Leo ndio nimekuelewa. Fanya haya kwa masilahi ya watu wajue. Marekani ni ni hovyo sana. Tena Putin anawajua marekani kuliko yoyote.. TANGU 1997. Na 2002 . Walijitoa kwa kujua. Mimi ni mfuatliaji sana. Asanteee asanteee Paul Dotto
@BUSHASHASWITCHАй бұрын
🇧🇮🇧🇮kutoka BURUNDI BWACU tuko pamoja Sana 5/5 next join dote 🙏🏾🙏🏾💥💥💥🥰🥰💯🇧🇮
@RamadhanpMwakilasa-di5hcАй бұрын
Leo nimechewa kidogo dj smaa mwaga maji like za kutosha jamn
@braystuskibassa3842Ай бұрын
Dj Sma ametufumbua macho👏👏👏👏🇷🇺🇷🇺🇹🇿🇹🇿🙏💪🔥👍
@user-pt8wo4ss2pАй бұрын
Safi sana dj sma tunakuelewa vizuli natoka mwanza
@matanohassan9667Ай бұрын
Dj sm uko juu kinoma sa hii mtu akiongea siasa za west akijichora full kumueka sawa💪💪💪💪🇸🇦💖💖💖
@user-zj7tt5gv8yАй бұрын
Nasikiliza kutoka Mexico hata huku wanawachukia sana marekani
@kherisalum6304Ай бұрын
Kutoka Sumbawanga-Rukwa tunakupa vyema ❤❤❤❤
@JamaliUssene-di1qmАй бұрын
Naskiliza kutoka moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 nakubali kk unatu temea madini asante kk nashkula
@suleymuntar3544Ай бұрын
Aise nmefurahi sana maana nilikuwa napenda sana geopolitics lakin alikuwa hamna mtu anaweza kuchambua kiundan kwa lugha adhimu ya kiswahili
@kdloon2030Ай бұрын
Ruto ana muda mchache madarakani,ila tayari kaisha isaliti East Africa na Africa nzima kwa ujumla!Naimani ya kua USA,wanataka kuweka kambi kenya,ili wammalize Museveni.Tumuombe uhai,ila muda utadhihiri ukweli
@alphadreammediaАй бұрын
Ruto hafai kabisa
@abdinoorkamau9745Ай бұрын
Loud and clear from Nairobi Kenya 🇰🇪 May Allah akuhifadhi inshaAllah..
@aishaarusha894Ай бұрын
Amin inshallah kwa sote
@sirangoclassic9555Ай бұрын
Love from Mozambique 🇲🇿
@gracemkami1343Ай бұрын
R.i.p JPM
@saidsalum347529 күн бұрын
R i p 😢
@UFC_HIGHLIGHT123Ай бұрын
Loud and clear from USA ..nakupata vizuri kaka..🤜🤛
@samwelshepa8443Ай бұрын
Nahisi hata hapa kwetu hawa CIA walitumika. Maana hata kabla ya uchaguzi wetu wa mwaka 2020-2025 Marekani walikuwa na mshawasha sana na mwenendo wa utawala na Viongozi wetu. Nakumbuka hata vita ya mashoga ilipoanzishwa Viongozi wetu walizuiwa kwenda Marekani na baada ya kifo cha yule mzee waksema waliwazuia kwenda Marekani kwa kosa la kupinga biashara za corona.
@gracemkami1343Ай бұрын
R.i.p jpm✌️✌️
@rayyanothumanmohammed826125 күн бұрын
Naona JPM wamemuuwa Hawa wazungu
@dominic4727Ай бұрын
Djsmaa Loong life.ukweli upo wazi hawa jamaa wa malengo baya sana.ila hivi karibuni vitimbi vyao vita Luka patupu
@hefsibahephzibahАй бұрын
Nakupata vyema Zambia hapa
@braystuskibassa3842Ай бұрын
Jeffrey Sachs ameongea mambo mengi saana japo katusaidia kujua mengi mno kuliko wengi tunavyojua😊
@MohamadHamza-hb2qvАй бұрын
Nawafatilia sana Wana sns kutoka Doha Qatar,tunaelimika
@vuaimakame300Ай бұрын
From zanzibar, hongera sana DJ SMA
@amirizedy8411Ай бұрын
Shukrani saasa dj sma nakusikiliza nikiwa south Africa cap town Allah akupe afya njema
@djsma255Ай бұрын
Amin atupe sote
@emanuelidamiani2943Ай бұрын
Kwa madini haya Dj sma inabidi upewe ulinzi.
