Hizi ndizo MBINU hatari za KIJESHI zinazoifanya URUSI iizidi UKRAINE kwenye uwanja wa VITA

  Рет қаралды 37,694

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

19 күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 189
@AFRICA_D669
@AFRICA_D669 17 күн бұрын
Ukiwa katika kundi LA majasusi ukiingia tu KZbin lazima ukutane na habari za kiume kama hzi na uzifatilie kwa umakini zaidi gonga like Kama muafrica harisi ila kiroho tunaishi Europe
@HajiJuma-xw7vh
@HajiJuma-xw7vh 17 күн бұрын
Sawaaaaaa
@StephanoMoses
@StephanoMoses 17 күн бұрын
Uhakika👍
@AFRICA_D669
@AFRICA_D669 16 күн бұрын
@@StephanoMoses nakubal
@AFRICA_D669
@AFRICA_D669 16 күн бұрын
@@HajiJuma-xw7vh kubal
@chachamturi259
@chachamturi259 16 күн бұрын
Hakakakitu kanatwanga
@hazygardmericho9571
@hazygardmericho9571 17 күн бұрын
Niga ur the best,, kuna mchambuzi m1 awezi kuonesha hata chembe ya zuri mnja kutoka magharibi (HADI UKIMSIKILIZA UNAGUNDUA ANA HISIA ZA CHUKI)
@PatrickKagiraneza-ok8cw
@PatrickKagiraneza-ok8cw 17 күн бұрын
Good technique kwa urusi...
@davidandrew6332
@davidandrew6332 17 күн бұрын
Huyu ndiye mchambuzi Wangu Bora (Ally) hapa Sns, Hasa napenda Sana beto yake na Kipara (Djsma) Amazing Sana.
@hazygardmericho9571
@hazygardmericho9571 17 күн бұрын
Mwenzake sma ni kuwapondea tu magharib yani hana jipya,,😅nauko kwenye komenti wasilamu wanavomjaza kichwa bas ndio doh,!
@AliMwingwa
@AliMwingwa 17 күн бұрын
Safi sana nakuku bari katika teknology upo good
@paschalfausitine7108
@paschalfausitine7108 17 күн бұрын
Mungu wabariki warusi, wapate ushindi, huko , Ukraine, Viva Russia
@CharafimalisalimoAli-qw3hk
@CharafimalisalimoAli-qw3hk 17 күн бұрын
AMIINA . ILI TUPATE AMANI DUNIANI. MAANA WAHUNI WANAKOMA😂
@selemancokker4994
@selemancokker4994 17 күн бұрын
🙏🙏🙏
@claudinyandwi9481
@claudinyandwi9481 15 күн бұрын
Amina
@brianbaltazar6198
@brianbaltazar6198 16 күн бұрын
Uchambuzi mzuri sana kaka ally
@AbdillahRashidi
@AbdillahRashidi 17 күн бұрын
Ni Vigumu kuzizuia glide bombs au kuzitungua ndege ambazo zimebeba glide bombs(esp.SU 57) kwa Ukraine ,kwa sababu Glide Bombs zinazotumiwa na Russia zina "Flight control Surfaces" yani zinaweza kujiongoza/kuongozwa kwenda kwenye Target husika ,nje ya mpaka wa mfumo wa kujilinda wa anga yani " beyond air defence interception zone" hivo ile ndege na Pilot wote wanakuwa salama....
@pascalmanyama2304
@pascalmanyama2304 17 күн бұрын
uko sahihis
@user-cx9lt8hh4l
@user-cx9lt8hh4l 17 күн бұрын
🫡👆🏻
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 17 күн бұрын
Kama unawafagilia marekani Israel Ukraine juwa ww ni choko
@ManusuraWalumona
@ManusuraWalumona 16 күн бұрын
Habari zenu hua zimehitimu chuo kikuu hivyo sio habari tu bali ni masomo tunafaidika mno!!ahsanteni
@dominicksangu8934
@dominicksangu8934 17 күн бұрын
Tunakushukuru kwa kutu fafanulia vizur mtangazaji
@franksimonngole8481
@franksimonngole8481 17 күн бұрын
Juzi nimeona Zelensky anawaalika Urusi kwenye Peace list.
