HOFU YAMKUTA MKE WA BALOZI MSTAAFU ZNZ, ASIMULIA, KUVAMIWA USIKU WA MANANE NA SILAHA

  Рет қаралды 71,599

Millard Ayo

Millard Ayo

Ай бұрын

Пікірлер: 533
@winfordmwangonda5375
@winfordmwangonda5375 Ай бұрын
Pamaoja na wavamizi katika Nyumba yake ,mke wa balozi aliendelea na sala yake ,a faithful beautiful woman.
@victorcephas3618
@victorcephas3618 Ай бұрын
Ukiachana na uvamizi mashaalah she is beautiful #Poleni
@stanleyamlima2085
@stanleyamlima2085 Ай бұрын
Yaaaah
@mwajumajumbe3325
@mwajumajumbe3325 Ай бұрын
Mecheka sn
@gilliardgodfriend5745
@gilliardgodfriend5745 Ай бұрын
Na nyumba wapige rangi😅
@geographyteacher.2961
@geographyteacher.2961 Ай бұрын
😂asee naona raha tu kumtazama sura...
@amosdeo9534
@amosdeo9534 Ай бұрын
Hilo sio tukio la ubakaji 😂😂😂😂😂
@ssoud2394
@ssoud2394 Ай бұрын
Da Amina umeongea point hao majamaa huenda wana kitu maalum wanachokihitaj kutoka kw Mumeo pole sana dada
@muhydinaden552
@muhydinaden552 Ай бұрын
Madam ambassador fungeni camera na security light za solar hata balozi atapata access akiwa commoro...Na mwisho hao ni watu wanafahamu mazingira ya hilo jumba na mara nyingi huwa mtu wanayemfahamu ....ulinzi uimarishwe huyo ni mtumishi wa ngazi ya juu serikalini .....
@user-cz9zu7ur1h
@user-cz9zu7ur1h Ай бұрын
Yawezekana pia niwatu waserekalipi kunakiyu wanakitaka
@Mrisho-lj7wy
@Mrisho-lj7wy Ай бұрын
@@user-cz9zu7ur1h Ndio iko hivyo. Tukio hili halina tofauti kabisa na lile la miaka ya 1997. Jina na muhifadhi Prof ...... huyu alikua waziri wa Viwanda na bihashara wakati huo alikua akiishi maeneo ya Kunduchi. Huyu alivamiwa na majambazi tena walimpatia taarifa tuta kuja nyumbani. kweli walienda nyumbani Mh bahati mbaya Mh siku hiyo alichelewa kurudi nyumbani walipishana lisaa tu.Lkn taarifa ya ugeni alizipata kwa binti yake na ujumbe mzito aliupata kwamba wageni wamesema watarud tena. Yule Mh alitoa taarifa sehem husika akapewa na ulinzi wa polisi mwenye silaha. Siku sio nyingi kuripoti kwa yule mlinzi. Yalitokea maswali Magumu mpaka leo hii. Yule polisi siku aliyo chelewa kwenye lindo mh Prof .... yeye aliwahi mapema kurudi nyumbani saa 18:00 alikua nyumbani wale wageni walifika mapema nao wakaingia Prof kwa kujiamini akatoka ndani kuja nje watambuane Prof alichezea za Kifua 3 mbele ya Familia yake. Mchezo ukaishia hapo prof akaenda kuhifadhiwa kwao Mkoa wa Morogoro huko. Hili limenikumbusha nyuma kidogo. Kuna jambo hapa limejificha.
