SABRINA ALIYELIA KWA MAKONDA ALIMWA TALAKA, APOTEZA BILIONI 1 AUMIZWA KUKOSA MAGARI MANNE

  Рет қаралды 165,242

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 690
@witneskihega8971
@witneskihega8971 4 ай бұрын
Pole sana kwa maumivu dada. Ukiona jambo unatumia sana nguvu na haliwi kama unavyotaka, basi ujue yamkini hayo ndo mapenzi ya Mungu kwako. Achilia mali na maisha ya nyuma. Anza upya kabsa. Siku za mbeleni utamtukuza Mungu. Utapata amani ya roho ambayo ni muhimu kuliko mali. Geuza kisogo chako uanze maisha mapya. Maisha yatakuwa magumu mwanzoni hasa ukikumbuka mali zako, ila achilia na ujipe moyo mkuu. Nimejaribu kutizama hili jambo kwa jicho la tatu.
@redemptervictor5006
@redemptervictor5006 4 ай бұрын
Aiseee
@eliachaula6542
@eliachaula6542 3 ай бұрын
Hakika wewe nimuungwana🙌
@ndeenengomselle1267
@ndeenengomselle1267 3 ай бұрын
Pole sana Sabina Mungu akutetee....nafahamu mlivyopendana mlipokuwa na maisha ya chini....acha Mungu atashughulika naye
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 4 ай бұрын
Pole sana dada angu......hayo ni mapito tu, malipo ni hapa hapa duniani. Ni swala la Muda tuu.
@bakari-si1pw
@bakari-si1pw 4 ай бұрын
Yeah true👂
@NoelaKitali
@NoelaKitali 3 ай бұрын
Mp O.ko​@@bakari-si1pw
@molom5027
@molom5027 4 ай бұрын
Pole sana dadangu. Ngojea tu na angalia ukiomba. Mungu atakuonyesha kitakachotokea.
@SophiaAthumani-ri4lu
@SophiaAthumani-ri4lu 4 ай бұрын
Pole Sabina nakujua sana wewe ni mpambanaji mungu akuongoze upate haki yako
@JustineWangi-j2t
@JustineWangi-j2t 4 ай бұрын
Pole sana dada siku zote mungu husaidia mwenyehaki,mahakama za sasaiv ni uozo mtupu nakushauli endelea kumwamini mungu ulikuwa ufe wewe ni nema ya mungu tu .
@leokamil6284
@leokamil6284 4 ай бұрын
Mahakama ni mtihani tuu fedha inaongea,ndio maana nchi nzima kesi tupu watu wanalia haki hakuna
@KhadijakassimMwaipaya
@KhadijakassimMwaipaya 4 ай бұрын
Pole.sana
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
Kwani makonda aloshindwa tena? Tunalishwa matango pori na wanasiasa? 🤔
@leokamil6284
@leokamil6284 4 ай бұрын
@@MiriamAbdallah Watu wa nchi hii hawana thinking capacity,yaani upeo wetu ni mdogo sana.Yule alitufunga akili za kujitambua kutambua haki zetu binafsi alituweza sana akatubrainwash kuwa kibatari ndio sign ya ati Revolution wakati tuliipata kwa Wakoloni bila kumwaga damu .Hiyo ni whichkraft cos hatuko sawa.Ati unapelekea shida yule ambae yupo miaka yote Madarakani huo ni ufala. Kuanzia Mwaziri watendaji ni hao hao hivi hao wote wanaoripotiwa kuanzia Polisi nani aliwajibishwa hii ni Taktik da ku fool watu ili waamini CCM wawape kura wakisahau hawa ni hawa hawa wanajua kucheza na mind za watu.Shida wamezifuga then wanapritend ati ni watatuzi .
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 4 ай бұрын
Pole sana mwanangu wewe. Ulipougua ndipo alipata mwanya wa kuwa na mchepuko, alidhani utakufa. Ninachoweza kukushauri, hembu mwachie hizo mali, angalia maisha mengine.Tafuta amani kwanza. Nyumba na magari vitabaki duniani huwezi kwenda navyo mbinguni. Mungu akutie nguvu na ujasiri, achilia, kama wewe ndio ulikuwa muongoza njia kwa hiyo nyumba hembu utulie utapata jibu.
@OmanOman-ns3iw
@OmanOman-ns3iw 4 ай бұрын
Wewe nimimi kabisa ninavyoipenda amani kuliko chochote
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 4 ай бұрын
Akisoma hii comment naomba aitilie maanani
@OmanOman-ns3iw
@OmanOman-ns3iw 4 ай бұрын
@@ruqaiamohammed345 tena azingatie
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 4 ай бұрын
@@OmanOman-ns3iw sana yan
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 4 ай бұрын
Wewe hujui kabisa biashara. Yaani apambane maisha yote alafu mume wake achukue kika kitu na watoto wao waishi ya umaskini?! Ebu tumieni akili. Au wewe ni ndugu wa huo mchepuko?
@tnftz1461
@tnftz1461 4 ай бұрын
Dada anaonekana ana hofu ya Mungu mwanaume Hana hata chembe kakamatwa na malaya😭🙌 hiv mwanamke kama huyu namwachaje jaman anavoongea kwa huruma iv🤔🤷
@agnesmartin5716
@agnesmartin5716 4 ай бұрын
Daah jaman wanaume angalie sana
@bufurechristian5094
@bufurechristian5094 3 ай бұрын
Unawajua wanawake vizuri wewe
@ahz6907
@ahz6907 3 ай бұрын
Jichanganye😂
@joelnjuguna7777
@joelnjuguna7777 3 ай бұрын
Jambo usilolijua ni usiku wa giza
@Ontuzu
@Ontuzu 3 ай бұрын
Kwenye haya maisha usimsikilize mtu mmoja wasikileze wote yawezekana akija kuongea mwanaume aliyopitia kwa huyo mama tutabaki mdogo wazi ogopa sana mtu anayeongea huku analia au anayeongea kwa upole ni nyoka
@hyasintasilayo8952
@hyasintasilayo8952 4 ай бұрын
]Pole sana dad,omba kwa nguvu zote maan hakna kigumu mbele za mwrnyez Mung
@ssaa7495
@ssaa7495 4 ай бұрын
Pole sana mama, pengine Mungu amekuepusha na mengi. Kwa sasa hivi wewe Sali sana mtegee Mungu
@abdulnaseermrisho4342
@abdulnaseermrisho4342 4 ай бұрын
Daaah kama anayosema huyu mama ni kweli,basi kuna viumbe ni mashetani
@AwardHakimu
@AwardHakimu 4 ай бұрын
Siku zote watu wanavyosimulia Kuna mambo huwa wanaficha kwaiyo utakiwi kuamini Kila kitu
@bockerNyarusahi
@bockerNyarusahi 4 ай бұрын
Umemsikiliza na mlalamikiwa?