@abdullahnassor9433
@abdullahnassor9433 17 күн бұрын
Mabomu ya kuteleza, kwa nini inaitwa glide, kwa sababu imetolewa umbali wa kilomita 60 kutoka mahali pa kushambulia kwa hivyo haiwezekani kuangusha ndege. Mabomu ya kuteleza Urusi inatumia aina mbili za fab family na odab family Kwa kutumia satelaiti ya glonus Thermobaric Wanatumia TOS family ambayo inatumia hit to the degrees of sun .. wanaiita familia ya warusha moto (flame throwers )
@issakhamis9581
@issakhamis9581 17 күн бұрын
Shukran kamanda kwauchambuz
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 17 күн бұрын
FAB 3000 ni hatari mbaya mbovu.
@AbdillahRashidi
@AbdillahRashidi 17 күн бұрын
SNS NAOMBENI NA MIMI NAFASI SIKU MOJA NIJE NICHAMBUE MADA INAYOHUSU VITA YA RUSSIA NA UKRAINE AU VITA YA ISRAEL NA HAMAS,AU MAMBO YOYOTE YA DIPLOMACY NAJIAMINI KATIKA SEKTA HIYO NIKO VIZURI ,NAOMBENI NAFASI WALAU MARA MOJA TU NIONESHE KIPAJI NILICHONACHO
@ommymehmed8880
@ommymehmed8880 17 күн бұрын
Kaka nmekulewa nmeona umechambua vizr kwenye comment yako apo juu
@AbdillahRashidi
@AbdillahRashidi 17 күн бұрын
@@ommymehmed8880 pamoja kaka
@PUTINN365
@PUTINN365 17 күн бұрын
Asante mchambuzi
@christiankambuga9338
@christiankambuga9338 Күн бұрын
Safi karibu south afrca
@mozamoza3960
@mozamoza3960 17 күн бұрын
Hizi siku hamu ingeleyi mambo ya Gaza au mlikatazwa jaman tuna itaji kujua maendeleo huko
@muhammadmbaraka4515
@muhammadmbaraka4515 17 күн бұрын
FAB=Father of All bombs🔥🔥🔥
@RaymondPaul-bs7su
@RaymondPaul-bs7su 17 күн бұрын
Lipo la Marekani linaitwa MOAB kirefu chake ni Massive Ordinance Air Blast, Lakini watu wamelipa kirefu cha Mother Of All Booms.Sasa sijui lipi litakua na hatari zaidii kati ya FAB na MOAB mchambuzi atuambiee
@mustafamasudi8093
@mustafamasudi8093 17 күн бұрын
​@@RaymondPaul-bs7sukuna bomu linaitwa tsari la Urusi hilo likipigwa hakuna kinachobaki
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm 17 күн бұрын
Ra marekani liko vizuri​@@RaymondPaul-bs7su
@thelonewolf4429
@thelonewolf4429 17 күн бұрын
iizidi inchi za magaribi inchi Ukraine
@user-yl3be9ix4y
@user-yl3be9ix4y 17 күн бұрын
Kwanini urusi haijapiga mjimkuu wa ukren tupate ushindi haraka
@zawadimpayo3839
@zawadimpayo3839 17 күн бұрын
Vita siochakula🤣🤣🤣
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 17 күн бұрын
Kwasababu sio lengo la Russia
@EmanuelMinja-fv9dn
@EmanuelMinja-fv9dn 17 күн бұрын
Uraaaaaa
@jkifutu7936
@jkifutu7936 17 күн бұрын
Russia 🇷🇺 msulimoto daima
@Visionofeagle9689
@Visionofeagle9689 17 күн бұрын
Cheers 🥂
@YahayaDewa
@YahayaDewa 17 күн бұрын
Pamoja sana kwa uchambuzi mzuri
@selesjandwa412
@selesjandwa412 17 күн бұрын
Leo masud umetisha san
@gabrielgodwin7465
@gabrielgodwin7465 17 күн бұрын
Russia wameshindikana, ila natamani mje mchambue Electronic weapons zilizo tumiwa na Russia kule Syria
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 17 күн бұрын
❤❤❤❤
@franksimonngole8481
@franksimonngole8481 17 күн бұрын
Kuna FAB 3,000 Glide Bombs ni hatari sana.