@bomonda2622Ай бұрын
Dj sma never disappoint we are proud of wewe
@PatrickJulius-uy3ybАй бұрын
Asante sma napole sna bratha nahic upo uliponkuna AC lakin hicho kipala kitakuwa kime chemka 😂😂 good fuse good sns god bless dj sma..!
@IdrissMsakatiАй бұрын
Nakukubali sana Braza unajua kuchambua sana ,Allah akufanyie wepes kwenye mambo yako na akupe Maisha marefu na yenye mafanikio...by idriss msakanoti
@djsma255Ай бұрын
Amin kwa sote
@kiongadecoration7793Ай бұрын
Amiiiiin
@brianbaltazar6198Ай бұрын
Nimeipenda sana hii..@dj smaa na sky mpo vizuri sana..
@user-eg1ts2fu9zАй бұрын
nakubali sana na ww Dj sma. Ndio maana rais Emanuel macron aluenda ujeruman kumshawish mwenzake wa ujeruman kukubali kuingia Ukraine ila Kwa mgongo wa marekani
@MichaelAbby-dp4qzАй бұрын
#SMA for everybody 💥✌
@user-sv7uu3xw1rАй бұрын
🇲🇿🇲🇿🇲🇿 dj smaa unajuwa sana na kukubar I'm from Mozambique
@jaylousbenedictor8891Ай бұрын
Iringa Tz unatupa taarifa nzuri sana
@JamilaAlly-fw1ssАй бұрын
Nimemkumbuka jpm😥😥
@BillySmart-tk1wuАй бұрын
Hello brother DjSmaa tangu mwanzo wa FUSE mpaka leo naskiliza kutoka SOUTH AFRICA 🇿🇦🇿🇦🇿🇦
@fatmabukuku5384Ай бұрын
Hongera sana sns na dj smaa
@Gulfnas1Ай бұрын
Hi interview ni noma
@rogerslwitiko3915Ай бұрын
Dj Sma ni Mtu wa maana sana🎉🎉🎉🎉
@mussamkanga3329Ай бұрын
Salute dj sma
@tawaloharuna4885Ай бұрын
Thanks Dj smaa for good news .God bless you
@africanmandetraveler2847Ай бұрын
Dj Smaa ni mchambuzi mzuri na anajua kufanya research, Wahuni tu ndo hawawezi kumuelewa na kuna mijitu asili yao ni kupinga tu kila kitu hata yakipewa facts na sources za habari yenyewe yako tu uongo.
