Pamaoja na wavamizi katika Nyumba yake ,mke wa balozi aliendelea na sala yake ,a faithful beautiful woman.
@victorcephas3618Ай бұрын
Ukiachana na uvamizi mashaalah she is beautiful #Poleni
@stanleyamlima2085Ай бұрын
Yaaaah
@mwajumajumbe3325Ай бұрын
Mecheka sn
@gilliardgodfriend5745Ай бұрын
Na nyumba wapige rangi😅
@geographyteacher.2961Ай бұрын
😂asee naona raha tu kumtazama sura...
@amosdeo9534Ай бұрын
Hilo sio tukio la ubakaji 😂😂😂😂😂
@ssoud2394Ай бұрын
Da Amina umeongea point hao majamaa huenda wana kitu maalum wanachokihitaj kutoka kw Mumeo pole sana dada
@muhydinaden552Ай бұрын
Madam ambassador fungeni camera na security light za solar hata balozi atapata access akiwa commoro...Na mwisho hao ni watu wanafahamu mazingira ya hilo jumba na mara nyingi huwa mtu wanayemfahamu ....ulinzi uimarishwe huyo ni mtumishi wa ngazi ya juu serikalini .....
@user-cz9zu7ur1hАй бұрын
Yawezekana pia niwatu waserekalipi kunakiyu wanakitaka
@Mrisho-lj7wyАй бұрын
@@user-cz9zu7ur1h Ndio iko hivyo. Tukio hili halina tofauti kabisa na lile la miaka ya 1997. Jina na muhifadhi Prof ...... huyu alikua waziri wa Viwanda na bihashara wakati huo alikua akiishi maeneo ya Kunduchi. Huyu alivamiwa na majambazi tena walimpatia taarifa tuta kuja nyumbani. kweli walienda nyumbani Mh bahati mbaya Mh siku hiyo alichelewa kurudi nyumbani walipishana lisaa tu.Lkn taarifa ya ugeni alizipata kwa binti yake na ujumbe mzito aliupata kwamba wageni wamesema watarud tena. Yule Mh alitoa taarifa sehem husika akapewa na ulinzi wa polisi mwenye silaha. Siku sio nyingi kuripoti kwa yule mlinzi. Yalitokea maswali Magumu mpaka leo hii. Yule polisi siku aliyo chelewa kwenye lindo mh Prof .... yeye aliwahi mapema kurudi nyumbani saa 18:00 alikua nyumbani wale wageni walifika mapema nao wakaingia Prof kwa kujiamini akatoka ndani kuja nje watambuane Prof alichezea za Kifua 3 mbele ya Familia yake. Mchezo ukaishia hapo prof akaenda kuhifadhiwa kwao Mkoa wa Morogoro huko. Hili limenikumbusha nyuma kidogo. Kuna jambo hapa limejificha.
@HanifaOman-oo4plАй бұрын
Unaswali mpaka swalaza usiku ila kujistili kisheria. Bado jistili mama. Kulinganana shetlria ya kiislam. Pole kwamtihani. ALLAH atakuvusha bihidhnillah❤❤
@SharifaOmary-ui8vsАй бұрын
Hakimu mkazi😊
@Chakol682Ай бұрын
Avae gunia au hapo kavaa stara nguo ndefuu mashallah
@HanifaOman-oo4plАй бұрын
@@Chakol682 kwako nguoyastala kwenye Dini bado stala hapo kabisa kajiachiakichwawazi maumbileyanaonekana. We usitanie.stala badokabisa
@aginsagins-jf4vzАй бұрын
@@SharifaOmary-ui8vs😂😂😂😂😂
@latifamchomvu4735Ай бұрын
@@SharifaOmary-ui8vs 😂😂
@muhammadmuhammad5043Ай бұрын
Pole Sana Endelea Kufanya Ibado Zako Kilasiku Na Allah Yupo Nawewe Ataendelea Kukulinda Usiwe Nawasiwasi.. insha'Allah Hatakweza Kufanya Lakufanya...