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Ай бұрын
Unaswali mpaka swalaza usiku ila kujistili kisheria. Bado jistili mama. Kulinganana shetlria ya kiislam. Pole kwamtihani. ALLAH atakuvusha bihidhnillah❤❤
@SharifaOmary-ui8vs
@SharifaOmary-ui8vs Ай бұрын
Hakimu mkazi😊
@Chakol682
@Chakol682 Ай бұрын
Avae gunia au hapo kavaa stara nguo ndefuu mashallah
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Ай бұрын
@@Chakol682 kwako nguoyastala kwenye Dini bado stala hapo kabisa kajiachiakichwawazi maumbileyanaonekana. We usitanie.stala badokabisa
@aginsagins-jf4vz
@aginsagins-jf4vz Ай бұрын
​@@SharifaOmary-ui8vs😂😂😂😂😂
@latifamchomvu4735
@latifamchomvu4735 Ай бұрын
​@@SharifaOmary-ui8vs 😂😂
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 Ай бұрын
Pole Sana Endelea Kufanya Ibado Zako Kilasiku Na Allah Yupo Nawewe Ataendelea Kukulinda Usiwe Nawasiwasi.. insha'Allah Hatakweza Kufanya Lakufanya...
@mohdkhamis5687
@mohdkhamis5687 Ай бұрын
Subuhanallah Dada Zidisha Kuamka Usiku Na Uzidi Kumomba Allah Yeye Ndie Mlinzi Wa Kila Kitu Yani ZNZ Imefikia Hapo Lahaula Walakuwata Ilabilahi Laaliu Lazwim,
@OmanOman-dd5qk
@OmanOman-dd5qk Ай бұрын
Pole sanandugu minaona muondoke tu kunajambo hapo lakini mwenyezi mungu awaepushie nabalaa hilo
@rukiakyaka1827
@rukiakyaka1827 Ай бұрын
Ndugu yng tunakuombea Kwa Allah akujaalie Nusra na Ulinzi Inshaallah
@aminafarouk5062
@aminafarouk5062 24 күн бұрын
Amiiina Yaarabbi
@shakurushakuru2211
@shakurushakuru2211 Ай бұрын
Pole kwa misuko suko Allah yupo pamoja nanyi mja wa Allah.
@josephlorri431
@josephlorri431 Ай бұрын
Pisi kali,mzigooo.. hongera mama balozi
@Swamadu-om3uj
@Swamadu-om3uj Ай бұрын
Umebaki hy mitakoyenye majipu tu umekwisha ww
@Swamadu-om3uj
@Swamadu-om3uj Ай бұрын
Nilikuwambia na huyo pereira atakuwacha eti mna vitus tele vya thmn c mungepkw ht rangi wch ushmb
@aaa64sa13
@aaa64sa13 Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 mzigooo...😂😂 yenyewe ni Mzigo yupo vizuri bado😂
@user-xm2rm7wn6h
@user-xm2rm7wn6h Ай бұрын
Vijana wahovyo uta wajuatu😂😂😂😂😂
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
​@@user-xm2rm7wn6h😂😂😂😂😂😂 wamechanganyikiwa kuuona kwa picha 😂😂😂😂😂😂😂
@user-gb5vz6wm2q
@user-gb5vz6wm2q Ай бұрын
Ila mwanamke mzuri mashallah
@hono1232
@hono1232 Ай бұрын
Hatari kweli kweli mashalah
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 Ай бұрын
Mungu anawapenda mpaka UO UMEME KUKATIKA... ALLAH..AWALINDE. YARABB 🙏
@mwinyiali
@mwinyiali 26 күн бұрын
izo ni sala za usiku anazosali maana ile huwa unaongea na Mungu moja kwa moja
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 Ай бұрын
Pole mama, Mungu akulinde na mabaya waliokusudia, na yawarudie wao wenyewe ktk Jina la Yesu 🙏
@neemanziku5403
@neemanziku5403 Ай бұрын
Pole sana Mungu awaangamuze hao watu
@Allyhujjat
@Allyhujjat Ай бұрын
Mwana amina watu wanakupa pole lkn wanaongelea mzigo tuu inabidi shekhe kipoozeo aje akufanyie dua
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 28 күн бұрын
Aise ana mzigo uyo mwanamke namuona sn mazoezini ana takooo si mchezo na mzuri Mashaa Allah
@lmdos4382
@lmdos4382 Ай бұрын
Dah! Huyu Dada kwa kweli sio mchezo kabisa !Apewe mauwa yake
@aishamuhammad7785
@aishamuhammad7785 Ай бұрын
Poleni sana, na stara ukhti bado io in shaa ALLAH ujitahidi
@charlzmboya
@charlzmboya Ай бұрын
HUYU DADA NI MZURI SANAAA HUENDA MUMEWE ANAMUBITAJI WAISHI WOTE COMORO LAKINI YEYE HATAKI !! IKABIDI ATUMIE PLAN B YAKULA NJAMA NA WALINZI WAKE ,,,WAMTIE HOFU MKEWE ILI AHAMIE COMORO ....mama wee mzuri maashalaah.
