Huu ndio ukweli uliojificha kuhusu TUNDA LA KATIKATI na DHAMBI YA ASILI... Fr. Rwechungura afichua.

  Рет қаралды 219,242

INJILI YA FURAHA

INJILI YA FURAHA

Күн бұрын

Пікірлер: 286
@paulina.baynit7970
@paulina.baynit7970 7 ай бұрын
Asante sana Pd. kwa mafundisho mazuri sana sana, Mungu akubariki mno, nimeisikiliza zaidi ya mara tatu na bado nina hamu ya kusikiliza, ni mahubiri yenye tija na niya wakati uliopo na tunaishi nayo kila siku. Ubarikiwe sana 💯👏🙏.
@philibertmpinzile.6090
@philibertmpinzile.6090 7 ай бұрын
Umesikiliza Mara tatu bila kuelewa pole Dana , maswali yako Sasa yako wapi? Kama kweli umeelewa
@samsonnyuha1648
@samsonnyuha1648 7 ай бұрын
Mungu akubariki PD. KWA MAFUNDISHO MAZURI YA KINA, NAOMBA TUFUNDISHE DHAMBI YA YUDA ALIYEMSALITI YESU KRISTU KWA KUMBUSU AKAPOKEA VIPANDE 30 VYA FEDHA. ATASAMEHEWA. NA JE,. PILATO KWA KITENDO CHA KUNAWA MIKONO YAKE KWA MAJI BIRIKANI HATAPATIKANA NA HATIA YA KUMWAGIKA DAMU YAKE YESU KRISTU ???
@simonwaiyaki8449
@simonwaiyaki8449 7 ай бұрын
Good explanation & teaching, keap it up Amen.
@marcelboy8325
@marcelboy8325 7 ай бұрын
​@@philibertmpinzile.6090p0pqQmmmok
@MushiVicent
@MushiVicent 7 ай бұрын
MUNGU AWE NAWE.
@kabwefrancine99
@kabwefrancine99 2 ай бұрын
Amen baba mtumishi wa mungu 👏👏👏👏
@LenirdaOdas
@LenirdaOdas 4 ай бұрын
Barikiwa sana Baba Padre kwa Tafakar nzuri.
@Chikwaninekahundu
@Chikwaninekahundu 3 ай бұрын
Hongera sana Mtumishi wa Mungu,ingekuwa mapadri wote wangesimama kwa Neno la Mungu kama,hakungekuwa lazima ya madini maelfu duniani
@elizabethchangala5312
@elizabethchangala5312 7 ай бұрын
Hakika baba dhambi ya asili ni kutokutii na kuwa na kiburi. Hakika Mungu ATUSAIDIE KATIKA hili Baba. Barikiwa Sana kwa chakula Bora Cha ROHO
@vicentmushi9170
@vicentmushi9170 3 ай бұрын
Ahsante sana mheshimiwa padri
@ojeysylve6219
@ojeysylve6219 4 ай бұрын
Hapo ni kweli,watu watubu dhabi zao,watu watafakari maisha ya badae🙏🙏🙏
@SoniMwenebonjwa
@SoniMwenebonjwa 6 ай бұрын
Asante sana padiri KWA SOMO lako, mungu azidi kuongeza elimu yako ya kiroho, tupatie kushinda zambi zetu za asili,
@ZirhumanaZirix
@ZirhumanaZirix 5 ай бұрын
Ubarikiwe saba baba Padri kwa mafundisho haya inayo waszidiya waamini Wenger kuacha mawazo ya upuuzi,Mungu akutiye nguvu tele,nilikufata vizuri sana,kutoka Bukavu/DRC.
