Asante sana Pd. kwa mafundisho mazuri sana sana, Mungu akubariki mno, nimeisikiliza zaidi ya mara tatu na bado nina hamu ya kusikiliza, ni mahubiri yenye tija na niya wakati uliopo na tunaishi nayo kila siku. Ubarikiwe sana 💯👏🙏.
@philibertmpinzile.60907 ай бұрын
Umesikiliza Mara tatu bila kuelewa pole Dana , maswali yako Sasa yako wapi? Kama kweli umeelewa
@samsonnyuha16487 ай бұрын
Mungu akubariki PD. KWA MAFUNDISHO MAZURI YA KINA, NAOMBA TUFUNDISHE DHAMBI YA YUDA ALIYEMSALITI YESU KRISTU KWA KUMBUSU AKAPOKEA VIPANDE 30 VYA FEDHA. ATASAMEHEWA. NA JE,. PILATO KWA KITENDO CHA KUNAWA MIKONO YAKE KWA MAJI BIRIKANI HATAPATIKANA NA HATIA YA KUMWAGIKA DAMU YAKE YESU KRISTU ???
@simonwaiyaki84497 ай бұрын
Good explanation & teaching, keap it up Amen.
@marcelboy83257 ай бұрын
@@philibertmpinzile.6090p0pqQmmmok
@MushiVicent7 ай бұрын
MUNGU AWE NAWE.
@kabwefrancine992 ай бұрын
Amen baba mtumishi wa mungu 👏👏👏👏
@LenirdaOdas4 ай бұрын
Barikiwa sana Baba Padre kwa Tafakar nzuri.
@Chikwaninekahundu3 ай бұрын
Hongera sana Mtumishi wa Mungu,ingekuwa mapadri wote wangesimama kwa Neno la Mungu kama,hakungekuwa lazima ya madini maelfu duniani
@elizabethchangala53127 ай бұрын
Hakika baba dhambi ya asili ni kutokutii na kuwa na kiburi. Hakika Mungu ATUSAIDIE KATIKA hili Baba. Barikiwa Sana kwa chakula Bora Cha ROHO
@vicentmushi91703 ай бұрын
Ahsante sana mheshimiwa padri
@ojeysylve62194 ай бұрын
Hapo ni kweli,watu watubu dhabi zao,watu watafakari maisha ya badae🙏🙏🙏
@SoniMwenebonjwa6 ай бұрын
Asante sana padiri KWA SOMO lako, mungu azidi kuongeza elimu yako ya kiroho, tupatie kushinda zambi zetu za asili,
@ZirhumanaZirix5 ай бұрын
Ubarikiwe saba baba Padri kwa mafundisho haya inayo waszidiya waamini Wenger kuacha mawazo ya upuuzi,Mungu akutiye nguvu tele,nilikufata vizuri sana,kutoka Bukavu/DRC.
@catherinemondo87175 ай бұрын
Kutokutii ndio nthdambi kubwa ❤❤❤
@MoureenMagret4 ай бұрын
Hongera sana padri kwa funzo🙏❤
@ArseneSombola-fn3cm4 ай бұрын
Nashukuru kwa neno
@josehmark4 ай бұрын
Daah kwa mahubiri haya Mungu nisaidie nibadilike
@FranciscoKigomba-jr6cw4 ай бұрын
Hongera sana padre kwa mahubiri yako mazuri na mungu akubariki.
@NicholasNalianya6 ай бұрын
Heko Padre Mungu akutie nguvu na akufunulie zaidi kwenye mahubiri yako.
@frominimushi89266 ай бұрын
Mungu ni Roho Imefika wakati Watu wote wajue kwamba Mungu wafananishwe na sanamu ya kuchanga wala kuchorwa tuache kuzungumzia muhula wa dhamiri sasa tupo kwenye Muhula wa Neema tuwahubiri Watu kutubu na kubatizwa ndani ya maji ktk Jina lake Yesu kristo kupata ondoleo la dhambi ili kuipata neema ya wokovu niagizo la Yesu Marko 16:15-16 Na mitume wakatii agizo mdo 2:38
@helenagodwin70126 ай бұрын
Asante baba kwa mahubiri mazuri
@sylvanusodhek60205 ай бұрын
Asante sana atasahi nasikilisa mafundisho yako nikiwa kazini.
@Chikwaninekahundu3 ай бұрын
Pardon si m'aviez mal compris mais vraiment je suis touché par cette Evangil sur ce vraiment pardon.
@orestaMminza4 ай бұрын
Amina barikiwa
@QuizzyMelecky6 ай бұрын
Amen Father kwa mahubiri mazuri yamenibariki mno.