@abdulnaseermrisho4342
@abdulnaseermrisho4342 4 ай бұрын
@@bockerNyarusahi kwenye kusoma kuna hivi vitu 1.Kusoma 2.kuelewa Ukisoma kitu unatakiwa na kuelewa,sio unasoma kama unasoma token za Luku
@annasolomon9855
@annasolomon9855 4 ай бұрын
​@@AwardHakimuKuna kitu kina itwa saikolojia😂 kwa hio tumia hio pia na kama hujui utabaki kusema utumbo
@AwardHakimu
@AwardHakimu 4 ай бұрын
@@abdulnaseermrisho4342 kwaiyo wewe unaijua sana saikolojia mpaka unaweza kuelewa saikolojia ya mtu anae ongea kwenye tv aiseeh kwanza ondoa neno utumbo kwenye comment yako kutoheshimu maoni ya wengine ni upumbavu mkubwa sana
@LindaMbilinyi-n3n
@LindaMbilinyi-n3n 4 ай бұрын
Ila wanaume naishiwa maneno aiseee😢😢😢😢😢yaan ni viumbe hatar sana kwenye maisha yetu,,,,,,ndo chanzo ya kutukosesha aman
@marykennedymarwa1641
@marykennedymarwa1641 4 ай бұрын
Wanawake lazima tujikubali, na kujipenda . Kupewa talaka ndio mwanzo wa maisha mapya, simama na mungu atakupigania
@EvelyneMsaki-y4w
@EvelyneMsaki-y4w 3 ай бұрын
Dada weeee hujielewi wewe inaoneka una shida
@Tg.7_7
@Tg.7_7 4 ай бұрын
Pole Sana Dada! Nakuombea umwachilie na kumtoa moyoni huyo jamaa na kumove on itakuletea shida mno na hata umauti pengine!! Move On!!
@ZakiaAhmedi
@ZakiaAhmedi 4 ай бұрын
Kwel amuachiye Mungu aanze maisha umpya ajifunze kutoka kwa Queen wa dr mwaka sas hivi anaishi maisha ya amani na furaha zaid tujifunze kutafuta mali zetu wenyew 😢
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 4 ай бұрын
Pole sana, dhuluma huwa haivuki ng'ambo. Chukua haki yako hata kama ni ndogo, pambana kwa upya ni suala la muda huyo atarudi kwa magoti kuomba msamaha.. Ni jambo la kusikitisha sana maana mahusiano ya nyakati hizi bila Mungu kutangulia mbele ni disaster tupu. Nipange kwa upya, kikubwa uzima mengine yatakuja.
@TherezaJunior
@TherezaJunior 3 ай бұрын
Dada usiari mm Happ niliacha Kila kitu ila nilibeba wanangu tu lakini kwa Sasa ninamiliki majumba mawili na gari yangu vyote nilivyomwachia viliisha lizika atakachokupa mungu atakiongezea vingine hutaamini
@PrinceWandwe-bo2ps
@PrinceWandwe-bo2ps 4 ай бұрын
Huyu Dada yuko smart sana na kama anachokiongea kingekuwa ni uongo maelezo yake yangekuwa na mikato mikato mingi lakini anaonekana anaingea bila utata pole sana sister
@misschagga8042
@misschagga8042 4 ай бұрын
Kabisa ukimsikiliza tu unapata jibu shida ipo kwa mume na kimada kimeshikilia makali.
@amosstimamaroba1054
@amosstimamaroba1054 4 ай бұрын
Don't trust a girl in a first impression pls
@MansaMusa255
@MansaMusa255 3 ай бұрын
​@@amosstimamaroba1054 uko sawa kabisa
@Siasia209
@Siasia209 3 ай бұрын
Wewe ndio utakua uyo mumewe maana umekazana kumsema dada wa wawatu​@@amosstimamaroba1054
@EdnaMbowe
@EdnaMbowe 4 ай бұрын
Dada Pole Muombe Mungu wanawake tunapitia mengi ya kuumiza. Mungu akufanyie wepesi
@RoanCorporation
@RoanCorporation 4 ай бұрын
Anaonekana amepata maumivu kweli , pole Dada
@omarymbaraj8072
@omarymbaraj8072 3 ай бұрын
Makubwa kweli
@reginaedward4883
@reginaedward4883 4 ай бұрын
Pole sana dadangu wachana na yeye kubali talaka mgawane Mali. Wewe ni mpambanaji and l believe you can do it.
@khamisally9559
@khamisally9559 4 ай бұрын
Huyo jamani bila kukamatwa na kuwekwa ndani huyo dada huwezi kupata haki zake. Wamkamate aekwe ndani kama wiki mbili hivi akili ndio zitakaa sawa. Huyu Julius ni mshenzi sana halafu anajifanya mtu wa Mungu. Ovyooo kabisa.
@scholarmassawe6380
@scholarmassawe6380 4 ай бұрын
Huyu anatumia nguvu ya hela hawezi kukamatwa.