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 17 күн бұрын
👊👍✌️.
@MohammedBwanga
@MohammedBwanga 17 күн бұрын
Glide bomb ni sawa Bomu linaloambaa lkn Pia linalosambaa
@HajiJuma-xw7vh
@HajiJuma-xw7vh 17 күн бұрын
Sawa
@user-pd5hl9di2q
@user-pd5hl9di2q 17 күн бұрын
Twaweza yaita mabomu vishada
@raphaelgeorge517
@raphaelgeorge517 17 күн бұрын
Ally Masubi is the best
@BlessMugisha-z4k
@BlessMugisha-z4k 17 күн бұрын
Ally unajua sikuhizi umeanza kua Sharp zaidi ya dj sma yani unajaribu kutupa kitu kila siku bila kupita mda mrefu sijui sma anachelewa wapi
@kevicristian2738
@kevicristian2738 17 күн бұрын
Yule fundi akitoa anatoa facts na logics😂
@kevicristian2738
@kevicristian2738 17 күн бұрын
Sema kijana muda huu ana improve sana✍️🙌
@AllyGibu-cz2vo
@AllyGibu-cz2vo 17 күн бұрын
Sema vingine anakosea kosea kusema km 12,000 badala ya mita 12,000
@Gulfnas1
@Gulfnas1 17 күн бұрын
Nadhan sky ndie huwa anachagua nani atupe updates, sma hata Henry wapo on-time vile vile
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 17 күн бұрын
Nadhani ally atakuwa na kigugumizi hivo tusimlaumu sana, anajua na kujitahid pia
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m 17 күн бұрын
Ali masubi umri mdogo nondo kama zote🔨
@Ally-qi7xo
@Ally-qi7xo 17 күн бұрын
🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇧🇮❤️
@samuelpolepoleruhegeza8139
@samuelpolepoleruhegeza8139 17 күн бұрын
Hoooraaaaaa y
@rashadally6871
@rashadally6871 17 күн бұрын
Tunaweza kuyaita mabomu ya vishada
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 17 күн бұрын
Uraaaaa
@user-fx3sk9kh1s
@user-fx3sk9kh1s 15 күн бұрын
Aliy umesomea chuo Gani nakukubali sana
@user-fx3sk9kh1s
@user-fx3sk9kh1s 15 күн бұрын
Unatisha San aliy
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 12 күн бұрын
​@@user-fx3sk9kh1s ahsante sana boss wangu.
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk 17 күн бұрын
🇹🇿🇹🇿🇷🇺🇷🇺💯👏
@abubakariikumbo9721
@abubakariikumbo9721 17 күн бұрын
Yanaitwa mabomu ya kuteleza
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 17 күн бұрын
Putin kiboko ya mashoga
@yayananajota5838
@yayananajota5838 17 күн бұрын
Vita iendelee tuone Nani choko na Nani mwanaume, 👊
@nassorrashid2521
@nassorrashid2521 10 күн бұрын
mashoga wataisoma numbee
@user-nr2bz5pq4m
@user-nr2bz5pq4m 17 күн бұрын
Mabomu mtelezo
@brianbaltazar6198
@brianbaltazar6198 16 күн бұрын
Uraaaaaaaaaaa🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺
@hasanimkamba8377
@hasanimkamba8377 17 күн бұрын
wajisilimishe tu yaishe
@kidyybravo5267
@kidyybravo5267 17 күн бұрын
No GPS this week?