@helenagodwin70126 ай бұрын
Hongera kwa mahubiri mazuri Baba
@agapithkaole323 ай бұрын
Amina Baba .
@GasparaSanba5 ай бұрын
Asante Baba Paroko kwa mafundisho mazuri. Mungu akubariki sana.
@EmanuelLohay-n9c6 ай бұрын
Amina mahubiri mazuri ubarikiwe padri
@DennisWaweru-ml4lf7 ай бұрын
Kwa kua yesu ameshalipa deni masalabani,kufa na kufufuka.tunakiwa kufa nakufufuka katika ubatizo(wakolosai 2:12-13).
@ChristianMfilinge5 ай бұрын
Ubarikiwe baba padri
@RaphaelMgonja-zd6kp5 ай бұрын
Tutubu,tuache kiburi na kukufuru mungu na roho mtakatifu,mungu atusaidie
@PetershilagiDaniel5 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@BoniphaceJuma-hv6xr5 ай бұрын
Asant baba padiri kwa tafakari nzuri muno munooo sana
@geoffreykhaemba31785 ай бұрын
Wow mahubiri na mafunzo mazuri sana , Mimi nashiriki na Kanisa la SDA , LAKINI kwa Mungu hamna mipka za dini wala rangi wala lugha , nashukuru kwa ujumbe huu na Mungu abariki mnenaji. Kwetu ni Kakamega Kenya ila kwa sasa nafanya kazi Mjini Thika Kenya.
@judithsalvatory28925 ай бұрын
Barikuwa sana baba Padiri Mungu akubariki sana. Maana watu wengi huwa hawakubari kuhusu hilo tunda mwenye sikio asikie
@NeemaMwanyika5 ай бұрын
Ahsante kwa tafakari zuri sana
@ErnesterMboya5 ай бұрын
Amina baba paroko
@RaphaelMgonja-zd6kp5 ай бұрын
Asante sana padre nimeelewa
@LUBONGALIVING5 ай бұрын
Proper interpretation and application of the scripture Thx servant of God
@phantyrhymes95367 ай бұрын
Ahsante sana Baba Padre. Milele Amina.
@juliuschande33997 ай бұрын
Nimekuelewa Sana father na ni kweli kabisa kiburi ndio dhambi ya asiri iliyofanywa na wazazi wetu wa kwanza...hapa umetema madini ya gharama kubwa sana,, asante mzee.
@MwandoroJoseph7 ай бұрын
Asante Father kwa mahubiri mazuri.
@VeronicaAngumbwisye-jj2bq7 ай бұрын
Hakika baba umenena vema haya ni mafunzo kwà watoto, vijana hata wazee , ni wengi hufikiri tunda la mti wa katikati ni kuvunja amri yà 6 ila tangu sasa tumeelewa, barikiwa mnoooo Pd. F. Rwechungura 👏🙏 . Nakumbuka mbali jimbo nililokulia @ Tabora Cathedral nimewaona nà Makatekista wangu nimefurahi nà kufarijika pia.❤❤❤
KUTUBU ni kuamini KIFO CHA KRISTO YESU na pia ni badiliko la fikra kwa neno la Mungu inayokukataza USITENDE DHAMBI# Kumkufuru Roho Mtakatifu ni KUTOKUAMINI HAKUNA DHAMBI YA ASILI BALI KUNA "UTAKATIFU WA ASILI'
@mutashobyamutashobya6 ай бұрын
First time a Catholic priest is. rightly dividind the word of truth keep it on father
@RITAChepngetich4 ай бұрын
Si eti first time ni vile tu ma churches ingine Catholic hawawegangi you tube ivo ndo kuhuburingi
@BlankaPhilipo6 ай бұрын
Asante sama father . Amina kunwa
@revilsonsariah3077 ай бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏
@TitanJonathan5 ай бұрын
Ubarikiwe 1:43
@rosemaryemily3116 ай бұрын
Karibu Fullugosple
@franciskimani60627 ай бұрын
Neno mzuri father
@ReginaKulwa-zp7wp7 ай бұрын
MUNGU Mwenyezi, akubariki baba.
@FrolaMsanika6 ай бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri padrii mungu akubaliki maana ili lilikuwaga swali la kila siku tysc tmsc na tulikuwa hatuelewi tunaelezeana to vitu visivyo
@MaryOpiyo-l3b7 ай бұрын
Asante Padre kwa kutufunilie habari njema kuhusu dhanbi ya asili.na kumufukuru roho mtakatifu
@simonpigapigadini6 ай бұрын
Amina Mtumishi
@SarahKapella-rm2of7 ай бұрын
Asante Sana baba padri Kwa mafundisho yako mazuri. Na Mimi umenisaidia Sana. Ubarikiwe .