@charlzmboya
@charlzmboya Ай бұрын
Nenda COMORO kaishi na balozi mumeo ...wewe ni pic Kali sanaaaaa ...me mwenyewe nimeingiza tamaaa
@oman1oman179
@oman1oman179 Ай бұрын
Utakuta ni hivo hivo kwanini hapendi kuhishi na mume wake Comoro
@gasper90mathias58
@gasper90mathias58 Ай бұрын
Maybe true
@hawrajehan2398
@hawrajehan2398 26 күн бұрын
Comoro kusikie tu,kuna pisi kali balaa kule tena hatar usiombe,usikute mmewe keshaowa maana kastaaf kitambo huk Comoro anafanya nini?
@user-wk1ix1gm1p
@user-wk1ix1gm1p Ай бұрын
Lakin pia walinzi walijificha , kujificha sindowangepiga cm wapate usaidizi wao wamejificha mpaka kunapambazuka 😂
@feisalabdallah8632
@feisalabdallah8632 Ай бұрын
MA Sha Allah mama Mzuri ila pole Sana na mtihani
@abdulhajiahmed8735
@abdulhajiahmed8735 Ай бұрын
Pole sana, ALLAH Akuepushie shari zao
@pyzzocatto1829
@pyzzocatto1829 Ай бұрын
Walinzi walijificha😂😂😂 af wanasubir kulipwa mshahara😮
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
😂😂😂😂😂Tobaaaaa karoho kangu mtume😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-vt4vd5rh8u
@user-vt4vd5rh8u Ай бұрын
ulitaka wapambane na watu wenye silaha wanajua wamejpangaje polisi wenyewe Huwa wajpanga
@fatumamilimo7336
@fatumamilimo7336 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd Ай бұрын
hao asikali wa MZ niviazi kweli ya mhalifu anakuja wahajificha sasa hao Ni asikali au madem wa kimboka
@fatmamdihiri4164
@fatmamdihiri4164 Ай бұрын
Nimecheka km fala
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mnesoboy4338
@mnesoboy4338 Ай бұрын
Yani wew unakirungu mwenzio anabunduki wew usijifiche acha zako
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
@@mnesoboy4338 😂😂😂😂😂😂😂😂MSG
@mnesoboy4338
@mnesoboy4338 Ай бұрын
@@MiriamAbdallah ana utani huyu jamaa
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh Ай бұрын
Itabidi hiyo camera unga na kwenye simu yako dada matukio yote utayaona na hata mumeo aunge kwa simu akupita mtu nje atakwambia kuna mtu getini
@KhadijaSalum-nf5mf
@KhadijaSalum-nf5mf Ай бұрын
Good idea weka camera ktk simu yako
@mwanakombopopo5117
@mwanakombopopo5117 Ай бұрын
Allah akbar Allah akbar Allah akbar pole dada zidisana na swala za ucku Allah atazidi kukulinda😢
@aminafarouk5062
@aminafarouk5062 24 күн бұрын
Amiiina Yaarabbi
@stn4873
@stn4873 Ай бұрын
Bi MwanaAmina Ma shaa Allah.