@khalfanmlala5093Ай бұрын
Asante sana dj smaa kwaelimu nzuri kutoka kigoma
@ngendakumanajeanmarrie7490Ай бұрын
Hata sisi burundi tuliendelea nashughuli zetu hatukufungia ndani
@salimfaraj5509Ай бұрын
Hawa jamaa ni mashetani wakubwa. Yani kuuwa kwao nijambo la kawaida . Mwenyeezi mungu awaangamize
@serianjamal8254Ай бұрын
Kama walivyomtoa (Hapa kazi tuu) RIP Mzee Magu🤔
@NOELKISONGAАй бұрын
Huwa nayaelewa sana madini yako dj Sumaa
@dominic4727Ай бұрын
Ukitaka kumuua paka mpe kina baya watu hawa Shangai kwanini kila jina baya mambo yote mabaya hupewa urusi haiwezekani ukiona mti unapigwa mawe ujue huo mti una matunda wakati wa na mshambulia gadafi tuta ambiwa kua gadafi ni dicteta fisadi mwishowe tuka gundua kua alikua ni mtu safi sana ila kwakua alikua tofauti na matakwa yao ila mwisho wa ubaya ume kalibia
@user-pb2zf7zj7kАй бұрын
Malawi
@jacksonjudicate9388Ай бұрын
DJ SMA UBARIKIWE SANA KWA KUFUNGUA MACHO
@kassimbayuu5217Ай бұрын
Ahsante sana sana aisee smaa ni professional katika uchambuzi. Kazi nzuri sana Ila nashangaa Kuna watu wagumu kuelewa sijui wanafanya makusudi an ndo wale wa kudandia gari kwa mbele. BLAZA NAOMBA USICHOKE KUTUPA MADINI HII NI SADAKA YENYE KUENDELEA, HEMU NIAMBIE KWA UCHAMBUZI KAMA HUU UTAUPATA WAPI KAMA SIO HAPA
@chancepascalkifula3970Ай бұрын
Nakubali bro kutoka congo uvira
@maneno-my4lu4dt8iАй бұрын
Ahsante sana kwa kutupa madini
@user-km4kb3xj3yАй бұрын
Safi cn Dj smaa
@muharramhamisi5140Ай бұрын
Facts na logic ,vit ni motooo madini adim sem uko vizur bro,,,tunkupt vizur from dom
@HorebuKasuku-zz8cjАй бұрын
Mim nitakubali kama hiyo CIA ina nguvu wamuondoe Putin kama walivyo fanya Lybia au Iraq ndo nitakubali Wana nguvu duuh wao wana nguvu, ulimwengu wa 1967 umepita kwa sasa nchii nyingi zina maendeleo ki jeshi na uwezo
@Danielgentil-pv5skАй бұрын
From DRC
@jembe34Ай бұрын
Nakukubali sana brother
@alphoncejohn6308Ай бұрын
Dj sma wewe ni perfect
@tibayawaafricaАй бұрын
Mungu awa bariki ndugu zangu kwa kazi munayo ya fanya
@Ali-kl4zcАй бұрын
Oman 🇴🇲 ❤
@fistonmakasi3803Ай бұрын
Kka nakibali logic na fact zako bro🎉❤❤❤
@hassanibanzi932226 күн бұрын
Shukran Dj smaa kwa chakula cha ubongo nafungua sana akili 🙏
@janmusquera28 күн бұрын
Hapa Kenya tunakuelewa vizuri ❤
@abdulismail6072Ай бұрын
Nakufatilia nikiwa dar mbagala
@felisteronesmo3091Ай бұрын
Wana Sns tunapaswa ku'overstand vitu kuwasaidia wenzetu waliopo kwenye understanding level . Mpaka Sasa najiuliza why now all these ? .. Dj siungi mkono hoja kua jamaa huyo ni suruhu ya changamoto zetu zakiuchumi no matter how sense he is .. suruhu ya changamoto zetu zakiuchumi ni sisi wenyewe zaidi zaidi tutaenda tafuta matatizo mengine tu ..
@djafro8729Ай бұрын
Ukitaka propaganda enda CNN na BBC lakini ukitaka ukweli kuhusu habari enda al Jazeera news
@farajiissa560Ай бұрын
Hata alijazeera si hii ya sasa alijazeera ambayo ilikua ya kwel ni ile enzi za sadamu si hawa walivyo vamia irak ndo wakaaanzisha yao iyo aljazeera
@saidabou6342Ай бұрын
Shukran smaa
@benmcdream2268Ай бұрын
Much love dj smaa
@Nyaki-rh5oiАй бұрын
Magufuli anendelee kupumzika kwa amani mzee wetu
@hamadiselemani8665Ай бұрын
safi sana
@kobajumakuziwa9976Ай бұрын
Hiyo picha ni ya Putin hapo ni msata kwenye kambi ya mafunzo alikaa Tanzania miaka 5 💯
@user-cn9cj8hc2q24 күн бұрын
From Zanzibar ....well presented...🙏
@zuberisalum2004Ай бұрын
Mungu atakuwa upande wa haki inshaalar
@hezekiamhapa7395Ай бұрын
Dj sma naukubali sana kazi yako Kuna siku ulichambua Albert Pike letter to mazzin ninakuomba uielezeee kwa undani maana kule ulisema unaweza kuichambua barua Ile kwa muda wa masaa matatu tuchambulie kwa undani natamani kujua ni namna Gani vita ya Tatu itakavyotokea
@djsma255Ай бұрын
Shida ni muda na mambo ni mengi ila natamani kuifanyia kazi kwa undani
@user-uo2gv5qs2xАй бұрын
DJ sma nakupata 100% ila nilikuwa Naomba hivi nikweli urusi kurudisha nyambizi za nyukliya Cuba lengo ninini
@STEVEN-f6gАй бұрын
This is more than mainstream media..