@catherinemondo8717
@catherinemondo8717 5 ай бұрын
Kutokutii ndio nthdambi kubwa ❤❤❤
@MoureenMagret
@MoureenMagret 4 ай бұрын
Hongera sana padri kwa funzo🙏❤
@ArseneSombola-fn3cm
@ArseneSombola-fn3cm 4 ай бұрын
Nashukuru kwa neno
@josehmark
@josehmark 4 ай бұрын
Daah kwa mahubiri haya Mungu nisaidie nibadilike
@FranciscoKigomba-jr6cw
@FranciscoKigomba-jr6cw 4 ай бұрын
Hongera sana padre kwa mahubiri yako mazuri na mungu akubariki.
@NicholasNalianya
@NicholasNalianya 6 ай бұрын
Heko Padre Mungu akutie nguvu na akufunulie zaidi kwenye mahubiri yako.
@frominimushi8926
@frominimushi8926 6 ай бұрын
Mungu ni Roho Imefika wakati Watu wote wajue kwamba Mungu wafananishwe na sanamu ya kuchanga wala kuchorwa tuache kuzungumzia muhula wa dhamiri sasa tupo kwenye Muhula wa Neema tuwahubiri Watu kutubu na kubatizwa ndani ya maji ktk Jina lake Yesu kristo kupata ondoleo la dhambi ili kuipata neema ya wokovu niagizo la Yesu Marko 16:15-16 Na mitume wakatii agizo mdo 2:38
@helenagodwin7012
@helenagodwin7012 6 ай бұрын
Asante baba kwa mahubiri mazuri
@sylvanusodhek6020
@sylvanusodhek6020 5 ай бұрын
Asante sana atasahi nasikilisa mafundisho yako nikiwa kazini.
@Chikwaninekahundu
@Chikwaninekahundu 3 ай бұрын
Pardon si m'aviez mal compris mais vraiment je suis touché par cette Evangil sur ce vraiment pardon.
@orestaMminza
@orestaMminza 4 ай бұрын
Amina barikiwa
@QuizzyMelecky
@QuizzyMelecky 6 ай бұрын
Amen Father kwa mahubiri mazuri yamenibariki mno.
@helenagodwin7012
@helenagodwin7012 6 ай бұрын
Hongera kwa mahubiri mazuri Baba
@agapithkaole32
@agapithkaole32 3 ай бұрын
Amina Baba .
@GasparaSanba
@GasparaSanba 5 ай бұрын
Asante Baba Paroko kwa mafundisho mazuri. Mungu akubariki sana.
@EmanuelLohay-n9c
@EmanuelLohay-n9c 6 ай бұрын
Amina mahubiri mazuri ubarikiwe padri
@DennisWaweru-ml4lf
@DennisWaweru-ml4lf 7 ай бұрын
Kwa kua yesu ameshalipa deni masalabani,kufa na kufufuka.tunakiwa kufa nakufufuka katika ubatizo(wakolosai 2:12-13).
@ChristianMfilinge
@ChristianMfilinge 5 ай бұрын
Ubarikiwe baba padri
@RaphaelMgonja-zd6kp
@RaphaelMgonja-zd6kp 5 ай бұрын
Tutubu,tuache kiburi na kukufuru mungu na roho mtakatifu,mungu atusaidie
@PetershilagiDaniel
@PetershilagiDaniel 5 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@BoniphaceJuma-hv6xr
@BoniphaceJuma-hv6xr 5 ай бұрын
Asant baba padiri kwa tafakari nzuri muno munooo sana
@geoffreykhaemba3178
@geoffreykhaemba3178 5 ай бұрын
Wow mahubiri na mafunzo mazuri sana , Mimi nashiriki na Kanisa la SDA , LAKINI kwa Mungu hamna mipka za dini wala rangi wala lugha , nashukuru kwa ujumbe huu na Mungu abariki mnenaji. Kwetu ni Kakamega Kenya ila kwa sasa nafanya kazi Mjini Thika Kenya.