@aishakambenga6191
@aishakambenga6191 Ай бұрын
Mzuri MashaAllah ❤❤
@khairatkisima9217
@khairatkisima9217 Ай бұрын
Pole jiran yang daah mtihan kwakwel
@vibetz9991
@vibetz9991 Ай бұрын
Dada mzuri mashaallah
@mgalamohamed6956
@mgalamohamed6956 28 күн бұрын
Mwenyezimungu akulinde Insh Allah
@abuusaid3297
@abuusaid3297 Ай бұрын
allah awanusuru na awahifadhi, kuhusiana na ibada,haitakiwa usimlie ibada zako unazo zifanya,bora ungesem nilikua macho sikua nimelala ingependeza zaidi !!!
@kazikazi466
@kazikazi466 Ай бұрын
Acha kupotosha
@user-ru6xu4hb1d
@user-ru6xu4hb1d Ай бұрын
Ww ndio mpotoshaji
@eshaabdallah8253
@eshaabdallah8253 Ай бұрын
Wivuuu tuuu
@fatmafaki6163
@fatmafaki6163 24 күн бұрын
Hakusimlia ibada kasimlia matukio
@mzeenassib4271
@mzeenassib4271 26 күн бұрын
Uyo ndo Amina Haji bigwa wa vituko asiemjua aende mtopepo garagara mtapata stori zake noma
@aminafarouk5062
@aminafarouk5062 24 күн бұрын
Wacha weee nakuombea sana kwa Allah asikuoneshe wewe wala asiwaoneshe watoto wako walioyaona wanangu… Allah ndie alienijaalia nikawa vituko… Ila muhimu khatma njema. Shukraan
@aminafarouk5062
@aminafarouk5062 24 күн бұрын
Na hata wakija huku chukwani pia watazipata kule za utotoni huku za ukibwani kubwa ni kuomba khatma njema baasss
@user-nm8ym6iq7n
@user-nm8ym6iq7n Ай бұрын
Chukua cm zte za walinz wako zipeleke police zikafuatiliwe mawasiliano utapata majbu
@feisalmwinyi2429
@feisalmwinyi2429 Ай бұрын
Mashaallah mashaallah mashaallah dada yng allah akuhim yaaaaarab we na family yk
@fadhilmandaliabdalla6736
@fadhilmandaliabdalla6736 3 күн бұрын
Huyu mama anatafuta bwana tuu, hakuna kitu apo, Allah ya Alam kibao uku kaka uchi mbele ya camera 📷 we muuono huo unashindwaje kuvaa hata baibui mke wa Balozi stara huna.😅
@hafidhclassic5862
@hafidhclassic5862 Ай бұрын
Ww ni mrembo mashallah 🙏
@adoniemanuel908
@adoniemanuel908 Ай бұрын
mama mbona kama unaonyesha unamashaka kwamba mume kaoa mkee mwingine basi mwambie akuahamishie komoro mkae wotee ili uwee na amani
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Ай бұрын
😂😂😂
@salmanassor8732
@salmanassor8732 Ай бұрын
Bismillah mashallah mzurii
@Mohamed-sc6bk
@Mohamed-sc6bk 29 күн бұрын
Daa mina umevamiwa tena pole sana
@abdulhalimomar5329
@abdulhalimomar5329 27 күн бұрын
Angejistiri vzr abgependeza zaidi hapa
@omarmassoud2011
@omarmassoud2011 Ай бұрын
Allah akulinde sana
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft Ай бұрын
Wacomoro ni wazuri mashaallah kuusu mzigo sina hakika ❤
@user-jf7vx9nb9m
@user-jf7vx9nb9m Ай бұрын
Huyo sio mkomoro mzanzibar
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
Kwani alienda kusoma Comoro au kwenda kikazi😂😂😂😂
@husna34562
@husna34562 Ай бұрын
Mkomoro​@@user-jf7vx9nb9m
@abuuqamar58