@Sarah-o5u9t
@Sarah-o5u9t 4 ай бұрын
Pole sana ndugu yangu , mm yalinikuta hayo mwanaume aliniacha bila hata100 alificha kila kitu akijua ananikomesha kisa kapata askali mwenzie mpaka godolo kweli inauma usiombe yakukute lkn Mungu alinifungulia njia niko vzr zaidi yasana ,shukuru Mungu malipo nihapa hapa vitu nivyakupita hivyo
@Onlynewupdates01
@Onlynewupdates01 3 ай бұрын
Bora nipatane na mwenye zake na mimi niwe na zangu upendo tu utupnganishe mambo yakutafuta wote mwishoni ni maumivu maana anaeonekana mtafutaji machoni pa watu ni mwanaume mwanamke anaonekanaga ameolewa tu kumbe wengi ni 50/50 hakuna mwanaume mwenye pesa zake ana mke shepu au sura …wanasema ndege wanaofanana huruka pamoja ilakwasababu mwanamke anamuacha baba awe kichwa badae mwanaume anatumia njia hio kutapeli wakati utakuta apo yeye ana 45% huyu dada ana 55% yuko very calm and clear hajapanic kama anataka watu tumuone huruma …she speaks from her heart
@baddestgames2784
@baddestgames2784 4 ай бұрын
Uyo mwanamke kamuloga mme wako dada angu adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie Mungu atakusimamia mamaa
@brysonjohnlukumay
@brysonjohnlukumay 4 ай бұрын
Daah huyu mwanamke ana hekima mno
@innocentpaulchillu1512
@innocentpaulchillu1512 4 ай бұрын
Huwezi jua,anaweza akawa anaonekana anahekima kwa kumtazama lkn deep inside yuko tofauti kabisa
@mwanaidimrindoko4117
@mwanaidimrindoko4117 4 ай бұрын
Hapana mtu mwenye hekima anaonekana tu kwa mahojiano yote hayo changanya na maumivu Kuna ki jitabia angekionesha tu
@dismasdastan5493
@dismasdastan5493 4 ай бұрын
​@@innocentpaulchillu1512uko sahihi wanao shabikia kwa kuangalia tu hawana familia na hawajawahi pitia haya matatizo....Ngoja wakue
@hemedmsella6496
@hemedmsella6496 4 ай бұрын
Wanawake ni waongo hakuna kitu kama hicho​@@mwanaidimrindoko4117
@nancyg8664
@nancyg8664 4 ай бұрын
​@@innocentpaulchillu1512kweli kabisa
@WardaFashion-n3y
@WardaFashion-n3y 4 ай бұрын
Huyo baba asubir kisasi cha watoto wake hatakaa amini maisha yake yote Kwa haya anayoyafanya mn wanamtizama mama yao anavyohaingaika kl siku kwny media 😢
@abdultandala6576
@abdultandala6576 4 ай бұрын
Usihukumu kama haijasikilizwa upande wa pili
@roseberryhamoud6542
@roseberryhamoud6542 3 ай бұрын
Kama ingekuwa ni mimi hatokuja kupatana na watoto.
@jacksonkagubho7029
@jacksonkagubho7029 3 ай бұрын
Wazaz wa kiume ni rahis sana kuwakacha watoto wakileta ujuaji 😂
@naomipieter4627
@naomipieter4627 4 ай бұрын
Mtulie mimi mjane namshukuru mungu mume miaka 24 yandoa katwaliwa kaend kwa amani .maisha yaha
@rosehaule6765
@rosehaule6765 4 ай бұрын
Pole mbona Mungu ni mwema sana anakuepusha na jambo fulani❤ shukuru sana
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 ай бұрын
Duh mwanamke ukiwa na mali au akili ya pesa kuwa makini sana , Sisemi zaidi
@winnemassawe8123
@winnemassawe8123 3 ай бұрын
Sanaa kuwa makini sana
@Bise270
@Bise270 3 ай бұрын
Kweli kabisa,noted.
@golebenson4597
@golebenson4597 4 ай бұрын
Mwandishi hongera sana umeuliza swali mzuri kusikiliza upande mmoja na kuhukumu ni mbaya ninachokiona mwnaume amemua kupambana(kimyakimya kiume.huenda dume limetendewa kitu kizito akaamua kupambana kimya kimya🎉🎉.uyu dada anaharibu ndoa yake na watoto aache kuhamgaika na media atafute suluhu Kwa njia salama sio kuongea mambo ya familia yake hadharani makokosa makubwa anaendelea kutenda
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
Penda sana point yako ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉ni aibu kutoa mambo ya ndoa mitandaoni naona Kuna mtu anamdanganya hu mwanamke, hongera ya mwanaume kuwa kimya, aibu hata watoto unyimwe Kuna shida
@nancyyesse1380
@nancyyesse1380 3 ай бұрын
One strong thing is ,ukiacha mali yako ipotee bila kupambana ni dhambi…pambana ikishindikana let it go ,karma is gonna hit him so baaad 📌
@FelisterMunissy
@FelisterMunissy 4 ай бұрын
Utashinda dada mungu atapigana hv vita huyo malaya anayekula n huy mwanaume omba mungu atawaua wote huyo mwanaume hana mda mrefu lazma ataanguka chini
@joyce55727
@joyce55727 4 ай бұрын
Dada yangu najua ni uchungu sana pia mm niliyapitia km hayo miaka 10 iliyopita na sasaiz hanipati kwa mafanikio km Mungu ndie mpaji basi atakupa zingine ili uepushe roho yako kubal tu hizo unazopewa anaweza kukumaliza huyo mtalaka wako
@joyce55727
@joyce55727 4 ай бұрын
Km kuacha mali zako ni zambi bas Mungu atakusamehe endelea kumuomba Mungu pia pambana bola upate zako uish kwa amani unaweza ukazipata hizo mali unazo taka kutoka kwa mtalaka wako lakin usiwe na aman najua unaumia sana ila jikaze
@Sarah-o5u9t
@Sarah-o5u9t 4 ай бұрын
Kabusa
@AmisaIkungeta
@AmisaIkungeta 4 ай бұрын
Inaumiza sana, sana,, daaaa... Aiseeee.. Wanaume, wanaume, wanaume.. tatizo. Nini???
@rasheedabby2871
@rasheedabby2871 4 ай бұрын
Mwanamke mwenzake kapindua meza daaah
@miriamdavis3893
@miriamdavis3893 4 ай бұрын
Atakufa kama inzi huyo
@machakuroger7068
@machakuroger7068 4 ай бұрын
Neema huyo, si mke ni kimada tu inaonekana
@emmanuelmanga25
@emmanuelmanga25 4 ай бұрын
Mnaosema maneno ya kumshutumu mwanaume, mnajua magumu aliyopitia kwenye hiyo ndoa?, mmesikia upande wake anasemaje?. Mm nipo katikati, sijui yupi atakuwa na sababu maalumu.
