Pole sana kwa maumivu dada. Ukiona jambo unatumia sana nguvu na haliwi kama unavyotaka, basi ujue yamkini hayo ndo mapenzi ya Mungu kwako. Achilia mali na maisha ya nyuma. Anza upya kabsa. Siku za mbeleni utamtukuza Mungu. Utapata amani ya roho ambayo ni muhimu kuliko mali. Geuza kisogo chako uanze maisha mapya. Maisha yatakuwa magumu mwanzoni hasa ukikumbuka mali zako, ila achilia na ujipe moyo mkuu. Nimejaribu kutizama hili jambo kwa jicho la tatu.
@redemptervictor50064 ай бұрын
Aiseee
@eliachaula65423 ай бұрын
Hakika wewe nimuungwana🙌
@ndeenengomselle12673 ай бұрын
Pole sana Sabina Mungu akutetee....nafahamu mlivyopendana mlipokuwa na maisha ya chini....acha Mungu atashughulika naye
@smartonlinetv51444 ай бұрын
Pole sana dada angu......hayo ni mapito tu, malipo ni hapa hapa duniani. Ni swala la Muda tuu.
@bakari-si1pw4 ай бұрын
Yeah true👂
@NoelaKitali3 ай бұрын
Mp O.ko@@bakari-si1pw
@molom50274 ай бұрын
Pole sana dadangu. Ngojea tu na angalia ukiomba. Mungu atakuonyesha kitakachotokea.
@SophiaAthumani-ri4lu4 ай бұрын
Pole Sabina nakujua sana wewe ni mpambanaji mungu akuongoze upate haki yako
@JustineWangi-j2t4 ай бұрын
Pole sana dada siku zote mungu husaidia mwenyehaki,mahakama za sasaiv ni uozo mtupu nakushauli endelea kumwamini mungu ulikuwa ufe wewe ni nema ya mungu tu .
@leokamil62844 ай бұрын
Mahakama ni mtihani tuu fedha inaongea,ndio maana nchi nzima kesi tupu watu wanalia haki hakuna
@KhadijakassimMwaipaya4 ай бұрын
Pole.sana
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
Kwani makonda aloshindwa tena? Tunalishwa matango pori na wanasiasa? 🤔
@leokamil62844 ай бұрын
@@MiriamAbdallah Watu wa nchi hii hawana thinking capacity,yaani upeo wetu ni mdogo sana.Yule alitufunga akili za kujitambua kutambua haki zetu binafsi alituweza sana akatubrainwash kuwa kibatari ndio sign ya ati Revolution wakati tuliipata kwa Wakoloni bila kumwaga damu .Hiyo ni whichkraft cos hatuko sawa.Ati unapelekea shida yule ambae yupo miaka yote Madarakani huo ni ufala. Kuanzia Mwaziri watendaji ni hao hao hivi hao wote wanaoripotiwa kuanzia Polisi nani aliwajibishwa hii ni Taktik da ku fool watu ili waamini CCM wawape kura wakisahau hawa ni hawa hawa wanajua kucheza na mind za watu.Shida wamezifuga then wanapritend ati ni watatuzi .
@margarethsolomon98234 ай бұрын
Pole sana mwanangu wewe. Ulipougua ndipo alipata mwanya wa kuwa na mchepuko, alidhani utakufa. Ninachoweza kukushauri, hembu mwachie hizo mali, angalia maisha mengine.Tafuta amani kwanza. Nyumba na magari vitabaki duniani huwezi kwenda navyo mbinguni. Mungu akutie nguvu na ujasiri, achilia, kama wewe ndio ulikuwa muongoza njia kwa hiyo nyumba hembu utulie utapata jibu.
@OmanOman-ns3iw4 ай бұрын
Wewe nimimi kabisa ninavyoipenda amani kuliko chochote
@ruqaiamohammed3454 ай бұрын
Akisoma hii comment naomba aitilie maanani
@OmanOman-ns3iw4 ай бұрын
@@ruqaiamohammed345 tena azingatie
@ruqaiamohammed3454 ай бұрын
@@OmanOman-ns3iw sana yan
@joycekisamo48964 ай бұрын
Wewe hujui kabisa biashara. Yaani apambane maisha yote alafu mume wake achukue kika kitu na watoto wao waishi ya umaskini?! Ebu tumieni akili. Au wewe ni ndugu wa huo mchepuko?
@tnftz14614 ай бұрын
Dada anaonekana ana hofu ya Mungu mwanaume Hana hata chembe kakamatwa na malaya😭🙌 hiv mwanamke kama huyu namwachaje jaman anavoongea kwa huruma iv🤔🤷
@agnesmartin57164 ай бұрын
Daah jaman wanaume angalie sana
@bufurechristian50943 ай бұрын
Unawajua wanawake vizuri wewe
@ahz69073 ай бұрын
Jichanganye😂
@joelnjuguna77773 ай бұрын
Jambo usilolijua ni usiku wa giza
@Ontuzu3 ай бұрын
Kwenye haya maisha usimsikilize mtu mmoja wasikileze wote yawezekana akija kuongea mwanaume aliyopitia kwa huyo mama tutabaki mdogo wazi ogopa sana mtu anayeongea huku analia au anayeongea kwa upole ni nyoka
@hyasintasilayo89524 ай бұрын
]Pole sana dad,omba kwa nguvu zote maan hakna kigumu mbele za mwrnyez Mung
@ssaa74954 ай бұрын
Pole sana mama, pengine Mungu amekuepusha na mengi. Kwa sasa hivi wewe Sali sana mtegee Mungu
@abdulnaseermrisho43424 ай бұрын
Daaah kama anayosema huyu mama ni kweli,basi kuna viumbe ni mashetani
@AwardHakimu4 ай бұрын
Siku zote watu wanavyosimulia Kuna mambo huwa wanaficha kwaiyo utakiwi kuamini Kila kitu
@bockerNyarusahi4 ай бұрын
Umemsikiliza na mlalamikiwa?