@abuuqamar58 Ай бұрын
😂😂😂eti mzigo sina uhakika
@baloz8974
@baloz8974 Ай бұрын
​@user-si9pb1us8d Hahaha hatari hao ndio washenzi washenzi
@maase2023
@maase2023 Ай бұрын
Huyu dada mwanaamina mzuri jamani mashallah mashallah
@FatumaIssa-kw3vv
@FatumaIssa-kw3vv 29 күн бұрын
Kwakweli Allah kamuumba vizuri Masha’Allah
@maase2023
@maase2023 29 күн бұрын
@@FatumaIssa-kw3vv yani huyu dada itabidi niende znz nimtafute nimwone tu nimtunze tu basi niridhike
@maase2023
@maase2023 29 күн бұрын
@@FatumaIssa-kw3vv halafu mashallah hajijui kuwa ni mzuri hivo ! Unajua hata hao walomvamia majambazi watakuwa tu wanamtaka tu kwa uzuri wake
@Farsomtz
@Farsomtz 26 күн бұрын
Bi amina mashallah
@salehothman6144
@salehothman6144 Ай бұрын
Hongera mama kwa tahajud Mungu akudumishe
@aminafarouk5062
@aminafarouk5062 24 күн бұрын
Amiiina
@ssoud2394
@ssoud2394 Ай бұрын
Duuh! Hao walinzi wanafanya kazi hapo watimuliwe hawafai kukaa tena hapo
@bilakawaboynew978
@bilakawaboynew978 Ай бұрын
Wewe mtu Ana silaha unamzuiaje
@ssoud2394
@ssoud2394 Ай бұрын
@@bilakawaboynew978lazima apambane kwa hilo kwani yy ni kazi yake kutoruhusu chochot kuingia ndan na hasa nyumban kwa kiongoz
@salummussa9871
@salummussa9871 Ай бұрын
Mama anataka akaushi Kwa mumewe TU , huko Comoro , mazingira ya tukio kama la kusadikika waje na slaaa wasimdhuru mt
@kadiakirua7621
@kadiakirua7621 Ай бұрын
Pole mama mkwe hili ni funzo jamani kwamba sala za usiku zinasaidia majambo yetu
@aminafarouk5062
@aminafarouk5062 24 күн бұрын
Saaana sana
@StellahLivogah
@StellahLivogah Ай бұрын
Upishane na mtu koridoni asikuone hadi ukajifiche alaf walinzi wawaone majambazi wajifiche??hao ni walinzi?? Hee🤣🤣🤣
@gracekiondo2541
@gracekiondo2541 Ай бұрын
Hata mimi nimejiuliza naona maelezo yanakinzana
@winfridahubert4072
@winfridahubert4072 Ай бұрын
Mungu akiamua kukulinda hata wew huwezi kujua ilikuaje
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
​​@@winfridahubert4072point 🎉🎉🎉🎉🎉 tumwache MUNGU aitwe MUNGU
@powerrecordszanzibar3384
@powerrecordszanzibar3384 Ай бұрын
Muongo huyu dada, hapo analo analolitafuta pengine anataka kumfungisha mlinzi wake, anajua Siri zake Balozi akiwa hayupo
@SurprisedOmbreSky-qg6dk
@SurprisedOmbreSky-qg6dk Ай бұрын
Sala usiku manwele nje vp haya maelezo
@selemanmaganga-le4zg
@selemanmaganga-le4zg Ай бұрын
Ila duuh dada kajaliwa kuanzai sura, umbo, kujistili anaongea vizuri, anamacho mazuri 😮😮 hadi afande anajifanya mjanja heti aje ofisini kwangu nijadili nae juu ya usalama wake 😂😂😂 afande tunaijua hiyo!.
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 Ай бұрын
Kwani hapo Zanzibar hakuna Polisiii… ??? Zanzibar imeharibika sana. Hata Watalii wakisikiya hayo hawatokuja Tena Zanzibar. Serikali tizameni sana mambo hayo.