@FranklinMtei
@FranklinMtei 4 ай бұрын
101%
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
MUNGU nisamehe matatizo ya ndoa hayapelekwi kwenye mitandao turudi kwenye Mila na desturi zetu Kuna suluhu huko
@bintnouh4483
@bintnouh4483 4 ай бұрын
nyie ndo walewale
@joycemfuru4752
@joycemfuru4752 3 ай бұрын
kama ni mwanaume kweli ampe Mali zake
@happinessakim2679
@happinessakim2679 3 ай бұрын
Pole sana muhanga mwenzangu,,,,, mim nilishindwa kujitetea nikapokonywa kila kitu Namshukuru Mungu,,,, nlpo nalea wanangu kwa Sasa,,,, 😢😢😢
@lindaabraham5365
@lindaabraham5365 3 ай бұрын
Pole sana, afya pekee ndiyo mtaji, kama una afya njema inuka pambana tena. Pambania tu hiyo nyumba msigawane basi magari na vingine mwachie kama sio haki yake vitapukutika vyoteeee. Mungu atakubariki atakupa zaidi. Ogapa sana watu wanaopenda mali kupita utu wanaweza kukufanya lolote baya.
@mazaramatucha
@mazaramatucha 4 ай бұрын
Balance story sio kusikiliza upande mmoja tu, pia pata wanasheria watafsri. Please grow
@Kisimatigin
@Kisimatigin 4 ай бұрын
Tena unaweza kuta jamaa anapitia magumu sana hawa waone tu wanaongea kwa utulivu ni nyoka akili kisoda
@amanibwire4423
@amanibwire4423 4 ай бұрын
Na angekuwa na hekima asingeenda kwenye vyombo vya habari, Wala kwa mkuu wa mkoa wanaume tunapitia mengi zaidi
@barakangila9856
@barakangila9856 4 ай бұрын
Nikweli
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
Ndao zikishafika kwenye mitandao kurudia ni ngumu na hata wskirudiana amani hakuna, kwani huko hakuna mabibi, mashangazi, wajomba, baba mkwe na mamamkwe na ukoo? Aibu, na mali ni Nini kwani kwa MUNGU tunaenda na kitu, achane na hayo mambo ya mitandaoni ni ujinga
@AnnaMathias-h3s
@AnnaMathias-h3s 4 ай бұрын
Dada Mlilie mungu wako wewe muachie mungu afanye kazi yake piga goti kwa mungu atakusikia
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 4 ай бұрын
Jamaa Amekosa Mke.. Yani Mke kweli...Mke Mwenye Akili nyingi Sana...hata Atakaempata Bado Ni Mke Mwema na Bora sana..Anaitaji faraja na Matunzo..na kumsahaulisha hote yaliyopota na kuanza Maisha Mapya.Allah Amfanyie Wepesi In sha Allah .
@MansourKabuhaya
@MansourKabuhaya 4 ай бұрын
Umetumia vigezo gani kumuona ni mke Bora na mwema?? Unamjua mke Bora wewe?? Acha kucomment ushamba, kisa umeona ongea yake tu keshakuwa mke bora, je vigezo vya kuwa mke bora vinasema akiongea vizuri tayari mke bora sioo??? Acha ufara
@danielgadiye7983
@danielgadiye7983 3 ай бұрын
Bro fanya research utanishukuru mwanamke anatoka kufanya unashuhudia kwa macho yako piga ua anakuambia sijafanya aliyekuambia kaachwa kwasababu ya tamaa ya mali na mumeo kakupoteza so kweli mama kanyanyua mguu mzee kasanda mama anataka huruma na jamaa haelewi kuhusu hilo wanataka wapelekewe moto then wabaki kwenye ndoa zao hiyo kitu hakipo bro hakuna mjadala juu ya nani mwenye haki ya kutoka nje ya ndo ni baba tu katamani kwasababu tumeumbiwa tamaa wao wameumbiwa kupenda
@katobirch4759
@katobirch4759 3 ай бұрын
Snake snake then you snake cut left, sheria mpya inahitajika huwezi kuwa billionaire kwa kuosha vyombo wazee wa Cuba gonga like hapa
@janethhipolite1774
@janethhipolite1774 3 ай бұрын
Mikopo jamani..Haujasikia hapo amesema walikopa milioni 250 sijui
@TumainiNjema
@TumainiNjema 4 ай бұрын
Dada anaongea Kwa hekima Sana ingawa anadai Haki yake lakini Bado anaonyesha unyenyekevu. Mungu amsaidie apate haki zake. Aamen .
@alexwatae3165
@alexwatae3165 4 ай бұрын
Dah!! Pole sana Wanawake wenye hekika kama hawa kwa sasa Hawapo.. nimependa busara yako
@nicksonlyimo1562
@nicksonlyimo1562 4 ай бұрын
Pole sana ,lakini ujue tuu kua kanuni ya ki Roho Bado wewe ni mke halali wa Julius Hadi Leo ,ndoa haivunjiki kwani hakuna serikali yoyote duniani ilioanzisha ndoa ,ndoa ilianzishwa na Mungu mwenyewe ,mahakama za Dunia zinafanya kuachanisha ki binadamu tuu lakini sii halali kwa Mungu Neno la Mungu Soma Marko 10:1-12 mjue tuu kua Kila alie ingilia ndoa ya mtu yeyote awe mwanamume au mwanamke ajue hukumu inamngoja yeye na huyo aliekubali kuivunja ndoa ,moto upo na Wala faraja ya dini haimwokoi mwanadamu kwani wote watahukumiwa na Neno ,,kilicho fanyika hapo Dadaangu ni matokeo ya Uzinzi haswa wanandoa kutokua waaminifu na nguvu ya Mungu ukajitenga kusaidia kwani shetani hutafuta makosa Kisha kuharibu,uchawi umehusika Sana kuharibu ndoa za watu haswa endapo wewe dada au mumeo alishawahi kukosa uaminifu kwa mwenzie ,inahitajika binafsi umjue YESU na awe mwokozi wako Kisha uzame kwake na ugeuke kwa kuziacha dhambi zako Kisha samehe halafu omba Mungu aingilie kati ndoa yako,hata ukiolewa Leo Sheria ya Mungu hairuhusu uolewe Tena Hadi kifo kitenganishe watu wanakiuka Neno kutokana na kiburi na fedha imenunua haki za watu lakini Neno linadumu Milele ,dini pia hazisemi ukweli wa Neno na ndio maana zimeacha ukweli wa Neno na kuweka taratibu za kidini na madhehebu .Mungu aku tetee .Amina
@MansourKabuhaya
@MansourKabuhaya 4 ай бұрын
Sasa ndoa ni nini??? Kama mke na mume Hawako pamoja wala hawashiriki, kuna maana ya ndoa hapo?? Au wewe una maana nyingine tofauti na hiyo kuhusu ndoa??