@dicksonchihamba22457 ай бұрын
Amina
@deborahalute51995 ай бұрын
Asante Fr. Barikiwa sana
@emanuelwilliam88347 ай бұрын
Ahsante baba kwa tafakari nzuri
@GoodloveShayo7 ай бұрын
Asante baba ,kwa mahubiri mazuri sana yamenifungua.
@soteryobwoge5736 ай бұрын
Asante muhubiri kwa ujumbe safi wa bibila.
@OscarSifuna-x8k4 ай бұрын
Umenifunza
@AliudChege5 ай бұрын
that great revelation,worderfull
@gadiyemarciano17506 ай бұрын
Asantee sana father kwa mafundisho mazuri
@Mashirima-k2p6 ай бұрын
Asante sana Padri Hilo neno la mti wa katikati watu wengine wanalitafsiri vibaya
@CalebSituma7 ай бұрын
Asante xana patri kunihelimisha hapo
@frankbinomutonzi91277 ай бұрын
Asante sana ancle.mahubiri mazuri mno naamini waamini wa Tabora wanakufaidi mno mungu akuimarishe sana
@CharlesBulengela-ue5hh7 ай бұрын
Nimefurahi
@CharlesBulengela-ue5hh7 ай бұрын
Guo ndio ukweli
@Josephinelatin7 ай бұрын
Asante sana pd kwa mafundisho manzuri sana mungu akubariki mno sana🎉
@MabelKaaya-hl2je5 ай бұрын
Mwanamke mwema hushirikiana na mumewe kutunza familia. Soma kitabu Cha Mithali 31:10-31, wanasaidiana.
@DeogratiasKibendela-rb6ts5 ай бұрын
Ameni
@NikolausSungula-s2v7 ай бұрын
Asante baba paroko majivuno na libido noma
@anisiakazaula78957 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu. Nimebarikiwa Sana.
@AsanteAnastazi7 ай бұрын
Mahubiri mazuri sana
@staminacastory53227 ай бұрын
Baba ubarikiwe kwa mafundisho mazuri najua yatanijenga kiimani
@bhoken.nyantahe8477 ай бұрын
Amina
@PascalineKahambu-bp5hm7 ай бұрын
Shukrani sana mtumishi wa Bwana kwa mafundisho y'a busara!
@JipendeImani7 ай бұрын
Asante kwa mafundisho.
@PalukuFahamu-tq9sj6 ай бұрын
Nafurahi sana
@AkwilaJoseph7 ай бұрын
Asante baba kwakunifungua macho tunda la katikati barikiwa sana farthar
@mungholomakalanga89587 ай бұрын
Amina sana baba ❤
@mjwaushuka5007 ай бұрын
asante sanana na mungu akubaliki sana .nimeelewa sana.
@leahkiwugha23297 ай бұрын
Padri Asante kea mahubiri
@arnoldatuya1787 ай бұрын
Thank brother for a good word for the evening about the truth on Tundra lakatikati
@DanielRorbet7 ай бұрын
Amina paroko tumependa sana mahubili yako
@AndreKalunga-u3k7 ай бұрын
Nafurahi saana juu ya dini langu Katolika, liko lile lile katika ulimwengu nzima, mimi ni mkongomani mjini Likasi.
@damasmasengo17017 ай бұрын
Hongera baba kwa tafakari iliyotukuka kwa nguvu ya Mwenyezi Mungu.
@HinohiatHidoCo7 ай бұрын
Asante baba Paroko kwa mahubiri.
@malikikijogoo54077 ай бұрын
Asant bab kwa mahubili mazuri sana
@dadiusosoro7 ай бұрын
Injili izuri sana padiri❤
@paschalsafari97477 ай бұрын
Amina baba ubarikiwe sana padre
@genevievesunday7 ай бұрын
Hiyo kweli mtumishi wa Mungu
@IsaackmugoMugo6 ай бұрын
Ameeeen
@julianasuleman2197 ай бұрын
Amen Amen
@DominicLeopold7 ай бұрын
Amina baba
@LenahMwende-sl4po4 ай бұрын
I think there Should be compensation After Demolition
@LareineKapanza5 ай бұрын
Asante
@nicolasmwakio37546 ай бұрын
Shalom Kwa upande wa wangu ni hvi Mungu ndie muumba wa vyote tuonvyo na tusivyoviioona so ilikkua lazima iwe hivyo. Kusudi Dunia ijae watu mama Jehova asingepanga havinge tokea akili kichwani.