@barikiwa22
@barikiwa22 29 күн бұрын
Acheni uzinifu huyo ni mke wa mtu, tena ni mama, jambo hatarishi limempata mmekalia kumtamani, wajinga sana nyie
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 28 күн бұрын
Ndugu takooo ilo linaumiza mengi ukimuona live hurudi nyuma
@swalehsalim3380
@swalehsalim3380 Ай бұрын
Your statement is not adding up. And ujui kama mumeo kachukua hatua ama bado..😂😂 .. ,ulisikia mtu akikoki bunduki..lakini ujui alikua ameshika nn..nikama bunduki.. 😂😂, madam..tell us truth.
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂ila wew jamani 😂😂😂😂😂😂😂
@floramlowe7078
@floramlowe7078 Ай бұрын
Hapo Mwamini Mungu tu hawatoweza hao ni wanadamu tu
@annamussa185
@annamussa185 Ай бұрын
Hiyo ndo nyumba ya Barozi😮😮Pakeni hata rangi basi
@halimahalima1488
@halimahalima1488 Ай бұрын
Astahili eeh
@MinskBelarus-il2tl
@MinskBelarus-il2tl Ай бұрын
Wewe yako Umepaka rangi? Kumbuka,Kaburi haina rangi wala Taa.
@annamussa185
@annamussa185 Ай бұрын
@@MinskBelarus-il2tl siongei na Mbwa 🐕
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
​@@annamussa185acha matusi kwani umetukanwa?
@MinskBelarus-il2tl
@MinskBelarus-il2tl Ай бұрын
@@annamussa185 😃😃😃😃 ngoja nikuhadithie Habari moja. Mume alikuwa ana mkaripia MKEWE na akamwambia " WANAWAKE WOTE MAMBWA TU" mara akakatiza MBWA mbele yao, yule Mke akamwambia mumewe..... yule anaekatiza ni MAMA YAKO.🙏🙏🙏 na mimi nimejibiwa na Binaadamu. Maajabu haya😒😒😒
@seifdisail3007
@seifdisail3007 Ай бұрын
Mama mzuri haswaa MashaAllah
@jayjay4313
@jayjay4313 Ай бұрын
Mke mwenyewe mrembo hivyo, kasema nani nikafanye kazi Comoro, nimwache mrembo wangu Zenji! Balozi beba familia yako, ohooo binaadamu si watu wazuri😂😂😂
@queenlinda255
@queenlinda255 26 күн бұрын
Aaaa jamani mama Maashaallah sijui alivyokua msichana mdogo alikuaje
@user-jf7vx9nb9m
@user-jf7vx9nb9m Ай бұрын
Mmmh ww kutwa unatukana watu ...mara unavujisha voice note mara pia unakashif viongiz..mm binafsi niliskia voice note zKo ukimkashif wazir wa michezo kwakua una mume baloz..una ugomvi na watu wengi usiseme huna ugomvi na mtu..mh tabia ulimtukana mpk basi na ss tunajua
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
Wee ya kweli ndugu?
@powerrecordszanzibar3384
@powerrecordszanzibar3384 Ай бұрын
Ma drama demu heshi kugombana na watu anakiswali Nini usiku?