@nicksonlyimo1562
@nicksonlyimo1562 3 ай бұрын
Ndoa ni muunganiko wa wawili ,mtu anapomuacha mwenziwe ni sawa na wewe kula chakula kwenye sahani Kisha ukaweka na makombo ulioyatafuna halafu unampa mwingine ayale ,nadhani utakua unafanya kosa Sana na dhambi kubwa ,ndugu ujue kua mke wa mtu haolewi na mtu mwingine hata Kama waliachana Bado kwa Mungu ni mke halali kabisa ,sii Mungu ameachanisha Bali ni kiburi cha dhambi ,uovu na tamaa ya mambo ya Dunia na kupenda sifa umaarufu na kupenda fedha ambayo ni chanzo Cha maovu yote, usije ukaolewa na mume alieacha mkewe ,ni dhambi ,Wala usithubutu kuoa mke alieachana na mumewe ni dhambi na Mungu anawaita ni makahaba hata Kama mlifunga ndoa ,hapo mmedanganyika Sana ,mbele za Mungu hukumu ipo na moto unawangoja wote walio achana hata Kama unatoa sadaka kiasi Gani (Mungu ha hongwi kwa lolote ) unathubutu vipi kuoa mke wa mtu na wasichana wapo wengi kiasi hicho ? Unaolewaje na mume wa mtu na vijana wapo wengi hivyo?? Neno la Mungu Linasema usizini ,mpende jirani Kama nafsi yako ,Wala usitamani mke wa nduguyo ,jirani yako Wala mjakazi wake Wala punda wake ,Sasa Kama hivyo ni dhambi je!! Wewe ulie oa na kuolewa unajionaje huoni umesha hukumiwa ???
@gloryexaudy8094
@gloryexaudy8094 3 ай бұрын
Sijajua unasomaje bibilia ila soma pande zoote biblia imeandika pia mume na mke wanaweza kuachana endapo kuna mmoja ni mwasherati sasa ujaona hapo kama mke amekimbiwa na mume kwenda kwa mwanamke mwingine teyar ni uasherati huo Jua kutofautisha uasherati na uzinzi Uasherati ni kwa wanandoa kutoka nje ya ndoa Uzinzi ni mtu yoyote ambaye hajaoa au kuolewa akakuwa amezini
@nicksonlyimo1562
@nicksonlyimo1562 3 ай бұрын
@@gloryexaudy8094 yote sawa tuu ,hukumu ni moja tuu ,ila swala ni kumilikiwa mwanamke na kumilikiwa mwanamme kwa kua wameunganishwa ki ndoa,ukiachana my friend inakupasa kukaa hivyo au kusamehe muendelee kuishi .,YESU hajaruhusu walioachana kuoa Tena Wala kuolewa Tena soma vizuri utaona na ujue YESUni MUNGU ,Paulo anasema kama mmoja ameamua kuondoka na aondoke lakini hapo sii BWANA Bali ni yeye ameshauri kama vile Musa nae alivoshauri watu kupewa talaka na sii Mungu aliagiza Hilo Bali Musa .
@nicksonlyimo1562
@nicksonlyimo1562 3 ай бұрын
@@gloryexaudy8094 Mungu alisema Hadi kifo kiwatenganishe ,(ni nani mwenye Mamlaka ya kutangua agizi la Mungu ????) Maana ya Neno kifo inamaanisha hakuna namna ingine ya kurekebisha ni ikae kama ilivyo .
@GraceGoodluck-n7t
@GraceGoodluck-n7t 3 ай бұрын
Hiv Wanaume huwa mnalogwa kichwan kushuka chini au ni chin kupanda juu maana inashangaza eti unawasisa hadi watoto wako ni nini lakini????😢
@fredrickkomba7545
@fredrickkomba7545 3 ай бұрын
Itakuwa chin tu Hapo hapo
@JumannehassaniomaryJumannehass
@JumannehassaniomaryJumannehass 4 ай бұрын
Utapata mume namtapendana namaisha yatasoga I'm formo Rwanda Kigali 🇷🇼🇷🇼
@Siasia209
@Siasia209 3 ай бұрын
Ooooh!pole sana dada mshkuru Mungu Allah atakulipia malipo ni hp hp Dunian
@MaedaMm
@MaedaMm 4 ай бұрын
Wewe dada achana na hizo mali utakufa bule uache wanao wanateseka bora umuachie tu pambana upya muogope sana mtu anae kaa kimya usije poteza.maisha bule
@ziadasadiki8196
@ziadasadiki8196 3 ай бұрын
Mbona humshauri Mwanamme
@florencemeza6540
@florencemeza6540 4 ай бұрын
Dada yupo Mungu mtegemee tu UTASHINDA VITA SI VYAKO NI VYA BWANA
@shadrackdeogratius6760
@shadrackdeogratius6760 4 ай бұрын
Mpaka mwanaume aongee ndio tujue ukweli, wanawake wengi wanajua kulalamika, ila ukija kuchunguza mwanamke ni jau .mpaka mwanaume afanye maamuzi magumu ujue mwanamke ametaka nafasi ya mwanaume ndani.alafu Sasa hivi anatia huruma,ila hyu mwanamke Kuna majuto ya ndani.kwa wanao jua sychology
@salehekisebengo8554
@salehekisebengo8554 4 ай бұрын
Kweli kabsa ndugu
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
Usema Lina ukweli na huku anajidanganya hakuna haki bali ni kujidhalilisha na kuongeaz chuku
@innonyange6482
@innonyange6482 4 ай бұрын
Kweli ana majuto, anajua alifanyalo
@aishajuma18
@aishajuma18 4 ай бұрын
Kunamtu anakoment Sana namuhisi ndio mchepuko wa julias😅mwacheni apiganie haki yake
@golebenson4597
@golebenson4597 4 ай бұрын
Wanaumeee tunapigwa juuu chinii😢😢😢 uyo mama anaonyesha ni mjeuri sana 😢😢😢
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@aishajuma18
@aishajuma18 4 ай бұрын
Sasa kama mjeur si ampe Mali zake😊
@golebenson4597
@golebenson4597 3 ай бұрын
@@aishajuma18 unauhakika ni zake
@aishajuma18
@aishajuma18 3 ай бұрын
@@golebenson4597 Kumbe za kwako
@malikzafarani172
@malikzafarani172 4 ай бұрын
Daaah pole sana dada, wanaume muda mwingine sijui tunafeli wapi 🤔.
