұрын
❤❤❤❤
@luckysichone6705 Жыл бұрын
Naitaka hiyo kakaangu
@user-wz9kz1dp4l9 ай бұрын
dah mungu akuzidishie coz wew ni mzalendooo
@user-kf9uc4us3j9 ай бұрын
Mwanakwetu nimekuelewa vzr sana mm elimi yangu darasa la saba na Nina ndoto ya kuja marrkani na Nina pass port na kazi niliolenga ya kuwalea mabibi au walemavu na nikikosa ni saidia kubeba tofali je naomba utaratibu niwe na kias Gani na pesa ninayo maana Niko oman nafanya kazi za ndani nataka nijue maswala ya kufikia naomba nifafanulie nataka nije kupambana
@amoskagika88847 ай бұрын
Umeongea madini sana mkuu
@FlyingDoctor-cx9sj Жыл бұрын
Mwanakwetu naomba uniunganishe na mitandao ya kazi canada.Maganga DSM TZ
@johnmwenda7422 Жыл бұрын
Hello mwana kuetu kazi mzuli unayo ifanya
@yussufmohamed5120 Жыл бұрын
Nikweli kaka hasante kwaushali
@leticianamatovu-xj7bc6 ай бұрын
Hi mwana kwetu,mimi ninaitwa Leticia kutoka Uganda,niko na viza ya Australian lkn sina usaidizi sina connection kule nifanyeje kaka
@LucyNyambura-f3pАй бұрын
Kuna uapair
@LucyNyambura-f3pАй бұрын
Kuna aupair nitafutie wanangalia mweka
@shabaniMsonde Жыл бұрын
Gharama mpaka kufika America ni kiasi gani ? Toa video ukifafanua jambo hili from the scrach
@mbandularomanus77629 ай бұрын
Bro kuna mfumo unaweza ukaweka ili kuwasaidia wateja wako ambao wanafika america kwa mara ya kwanza na hawajui wapi pa kuanzia?
@abdallaseif2315 Жыл бұрын
Broo mimi heavy equipment operator
@FreeGod3688 ай бұрын
Trucking video create one
@AlfredAloyce-wh5nq8 ай бұрын
Mimi nataka kuwa muamiaji pia nikafanye maisha huku nidavue kidogo mkubwa
@LucyNyambura-f3pАй бұрын
Kuna aupair
@SalomeKhalfani-cm9xy10 ай бұрын
Naomba tuwasiliane
@HusseinChando-bp2pn5 ай бұрын
Mimi ni fundi welder napataje kazi nje?
@AlmHiba4 ай бұрын
Ufundi seremala inalipa?
@LucyNyambura-f3pАй бұрын
Kuna aupair nitafutie
@husseinkaoneka58348 ай бұрын
KAKA MIM FUNDI UMEME, KUCHOMEA MAGETI NA IT NA JIPSUM NAFUNGA NA NILISHAWAI KUW SAIDIA FUNDI KWNY KUJENGA MAJUMBA VIP HUKO KAZ SI NAPATA FRESH TU HIZI NILIZOTAJA
@hamidahnassoro-12 Жыл бұрын
Na sisi ambao hatuna elimu ,tunaweza pata kazi
@teresiamathias8636 Жыл бұрын
Mm ata ya kuosha vyombo maotelini inatosha kaka sibagui job
@tausimugisha6803 Жыл бұрын
Naomba no yako uwez kunielekeza vzri nahotaj kusafir
@nailaty Жыл бұрын
Tusio na uwezo wa garama za kufika marekan tunaishia kuskiliza tu 😥
@MAISHAYACROATIA Жыл бұрын
Ndio utabaki hvyo hvyo because umekata tamaa
@alijumamohamed Жыл бұрын
Hapa ndio point yangu ambayo nahitaji kujuwa,sasa nataka kuekeane appointment ili kwa ushauri zaidi cause nimeplain kufanya process za safari from January Mungu akipenda,sasa nataka tuekeane appointment ili unijuze nianzie wapi please
@alijumamohamed Жыл бұрын
Kwasababu on March Mungu akipenda nategemea nitakuwa Tanzania sasa nataka nikifika Tanzania niwe nishajuwa moja na process zangu nijuwe zinaenda vipi
@ghaosalsalum2 ай бұрын
Bro naomba niwasiliane na weee kuhusu visa private
@ArrivalTv2 ай бұрын
@@ghaosalsalum WhatsApp number +14253642418
@wilsonlorry6948 Жыл бұрын
Shoshana Africa inatawi Arusha?
@ArrivalTv Жыл бұрын
Haina ila mimi binafsi nitakuwepo Arusha kunzia j3 hii inayokuja
@HasanihashimZayumba7 ай бұрын
Naomb Kaz lkn nimeishia four jmn
@AlfredAloyce-wh5nq8 ай бұрын
Mimi mwanakwetu Sina elimu kubwa ila Nina experience ya kusavaivu
@thomasmwasongwe7790 Жыл бұрын
Kaka mm naweza kufanya kazi ngumu kama udereva wa magari madogo na makubwa naweza kufanya kazi garage naweza kazi hata saidia fundi naweza hata kiwandani mm naweza kupiga kazi kaka nisaidie tuwasiriane tujue unaweza nisaidia kaka .
@SamiaMgallah-vh4uh Жыл бұрын
Najua kusuka nafikaje uki
@mbarakally6419 Жыл бұрын
aka mm nataka unifanye mpango niende canada
@africangirls482 Жыл бұрын
Vipi ukiwa kama fundi bomba au umeme kwa huko kazi zinapatikana?
@ArrivalTv Жыл бұрын
Iko poa sana pia
@athumanizaidi85607 ай бұрын
Kaka mimi hata ya kupakata nyau nipo tayari (petty seater)
@lucasmgalula80222 ай бұрын
Heee Kuna kazi ya namna hiyo huko nje
@medytech9890 Жыл бұрын
#Site za kazi zenye sponsor marekani# ni zipi
@mukrimchum7453 Жыл бұрын
Mm nna ndoto ya kwenda canada ila daah naona nazidi kupoteza matumaini
@ArrivalTv Жыл бұрын
Kwa nini unapoteza matumaini ?
@akbarshabani56628 ай бұрын
Tusafirichesasa
@ibrackibrahim6909 Жыл бұрын
Tatizo lako unakuwaka n'a record vidéo ndefu
@ArrivalTv Жыл бұрын
Hahahah samahani sana nitakuwa naweka fupi ndugu yangu najua shida ni bado
@ibrackibrahim6909 Жыл бұрын
@@ArrivalTv sahii kabisa Kaka ila nataka unisaidie Namba Yako maana nisiku nyingi nakufatilia niko Tayari kwa sasa kupata muelekeho wakujuwa vipi tuhanze swala lenyewe.