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube Ай бұрын
Usinambie wewe duh
@aminafarouk5062
@aminafarouk5062 24 күн бұрын
@@powerrecordszanzibar3384Allah yupo hata kuna mama for walifanya maasi baadae wakastaghfiru na Allah akawasemeh muhimu Niombee Dua niwe mkamilifu Kama wewe
@user-ll7np8td7x
@user-ll7np8td7x Ай бұрын
Pole mama mungu akulinde akuepushie na watu wabaya wanamna hiyo
@Aminayunus-je7id
@Aminayunus-je7id Ай бұрын
Afande anajitangulizia eti aje ofisini kwangu tujadili usalama wake😮😊😊😊😊😊😊😊
@ZubeirJuma-up7kb
@ZubeirJuma-up7kb Ай бұрын
Nmeumia roho kwa izo swala za uxku mashaallah uxjali iyo michizi haina uwezo wowote mama tulia unapiga ibada uxku ww ni mtu mwengine kabisa mashaallah
@jumahamadomar9124
@jumahamadomar9124 Ай бұрын
Ibada za usiku stara bure
@mugemainyas5241
@mugemainyas5241 Ай бұрын
Pole sana Amina
@jumahassan273
@jumahassan273 Ай бұрын
Bibi amina wew sio mchezo mmh
@namsamson3443
@namsamson3443 Ай бұрын
Maombi yako ya usiku ndio yanayokulinda Endelea kuomba wala usiogope
@manuelsaramba2138
@manuelsaramba2138 Ай бұрын
Pole sana mama hao watakua kunaki2 wanata
@user-cx7rh6jt6y
@user-cx7rh6jt6y Ай бұрын
Hama hio nyumba my jihami kabla y hatari Mungu awanusuru inshallah
@mapishiyalulu9696
@mapishiyalulu9696 23 күн бұрын
Bora uweke camera itakusaidia kiasi flani pole sana dada
@homeofvideos8893
@homeofvideos8893 Ай бұрын
Mashallah mwanaamina ❤
@nassorsubah3100
@nassorsubah3100 23 күн бұрын
Hatari zanzibar
@chamandaayolaiza1535
@chamandaayolaiza1535 Ай бұрын
ALLAH USAFISHE MOYO WKO DDA UZID KUUSTIR MWILI WK
@dilipdab3714
@dilipdab3714 Ай бұрын
Huyo.mama.itakuwa.anafatiliwa na.uslamma wataifa pengine kuna matukio wanafanya hao mama wamjini umeona huko alipo nyumba ipo peke yake ma mwisho wake mutauonaa wana jambo wanafanya hao chini ya kapeti hao niusalamm wataifa watu weupe ndio zao mazambe zambe
@petermdoe4691
@petermdoe4691 Ай бұрын
Wanautaka mzigo huo, umeumbika mashallah. Waki kukamata hao sijui... Naomba Mungu awaepushie mbali, jaman uje huku kwangu.
@jokhaali5893
@jokhaali5893 Ай бұрын
Bi Amina unatakiwa kubakwa wewe na watoto. M. Mungu atawalinda
@michaelmaziku991
@michaelmaziku991 Ай бұрын
Daah muheshimiwa hakika alikuwa analala kwenye usingizi mzuri
@bkkomesho9272
@bkkomesho9272 Ай бұрын
Tuachane na uvamizi, ila we mzuri bhana hadi unakera
@jackmabirangacharles9398
@jackmabirangacharles9398 Ай бұрын
Kamanda unasema jku Wazuri wamesomea , Mama anasema Askari walijificha hapo mpaka mtu afe ndio mtakuwa Bize sana
@GraceMakenga-zd1vn
@GraceMakenga-zd1vn Ай бұрын
Mulize mumeo vizurii
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
Tena we kiboko na mawazo yako
@majumaatieno5640
@majumaatieno5640 27 күн бұрын
Pole mama Aisha perera ....hao wezi wakome
@aminafarouk5062
@aminafarouk5062 24 күн бұрын
Asante teacher Mwajuma
@user-gc1ez1yv4k
@user-gc1ez1yv4k Ай бұрын
Upuuzi mtupu ,mke wa balozi mchepuko,kuwa wazi usituletee vioja, mambo bara, yameingia lini znz !!Mizigo ya ccm.
@mohamedsaid2882
@mohamedsaid2882 Ай бұрын
Inamaana yeye ni nyumba ndogo ama hajaolewa kabisa??
