Mjadala unazungumzia Ushirikiano baina ya Mataifa ya Afika pamoja na Urusi jee ushirikiano huo unatafsiriwa kama fursa au changamoto?
Пікірлер: 9
@ramansitv329211 ай бұрын
mlangi amezungu safi sana, msaada bora kupewa mbivu ya kuzalisha bidhaa na sio kupewa bidhaa yaani ili mwisho wa siku wawe miungu yetu. wanatulemaza
@msangodiesel313211 ай бұрын
Wachambuzi wako vizuri ila mrusi namwelewa Sana
@barakagisbethkomba285111 ай бұрын
Hao marekan wako miaka mingi Sana hakuna chochote elimu,afya,uchumi hakuna cha maana wanatufanya kama watoto cha msingi ni Viongozi wa AFRICA tuwe vizuri kiusalama na kiuchumi
@zahorokasentisenti676111 ай бұрын
Wachambuz wote mpo upande wa marekan Ila we mwandish upo vizur tutasimama na urusi
@godlistenJohn11 ай бұрын
Daaah!! Mbona uchambuzi wenu umenivunja moyo hivyo😅😅, Afrika inasikitisha kwakweli
@wewa732911 ай бұрын
Wachambuzi ni waongo
@hamisramadhan-eb3ie11 ай бұрын
Wasenge mmekutana 😂
@saidiomar664211 ай бұрын
Nyote mashoga tu hapo
@msangodiesel313211 ай бұрын
Mlangi kwenye mtandao anatumia jina nani namwelewa Sana huyu mwingine nimeanza juzi2 kumfwatilia