@mohdkhamis5687Ай бұрын
Subuhanallah Dada Zidisha Kuamka Usiku Na Uzidi Kumomba Allah Yeye Ndie Mlinzi Wa Kila Kitu Yani ZNZ Imefikia Hapo Lahaula Walakuwata Ilabilahi Laaliu Lazwim,
@OmanOman-dd5qkАй бұрын
Pole sanandugu minaona muondoke tu kunajambo hapo lakini mwenyezi mungu awaepushie nabalaa hilo
@rukiakyaka1827Ай бұрын
Ndugu yng tunakuombea Kwa Allah akujaalie Nusra na Ulinzi Inshaallah
@aminafarouk506224 күн бұрын
Amiiina Yaarabbi
@shakurushakuru2211Ай бұрын
Pole kwa misuko suko Allah yupo pamoja nanyi mja wa Allah.
@josephlorri431Ай бұрын
Pisi kali,mzigooo.. hongera mama balozi
@Swamadu-om3ujАй бұрын
Umebaki hy mitakoyenye majipu tu umekwisha ww
@Swamadu-om3ujАй бұрын
Nilikuwambia na huyo pereira atakuwacha eti mna vitus tele vya thmn c mungepkw ht rangi wch ushmb
@aaa64sa13Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 mzigooo...😂😂 yenyewe ni Mzigo yupo vizuri bado😂
@user-xm2rm7wn6hАй бұрын
Vijana wahovyo uta wajuatu😂😂😂😂😂
@MiriamAbdallahАй бұрын
@@user-xm2rm7wn6h😂😂😂😂😂😂 wamechanganyikiwa kuuona kwa picha 😂😂😂😂😂😂😂
@user-gb5vz6wm2qАй бұрын
Ila mwanamke mzuri mashallah
@hono1232Ай бұрын
Hatari kweli kweli mashalah
@achouraachoura5763Ай бұрын
Mungu anawapenda mpaka UO UMEME KUKATIKA... ALLAH..AWALINDE. YARABB 🙏
@mwinyiali26 күн бұрын
izo ni sala za usiku anazosali maana ile huwa unaongea na Mungu moja kwa moja
@hafsalucky1088Ай бұрын
Pole mama, Mungu akulinde na mabaya waliokusudia, na yawarudie wao wenyewe ktk Jina la Yesu 🙏
@neemanziku5403Ай бұрын
Pole sana Mungu awaangamuze hao watu
@AllyhujjatАй бұрын
Mwana amina watu wanakupa pole lkn wanaongelea mzigo tuu inabidi shekhe kipoozeo aje akufanyie dua
@KassimAlly-xp4dz28 күн бұрын
Aise ana mzigo uyo mwanamke namuona sn mazoezini ana takooo si mchezo na mzuri Mashaa Allah
@lmdos4382Ай бұрын
Dah! Huyu Dada kwa kweli sio mchezo kabisa !Apewe mauwa yake
@aishamuhammad7785Ай бұрын
Poleni sana, na stara ukhti bado io in shaa ALLAH ujitahidi
@charlzmboyaАй бұрын
HUYU DADA NI MZURI SANAAA HUENDA MUMEWE ANAMUBITAJI WAISHI WOTE COMORO LAKINI YEYE HATAKI !! IKABIDI ATUMIE PLAN B YAKULA NJAMA NA WALINZI WAKE ,,,WAMTIE HOFU MKEWE ILI AHAMIE COMORO ....mama wee mzuri maashalaah.
@charlzmboyaАй бұрын
Nenda COMORO kaishi na balozi mumeo ...wewe ni pic Kali sanaaaaa ...me mwenyewe nimeingiza tamaaa
@oman1oman179Ай бұрын
Utakuta ni hivo hivo kwanini hapendi kuhishi na mume wake Comoro
@gasper90mathias58Ай бұрын
Maybe true
@hawrajehan239826 күн бұрын
Comoro kusikie tu,kuna pisi kali balaa kule tena hatar usiombe,usikute mmewe keshaowa maana kastaaf kitambo huk Comoro anafanya nini?