@user-wc3hn4kt1x
@user-wc3hn4kt1x 17 күн бұрын
Team Russia nasikiliza kwa makini
@JosephMbagala
@JosephMbagala 17 күн бұрын
Mikoa mingapi mrusi aimalize Ukraine
@CharafimalisalimoAli-qw3hk
@CharafimalisalimoAli-qw3hk 17 күн бұрын
WACHAPWE HAO WAHUNI AMBAO SASA HAWATAKIWI HATA NA WANANCHIWAAO😂
@vitusjackson1354
@vitusjackson1354 17 күн бұрын
Ingependeza kama ungekua unaweka na video ya lilipotua tuone
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm 17 күн бұрын
Hawana wanafiki tu hawa wachambuzi wa urusi
@AliKaroyo
@AliKaroyo 17 күн бұрын
​@@hamidamussa-sy4fm kma Ni Uwongo Toka Vita Iyanze Na Misaahada Ya Silaa Za America na Nato zimebadilishaa ninn kwenye Vita Hiii Ukitambua Ilo Wala Utashindana Na Urusi , Urusi Ndio Nchii Ya Kwanza Dunian Kwa kuongoza Kwa Uzalishaji Wa Silaha Kma Ujui😂😂😂😂
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 17 күн бұрын
URAAAAAAAAAAAAAA
@munezeroolivier411
@munezeroolivier411 17 күн бұрын
🇷🇺🇧🇮🙌
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm 17 күн бұрын
Ukleni akipewa mazito utasikia urusi anapiga kelele
@MwemajaphetyZackalia
@MwemajaphetyZackalia 17 күн бұрын
Piga upinde wa vua hao
@MassoudSalim
@MassoudSalim 16 күн бұрын
Pigilia mbali UKRAIN na FAB mpaka wakome.
@luqmanrajab952
@luqmanrajab952 17 күн бұрын
Tuko pamoja
@Abdull-AzizKhamis
@Abdull-AzizKhamis 17 күн бұрын
Mabomunya kuteleza
@MAHAN-SMART
@MAHAN-SMART 17 күн бұрын
Keep going Russia you will win
@chachamturi259
@chachamturi259 16 күн бұрын
Oya wee achabana aka kakitu natwanga
@peaceconsltd6914
@peaceconsltd6914 16 күн бұрын
Niunge
@ramadhankilango9088
@ramadhankilango9088 16 күн бұрын
Hujafafanua vya kutosha hiyo ya kuunguza ardhi
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 16 күн бұрын
Next time inshaalah.
@Mjukuuu
@Mjukuuu 15 күн бұрын
fab3,000 ya madhara ya circle radius ya 200km unaijua kweli Mkuu?.. daaaaah😅
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 12 күн бұрын
2km perimeter.
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 12 күн бұрын
Umechanganya km 200 kwani imekuwa nuclear hyo..?. Ni km 2 za madhara.
@hemedykuziwa1227
@hemedykuziwa1227 17 күн бұрын
Putin🔥🔥🔥🔥
@pascalmanyama2304
@pascalmanyama2304 17 күн бұрын
Bomu mtelezo
@Gulfnas1
@Gulfnas1 17 күн бұрын
Keep it up Russia 🇷🇺
@samuelpolepoleruhegeza8139
@samuelpolepoleruhegeza8139 17 күн бұрын
Sasa uyu zelesky anaumwa kishwa kabisa kwani yeye anaona atafanyikiwa kwa vita ya kutemeya mwenziye 😂😂😂😂
@AllyGibu-cz2vo
@AllyGibu-cz2vo 17 күн бұрын
Sio km 12,000 Bali ni mita 12,000
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 17 күн бұрын
Tongue slip
@josepheriah5977
@josepheriah5977 17 күн бұрын
Ukraine Ana himars
@Mumewangu
@Mumewangu 17 күн бұрын
Na ushoga pia anao
@franksimonngole8481
@franksimonngole8481 17 күн бұрын
Himars zinawindwa na Lancet Drones.
@pauleranga2621
@pauleranga2621 12 күн бұрын
Kwa nini Ukraine iharibiwe kwa faida ya wanachama wa Nato? Mungu apishe mbali Vita vya tatu vya Dunia. kwa maoni yangu tuko karibu yake. Je tunataka kuishi au kuangamia? wakati wa kuchukua hatua ndiyo sasa. Bravo Putin hata Mungu yuko pamoja na wewe.