@MouhammedSeif
@MouhammedSeif 3 ай бұрын
yaan ata mm suali kama hilo najiuliza
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 4 ай бұрын
Ongeza maombi Dada Mungu ni mwema
@azzaalhabsi1505
@azzaalhabsi1505 4 ай бұрын
Pole sana dada.mungu atakulipia hapahapa duniani.usisikitike sana.mungu akupe afya na wanao na akufanyie wepesi kwa kila jambo.
@wilfredcalist4735
@wilfredcalist4735 3 ай бұрын
Hakimu wa pekee ni Mungu tu. Jipe moyo aliyekubariki atawajibu wote waliokudhulumu.
@julianamasato5655
@julianamasato5655 4 ай бұрын
mama pole sana jasho lako haritapita bure ,kunasiku ataripia .usione mungu abacherewa kujibu maombi enderea kuomba kwa imani .
@kidtoto4869
@kidtoto4869 3 ай бұрын
Noted!!, Ukipata mali ndugu na Marafiki wanakuwa Wengi!!
@habibamaguru2722
@habibamaguru2722 4 ай бұрын
Pole sana mwanamke mwenzang umepita kwenye mapito mungu pia atakusimamia kwa hili kazana sala na maombi
@arnoldrwekaza2265
@arnoldrwekaza2265 4 ай бұрын
Chanzo cha Julius kuondoka home ni kikubwa muno. Mambo hayawekwi wazi
@FranklinMtei
@FranklinMtei 4 ай бұрын
100%
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
Point ☝️
@bintnouh4483
@bintnouh4483 4 ай бұрын
umalaya ndo umemuondoa nyumbani
@zainabumohamed4763
@zainabumohamed4763 4 ай бұрын
Anavyosema dada mrembo neema ,kwa upole jamani😢
@AllenMwafilombe
@AllenMwafilombe 4 ай бұрын
Pole Sana Dada Mungu atakusimamia kwani unaonekana mcha mungu komaa kwani bado unaishi utafanikiwa
@gambigambi7254
@gambigambi7254 4 ай бұрын
Pole sana sabi but ni kujifunza kutozidgarau alama hatarishi inaonesha huyo baba ali move on kitambo but ulimpenda zaidi mwenzio ktk Safari yake hakukujumuisha na pili hukushtuka ktk structure ya kampuni na hisa alikuzunguka just move on mtangulize mungu mapenz yalikupofua mungu yu hai usipojihurumia wanao watakukosa cuz ur still grieving the guy wanted u out mungu kakupenda utazeekea court unaonekana mpambanaji kaanze upya Tu my dear
@maswamills3161
@maswamills3161 4 ай бұрын
Mungu akulinde mama , mmmhhhh siku hizi mali zinaua, mtangulize MUNGU kila upitapo .
@delverosedastan5730
@delverosedastan5730 3 ай бұрын
Mungu wa mbinguni akusimamie haki yako itasimama daima kwa jina la Yesu
@senziashwaibu3219
@senziashwaibu3219 4 ай бұрын
Huyu mwanaume nmemuelewa sanaa kawahi mapema kuchukua chake mapema ila huko alipoenda aangalie atapigwa na kitu heavy atajuta maishani
@RoverRoom
@RoverRoom 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂Kweli umesema
@bahatielias6443
@bahatielias6443 3 ай бұрын
Wanaume huwa hatuachi kiurahisi ukiona hivi mwamba alishaona mbali
@FrankDavid-en6on
@FrankDavid-en6on 3 ай бұрын
Kweli kabisa wanawake hawaeleweki anaweza kuongea ukahisi yupo sahihi
@farajiyusuph9019
@farajiyusuph9019 2 ай бұрын
dada ana pure heart mungu amsaidie
@shelizaomary2536
@shelizaomary2536 3 ай бұрын
Mwenye haki haachwi...pole dada...Mungu atakupigania
@VictorBugobola
@VictorBugobola 4 ай бұрын
Mwanamk awez kukuacha bila sbb Kuna kitu kizto hapo unaweza ukawa mpole wa muonekano lkn moyon wee acha tu sema maisha au ndoa Zina Siri kubwa....Sasa ulivyo mpole Mzur hivi jamaa anashndwa kurudiana nww Kuna kitu hapo chin ya kapet
@WinfridaFabian
@WinfridaFabian 4 ай бұрын
Chin ya kapet yupo malaya mbona jibu simple
@rosehaule6765
@rosehaule6765 4 ай бұрын
Mali ni shida wanaume wakipata basiii mnatafuta kwa shida kubwaa sana baadae anakimbia anakula na kimada baadae anarudii uwiii😢
@ChachaNyabare
@ChachaNyabare 3 ай бұрын
Huyu Dada mnafiki ogopa watu wahivyo wakuongea wanatafuta huruma Kwa. Watu kumbe unakuta yeye ndo chanzo Cha tatizo hakuna mwanaume anamuacha mwanamke mzur wew utakuwa na shida nakusikia unavyo ongea kuwa magari ni Yako kumbuka ulikuwa ni MKE kwahiyo kwenye magari hakuna jina lake ogopa wanawake wa hivi kujifanya wanaongea kama wanalia
@bahatielias6443
@bahatielias6443 3 ай бұрын
Ndivo walivo Hawa viumbe huwa wanaumimi sana
@George-r2u
@George-r2u 3 ай бұрын
Dada yangu pole sana, mwachie Mungu , usipiganie Mali mwenyewe, Mungu atakupigania
@salmanyangasa1171
@salmanyangasa1171 4 ай бұрын
Dah! Acheni TU Dida aishi mwenyewe Wallah...wanaume wanakua binadamu mkiwa hamna pesa mkipata TU hua zaidi ya mashetani maana hufanya mambo ambayo hata shetani huyashangaa mh
@saimalunde4002
@saimalunde4002 4 ай бұрын
Ndugu wakiingilia familia mambo ndio kma hya aiseee namshukuru mungu nina maisha yangu yakujua mimi maana hta maisha ya kakangu na mkewe sijui wanaishi vip😂i😂😂😂
@margrethemanuel7501
@margrethemanuel7501 3 ай бұрын
Mim jamani narudiaaaa...staki maskin mim kabsa...shindwaaaa pepo la maskin, shindwaaa, kweli Mwenyenz Mungu niepushe na mwanaume/ rafki maskin
@StelaJohn-nj5yf
@StelaJohn-nj5yf 4 ай бұрын
Dada kesho nenda viwanja vya Mageleza Kisongo..Kamuone Pastor Ezekiel
@selector728
@selector728 4 ай бұрын
Magereza sio mageleza
@hidhirhaji6830
@hidhirhaji6830 4 ай бұрын
😂😂😂
@EliasifiweMbise
@EliasifiweMbise 4 ай бұрын
Dah! Wanaume wanaume wanaume jamaniiiiiiiii. Pole dear tena sana na Mungu akuteteee huko kupooza kusiongezeke kwa ajili ya mawazo. Km ni kweli usemayo, tunamwamini huyu Mungu aliye hai, anayeona hata tusiyoyaona sisi alotuumba. Atajibu kwa wakati.
