Kama una moja ya tabia hizi ama zote basi hauna mwisho mzuri fanya ubadilike kabla haujachelewa. Please usiache ku Subscribe.
Пікірлер: 64
@josephmwita996Ай бұрын
imenisaidia sanaa
@mbekitv693Ай бұрын
@@josephmwita996 vizuri sn ndugu yangu
@DorethMselem2 ай бұрын
Dah asantee sana saaana tena saana tabia ya 5 ndo uzaifu wangu sio kwa mwanaume tu ndugu rafiki mtt yaan asikae mtu karibu na mimi namjali sana kama mtt umeniachia utakuta ameoga amekula kutoa sasa mama angu ameniambukiza sasa mi nimepitiliza sio chiz mimi najitosheleza lkn hee mpaka nimeamua kuwa na njia ya kuwaepuka watu wananipenda wananiita wananishirikisha lkn sasa mnhh toka alipofariki mama angu hamna hata rafiki alienisindikiza mkoan kama ambavyo nafanyaga kwa wenzangu et tutakuja kukuona ukikosa kuja msiban tuma hata buku itaingia kwenye uban wa kusoma dua itanunua hata kuni et tutakuja kukuona nyumban kisa tu unakaa sehem fulan inahadh fulan waje wakuhan au uchunguzi jaman dunia imeisha tujipende tu kwa kweli asante Mwalimu
@monicamwainunu7908Ай бұрын
Hivi unakielewa kinachozungumzwa hapa?
@LightnessMnyanga-uj4yxАй бұрын
Ila kiukweli umenifundishaaa , nimejifunza sana
@mbekitv693Ай бұрын
@@LightnessMnyanga-uj4yx good 😀👏
@marryfaber7211Ай бұрын
Dah asante kaka mm niko na mahusiano na mwanaume ila kila mara ni ugomvi wa hela
@mbekitv693Ай бұрын
@@marryfaber7211 pole sn
@LightnessMnyanga-uj4yxАй бұрын
Yaan umenifundisha jamani, hata mamaangu hajawahi kunifundisha hivi ubarikuwe sana sana sanaaa
@mbekitv693Ай бұрын
@@LightnessMnyanga-uj4yx ahahah asante sn😀🙏😀
@user-rf1fe1fu6k6 ай бұрын
Asante sana kaka kwakutuelimisha tuimarishe ndoa zetu. Uishima ishamarefu.
@mbekitv6936 ай бұрын
Amina🙏. Usiache ku subscribe ili tuendelee kujifunza pamoja.
@marryfaber7211Ай бұрын
Asante kwa mafunzo magumu mung akupe umri wa miaka 100
@mbekitv693Ай бұрын
@@marryfaber7211 eeh 100 👏😀
@user-jz4ng5vt6t2 ай бұрын
Naisi kama hii video niyangu akika imenifanya ni jutiye maisha ninayo pitia Asante kaka kwakunisaidia natamani nipate hata namba zako 😢
@mbekitv6932 ай бұрын
0659152333 WhatsApp only
@user-du6ey8qq8y8 ай бұрын
Imenisaidia sana hii video
@mbekitv6938 ай бұрын
Nini utaenda kubadilisha ama kumbadilisha mwenzako?
@user-du6ey8qq8y8 ай бұрын
@@mbekitv693 hapana ila nitabadilika mimi sababu yeye anajiona yuko sawa wakati ni ubinafsi anaoufanya
@DorethMselem2 ай бұрын
😂watt wa mambom kimitegomitego asante sana kweli kabisa kabisaaaaaaa❤
@mbekitv6932 ай бұрын
😀
@GraceSteven-qq5hn2 ай бұрын
Imenisaidia asant sana
@mbekitv6932 ай бұрын
Karibu sn
@marryfaber7211Ай бұрын
Na kweli hana upendo namimi nikimwambia tuahane kila mtu awe huru hataki
@mbekitv693Ай бұрын
@@marryfaber7211 mamlaka na maamuzi ni yako
@chriskirenga-p2pАй бұрын
POA BRO MIMI NI MFATILIAJI MZURI WA VIPINDI VYAKO VINAFUNDISHA THANKS BRO🤩😇
@mbekitv693Ай бұрын
@@chriskirenga-p2p nashukuru sana🤝
@sein.2083 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akubariki sana kwa kutufundisha .