@JumaNjiku-df1fd
@JumaNjiku-df1fd 17 күн бұрын
Chonde chode Zelensky! Unaimaliza Ukraine!. Kubali matakwa ya Putin. Mkono usioweza kuukata ulambe! US na UK wanakudanganya!
@muhammadmbaraka4515
@muhammadmbaraka4515 17 күн бұрын
Ila hawa warusi watengwe🙌🔥🔥🔥
@user-do2id6pp4g
@user-do2id6pp4g 17 күн бұрын
Ili iweje wewe yaani we ni mtu magharibi sio
@HamzaMbasha-xs2ky
@HamzaMbasha-xs2ky 17 күн бұрын
Kweli tumedanganywa sana marekani ndoo ilikuwa inaonekana ina jeshi kali sana kumbe ndoo yale yale ya israel mikwara mingi vitendo sifuri.... Leo ukraine imepewa kila kitu na wanajeshi wa magharibi wote wapo ukraine lakini kibano ni kile kile... Israel nao wanapigana na kikundi miezi yote hiyo wameshindwa kukomboa mateka wanaishia kuua wamama na watoto wadogo..
@AbdillahRashidi
@AbdillahRashidi 17 күн бұрын
Kuzidungua ndege za Russia(SU-57) ambazo zimebeba Glide Bombs ni ngumu kwa sababu Zenyewe zinadondosha hizo bombs nje ya mpaka wa Ulinzi wa nga(beyond air defence interception) ni ngumu kwa mifumo ya anga ya Ukraine kujilinda na Hizo Glide Bombs, Na hii Tactic ndo imempa Russia hizi siku za Karibuni hapa maeneo mengi ya Ukraine
@hemedykuziwa1227
@hemedykuziwa1227 17 күн бұрын
🇷🇺
@amonezekiel4893
@amonezekiel4893 17 күн бұрын
Sasa kama ameona ni hatari, anasubilia nn,
@uwimana6533
@uwimana6533 17 күн бұрын
Tatizo lugha ningumu kuelewa 😂😂
@selemaniayubu115
@selemaniayubu115 17 күн бұрын
Zelensky ameuwasha moto kwenye nyumba yake sasa unamshinda kuuzima na wasaidizi wake amewaponza viti vyao vinawaka moto vile vile sijui itakuaje,na jamaa anamdunda kimya kimya,aliambiwa kasikia lakini kapuuza kwa maelekezo ya wapambe mtihani mkubwa anao jamaa labda aombe poo na kujitoa kimasomaso😂😂😂
@user-cx9lt8hh4l
@user-cx9lt8hh4l 17 күн бұрын
Uraaaaaaaa🫡🇷🇺
@iddkaoneka7485
@iddkaoneka7485 17 күн бұрын
Hapa Ali umepiga nondo kali sana.