@Adamumwambiji
@Adamumwambiji 4 ай бұрын
Dada pole sana kama unajasho lako ktk Mari hizo ila jamani sis wanaume tuelewe kitu wanawake wanaoijiua Mari wako active sana ila wanakujaga kupoteza ramani baada yakujikuta wao ndo kila kitu kwani wao huwa wanahesabia Faida tu ivo ukizembea kuwasikiliza mambo huwa yanakua kizungumkuti sana lakini kuna haja yakuaminiana kama mmefikia kuzaa watoto wa3 ninyi ni ndugu wa damu, pia kaka hawa wanawake wanaotupenda tukiwa tayari tunamafanikio lengo Lao ni mafanikiona sio maisha ivo tujiadhari kuwatio machozi tuliofanikiwa nao ktk nyakati ngumu.
@YosephaSwai
@YosephaSwai 4 ай бұрын
Shetani yupo kazini kwenye eneo la ndoa.Watu hawapo makini ila hili eneo limevamiwa sana na source ya yote ni sisi wanawake wenyewe kuingilia mahusiano au ndoa za watu wengine .Hapo ukute mwanamme anafanya maamuzi kwa shinikizo la neema kwa sababu ninachoamini kwa mtu mwenye akili timamu ambaye kweli ulimuoa mke wako na mkazaa na watoto hata kama mnaachana ni mnaachana kwa amani na kwa kuangalia ustawi wa watoto wenu.Niaminivyo mimi kama mwanamme amemchoka mwanamke huwa anaondoka kutafta amani kama ndio ilikua haiwezekani tena na hutaona anadhulumu chochote kwani anajua vyote hivyo ni vya watoto wake.Na kuna ambao mapenzi yanakua yameshakufa lakini for the sake ya watoto unakuta wanatafta namna nzuri ya kuachana pasipo kuwaathiri watoto.Nina kesi nyingi za namna hii nimekutana nazo za ndoa kuharibika lakini ukimuangalia mwanamme anachofanya unajua kabisa sio akili zake. Wanalogwa bagamoyo kila kukicha wanawake wanakesha huko kuwaloga maskini akimuangalia mkewe anaomuona kama Paka mwizi.Na wanaume wanatakiwa kutumia akili ya kawaida tu kuwa kwa mwanamke aliyekupenda kwa dhoti hawezi kuikubali nyumba ambayo hakuijenga au Mali ambayo hakuitafuta ,kama anakupenda kweli atakushauri mkaanze upya na alivyokukuta navyo uwaachie watoto wako na mke wako ,hapo ndio kinakua kipimo pekee cha mwanamke huyo mpya kumjua moyo wake na mawazo yake.Lakini ukiona anang'ang'ania hata visivyo vyake na wala hajali ustawi wa watoto wako ujue hata wewe hakupendi ana kitu kafuata kwako.Wanamme stukeni jamani mnalishwa vitu vya ajabu fahamu na akili zinaharibiwa.
@benedictamuya1437
@benedictamuya1437 4 ай бұрын
kata rufaa kwani sioni kutendewa haki hapo kwenye mgawayo, pili mgungie novena ya soku tisa Mungu atayakibu maombi yako, pole mno mama
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
Novena ya siku tisa kama ana kosa nae kidogo tuu nae itamdhuru kuwa Malini na kitu novena
@sadalahitambujr1863
@sadalahitambujr1863 3 ай бұрын
Kwa Mungu kuacha haki yako ipotee ni dhambi, maana ni uzembe Mungu ni ngumu kukubariki tena. Huyu dada ni mwadilifu na ni mcha Mungu na ana Hekima kutoka kwa Mungu, Mungu Ataendelea kumwaga mibaraka kwake pamoja nakoonesha ku kukitafuta Kile kilecho chake haki ilipotoshwa sana aendelee kusimama kwa maombi maana kisasi ni cha Bwana Mungu mwenyewe. Maana hata Siri ya huo utajiri ni maombi. Bwana ambariki na kumlinda
@josephkate3664
@josephkate3664 4 ай бұрын
Ni kusikia upande mmoja inawezekana aliekuwa mumewe akikueleza unaweza shangaa
@shadrackdeogratius6760
@shadrackdeogratius6760 4 ай бұрын
Ukweli,ukiangalia uso wa hyu mwanamke unajua TU kuwa anampanda kichwani jamaa,et aliuza bila idhaa yangu😢😅
@monalisaally4387
@monalisaally4387 4 ай бұрын
Kwakweli
@نجمةموبيبي
@نجمةموبيبي 4 ай бұрын
Sasa si ndoazungumze tumsikie
@veromwanji
@veromwanji 4 ай бұрын
Hakika mambo hayo ni Siri , mwenyezi mungu ndio anajua
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
​@@نجمةموبيبيhuyu mwanaume hapendi mambo ya mitandaoni ndio maana Yuko kimnya,
@scholarmassawe6380
@scholarmassawe6380 4 ай бұрын
Dada Jamani Mungu akukutetee Mungu akufanyie njia hajawahi shindwa kabisa jipe Moyo najua unapambania hatima ya watoto wako. Mnganganie Mungu haswa
@Yanarichbiz
@Yanarichbiz 3 ай бұрын
Nilimuona huyu dada mara moja tu nikiwa naelekea ngaramtoni tukaongea kidogo sna (ni mdada humble sana)
@kelvnkalist7569
@kelvnkalist7569 3 ай бұрын
Mm naona dada achana nazo mungu atakupa .