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Ай бұрын
Mbona utata
@user-tw5er2qh3q
@user-tw5er2qh3q Ай бұрын
Pole sana mama 😮😮😮😮😮😮😮
@msafirisaimoni9561
@msafirisaimoni9561 Ай бұрын
Mimi nimsaidie kumlinda mke wa mstaafu
@FaridiMohamed-dd4hr
@FaridiMohamed-dd4hr Ай бұрын
Mlinzi kaz yake ni kulinda sio kujificha
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 28 күн бұрын
Ulitaka wafanyaje
@Smokeylucas
@Smokeylucas Ай бұрын
Hiyo ni siasa. Wanamtafuta mumeo
@user-bl4sy5ei1k
@user-bl4sy5ei1k Ай бұрын
Balozi anajua kuchagua mke ana kishundu hadi raha
@silimangwali9181
@silimangwali9181 23 күн бұрын
Ajla itakuaje kama mama yupo hiv, ayo mtuoneshe na ao watoto bas
@Kabwela776
@Kabwela776 Ай бұрын
Kwa nini mume wako awe comoro wewe uwe Zanzibar inawezekana mume wako amedhulumu mtu Na ungeama mfuate huko comoro watakuja kukua hao watu
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube Ай бұрын
Kabisa kabisa Yan we unawaza kama Mimi subiri tuone
@user-gj2mm3ko8m
@user-gj2mm3ko8m 29 күн бұрын
Serikali mpe Ulinzi is Na hao watu ashikwe, Ama serikali yetu ya Kenya Uje imusaidie🇰🇪😭😭😭😭
@faiasap8307
@faiasap8307 Ай бұрын
Daah b mwanaamina akikaa haumii maana ana sit protector
@giftkelvin7
@giftkelvin7 Ай бұрын
Mungu anakulinda, hayo yalimkuta gwajima usiogope
@rajabmsinzia1715
@rajabmsinzia1715 Ай бұрын
MashaAllah bonge la toto dah
@seifhabib5987
@seifhabib5987 Ай бұрын
Amina una Kiuno ww Mheshimiwa Anafaidi
@nuhumaalim4976
@nuhumaalim4976 Ай бұрын
😂😂😂
@SaidIssa-tq3yv
@SaidIssa-tq3yv Ай бұрын
Sio katika mafundisho ya mtume s.w.a jifunze kuandika usisifu maumbile ya wake za watu . mwenye zimngu atuongoze sote Amin.
@user-wk1ix1gm1p
@user-wk1ix1gm1p Ай бұрын
Pole sana mama , lakin unazungumza mimi ninakutizama to nasahau hata kama unazungumza , mashaallah wewe ni mrembo .
@abuuqamar58
@abuuqamar58 Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@barikiwa22
@barikiwa22 29 күн бұрын
Dah wazidishe ulinzi
@oman1oman179
@oman1oman179 Ай бұрын
Muonekano wangu mimi naona hio ni fitna y madaraka chamuhimu wahame kwanza hapo
@brysonkaale3003
@brysonkaale3003 Ай бұрын
Walinzi wanaolinda nyumbani kwa balozi,walinzi hao wanaona wavamizi wanaingia ndani ya LINDO lao wanakimbia kwenda kujificha!!,Kuna maana gani kuwa na walinzi ikiwa hawamudu kukabili wahalifu!?
@nasraissa4873
@nasraissa4873 Ай бұрын
Majumba mazuri yanamitihani hawana raha vo wenye majumba mazuri
@baloz8974
@baloz8974 Ай бұрын
Kweli kabisa kuna kuwa sana na mitihani
@omanmct135
@omanmct135 Ай бұрын
Hatari kweli
@MassoudAmour-qj1og
@MassoudAmour-qj1og Ай бұрын
Acheni masihara mama ana wowooo alindwee😮
DELETE TOXICITY = 5 LEGENDARY STARR DROPS!
02:20
Brawl Stars
Рет қаралды 18 МЛН
🌊Насколько Глубокий Океан ? #shorts
00:42
Пробую самое сладкое вещество во Вселенной
00:41
Кушать Хочу
Рет қаралды 3,7 МЛН
MALI ZA MAREHEMU FULL MOVIE/BONGO MOVIE FILM
1:45:12
BabaJoan
Рет қаралды 71 М.
DELETE TOXICITY = 5 LEGENDARY STARR DROPS!
02:20
Brawl Stars
Рет қаралды 18 МЛН