@judithsalvatory2892
@judithsalvatory2892 5 ай бұрын
Barikuwa sana baba Padiri Mungu akubariki sana. Maana watu wengi huwa hawakubari kuhusu hilo tunda mwenye sikio asikie
@NeemaMwanyika
@NeemaMwanyika 5 ай бұрын
Ahsante kwa tafakari zuri sana
@ErnesterMboya
@ErnesterMboya 5 ай бұрын
Amina baba paroko
@RaphaelMgonja-zd6kp
@RaphaelMgonja-zd6kp 5 ай бұрын
Asante sana padre nimeelewa
@LUBONGALIVING
@LUBONGALIVING 5 ай бұрын
Proper interpretation and application of the scripture Thx servant of God
@phantyrhymes9536
@phantyrhymes9536 7 ай бұрын
Ahsante sana Baba Padre. Milele Amina.
@juliuschande3399
@juliuschande3399 7 ай бұрын
Nimekuelewa Sana father na ni kweli kabisa kiburi ndio dhambi ya asiri iliyofanywa na wazazi wetu wa kwanza...hapa umetema madini ya gharama kubwa sana,, asante mzee.
@MwandoroJoseph
@MwandoroJoseph 7 ай бұрын
Asante Father kwa mahubiri mazuri.
@VeronicaAngumbwisye-jj2bq
@VeronicaAngumbwisye-jj2bq 7 ай бұрын
Hakika baba umenena vema haya ni mafunzo kwà watoto, vijana hata wazee , ni wengi hufikiri tunda la mti wa katikati ni kuvunja amri yà 6 ila tangu sasa tumeelewa, barikiwa mnoooo Pd. F. Rwechungura 👏🙏 . Nakumbuka mbali jimbo nililokulia @ Tabora Cathedral nimewaona nà Makatekista wangu nimefurahi nà kufarijika pia.❤❤❤
@StratonMushongi
@StratonMushongi 5 ай бұрын
Asante kwa mahubiri maziri ya kutafakarisha.
@Wabere
@Wabere 5 ай бұрын
Asante padre.
@JuliusShikoli-d7z
@JuliusShikoli-d7z 6 ай бұрын
Mahubir masuri sana ubarikiwe muno.
@anniemapendo6103
@anniemapendo6103 7 ай бұрын
Siye yule asemaye Bwana, Bwana, ndiye atakaye risi ufalme wa Mungu.
@MathewMarktemu
@MathewMarktemu 7 ай бұрын
Asante baba kwa mafundisho adili
@NicolasKizanye
@NicolasKizanye 3 ай бұрын
KUTUBU ni kuamini KIFO CHA KRISTO YESU na pia ni badiliko la fikra kwa neno la Mungu inayokukataza USITENDE DHAMBI# Kumkufuru Roho Mtakatifu ni KUTOKUAMINI HAKUNA DHAMBI YA ASILI BALI KUNA "UTAKATIFU WA ASILI'
@mutashobyamutashobya
@mutashobyamutashobya 6 ай бұрын
First time a Catholic priest is. rightly dividind the word of truth keep it on father
@RITAChepngetich
@RITAChepngetich 4 ай бұрын
Si eti first time ni vile tu ma churches ingine Catholic hawawegangi you tube ivo ndo kuhuburingi
@BlankaPhilipo
@BlankaPhilipo 6 ай бұрын
Asante sama father . Amina kunwa
@revilsonsariah307
@revilsonsariah307 7 ай бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏
@TitanJonathan
@TitanJonathan 5 ай бұрын
Ubarikiwe 1:43
@rosemaryemily311
@rosemaryemily311 6 ай бұрын
Karibu Fullugosple
@franciskimani6062
@franciskimani6062 7 ай бұрын
Neno mzuri father
@ReginaKulwa-zp7wp
@ReginaKulwa-zp7wp 7 ай бұрын
MUNGU Mwenyezi, akubariki baba.