@quemakame-tu3hzАй бұрын
Hongera bro
@user-cf6qo9rs4fАй бұрын
Thanks dj smaa
@SAYMOEKARIMАй бұрын
Dj smaa #✊🏽
@andrewmwamwezi990Ай бұрын
Safi sana rip jpm
@dullahabdallah-nu1pyАй бұрын
Dj sma,umesha angalia the first omen.ushahidi wa mpinga christo
@braystuskibassa3842Ай бұрын
Haiti Kenya wanatumwa huko wanakwenda kupoteza jeshi lote na bado wanapeleka Yemen watapoteza kila kitu walishindwa Somalia wataweza Yemen😂😂😂
@emanuelidamiani2943Ай бұрын
Ila Mmarekani haweziingia peke ake kupigana na mrusi kwa sababu anajua jinsi uchumi wake utakavyoporomoka vibaya na hivyo kumfanya mchina pekee kuwa superpower pekee duniani. Kama ataingia basi atatumia mgongo wa NATO ili kupooza mporomoko wake wa kiuchumi. Ngoja tuone inavyonyesha.
@gabapentin8070Ай бұрын
Jpm ukute walipita nae 🤲🏽
@athumaniamani9905Ай бұрын
Kweny chanjo ya CORONA hapo sasa viongoz wetu wa Tanzania walitumia nguvu nying sana tena mpka kuwachukuwa wasanii ili wawe wamasishaj wakubwa sana wa chanjo hii wakat enzi za jpm alikataa kabsa.....je ww uliykubli why haukutenga muda wa kujiuliza kwa nini mwenzang alikataa......daah so sad
@mrfestomsyangi1305Ай бұрын
Jamaaa anaongea ukweli
@davidwalalason7630Ай бұрын
@dj sma tucker carlson has an interview with nayib bekele the elsavado president plz pitia hio interview
@AliOthuman-mo4efАй бұрын
Kaka nimekwelewa sana
@abdallahmwabungaleАй бұрын
Thank you Dj Sma
@heridunia28 күн бұрын
binadamu sisi kaka umeeleweka ❤
@lucasmartin431Ай бұрын
Proff anaongea kingereza kizuri sana
@user-rt1wf6se5fАй бұрын
DJ sma watakubar tu tupe habar simama na ukweli aiseeh
@GodenBMDanielАй бұрын
Pamoja sana
@MussaMtopelwa23 күн бұрын
Weeedj iiiii upovizuli tunaomba utueleze CIA inaiingozaje malekani
@merinyop7174Ай бұрын
Safi
@davidwalalason7630Ай бұрын
This has been so interesting for real❤
@hamisitsuma-rc2ejАй бұрын
Dj smaa hii story ya kuwa ni wachina ndo walitengeza kumbe ni uongo
@djsma255Ай бұрын
Ilitengenezwa USA alafu wakaihamishia wuhan Lab
@paschaljuma3312Ай бұрын
Sasa wewe nae unaamini mashoga wa marekani
@H2krexty2Sebastiao28 күн бұрын
Em Moçambique tipo na Samora 1presdente d Moçambique
@hassanpashuaАй бұрын
Hii nlikua naisubiri kama chai ya rangi😅
@yuahahmad6651Ай бұрын
Dj sma
@abdallahkhalfan3966Ай бұрын
D J. Smaa nakufuwatilia nikiwa kingdom of Saudi Arabia. Kila LA kheri kaka kwa madini yaliyo Shiba