@josepheriah5977
@josepheriah5977 17 күн бұрын
Asante ukrane kwa kulipua meli ya urus
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 17 күн бұрын
Sasa mbona unalia😂😂😂😂
@baharanimasoud
@baharanimasoud 17 күн бұрын
Unawashabikia mashoga wenzio
@GraceMashinga-be9wb
@GraceMashinga-be9wb 17 күн бұрын
Team mashoga njoo mmuone mwenzenu
@yanja69
@yanja69 17 күн бұрын
Unatesekaa ukiwa wapii😅😅😅😅😂
@PAULNYANDILE
@PAULNYANDILE 17 күн бұрын
jinga lingine hili hapa😂😂
@YothamAlex
@YothamAlex 17 күн бұрын
Nimeskia kuna FAB 9000 inaandaliwa,ni huzuni kwa wanajeshi wa ukrain
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 17 күн бұрын
😮
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 17 күн бұрын
Hiyo bado
@AliKaroyo
@AliKaroyo 17 күн бұрын
FAB 9000 Maana Yake ni Nin #YothamAlex
@YothamAlex
@YothamAlex 12 күн бұрын
@@AliKaroyo bomb la kilo 9000
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm 17 күн бұрын
Wote wanazo na pesa wanazo wewe utaona tu
@josepheriah5977
@josepheriah5977 17 күн бұрын
Ukrane katungua ndege ya urus yalipuliwa mig 34
@Mumewangu
@Mumewangu 17 күн бұрын
Lini hiyo
@PAULNYANDILE
@PAULNYANDILE 17 күн бұрын
mbona unatufosi kukusikiliza😂😂😂 mbwa wewe
@josepheriah5977
@josepheriah5977 17 күн бұрын
Ukrane kalipua visima viwil vya mafuta vy urus
@nizarrama225
@nizarrama225 17 күн бұрын
siyo Ukraine wewe mbumbumbu, ni Marekani na NATO yake, Ukraine haina jeshi
@user-oh8ig2cy9q
@user-oh8ig2cy9q 17 күн бұрын
Hamna mbinu yakijeshi ambayo wewe utaijua
@mustwafathabiti2978
@mustwafathabiti2978 17 күн бұрын
Mpingaji
@josepheriah5977
@josepheriah5977 17 күн бұрын
Krasnoda yashambuliwa na ukrane
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 17 күн бұрын
Propaganda ambayo haina kichwa wala miguu ,tunajua kichapo wanachopata Ukraine 🇺🇦 .Ruksa kujifariji😂😂
@Mumewangu
@Mumewangu 17 күн бұрын
Ushoga unakuhangaisha
@PAULNYANDILE
@PAULNYANDILE 17 күн бұрын
😂😂😂😂we jamaa ukapimwe akili na malinda
@magrethmagonza186
@magrethmagonza186 17 күн бұрын
Wewe kwanini Urusi kila siku ndio ina sifa nzuri uliwahi kusikia wapi. Lazima na yeye ana disadvantage zake wewe ni shabiki . Sometimes unafa usifu Ukraine nchi ndogo kupambana na nchi kubwa km hiyo ambayo ilisema itaipiga Ukraine kwa siku 3 leo tuna zungumza mwaka wa 2. So acha hizo lie
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m 17 күн бұрын
Nadhan umeanza kufuatilia vita hii siku za karibuni na kama unafuatilia basi huwa una base na media za magaribi
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 17 күн бұрын
Ww utakuwa choko
@josepheriah5977
@josepheriah5977 17 күн бұрын
Ukraine Ana attacks storm shadow
@abdullahnassor9433
@abdullahnassor9433 17 күн бұрын
Ali masudi stop lazy analysis, the style of battle is using know one knows, Lakini ina hitimisho kwamba Urusi inawapa ukraine vita ya uasi ..Urusi imeweka nguvu kubwa ikiwa NATO itajiunga na vita.. kwa sasa mbinu yao ni polepole lakini thabiti. Chaso vyar bado haijazingirwa, lakini ilikuwa ngome zaidi ya miaka 12 iliyopita ambayo inamaanisha ikiwa itachukuliwa Kirusi itasonga kabisa kwani chasoviyar ndio tofauti pekee iliyobaki. Ili kudhoofisha chaso vyar Urusi ilitumia misheni ya bomba kama walivyotumia kwenye soleda Urusi inatumia wanajeshi 17 hadi 20 na 2 kwa recon Ukraine ina wanajeshi wengi 5 sasa wananyakua watu kutoka mijini.
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 16 күн бұрын
Asante mchambuzi mkubwa.
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 16 күн бұрын
U are the who don't know the battle style but we do.
@martinisadru9899
@martinisadru9899 17 күн бұрын
Bado mzee putini ana hangaika na ka inchi ka Ukraine? Miaka 2 sasa.