@user-wk1ix1gm1pАй бұрын
Lakin pia walinzi walijificha , kujificha sindowangepiga cm wapate usaidizi wao wamejificha mpaka kunapambazuka 😂
@feisalabdallah8632Ай бұрын
MA Sha Allah mama Mzuri ila pole Sana na mtihani
@abdulhajiahmed8735Ай бұрын
Pole sana, ALLAH Akuepushie shari zao
@pyzzocatto1829Ай бұрын
Walinzi walijificha😂😂😂 af wanasubir kulipwa mshahara😮
@MiriamAbdallahАй бұрын
😂😂😂😂😂Tobaaaaa karoho kangu mtume😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-vt4vd5rh8uАй бұрын
ulitaka wapambane na watu wenye silaha wanajua wamejpangaje polisi wenyewe Huwa wajpanga
@fatumamilimo7336Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@ScopionScopion-zj9cdАй бұрын
hao asikali wa MZ niviazi kweli ya mhalifu anakuja wahajificha sasa hao Ni asikali au madem wa kimboka
@fatmamdihiri4164Ай бұрын
Nimecheka km fala
@MiriamAbdallahАй бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mnesoboy4338Ай бұрын
Yani wew unakirungu mwenzio anabunduki wew usijifiche acha zako
@MiriamAbdallahАй бұрын
@@mnesoboy4338 😂😂😂😂😂😂😂😂MSG
@mnesoboy4338Ай бұрын
@@MiriamAbdallah ana utani huyu jamaa
@FatimaAli-of4ghАй бұрын
Itabidi hiyo camera unga na kwenye simu yako dada matukio yote utayaona na hata mumeo aunge kwa simu akupita mtu nje atakwambia kuna mtu getini
@KhadijaSalum-nf5mfАй бұрын
Good idea weka camera ktk simu yako
@mwanakombopopo5117Ай бұрын
Allah akbar Allah akbar Allah akbar pole dada zidisana na swala za ucku Allah atazidi kukulinda😢
@aminafarouk506224 күн бұрын
Amiiina Yaarabbi
@stn4873Ай бұрын
Bi MwanaAmina Ma shaa Allah.
@aishakambenga6191Ай бұрын
Mzuri MashaAllah ❤❤
@khairatkisima9217Ай бұрын
Pole jiran yang daah mtihan kwakwel
@vibetz9991Ай бұрын
Dada mzuri mashaallah
@mgalamohamed695628 күн бұрын
Mwenyezimungu akulinde Insh Allah
@abuusaid3297Ай бұрын
allah awanusuru na awahifadhi, kuhusiana na ibada,haitakiwa usimlie ibada zako unazo zifanya,bora ungesem nilikua macho sikua nimelala ingependeza zaidi !!!
@kazikazi466Ай бұрын
Acha kupotosha
@user-ru6xu4hb1dАй бұрын
Ww ndio mpotoshaji
@eshaabdallah8253Ай бұрын
Wivuuu tuuu
@fatmafaki616324 күн бұрын
Hakusimlia ibada kasimlia matukio
@mzeenassib427126 күн бұрын
Uyo ndo Amina Haji bigwa wa vituko asiemjua aende mtopepo garagara mtapata stori zake noma
@aminafarouk506224 күн бұрын
Wacha weee nakuombea sana kwa Allah asikuoneshe wewe wala asiwaoneshe watoto wako walioyaona wanangu… Allah ndie alienijaalia nikawa vituko… Ila muhimu khatma njema. Shukraan
@aminafarouk506224 күн бұрын
Na hata wakija huku chukwani pia watazipata kule za utotoni huku za ukibwani kubwa ni kuomba khatma njema baasss
@user-nm8ym6iq7nАй бұрын
Chukua cm zte za walinz wako zipeleke police zikafuatiliwe mawasiliano utapata majbu
@feisalmwinyi2429Ай бұрын
Mashaallah mashaallah mashaallah dada yng allah akuhim yaaaaarab we na family yk
@fadhilmandaliabdalla67363 күн бұрын
Huyu mama anatafuta bwana tuu, hakuna kitu apo, Allah ya Alam kibao uku kaka uchi mbele ya camera 📷 we muuono huo unashindwaje kuvaa hata baibui mke wa Balozi stara huna.😅
@hafidhclassic5862Ай бұрын
Ww ni mrembo mashallah 🙏
@adoniemanuel908Ай бұрын
mama mbona kama unaonyesha unamashaka kwamba mume kaoa mkee mwingine basi mwambie akuahamishie komoro mkae wotee ili uwee na amani