@abdulnaseermrisho43424 ай бұрын
@@bockerNyarusahi kwenye kusoma kuna hivi vitu 1.Kusoma 2.kuelewa Ukisoma kitu unatakiwa na kuelewa,sio unasoma kama unasoma token za Luku
@annasolomon98554 ай бұрын
@@AwardHakimuKuna kitu kina itwa saikolojia😂 kwa hio tumia hio pia na kama hujui utabaki kusema utumbo
@AwardHakimu4 ай бұрын
@@abdulnaseermrisho4342 kwaiyo wewe unaijua sana saikolojia mpaka unaweza kuelewa saikolojia ya mtu anae ongea kwenye tv aiseeh kwanza ondoa neno utumbo kwenye comment yako kutoheshimu maoni ya wengine ni upumbavu mkubwa sana
@LindaMbilinyi-n3n4 ай бұрын
Ila wanaume naishiwa maneno aiseee😢😢😢😢😢yaan ni viumbe hatar sana kwenye maisha yetu,,,,,,ndo chanzo ya kutukosesha aman
@marykennedymarwa16414 ай бұрын
Wanawake lazima tujikubali, na kujipenda . Kupewa talaka ndio mwanzo wa maisha mapya, simama na mungu atakupigania
@EvelyneMsaki-y4w3 ай бұрын
Dada weeee hujielewi wewe inaoneka una shida
@Tg.7_74 ай бұрын
Pole Sana Dada! Nakuombea umwachilie na kumtoa moyoni huyo jamaa na kumove on itakuletea shida mno na hata umauti pengine!! Move On!!
@ZakiaAhmedi4 ай бұрын
Kwel amuachiye Mungu aanze maisha umpya ajifunze kutoka kwa Queen wa dr mwaka sas hivi anaishi maisha ya amani na furaha zaid tujifunze kutafuta mali zetu wenyew 😢
@laurentraphael54704 ай бұрын
Pole sana, dhuluma huwa haivuki ng'ambo. Chukua haki yako hata kama ni ndogo, pambana kwa upya ni suala la muda huyo atarudi kwa magoti kuomba msamaha.. Ni jambo la kusikitisha sana maana mahusiano ya nyakati hizi bila Mungu kutangulia mbele ni disaster tupu. Nipange kwa upya, kikubwa uzima mengine yatakuja.
@TherezaJunior3 ай бұрын
Dada usiari mm Happ niliacha Kila kitu ila nilibeba wanangu tu lakini kwa Sasa ninamiliki majumba mawili na gari yangu vyote nilivyomwachia viliisha lizika atakachokupa mungu atakiongezea vingine hutaamini
@PrinceWandwe-bo2ps4 ай бұрын
Huyu Dada yuko smart sana na kama anachokiongea kingekuwa ni uongo maelezo yake yangekuwa na mikato mikato mingi lakini anaonekana anaingea bila utata pole sana sister
@misschagga80424 ай бұрын
Kabisa ukimsikiliza tu unapata jibu shida ipo kwa mume na kimada kimeshikilia makali.
@amosstimamaroba10544 ай бұрын
Don't trust a girl in a first impression pls
@MansaMusa2553 ай бұрын
@@amosstimamaroba1054 uko sawa kabisa
@Siasia2093 ай бұрын
Wewe ndio utakua uyo mumewe maana umekazana kumsema dada wa wawatu@@amosstimamaroba1054
@EdnaMbowe4 ай бұрын
Dada Pole Muombe Mungu wanawake tunapitia mengi ya kuumiza. Mungu akufanyie wepesi
@RoanCorporation4 ай бұрын
Anaonekana amepata maumivu kweli , pole Dada
@omarymbaraj80723 ай бұрын
Makubwa kweli
@reginaedward48834 ай бұрын
Pole sana dadangu wachana na yeye kubali talaka mgawane Mali. Wewe ni mpambanaji and l believe you can do it.
@khamisally95594 ай бұрын
Huyo jamani bila kukamatwa na kuwekwa ndani huyo dada huwezi kupata haki zake. Wamkamate aekwe ndani kama wiki mbili hivi akili ndio zitakaa sawa. Huyu Julius ni mshenzi sana halafu anajifanya mtu wa Mungu. Ovyooo kabisa.
@scholarmassawe63804 ай бұрын
Huyu anatumia nguvu ya hela hawezi kukamatwa.