@Mumewangu
@Mumewangu 17 күн бұрын
Urusi anapigana na NATO kwa mgongo wa ukrein
@MAHAN-SMART
@MAHAN-SMART 17 күн бұрын
Na mashoga wenzako wa Israel wamehangaika na Gaza kwa mda gani
@bonifacesembuche2295
@bonifacesembuche2295 17 күн бұрын
Lengo la PUTIIN Ni kuua uchumi WA nchi za magharibi na Marekani,sio kuwa haiwezi kupiga Ukraine Kwa MDA mfupi ,anao uwezo ila lazima waisome Namba Uraaaaaa
@suleymuntar3544
@suleymuntar3544 17 күн бұрын
Sawa sns ni timu urusi bbc pia uangalii wanavyojitia madeni wenzako kwa kumsaidia ukraine karibia inchi 20
@SaidKawela-qy5wv
@SaidKawela-qy5wv 17 күн бұрын
Hujui kinachoendelea
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm 17 күн бұрын
Urusi ni watu kama sisi subiri mfalasa aingie ukleeni inchi ndogo sana
@josepheriah5977
@josepheriah5977 17 күн бұрын
Ukrane ya shambling mij miwili ya urusi krasnoda na rostov
@josepheriah5977
@josepheriah5977 17 күн бұрын
Urusi yaa shambuliwa mji wa voronezy kambi za slaa kalipuliwa zote ongera ukrane
@Mumewangu
@Mumewangu 17 күн бұрын
Ushoga unakutesa
@PAULNYANDILE
@PAULNYANDILE 17 күн бұрын
😂😂😂jamaa haujawahi kuwa na akili tangia shuleni
@mustafamasudi8093
@mustafamasudi8093 17 күн бұрын
Kwan huna kaz ya kufanya mbona unakoment mara 100 halafu wenzako wanakoment mara moja tu
@josepheriah5977
@josepheriah5977 17 күн бұрын
Ukrane babalao
@Mumewangu
@Mumewangu 17 күн бұрын
Baba yako wewe aliemtomba mama yako
@user-rt1wf6se5f
@user-rt1wf6se5f 17 күн бұрын
😂😂 unajipa habar
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 17 күн бұрын
Ukraine shoga lao
@josepheriah5977
@josepheriah5977 17 күн бұрын
Ukraine kayatungua mskombora
@mustwafathabiti2978
@mustwafathabiti2978 17 күн бұрын
Pole hujielewi pungawew
@michaelphares9411
@michaelphares9411 17 күн бұрын
Wa pili Leo nipeni like
@josepheriah5977
@josepheriah5977 17 күн бұрын
Putin afe
@Mumewangu
@Mumewangu 17 күн бұрын
Utakufa wewe na wazee wako shoga
@paschalfausitine7108
@paschalfausitine7108 17 күн бұрын
Hata mama yako shoga atakufa tyu
@paschalfausitine7108
@paschalfausitine7108 17 күн бұрын
Hata babako. Shoga atakufa tyu
@Mumewangu
@Mumewangu 17 күн бұрын
@@paschalfausitine7108 mwanamke hawi ushoga wewe! Lakin akili zenu wewe na mashoga wenzako ndio zinakufanye useme mwanamke shpga . kumamayo na familia yenu na ukoo wenu na kabila lenu LA kishoga kumamazenu
@PAULNYANDILE
@PAULNYANDILE 17 күн бұрын
😂😂😂na hii Tena, kweli wazazi wako wamepata hasara
Женская драка в Кызылорде
00:53
AIRAN
Рет қаралды 353 М.
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН
One moment can change your life ✨🔄
00:32
A4
Рет қаралды 33 МЛН
Каха и суп
00:39
К-Media
Рет қаралды 6 МЛН
How to Defend Against the Mongols
2:33:10
Kings and Generals
Рет қаралды 338 М.
БМВ i4
0:29
Vladione
Рет қаралды 1,6 МЛН
PRADO 250 - классная машина!
0:28
Тарасов Auto
Рет қаралды 2,2 МЛН
Какая машина у Мистера Биста 🤣
0:31
Авто.Бот
Рет қаралды 2 МЛН
КИТАЙСКИЙ АВТО
0:19
Films
Рет қаралды 1,4 МЛН
New tfc sports car yellow colour kardya
0:27
Ruhul Shorts
Рет қаралды 2,8 МЛН
Наткнулся на заброшенный гараж🤨
0:36