@HanifaOman-oo4plАй бұрын
😂😂😂
@salmanassor8732Ай бұрын
Bismillah mashallah mzurii
@Mohamed-sc6bk29 күн бұрын
Daa mina umevamiwa tena pole sana
@abdulhalimomar532927 күн бұрын
Angejistiri vzr abgependeza zaidi hapa
@omarmassoud2011Ай бұрын
Allah akulinde sana
@EddahBure-te7ftАй бұрын
Wacomoro ni wazuri mashaallah kuusu mzigo sina hakika ❤
@user-jf7vx9nb9mАй бұрын
Huyo sio mkomoro mzanzibar
@MiriamAbdallahАй бұрын
Kwani alienda kusoma Comoro au kwenda kikazi😂😂😂😂
@husna34562Ай бұрын
Mkomoro@@user-jf7vx9nb9m
@abuuqamar58Ай бұрын
😂😂😂eti mzigo sina uhakika
@baloz8974Ай бұрын
@user-si9pb1us8d Hahaha hatari hao ndio washenzi washenzi
@@FatumaIssa-kw3vv yani huyu dada itabidi niende znz nimtafute nimwone tu nimtunze tu basi niridhike
@maase202329 күн бұрын
@@FatumaIssa-kw3vv halafu mashallah hajijui kuwa ni mzuri hivo ! Unajua hata hao walomvamia majambazi watakuwa tu wanamtaka tu kwa uzuri wake
@Farsomtz26 күн бұрын
Bi amina mashallah
@salehothman6144Ай бұрын
Hongera mama kwa tahajud Mungu akudumishe
@aminafarouk506224 күн бұрын
Amiiina
@ssoud2394Ай бұрын
Duuh! Hao walinzi wanafanya kazi hapo watimuliwe hawafai kukaa tena hapo
@bilakawaboynew978Ай бұрын
Wewe mtu Ana silaha unamzuiaje
@ssoud2394Ай бұрын
@@bilakawaboynew978lazima apambane kwa hilo kwani yy ni kazi yake kutoruhusu chochot kuingia ndan na hasa nyumban kwa kiongoz
@salummussa9871Ай бұрын
Mama anataka akaushi Kwa mumewe TU , huko Comoro , mazingira ya tukio kama la kusadikika waje na slaaa wasimdhuru mt
@kadiakirua7621Ай бұрын
Pole mama mkwe hili ni funzo jamani kwamba sala za usiku zinasaidia majambo yetu
@aminafarouk506224 күн бұрын
Saaana sana
@StellahLivogahАй бұрын
Upishane na mtu koridoni asikuone hadi ukajifiche alaf walinzi wawaone majambazi wajifiche??hao ni walinzi?? Hee🤣🤣🤣
@gracekiondo2541Ай бұрын
Hata mimi nimejiuliza naona maelezo yanakinzana
@winfridahubert4072Ай бұрын
Mungu akiamua kukulinda hata wew huwezi kujua ilikuaje
@MiriamAbdallahАй бұрын
@@winfridahubert4072point 🎉🎉🎉🎉🎉 tumwache MUNGU aitwe MUNGU
@powerrecordszanzibar3384Ай бұрын
Muongo huyu dada, hapo analo analolitafuta pengine anataka kumfungisha mlinzi wake, anajua Siri zake Balozi akiwa hayupo
@SurprisedOmbreSky-qg6dkАй бұрын
Sala usiku manwele nje vp haya maelezo
@selemanmaganga-le4zgАй бұрын
Ila duuh dada kajaliwa kuanzai sura, umbo, kujistili anaongea vizuri, anamacho mazuri 😮😮 hadi afande anajifanya mjanja heti aje ofisini kwangu nijadili nae juu ya usalama wake 😂😂😂 afande tunaijua hiyo!.
@awatifalghanim1106Ай бұрын
Kwani hapo Zanzibar hakuna Polisiii… ??? Zanzibar imeharibika sana. Hata Watalii wakisikiya hayo hawatokuja Tena Zanzibar. Serikali tizameni sana mambo hayo.
@barikiwa2229 күн бұрын
Acheni uzinifu huyo ni mke wa mtu, tena ni mama, jambo hatarishi limempata mmekalia kumtamani, wajinga sana nyie
@KassimAlly-xp4dz28 күн бұрын
Ndugu takooo ilo linaumiza mengi ukimuona live hurudi nyuma
@swalehsalim3380Ай бұрын
Your statement is not adding up. And ujui kama mumeo kachukua hatua ama bado..😂😂 .. ,ulisikia mtu akikoki bunduki..lakini ujui alikua ameshika nn..nikama bunduki.. 😂😂, madam..tell us truth.