@Sarah-o5u9t4 ай бұрын
Pole sana ndugu yangu , mm yalinikuta hayo mwanaume aliniacha bila hata100 alificha kila kitu akijua ananikomesha kisa kapata askali mwenzie mpaka godolo kweli inauma usiombe yakukute lkn Mungu alinifungulia njia niko vzr zaidi yasana ,shukuru Mungu malipo nihapa hapa vitu nivyakupita hivyo
@Onlynewupdates013 ай бұрын
Bora nipatane na mwenye zake na mimi niwe na zangu upendo tu utupnganishe mambo yakutafuta wote mwishoni ni maumivu maana anaeonekana mtafutaji machoni pa watu ni mwanaume mwanamke anaonekanaga ameolewa tu kumbe wengi ni 50/50 hakuna mwanaume mwenye pesa zake ana mke shepu au sura …wanasema ndege wanaofanana huruka pamoja ilakwasababu mwanamke anamuacha baba awe kichwa badae mwanaume anatumia njia hio kutapeli wakati utakuta apo yeye ana 45% huyu dada ana 55% yuko very calm and clear hajapanic kama anataka watu tumuone huruma …she speaks from her heart
@baddestgames27844 ай бұрын
Uyo mwanamke kamuloga mme wako dada angu adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie Mungu atakusimamia mamaa
@brysonjohnlukumay4 ай бұрын
Daah huyu mwanamke ana hekima mno
@innocentpaulchillu15124 ай бұрын
Huwezi jua,anaweza akawa anaonekana anahekima kwa kumtazama lkn deep inside yuko tofauti kabisa
@mwanaidimrindoko41174 ай бұрын
Hapana mtu mwenye hekima anaonekana tu kwa mahojiano yote hayo changanya na maumivu Kuna ki jitabia angekionesha tu
@dismasdastan54934 ай бұрын
@@innocentpaulchillu1512uko sahihi wanao shabikia kwa kuangalia tu hawana familia na hawajawahi pitia haya matatizo....Ngoja wakue
@hemedmsella64964 ай бұрын
Wanawake ni waongo hakuna kitu kama hicho@@mwanaidimrindoko4117
@nancyg86644 ай бұрын
@@innocentpaulchillu1512kweli kabisa
@WardaFashion-n3y4 ай бұрын
Huyo baba asubir kisasi cha watoto wake hatakaa amini maisha yake yote Kwa haya anayoyafanya mn wanamtizama mama yao anavyohaingaika kl siku kwny media 😢
@abdultandala65764 ай бұрын
Usihukumu kama haijasikilizwa upande wa pili
@roseberryhamoud65423 ай бұрын
Kama ingekuwa ni mimi hatokuja kupatana na watoto.
@jacksonkagubho70293 ай бұрын
Wazaz wa kiume ni rahis sana kuwakacha watoto wakileta ujuaji 😂
@naomipieter46274 ай бұрын
Mtulie mimi mjane namshukuru mungu mume miaka 24 yandoa katwaliwa kaend kwa amani .maisha yaha
@rosehaule67654 ай бұрын
Pole mbona Mungu ni mwema sana anakuepusha na jambo fulani❤ shukuru sana
@kekiplus1andonly3 ай бұрын
Duh mwanamke ukiwa na mali au akili ya pesa kuwa makini sana , Sisemi zaidi
@winnemassawe81233 ай бұрын
Sanaa kuwa makini sana
@Bise2703 ай бұрын
Kweli kabisa,noted.
@golebenson45974 ай бұрын
Mwandishi hongera sana umeuliza swali mzuri kusikiliza upande mmoja na kuhukumu ni mbaya ninachokiona mwnaume amemua kupambana(kimyakimya kiume.huenda dume limetendewa kitu kizito akaamua kupambana kimya kimya🎉🎉.uyu dada anaharibu ndoa yake na watoto aache kuhamgaika na media atafute suluhu Kwa njia salama sio kuongea mambo ya familia yake hadharani makokosa makubwa anaendelea kutenda
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
Penda sana point yako ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉ni aibu kutoa mambo ya ndoa mitandaoni naona Kuna mtu anamdanganya hu mwanamke, hongera ya mwanaume kuwa kimya, aibu hata watoto unyimwe Kuna shida
@nancyyesse13803 ай бұрын
One strong thing is ,ukiacha mali yako ipotee bila kupambana ni dhambi…pambana ikishindikana let it go ,karma is gonna hit him so baaad 📌
@FelisterMunissy4 ай бұрын
Utashinda dada mungu atapigana hv vita huyo malaya anayekula n huy mwanaume omba mungu atawaua wote huyo mwanaume hana mda mrefu lazma ataanguka chini
@joyce557274 ай бұрын
Dada yangu najua ni uchungu sana pia mm niliyapitia km hayo miaka 10 iliyopita na sasaiz hanipati kwa mafanikio km Mungu ndie mpaji basi atakupa zingine ili uepushe roho yako kubal tu hizo unazopewa anaweza kukumaliza huyo mtalaka wako
@joyce557274 ай бұрын
Km kuacha mali zako ni zambi bas Mungu atakusamehe endelea kumuomba Mungu pia pambana bola upate zako uish kwa amani unaweza ukazipata hizo mali unazo taka kutoka kwa mtalaka wako lakin usiwe na aman najua unaumia sana ila jikaze
Mnaosema maneno ya kumshutumu mwanaume, mnajua magumu aliyopitia kwenye hiyo ndoa?, mmesikia upande wake anasemaje?. Mm nipo katikati, sijui yupi atakuwa na sababu maalumu.
@FranklinMtei4 ай бұрын
101%
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
MUNGU nisamehe matatizo ya ndoa hayapelekwi kwenye mitandao turudi kwenye Mila na desturi zetu Kuna suluhu huko
@bintnouh44834 ай бұрын
nyie ndo walewale
@joycemfuru47523 ай бұрын
kama ni mwanaume kweli ampe Mali zake
@happinessakim26793 ай бұрын
Pole sana muhanga mwenzangu,,,,, mim nilishindwa kujitetea nikapokonywa kila kitu Namshukuru Mungu,,,, nlpo nalea wanangu kwa Sasa,,,, 😢😢😢
@lindaabraham53653 ай бұрын
Pole sana, afya pekee ndiyo mtaji, kama una afya njema inuka pambana tena. Pambania tu hiyo nyumba msigawane basi magari na vingine mwachie kama sio haki yake vitapukutika vyoteeee. Mungu atakubariki atakupa zaidi. Ogapa sana watu wanaopenda mali kupita utu wanaweza kukufanya lolote baya.