@mbekitv6932 ай бұрын
Amina mpendwa😊🙏
@ShubiraCostac5 ай бұрын
Mafundsho haya ya kipekee na uwezi kuyapata popote ila hapa, yote unayosema yapo na yanaendelea kuwepo,ila mwenye Akili atajifunza na atawafundsha wengine,ASANTE MUNGU akuongezee ufahamu,❤❤
@mbekitv6934 ай бұрын
Asante sn mpendwa
@user-wy7zl2vr6k16 күн бұрын
Somo zuri lakini hii tabia ipo wenye pesa wengi wanaoishinao wala hawawapendi wanatakapesa tu nahii itakuwepo sikuzote haiachwi hii tabia
@mbekitv69314 күн бұрын
@@user-wy7zl2vr6k 😀
@adammkondya58965 ай бұрын
Mungu akubariki
@mbekitv6934 ай бұрын
Amen
@mbekitv6938 ай бұрын
NIAMBIE JE HII VIDEO IMEKUSAIDIA?
@itsTubwa2 ай бұрын
𝐒𝐨 𝐦𝐮𝐜𝐡,𝐭𝐡𝐚𝐧𝐤𝐬 𝐛𝐫𝐨
@MamaYussuf19 күн бұрын
Naomba no yko
@mbekitv69314 күн бұрын
@@MamaYussuf 0659152333
@kwisa4899Ай бұрын
wewe ni mwalimu wa walimu
@mbekitv693Ай бұрын
@@kwisa4899 asante sana kwa kunielewa kaka tuko pamoja 😊🤝
@user-xo4hz4lj8k6 ай бұрын
Na Je yule anaekwambia ya wazazi wako yamepita Fata LA kwako huyo kweli' anakufaa
@mbekitv6935 ай бұрын
Sijui ata story imeanzia wapi na yawazazi wako yamepita yapi so sijui hapo mlikuwa mnaongelea nini.
@safiasuliman513618 күн бұрын
Na sm yangu kaunganisha na yake chat zinaenda kwake pia nili taka mkubalia mtu mwengine akaja kunifokea na kumpigia sm yule mwanaume asiwe na mm
@safiasuliman513618 күн бұрын
Kaka ndio ninayo piatia saiv hyo ninae mtaka hanitak na kun block bila sababu
@mbekitv69314 күн бұрын
@@safiasuliman5136 achana nae si hakutaki
@user-du6ey8qq8y8 ай бұрын
Shida inaweza kuwa mimi sina hizo tabia ila wanaume wabinafsi sana hasa hiyo tabia ya tatu wengi wanayo
@mbekitv6938 ай бұрын
Ndio hapo nikasema inaweza ikawa ni wewe au mwenzako so kama ni mwenzako ndio hatari zaidi😰
@silviafurah91725 ай бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri ya kujiekea uamuzi sahihi kwa mahusiano be blessed
@bettymariga2 ай бұрын
Asante sana bro be blessed
@olasegiriabiodun37578 ай бұрын
Kaka naomba ushauri nina mwaname kanamby tupotezeane bila ya sa7
@mbekitv6938 ай бұрын
Nicheki whatsapp kaka
@aairraahseif56488 ай бұрын
@@mbekitv693naomba whatsapp namba yako
@SarahKambura3 ай бұрын
Mmi nko na mwaume hatujaoana lakini anakaa akiniomba nimzalie n kweli ananipenda ama ananichezea tu??
Ila jmn mme wngu ananisalit na hajawahi kuniomba msamaha hanpend
@mbekitv6938 ай бұрын
Upo katika list yangu ya WhatsApp?
@dayanaleonardsinzikayo17718 ай бұрын
Hapana niunge
@mbekitv6938 ай бұрын
@@dayanaleonardsinzikayo1771 0659152333
@DorethMselem2 ай бұрын
Dah asantee sana saaana tena saana tabia ya 5 ndo uzaifu wangu sio kwa mwanaume tu ndugu rafiki mtt yaan asikae mtu karibu na mimi namjali sana kama mtt umeniachia utakuta ameoga amekula kutoa sasa mama angu ameniambukiza sasa mi nimepitiliza sio chiz mimi najitosheleza lkn hee mpaka nimeamua kuwa na njia ya kuwaepuka watu wananipenda wananiita wananishirikisha lkn sasa mnhh toka alipofariki mama angu hamna hata rafiki alienisindikiza mkoan kama ambavyo nafanyaga kwa wenzangu et tutakuja kukuona ukikosa kuja msiban tuma hata buku itaingia kwenye uban wa kusoma dua itanunua hata kuni et tutakuja kukuona nyumban kisa tu unakaa sehem fulan inahadh fulan waje wakuhan au uchunguzi jaman dunia imeisha tujipende tu kwa kweli asante Mwalimu