@MiriamAbdallahАй бұрын
😂😂😂😂😂😂ila wew jamani 😂😂😂😂😂😂😂
@floramlowe7078Ай бұрын
Hapo Mwamini Mungu tu hawatoweza hao ni wanadamu tu
@annamussa185Ай бұрын
Hiyo ndo nyumba ya Barozi😮😮Pakeni hata rangi basi
@halimahalima1488Ай бұрын
Astahili eeh
@MinskBelarus-il2tlАй бұрын
Wewe yako Umepaka rangi? Kumbuka,Kaburi haina rangi wala Taa.
@annamussa185Ай бұрын
@@MinskBelarus-il2tl siongei na Mbwa 🐕
@MiriamAbdallahАй бұрын
@@annamussa185acha matusi kwani umetukanwa?
@MinskBelarus-il2tlАй бұрын
@@annamussa185 😃😃😃😃 ngoja nikuhadithie Habari moja. Mume alikuwa ana mkaripia MKEWE na akamwambia " WANAWAKE WOTE MAMBWA TU" mara akakatiza MBWA mbele yao, yule Mke akamwambia mumewe..... yule anaekatiza ni MAMA YAKO.🙏🙏🙏 na mimi nimejibiwa na Binaadamu. Maajabu haya😒😒😒
@seifdisail3007Ай бұрын
Mama mzuri haswaa MashaAllah
@jayjay4313Ай бұрын
Mke mwenyewe mrembo hivyo, kasema nani nikafanye kazi Comoro, nimwache mrembo wangu Zenji! Balozi beba familia yako, ohooo binaadamu si watu wazuri😂😂😂
@queenlinda25526 күн бұрын
Aaaa jamani mama Maashaallah sijui alivyokua msichana mdogo alikuaje
@user-jf7vx9nb9mАй бұрын
Mmmh ww kutwa unatukana watu ...mara unavujisha voice note mara pia unakashif viongiz..mm binafsi niliskia voice note zKo ukimkashif wazir wa michezo kwakua una mume baloz..una ugomvi na watu wengi usiseme huna ugomvi na mtu..mh tabia ulimtukana mpk basi na ss tunajua
@MiriamAbdallahАй бұрын
Wee ya kweli ndugu?
@powerrecordszanzibar3384Ай бұрын
Ma drama demu heshi kugombana na watu anakiswali Nini usiku?
@Onlyforfun1992tubeАй бұрын
Usinambie wewe duh
@aminafarouk506224 күн бұрын
@@powerrecordszanzibar3384Allah yupo hata kuna mama for walifanya maasi baadae wakastaghfiru na Allah akawasemeh muhimu Niombee Dua niwe mkamilifu Kama wewe
@user-ll7np8td7xАй бұрын
Pole mama mungu akulinde akuepushie na watu wabaya wanamna hiyo
@Aminayunus-je7idАй бұрын
Afande anajitangulizia eti aje ofisini kwangu tujadili usalama wake😮😊😊😊😊😊😊😊
@ZubeirJuma-up7kbАй бұрын
Nmeumia roho kwa izo swala za uxku mashaallah uxjali iyo michizi haina uwezo wowote mama tulia unapiga ibada uxku ww ni mtu mwengine kabisa mashaallah
@jumahamadomar9124Ай бұрын
Ibada za usiku stara bure
@mugemainyas5241Ай бұрын
Pole sana Amina
@jumahassan273Ай бұрын
Bibi amina wew sio mchezo mmh
@namsamson3443Ай бұрын
Maombi yako ya usiku ndio yanayokulinda Endelea kuomba wala usiogope
@manuelsaramba2138Ай бұрын
Pole sana mama hao watakua kunaki2 wanata
@user-cx7rh6jt6yАй бұрын
Hama hio nyumba my jihami kabla y hatari Mungu awanusuru inshallah
@mapishiyalulu969623 күн бұрын
Bora uweke camera itakusaidia kiasi flani pole sana dada
@homeofvideos8893Ай бұрын
Mashallah mwanaamina ❤
@nassorsubah310023 күн бұрын
Hatari zanzibar
@chamandaayolaiza1535Ай бұрын
ALLAH USAFISHE MOYO WKO DDA UZID KUUSTIR MWILI WK
@dilipdab3714Ай бұрын
Huyo.mama.itakuwa.anafatiliwa na.uslamma wataifa pengine kuna matukio wanafanya hao mama wamjini umeona huko alipo nyumba ipo peke yake ma mwisho wake mutauonaa wana jambo wanafanya hao chini ya kapeti hao niusalamm wataifa watu weupe ndio zao mazambe zambe
@petermdoe4691Ай бұрын
Wanautaka mzigo huo, umeumbika mashallah. Waki kukamata hao sijui... Naomba Mungu awaepushie mbali, jaman uje huku kwangu.