@mazaramatucha4 ай бұрын
Balance story sio kusikiliza upande mmoja tu, pia pata wanasheria watafsri. Please grow
@Kisimatigin4 ай бұрын
Tena unaweza kuta jamaa anapitia magumu sana hawa waone tu wanaongea kwa utulivu ni nyoka akili kisoda
@amanibwire44234 ай бұрын
Na angekuwa na hekima asingeenda kwenye vyombo vya habari, Wala kwa mkuu wa mkoa wanaume tunapitia mengi zaidi
@barakangila98564 ай бұрын
Nikweli
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
Ndao zikishafika kwenye mitandao kurudia ni ngumu na hata wskirudiana amani hakuna, kwani huko hakuna mabibi, mashangazi, wajomba, baba mkwe na mamamkwe na ukoo? Aibu, na mali ni Nini kwani kwa MUNGU tunaenda na kitu, achane na hayo mambo ya mitandaoni ni ujinga
@AnnaMathias-h3s4 ай бұрын
Dada Mlilie mungu wako wewe muachie mungu afanye kazi yake piga goti kwa mungu atakusikia
@husseinshabani95224 ай бұрын
Jamaa Amekosa Mke.. Yani Mke kweli...Mke Mwenye Akili nyingi Sana...hata Atakaempata Bado Ni Mke Mwema na Bora sana..Anaitaji faraja na Matunzo..na kumsahaulisha hote yaliyopota na kuanza Maisha Mapya.Allah Amfanyie Wepesi In sha Allah .
@MansourKabuhaya4 ай бұрын
Umetumia vigezo gani kumuona ni mke Bora na mwema?? Unamjua mke Bora wewe?? Acha kucomment ushamba, kisa umeona ongea yake tu keshakuwa mke bora, je vigezo vya kuwa mke bora vinasema akiongea vizuri tayari mke bora sioo??? Acha ufara
@danielgadiye79833 ай бұрын
Bro fanya research utanishukuru mwanamke anatoka kufanya unashuhudia kwa macho yako piga ua anakuambia sijafanya aliyekuambia kaachwa kwasababu ya tamaa ya mali na mumeo kakupoteza so kweli mama kanyanyua mguu mzee kasanda mama anataka huruma na jamaa haelewi kuhusu hilo wanataka wapelekewe moto then wabaki kwenye ndoa zao hiyo kitu hakipo bro hakuna mjadala juu ya nani mwenye haki ya kutoka nje ya ndo ni baba tu katamani kwasababu tumeumbiwa tamaa wao wameumbiwa kupenda
@katobirch47593 ай бұрын
Snake snake then you snake cut left, sheria mpya inahitajika huwezi kuwa billionaire kwa kuosha vyombo wazee wa Cuba gonga like hapa
@janethhipolite17743 ай бұрын
Mikopo jamani..Haujasikia hapo amesema walikopa milioni 250 sijui
@TumainiNjema4 ай бұрын
Dada anaongea Kwa hekima Sana ingawa anadai Haki yake lakini Bado anaonyesha unyenyekevu. Mungu amsaidie apate haki zake. Aamen .
@alexwatae31654 ай бұрын
Dah!! Pole sana Wanawake wenye hekika kama hawa kwa sasa Hawapo.. nimependa busara yako
@nicksonlyimo15624 ай бұрын
Pole sana ,lakini ujue tuu kua kanuni ya ki Roho Bado wewe ni mke halali wa Julius Hadi Leo ,ndoa haivunjiki kwani hakuna serikali yoyote duniani ilioanzisha ndoa ,ndoa ilianzishwa na Mungu mwenyewe ,mahakama za Dunia zinafanya kuachanisha ki binadamu tuu lakini sii halali kwa Mungu Neno la Mungu Soma Marko 10:1-12 mjue tuu kua Kila alie ingilia ndoa ya mtu yeyote awe mwanamume au mwanamke ajue hukumu inamngoja yeye na huyo aliekubali kuivunja ndoa ,moto upo na Wala faraja ya dini haimwokoi mwanadamu kwani wote watahukumiwa na Neno ,,kilicho fanyika hapo Dadaangu ni matokeo ya Uzinzi haswa wanandoa kutokua waaminifu na nguvu ya Mungu ukajitenga kusaidia kwani shetani hutafuta makosa Kisha kuharibu,uchawi umehusika Sana kuharibu ndoa za watu haswa endapo wewe dada au mumeo alishawahi kukosa uaminifu kwa mwenzie ,inahitajika binafsi umjue YESU na awe mwokozi wako Kisha uzame kwake na ugeuke kwa kuziacha dhambi zako Kisha samehe halafu omba Mungu aingilie kati ndoa yako,hata ukiolewa Leo Sheria ya Mungu hairuhusu uolewe Tena Hadi kifo kitenganishe watu wanakiuka Neno kutokana na kiburi na fedha imenunua haki za watu lakini Neno linadumu Milele ,dini pia hazisemi ukweli wa Neno na ndio maana zimeacha ukweli wa Neno na kuweka taratibu za kidini na madhehebu .Mungu aku tetee .Amina
@MansourKabuhaya4 ай бұрын
Sasa ndoa ni nini??? Kama mke na mume Hawako pamoja wala hawashiriki, kuna maana ya ndoa hapo?? Au wewe una maana nyingine tofauti na hiyo kuhusu ndoa??