@FrolaMsanika
@FrolaMsanika 6 ай бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri padrii mungu akubaliki maana ili lilikuwaga swali la kila siku tysc tmsc na tulikuwa hatuelewi tunaelezeana to vitu visivyo
@MaryOpiyo-l3b
@MaryOpiyo-l3b 7 ай бұрын
Asante Padre kwa kutufunilie habari njema kuhusu dhanbi ya asili.na kumufukuru roho mtakatifu
@simonpigapigadini
@simonpigapigadini 6 ай бұрын
Amina Mtumishi
@SarahKapella-rm2of
@SarahKapella-rm2of 7 ай бұрын
Asante Sana baba padri Kwa mafundisho yako mazuri. Na Mimi umenisaidia Sana. Ubarikiwe .
@dicksonchihamba2245
@dicksonchihamba2245 7 ай бұрын
Amina
@deborahalute5199
@deborahalute5199 5 ай бұрын
Asante Fr. Barikiwa sana
@emanuelwilliam8834
@emanuelwilliam8834 7 ай бұрын
Ahsante baba kwa tafakari nzuri
@GoodloveShayo
@GoodloveShayo 7 ай бұрын
Asante baba ,kwa mahubiri mazuri sana yamenifungua.
@soteryobwoge573
@soteryobwoge573 6 ай бұрын
Asante muhubiri kwa ujumbe safi wa bibila.
@OscarSifuna-x8k
@OscarSifuna-x8k 4 ай бұрын
Umenifunza
@AliudChege
@AliudChege 5 ай бұрын
that great revelation,worderfull
@gadiyemarciano1750
@gadiyemarciano1750 6 ай бұрын
Asantee sana father kwa mafundisho mazuri
@Mashirima-k2p
@Mashirima-k2p 6 ай бұрын
Asante sana Padri Hilo neno la mti wa katikati watu wengine wanalitafsiri vibaya
@CalebSituma
@CalebSituma 7 ай бұрын
Asante xana patri kunihelimisha hapo
@frankbinomutonzi9127
@frankbinomutonzi9127 7 ай бұрын
Asante sana ancle.mahubiri mazuri mno naamini waamini wa Tabora wanakufaidi mno mungu akuimarishe sana
@CharlesBulengela-ue5hh
@CharlesBulengela-ue5hh 7 ай бұрын
Nimefurahi
@CharlesBulengela-ue5hh
@CharlesBulengela-ue5hh 7 ай бұрын
Guo ndio ukweli
@Josephinelatin
@Josephinelatin 7 ай бұрын
Asante sana pd kwa mafundisho manzuri sana mungu akubariki mno sana🎉
@MabelKaaya-hl2je
@MabelKaaya-hl2je 5 ай бұрын
Mwanamke mwema hushirikiana na mumewe kutunza familia. Soma kitabu Cha Mithali 31:10-31, wanasaidiana.
@DeogratiasKibendela-rb6ts
@DeogratiasKibendela-rb6ts 5 ай бұрын
Ameni
@NikolausSungula-s2v
@NikolausSungula-s2v 7 ай бұрын
Asante baba paroko majivuno na libido noma
@anisiakazaula7895
@anisiakazaula7895 7 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu. Nimebarikiwa Sana.
@AsanteAnastazi
@AsanteAnastazi 7 ай бұрын
Mahubiri mazuri sana
@staminacastory5322
@staminacastory5322 7 ай бұрын
Baba ubarikiwe kwa mafundisho mazuri najua yatanijenga kiimani
@bhoken.nyantahe847
@bhoken.nyantahe847 7 ай бұрын
Amina
@PascalineKahambu-bp5hm
@PascalineKahambu-bp5hm 7 ай бұрын
Shukrani sana mtumishi wa Bwana kwa mafundisho y'a busara!
@JipendeImani
@JipendeImani 7 ай бұрын
Asante kwa mafundisho.
@PalukuFahamu-tq9sj
@PalukuFahamu-tq9sj 6 ай бұрын
Nafurahi sana
@AkwilaJoseph
@AkwilaJoseph 7 ай бұрын
Asante baba kwakunifungua macho tunda la katikati barikiwa sana farthar
@mungholomakalanga8958
@mungholomakalanga8958 7 ай бұрын
Amina sana baba ❤
@mjwaushuka500
@mjwaushuka500 7 ай бұрын
asante sanana na mungu akubaliki sana .nimeelewa sana.