@jokhaali5893Ай бұрын
Bi Amina unatakiwa kubakwa wewe na watoto. M. Mungu atawalinda
@michaelmaziku991Ай бұрын
Daah muheshimiwa hakika alikuwa analala kwenye usingizi mzuri
@bkkomesho9272Ай бұрын
Tuachane na uvamizi, ila we mzuri bhana hadi unakera
@jackmabirangacharles9398Ай бұрын
Kamanda unasema jku Wazuri wamesomea , Mama anasema Askari walijificha hapo mpaka mtu afe ndio mtakuwa Bize sana
@GraceMakenga-zd1vnАй бұрын
Mulize mumeo vizurii
@MiriamAbdallahАй бұрын
Tena we kiboko na mawazo yako
@majumaatieno564027 күн бұрын
Pole mama Aisha perera ....hao wezi wakome
@aminafarouk506224 күн бұрын
Asante teacher Mwajuma
@user-gc1ez1yv4kАй бұрын
Upuuzi mtupu ,mke wa balozi mchepuko,kuwa wazi usituletee vioja, mambo bara, yameingia lini znz !!Mizigo ya ccm.
@mohamedsaid2882Ай бұрын
Inamaana yeye ni nyumba ndogo ama hajaolewa kabisa??
@MiriamAbdallahАй бұрын
Mbona utata
@user-tw5er2qh3qАй бұрын
Pole sana mama 😮😮😮😮😮😮😮
@msafirisaimoni9561Ай бұрын
Mimi nimsaidie kumlinda mke wa mstaafu
@FaridiMohamed-dd4hrАй бұрын
Mlinzi kaz yake ni kulinda sio kujificha
@KassimAlly-xp4dz28 күн бұрын
Ulitaka wafanyaje
@SmokeylucasАй бұрын
Hiyo ni siasa. Wanamtafuta mumeo
@user-bl4sy5ei1kАй бұрын
Balozi anajua kuchagua mke ana kishundu hadi raha
@silimangwali918123 күн бұрын
Ajla itakuaje kama mama yupo hiv, ayo mtuoneshe na ao watoto bas
@Kabwela776Ай бұрын
Kwa nini mume wako awe comoro wewe uwe Zanzibar inawezekana mume wako amedhulumu mtu Na ungeama mfuate huko comoro watakuja kukua hao watu
@Onlyforfun1992tubeАй бұрын
Kabisa kabisa Yan we unawaza kama Mimi subiri tuone
@user-gj2mm3ko8m29 күн бұрын
Serikali mpe Ulinzi is Na hao watu ashikwe, Ama serikali yetu ya Kenya Uje imusaidie🇰🇪😭😭😭😭
@faiasap8307Ай бұрын
Daah b mwanaamina akikaa haumii maana ana sit protector
@giftkelvin7Ай бұрын
Mungu anakulinda, hayo yalimkuta gwajima usiogope
@rajabmsinzia1715Ай бұрын
MashaAllah bonge la toto dah
@seifhabib5987Ай бұрын
Amina una Kiuno ww Mheshimiwa Anafaidi
@nuhumaalim4976Ай бұрын
😂😂😂
@SaidIssa-tq3yvАй бұрын
Sio katika mafundisho ya mtume s.w.a jifunze kuandika usisifu maumbile ya wake za watu . mwenye zimngu atuongoze sote Amin.
@user-wk1ix1gm1pАй бұрын
Pole sana mama , lakin unazungumza mimi ninakutizama to nasahau hata kama unazungumza , mashaallah wewe ni mrembo .
@abuuqamar58Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@barikiwa2229 күн бұрын
Dah wazidishe ulinzi
@oman1oman179Ай бұрын
Muonekano wangu mimi naona hio ni fitna y madaraka chamuhimu wahame kwanza hapo
@brysonkaale3003Ай бұрын
Walinzi wanaolinda nyumbani kwa balozi,walinzi hao wanaona wavamizi wanaingia ndani ya LINDO lao wanakimbia kwenda kujificha!!,Kuna maana gani kuwa na walinzi ikiwa hawamudu kukabili wahalifu!?
@nasraissa4873Ай бұрын
Majumba mazuri yanamitihani hawana raha vo wenye majumba mazuri