@nicksonlyimo15623 ай бұрын
Ndoa ni muunganiko wa wawili ,mtu anapomuacha mwenziwe ni sawa na wewe kula chakula kwenye sahani Kisha ukaweka na makombo ulioyatafuna halafu unampa mwingine ayale ,nadhani utakua unafanya kosa Sana na dhambi kubwa ,ndugu ujue kua mke wa mtu haolewi na mtu mwingine hata Kama waliachana Bado kwa Mungu ni mke halali kabisa ,sii Mungu ameachanisha Bali ni kiburi cha dhambi ,uovu na tamaa ya mambo ya Dunia na kupenda sifa umaarufu na kupenda fedha ambayo ni chanzo Cha maovu yote, usije ukaolewa na mume alieacha mkewe ,ni dhambi ,Wala usithubutu kuoa mke alieachana na mumewe ni dhambi na Mungu anawaita ni makahaba hata Kama mlifunga ndoa ,hapo mmedanganyika Sana ,mbele za Mungu hukumu ipo na moto unawangoja wote walio achana hata Kama unatoa sadaka kiasi Gani (Mungu ha hongwi kwa lolote ) unathubutu vipi kuoa mke wa mtu na wasichana wapo wengi kiasi hicho ? Unaolewaje na mume wa mtu na vijana wapo wengi hivyo?? Neno la Mungu Linasema usizini ,mpende jirani Kama nafsi yako ,Wala usitamani mke wa nduguyo ,jirani yako Wala mjakazi wake Wala punda wake ,Sasa Kama hivyo ni dhambi je!! Wewe ulie oa na kuolewa unajionaje huoni umesha hukumiwa ???
@gloryexaudy80943 ай бұрын
Sijajua unasomaje bibilia ila soma pande zoote biblia imeandika pia mume na mke wanaweza kuachana endapo kuna mmoja ni mwasherati sasa ujaona hapo kama mke amekimbiwa na mume kwenda kwa mwanamke mwingine teyar ni uasherati huo Jua kutofautisha uasherati na uzinzi Uasherati ni kwa wanandoa kutoka nje ya ndoa Uzinzi ni mtu yoyote ambaye hajaoa au kuolewa akakuwa amezini
@nicksonlyimo15623 ай бұрын
@@gloryexaudy8094 yote sawa tuu ,hukumu ni moja tuu ,ila swala ni kumilikiwa mwanamke na kumilikiwa mwanamme kwa kua wameunganishwa ki ndoa,ukiachana my friend inakupasa kukaa hivyo au kusamehe muendelee kuishi .,YESU hajaruhusu walioachana kuoa Tena Wala kuolewa Tena soma vizuri utaona na ujue YESUni MUNGU ,Paulo anasema kama mmoja ameamua kuondoka na aondoke lakini hapo sii BWANA Bali ni yeye ameshauri kama vile Musa nae alivoshauri watu kupewa talaka na sii Mungu aliagiza Hilo Bali Musa .
@nicksonlyimo15623 ай бұрын
@@gloryexaudy8094 Mungu alisema Hadi kifo kiwatenganishe ,(ni nani mwenye Mamlaka ya kutangua agizi la Mungu ????) Maana ya Neno kifo inamaanisha hakuna namna ingine ya kurekebisha ni ikae kama ilivyo .
@GraceGoodluck-n7t3 ай бұрын
Hiv Wanaume huwa mnalogwa kichwan kushuka chini au ni chin kupanda juu maana inashangaza eti unawasisa hadi watoto wako ni nini lakini????😢
@fredrickkomba75453 ай бұрын
Itakuwa chin tu Hapo hapo
@JumannehassaniomaryJumannehass4 ай бұрын
Utapata mume namtapendana namaisha yatasoga I'm formo Rwanda Kigali 🇷🇼🇷🇼
@Siasia2093 ай бұрын
Ooooh!pole sana dada mshkuru Mungu Allah atakulipia malipo ni hp hp Dunian
@MaedaMm4 ай бұрын
Wewe dada achana na hizo mali utakufa bule uache wanao wanateseka bora umuachie tu pambana upya muogope sana mtu anae kaa kimya usije poteza.maisha bule
@ziadasadiki81963 ай бұрын
Mbona humshauri Mwanamme
@florencemeza65404 ай бұрын
Dada yupo Mungu mtegemee tu UTASHINDA VITA SI VYAKO NI VYA BWANA
@shadrackdeogratius67604 ай бұрын
Mpaka mwanaume aongee ndio tujue ukweli, wanawake wengi wanajua kulalamika, ila ukija kuchunguza mwanamke ni jau .mpaka mwanaume afanye maamuzi magumu ujue mwanamke ametaka nafasi ya mwanaume ndani.alafu Sasa hivi anatia huruma,ila hyu mwanamke Kuna majuto ya ndani.kwa wanao jua sychology
@salehekisebengo85544 ай бұрын
Kweli kabsa ndugu
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
Usema Lina ukweli na huku anajidanganya hakuna haki bali ni kujidhalilisha na kuongeaz chuku
@innonyange64824 ай бұрын
Kweli ana majuto, anajua alifanyalo
@aishajuma184 ай бұрын
Kunamtu anakoment Sana namuhisi ndio mchepuko wa julias😅mwacheni apiganie haki yake
@golebenson45974 ай бұрын
Wanaumeee tunapigwa juuu chinii😢😢😢 uyo mama anaonyesha ni mjeuri sana 😢😢😢
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@aishajuma184 ай бұрын
Sasa kama mjeur si ampe Mali zake😊
@golebenson45973 ай бұрын
@@aishajuma18 unauhakika ni zake
@aishajuma183 ай бұрын
@@golebenson4597 Kumbe za kwako
@malikzafarani1724 ай бұрын
Daaah pole sana dada, wanaume muda mwingine sijui tunafeli wapi 🤔.