@priscasway3492
@priscasway3492 3 ай бұрын
Pole sana dada mungu atafanya jambo juu yako
@MaliusMaliuskagumisa
@MaliusMaliuskagumisa 4 ай бұрын
Polesana mlembo ila uyojamaa iposiku atakujutia sana maana wewe nimwanamke aseee amepoteza
@uaridipaul547
@uaridipaul547 3 ай бұрын
Fear men, huyu ni mimi nilivyotolewa. Yaani Mali ilipo ongezaka tu shida ndio zilipoanza..Nimegeuza kisoho na kuanza upya.
@agnesmartin5716
@agnesmartin5716 4 ай бұрын
Pole san hakika ila mwanamke mwanamke usiruhus mwanamke mwenzio aliye kwa sababu yako my dear tafuta chako kunuwa maji ya kisima chako mwenyewe tuache maisha ya kulaaniwa na watu
@lotusnathan5918
@lotusnathan5918 3 ай бұрын
si vyema sana kuamin kila kitu hasa kusikiliza upande mmoja,wanaume wanapitia meng,wanaume wanacheat sana lakn mke ukijielewa hawez acha familia
@RachelMgimba-ge4jh
@RachelMgimba-ge4jh 3 ай бұрын
dada ukiendelea kugombania hizo mali unaweza kupoteza uhaidada mm nakushauri mwachie na usonge mbele mungu hamuachi mwanae apotea utainulia tena mara dufu mpaka mtalaka wako ashangae dada trust in God
@luciasteven3314
@luciasteven3314 3 ай бұрын
Au haujamsikia vxur😂kuacha haki yko ipotee n unajua n hski yko hyo ni dhambi n Mungu hawez kukubariki Neno l Mungu linasema ufalme wa Mungu unatekwa n wenye nguvu sasa huo niufalme wa Mungu sasa je ukiwa mayai utapata haki yko? Muache atete haki yke
@elymsakuzi6493
@elymsakuzi6493 3 ай бұрын
Pole sana mama lakn natamani nimsikie baba amepitia nn pia
@jamesloshilunye414
@jamesloshilunye414 4 ай бұрын
Huwezi kujua ukweli kwa kusikiliza upande mmoja,, wanawake wa kichaga ni kati ya wanawake wakorofi sana,ukimkuta mtu anaye ishi naye mpka mwisho ni wachache sana. Ili tupate ukweli inabidi tusikilize pande mbili ila tukiwa tunamsikiliza upande mmoja tutaishia kulaumu. Mwaka 2017 niliwahi shihudia kesi ya mdada mmoja wa kichaga na mume wake na chanzo chake ni mwanamke kutaka kumuua mume wake ili aridhi mali mwenyewe,, yule kaka naye alianza kwenda kwa waganga kumtoa yule mdada kwake mpaka akaja kufanikiwa. Kwa hiyo ni ngumu sana kuwaamini hawa watu ila kama hujakaa nao Karibu huwezi jua
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
Kweli ndoa hitakiwi iingiliwe ni vile watu hawajifunzi kutota kwa. wengine ukimya ni hekima na majibu tosha au kikaa pembeni na kukaa kimya , mi nilipitia hapo na hakuna aliyejua hata babaangu shangazi yangu tuu na ndiye alinishika mkono na Leo na heshimiwa na Kila mwana family
@mtakamaonline7748
@mtakamaonline7748 3 ай бұрын
Nini maana ya kuchinjwa sasa magari yanachinjwaje plz any one can let me understand
@sundayulomi9547
@sundayulomi9547 3 ай бұрын
Ni kufumua au kung'oa vifaa kwenye gari Zima, mfano utoa engine unauza, radiator unauza, body, exhaust pipe, dash board ets
@deonicemollel4205
@deonicemollel4205 4 ай бұрын
Jamani kuishi na hawa viumbe ni kazi sana hapo unaweza muona mwenye sura ya upole lakini hapo ndani pengine alkuw mnyama wanawke hapana ndyo mamazetu lakini duh ni shida tupu mpka mtu aamue kukupa talaka sio mchezo
@JohnsonBagambi
@JohnsonBagambi 4 ай бұрын
Ni changamoto kwelikweli
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 4 ай бұрын
Tuishi nao kwa Akili😂😂😂
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 4 ай бұрын
Kitanda usichokilalia hujui kunguni zake
@deonicemollel4205
@deonicemollel4205 4 ай бұрын
@@modestwenceslaus9 hahaha ni kweli lakini mwanamke akiamua kukufuruga hutaamini unawezo Rudi ziro kweny maisha hawa niwazuri hujamuweka ndani😒😒😒
@teddytedy248
@teddytedy248 3 ай бұрын
Dada Mungu yupo,kisasi ni juu ya Mungu,adui wa mwanamke ni mwanamke
@yusuphibrahim-yq9mv
@yusuphibrahim-yq9mv 4 ай бұрын
Nisa hihi hakuna kudhulumu au kudhulumiwa allahu amesema
@mwamvuamagongo8163
@mwamvuamagongo8163 4 ай бұрын
Daah!! Dunia sio mbaya Binadamu ndio wabaya
@eestermos9933
@eestermos9933 3 ай бұрын
Pole sana Mungu atakutetea
@jameslaiser6276
@jameslaiser6276 4 ай бұрын
SHERIA Haitaji SIASA....Makonda anaendesha mambo kwa mihemko na Sifa...Sasa Dada kaambulia nini zaidi ya Talaka?
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
James hakuna amani ya ndoa kwenye mitandao, Kuna jambo haliko poa tunakimbilia kwenye kwenye issue ya ndoa kweli?
Новый уровень твоей сосиски
00:33
Кушать Хочу
Рет қаралды 4,6 МЛН
Amazing Parenting Hacks! 👶✨ #ParentingTips #LifeHacks
00:18
Snack Chat
Рет қаралды 21 МЛН
Ничего не делаю всё видео 😴
00:33
Miracle
Рет қаралды 693 М.
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Fighting Spirit
Рет қаралды 3,3 МЛН
PROFESA MBELE AWASHANGAA WASHAURI WA RAIS
6:41
Wasafi Media
Рет қаралды 6 М.