@leahkiwugha2329
@leahkiwugha2329 7 ай бұрын
Padri Asante kea mahubiri
@arnoldatuya178
@arnoldatuya178 7 ай бұрын
Thank brother for a good word for the evening about the truth on Tundra lakatikati
@DanielRorbet
@DanielRorbet 7 ай бұрын
Amina paroko tumependa sana mahubili yako
@AndreKalunga-u3k
@AndreKalunga-u3k 7 ай бұрын
Nafurahi saana juu ya dini langu Katolika, liko lile lile katika ulimwengu nzima, mimi ni mkongomani mjini Likasi.
@damasmasengo1701
@damasmasengo1701 7 ай бұрын
Hongera baba kwa tafakari iliyotukuka kwa nguvu ya Mwenyezi Mungu.
@HinohiatHidoCo
@HinohiatHidoCo 7 ай бұрын
Asante baba Paroko kwa mahubiri.
@malikikijogoo5407
@malikikijogoo5407 7 ай бұрын
Asant bab kwa mahubili mazuri sana
@dadiusosoro
@dadiusosoro 7 ай бұрын
Injili izuri sana padiri❤
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 7 ай бұрын
Amina baba ubarikiwe sana padre
@genevievesunday
@genevievesunday 7 ай бұрын
Hiyo kweli mtumishi wa Mungu
@IsaackmugoMugo
@IsaackmugoMugo 6 ай бұрын
Ameeeen
@julianasuleman219
@julianasuleman219 7 ай бұрын
Amen Amen
@DominicLeopold
@DominicLeopold 7 ай бұрын
Amina baba
@LenahMwende-sl4po
@LenahMwende-sl4po 4 ай бұрын
I think there Should be compensation After Demolition
@LareineKapanza
@LareineKapanza 5 ай бұрын
Asante
@nicolasmwakio3754
@nicolasmwakio3754 6 ай бұрын
Shalom Kwa upande wa wangu ni hvi Mungu ndie muumba wa vyote tuonvyo na tusivyoviioona so ilikkua lazima iwe hivyo. Kusudi Dunia ijae watu mama Jehova asingepanga havinge tokea akili kichwani.
@franciscafrancoise1426
@franciscafrancoise1426 7 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@marthatelesia-oo1yk
@marthatelesia-oo1yk 5 ай бұрын
Hahari njema
@deusbarnabas9060
@deusbarnabas9060 7 ай бұрын
Nimekuelewa pd.Faustin Rwechungula.
My scorpion was taken away from me 😢
00:55
TyphoonFast 5
Рет қаралды 2,7 МЛН
Арыстанның айқасы, Тәуіржанның шайқасы!
25:51
QosLike / ҚосЛайк / Косылайық
Рет қаралды 700 М.
Padre Dkt Kamugisha: Tawala Uso wako/ Nyakati 2 za kufunga mdomo
31:34
AGIZO LA MUNGU JUU YA TAIFA LA TANZANIA NA  TAIFA LA CONGO
29:57
BADO KUNA USHINDI TV
Рет қаралды 35 М.
DALILI ZA KUKUJULISHA UNASHAMBULIWA KIROHO || PST. GEORGE MUKABWA || 15/06/2023
1:34:04
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 485 М.
TUNAPASWA KUSHUKURU
5:50
RAJO PRODUCTIONS
Рет қаралды 9 МЛН
Rev. Dr. Faustin Kamugisha: MAISHA NI MUDA
17:23
Faustin Kamugisha
Рет қаралды 20 М.
Mch. Hananja awavunja watu mbavu ibadani, UDSM CCT CHAPLAINCY.
42:54
UDSM CCT MEDIA
Рет қаралды 2 МЛН