@MouhammedSeif3 ай бұрын
yaan ata mm suali kama hilo najiuliza
@BeniJohn-xd3cn4 ай бұрын
Ongeza maombi Dada Mungu ni mwema
@azzaalhabsi15054 ай бұрын
Pole sana dada.mungu atakulipia hapahapa duniani.usisikitike sana.mungu akupe afya na wanao na akufanyie wepesi kwa kila jambo.
@wilfredcalist47353 ай бұрын
Hakimu wa pekee ni Mungu tu. Jipe moyo aliyekubariki atawajibu wote waliokudhulumu.
@julianamasato56554 ай бұрын
mama pole sana jasho lako haritapita bure ,kunasiku ataripia .usione mungu abacherewa kujibu maombi enderea kuomba kwa imani .
@kidtoto48693 ай бұрын
Noted!!, Ukipata mali ndugu na Marafiki wanakuwa Wengi!!
@habibamaguru27224 ай бұрын
Pole sana mwanamke mwenzang umepita kwenye mapito mungu pia atakusimamia kwa hili kazana sala na maombi
@arnoldrwekaza22654 ай бұрын
Chanzo cha Julius kuondoka home ni kikubwa muno. Mambo hayawekwi wazi
@FranklinMtei4 ай бұрын
100%
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
Point ☝️
@bintnouh44834 ай бұрын
umalaya ndo umemuondoa nyumbani
@zainabumohamed47634 ай бұрын
Anavyosema dada mrembo neema ,kwa upole jamani😢
@AllenMwafilombe4 ай бұрын
Pole Sana Dada Mungu atakusimamia kwani unaonekana mcha mungu komaa kwani bado unaishi utafanikiwa
@gambigambi72544 ай бұрын
Pole sana sabi but ni kujifunza kutozidgarau alama hatarishi inaonesha huyo baba ali move on kitambo but ulimpenda zaidi mwenzio ktk Safari yake hakukujumuisha na pili hukushtuka ktk structure ya kampuni na hisa alikuzunguka just move on mtangulize mungu mapenz yalikupofua mungu yu hai usipojihurumia wanao watakukosa cuz ur still grieving the guy wanted u out mungu kakupenda utazeekea court unaonekana mpambanaji kaanze upya Tu my dear
@maswamills31614 ай бұрын
Mungu akulinde mama , mmmhhhh siku hizi mali zinaua, mtangulize MUNGU kila upitapo .
@delverosedastan57303 ай бұрын
Mungu wa mbinguni akusimamie haki yako itasimama daima kwa jina la Yesu
@senziashwaibu32194 ай бұрын
Huyu mwanaume nmemuelewa sanaa kawahi mapema kuchukua chake mapema ila huko alipoenda aangalie atapigwa na kitu heavy atajuta maishani
@RoverRoom3 ай бұрын
😂😂😂😂😂Kweli umesema
@bahatielias64433 ай бұрын
Wanaume huwa hatuachi kiurahisi ukiona hivi mwamba alishaona mbali
@FrankDavid-en6on3 ай бұрын
Kweli kabisa wanawake hawaeleweki anaweza kuongea ukahisi yupo sahihi
@farajiyusuph90192 ай бұрын
dada ana pure heart mungu amsaidie
@shelizaomary25363 ай бұрын
Mwenye haki haachwi...pole dada...Mungu atakupigania
@VictorBugobola4 ай бұрын
Mwanamk awez kukuacha bila sbb Kuna kitu kizto hapo unaweza ukawa mpole wa muonekano lkn moyon wee acha tu sema maisha au ndoa Zina Siri kubwa....Sasa ulivyo mpole Mzur hivi jamaa anashndwa kurudiana nww Kuna kitu hapo chin ya kapet
@WinfridaFabian4 ай бұрын
Chin ya kapet yupo malaya mbona jibu simple
@rosehaule67654 ай бұрын
Mali ni shida wanaume wakipata basiii mnatafuta kwa shida kubwaa sana baadae anakimbia anakula na kimada baadae anarudii uwiii😢
@ChachaNyabare3 ай бұрын
Huyu Dada mnafiki ogopa watu wahivyo wakuongea wanatafuta huruma Kwa. Watu kumbe unakuta yeye ndo chanzo Cha tatizo hakuna mwanaume anamuacha mwanamke mzur wew utakuwa na shida nakusikia unavyo ongea kuwa magari ni Yako kumbuka ulikuwa ni MKE kwahiyo kwenye magari hakuna jina lake ogopa wanawake wa hivi kujifanya wanaongea kama wanalia
@bahatielias64433 ай бұрын
Ndivo walivo Hawa viumbe huwa wanaumimi sana
@George-r2u3 ай бұрын
Dada yangu pole sana, mwachie Mungu , usipiganie Mali mwenyewe, Mungu atakupigania
@salmanyangasa11714 ай бұрын
Dah! Acheni TU Dida aishi mwenyewe Wallah...wanaume wanakua binadamu mkiwa hamna pesa mkipata TU hua zaidi ya mashetani maana hufanya mambo ambayo hata shetani huyashangaa mh
@saimalunde40024 ай бұрын
Ndugu wakiingilia familia mambo ndio kma hya aiseee namshukuru mungu nina maisha yangu yakujua mimi maana hta maisha ya kakangu na mkewe sijui wanaishi vip😂i😂😂😂
@margrethemanuel75013 ай бұрын
Mim jamani narudiaaaa...staki maskin mim kabsa...shindwaaaa pepo la maskin, shindwaaa, kweli Mwenyenz Mungu niepushe na mwanaume/ rafki maskin
@StelaJohn-nj5yf4 ай бұрын
Dada kesho nenda viwanja vya Mageleza Kisongo..Kamuone Pastor Ezekiel
@selector7284 ай бұрын
Magereza sio mageleza
@hidhirhaji68304 ай бұрын
😂😂😂
@EliasifiweMbise4 ай бұрын
Dah! Wanaume wanaume wanaume jamaniiiiiiiii. Pole dear tena sana na Mungu akuteteee huko kupooza kusiongezeke kwa ajili ya mawazo. Km ni kweli usemayo, tunamwamini huyu Mungu aliye hai, anayeona hata tusiyoyaona sisi alotuumba. Atajibu kwa wakati.
@Adamumwambiji4 ай бұрын
Dada pole sana kama unajasho lako ktk Mari hizo ila jamani sis wanaume tuelewe kitu wanawake wanaoijiua Mari wako active sana ila wanakujaga kupoteza ramani baada yakujikuta wao ndo kila kitu kwani wao huwa wanahesabia Faida tu ivo ukizembea kuwasikiliza mambo huwa yanakua kizungumkuti sana lakini kuna haja yakuaminiana kama mmefikia kuzaa watoto wa3 ninyi ni ndugu wa damu, pia kaka hawa wanawake wanaotupenda tukiwa tayari tunamafanikio lengo Lao ni mafanikiona sio maisha ivo tujiadhari kuwatio machozi tuliofanikiwa nao ktk nyakati ngumu.
@YosephaSwai4 ай бұрын
Shetani yupo kazini kwenye eneo la ndoa.Watu hawapo makini ila hili eneo limevamiwa sana na source ya yote ni sisi wanawake wenyewe kuingilia mahusiano au ndoa za watu wengine .Hapo ukute mwanamme anafanya maamuzi kwa shinikizo la neema kwa sababu ninachoamini kwa mtu mwenye akili timamu ambaye kweli ulimuoa mke wako na mkazaa na watoto hata kama mnaachana ni mnaachana kwa amani na kwa kuangalia ustawi wa watoto wenu.Niaminivyo mimi kama mwanamme amemchoka mwanamke huwa anaondoka kutafta amani kama ndio ilikua haiwezekani tena na hutaona anadhulumu chochote kwani anajua vyote hivyo ni vya watoto wake.Na kuna ambao mapenzi yanakua yameshakufa lakini for the sake ya watoto unakuta wanatafta namna nzuri ya kuachana pasipo kuwaathiri watoto.Nina kesi nyingi za namna hii nimekutana nazo za ndoa kuharibika lakini ukimuangalia mwanamme anachofanya unajua kabisa sio akili zake. Wanalogwa bagamoyo kila kukicha wanawake wanakesha huko kuwaloga maskini akimuangalia mkewe anaomuona kama Paka mwizi.Na wanaume wanatakiwa kutumia akili ya kawaida tu kuwa kwa mwanamke aliyekupenda kwa dhoti hawezi kuikubali nyumba ambayo hakuijenga au Mali ambayo hakuitafuta ,kama anakupenda kweli atakushauri mkaanze upya na alivyokukuta navyo uwaachie watoto wako na mke wako ,hapo ndio kinakua kipimo pekee cha mwanamke huyo mpya kumjua moyo wake na mawazo yake.Lakini ukiona anang'ang'ania hata visivyo vyake na wala hajali ustawi wa watoto wako ujue hata wewe hakupendi ana kitu kafuata kwako.Wanamme stukeni jamani mnalishwa vitu vya ajabu fahamu na akili zinaharibiwa.
@benedictamuya14374 ай бұрын
kata rufaa kwani sioni kutendewa haki hapo kwenye mgawayo, pili mgungie novena ya soku tisa Mungu atayakibu maombi yako, pole mno mama
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
Novena ya siku tisa kama ana kosa nae kidogo tuu nae itamdhuru kuwa Malini na kitu novena
@sadalahitambujr18633 ай бұрын
Kwa Mungu kuacha haki yako ipotee ni dhambi, maana ni uzembe Mungu ni ngumu kukubariki tena. Huyu dada ni mwadilifu na ni mcha Mungu na ana Hekima kutoka kwa Mungu, Mungu Ataendelea kumwaga mibaraka kwake pamoja nakoonesha ku kukitafuta Kile kilecho chake haki ilipotoshwa sana aendelee kusimama kwa maombi maana kisasi ni cha Bwana Mungu mwenyewe. Maana hata Siri ya huo utajiri ni maombi. Bwana ambariki na kumlinda
@josephkate36644 ай бұрын
Ni kusikia upande mmoja inawezekana aliekuwa mumewe akikueleza unaweza shangaa
@shadrackdeogratius67604 ай бұрын
Ukweli,ukiangalia uso wa hyu mwanamke unajua TU kuwa anampanda kichwani jamaa,et aliuza bila idhaa yangu😢😅
@monalisaally43874 ай бұрын
Kwakweli
@نجمةموبيبي4 ай бұрын
Sasa si ndoazungumze tumsikie
@veromwanji4 ай бұрын
Hakika mambo hayo ni Siri , mwenyezi mungu ndio anajua
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
@@نجمةموبيبيhuyu mwanaume hapendi mambo ya mitandaoni ndio maana Yuko kimnya,
@scholarmassawe63804 ай бұрын
Dada Jamani Mungu akukutetee Mungu akufanyie njia hajawahi shindwa kabisa jipe Moyo najua unapambania hatima ya watoto wako. Mnganganie Mungu haswa
@Yanarichbiz3 ай бұрын
Nilimuona huyu dada mara moja tu nikiwa naelekea ngaramtoni tukaongea kidogo sna (ni mdada humble sana)
@kelvnkalist75693 ай бұрын
Mm naona dada achana nazo mungu atakupa .
@priscasway34923 ай бұрын
Pole sana dada mungu atafanya jambo juu yako
@MaliusMaliuskagumisa4 ай бұрын
Polesana mlembo ila uyojamaa iposiku atakujutia sana maana wewe nimwanamke aseee amepoteza
@uaridipaul5473 ай бұрын
Fear men, huyu ni mimi nilivyotolewa. Yaani Mali ilipo ongezaka tu shida ndio zilipoanza..Nimegeuza kisoho na kuanza upya.
@agnesmartin57164 ай бұрын
Pole san hakika ila mwanamke mwanamke usiruhus mwanamke mwenzio aliye kwa sababu yako my dear tafuta chako kunuwa maji ya kisima chako mwenyewe tuache maisha ya kulaaniwa na watu
@lotusnathan59183 ай бұрын
si vyema sana kuamin kila kitu hasa kusikiliza upande mmoja,wanaume wanapitia meng,wanaume wanacheat sana lakn mke ukijielewa hawez acha familia
@RachelMgimba-ge4jh3 ай бұрын
dada ukiendelea kugombania hizo mali unaweza kupoteza uhaidada mm nakushauri mwachie na usonge mbele mungu hamuachi mwanae apotea utainulia tena mara dufu mpaka mtalaka wako ashangae dada trust in God
@luciasteven33143 ай бұрын
Au haujamsikia vxur😂kuacha haki yko ipotee n unajua n hski yko hyo ni dhambi n Mungu hawez kukubariki Neno l Mungu linasema ufalme wa Mungu unatekwa n wenye nguvu sasa huo niufalme wa Mungu sasa je ukiwa mayai utapata haki yko? Muache atete haki yke
@elymsakuzi64933 ай бұрын
Pole sana mama lakn natamani nimsikie baba amepitia nn pia
@jamesloshilunye4144 ай бұрын
Huwezi kujua ukweli kwa kusikiliza upande mmoja,, wanawake wa kichaga ni kati ya wanawake wakorofi sana,ukimkuta mtu anaye ishi naye mpka mwisho ni wachache sana. Ili tupate ukweli inabidi tusikilize pande mbili ila tukiwa tunamsikiliza upande mmoja tutaishia kulaumu. Mwaka 2017 niliwahi shihudia kesi ya mdada mmoja wa kichaga na mume wake na chanzo chake ni mwanamke kutaka kumuua mume wake ili aridhi mali mwenyewe,, yule kaka naye alianza kwenda kwa waganga kumtoa yule mdada kwake mpaka akaja kufanikiwa. Kwa hiyo ni ngumu sana kuwaamini hawa watu ila kama hujakaa nao Karibu huwezi jua
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
Kweli ndoa hitakiwi iingiliwe ni vile watu hawajifunzi kutota kwa. wengine ukimya ni hekima na majibu tosha au kikaa pembeni na kukaa kimya , mi nilipitia hapo na hakuna aliyejua hata babaangu shangazi yangu tuu na ndiye alinishika mkono na Leo na heshimiwa na Kila mwana family
@mtakamaonline77483 ай бұрын
Nini maana ya kuchinjwa sasa magari yanachinjwaje plz any one can let me understand
@sundayulomi95473 ай бұрын
Ni kufumua au kung'oa vifaa kwenye gari Zima, mfano utoa engine unauza, radiator unauza, body, exhaust pipe, dash board ets
@deonicemollel42054 ай бұрын
Jamani kuishi na hawa viumbe ni kazi sana hapo unaweza muona mwenye sura ya upole lakini hapo ndani pengine alkuw mnyama wanawke hapana ndyo mamazetu lakini duh ni shida tupu mpka mtu aamue kukupa talaka sio mchezo
@JohnsonBagambi4 ай бұрын
Ni changamoto kwelikweli
@modestwenceslaus94 ай бұрын
Tuishi nao kwa Akili😂😂😂
@rehemakanyere41884 ай бұрын
Kitanda usichokilalia hujui kunguni zake
@deonicemollel42054 ай бұрын
@@modestwenceslaus9 hahaha ni kweli lakini mwanamke akiamua kukufuruga hutaamini unawezo Rudi ziro kweny maisha hawa niwazuri hujamuweka ndani😒😒😒
@teddytedy2483 ай бұрын
Dada Mungu yupo,kisasi ni juu ya Mungu,adui wa mwanamke ni mwanamke
@yusuphibrahim-yq9mv4 ай бұрын
Nisa hihi hakuna kudhulumu au kudhulumiwa allahu amesema
@mwamvuamagongo81634 ай бұрын
Daah!! Dunia sio mbaya Binadamu ndio wabaya
@eestermos99333 ай бұрын
Pole sana Mungu atakutetea
@jameslaiser62764 ай бұрын
SHERIA Haitaji SIASA....Makonda anaendesha mambo kwa mihemko na Sifa...Sasa Dada kaambulia nini zaidi ya Talaka?
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
James hakuna amani ya ndoa kwenye mitandao, Kuna jambo haliko poa tunakimbilia kwenye kwenye issue ya ndoa kweli?