Рет қаралды 15,636
#Tanzanite #Mirerani #Manyara #Madini
Mchimbaji wa madini Saniniu Laizer aliyepata mawe makubwa mawili ya Tanzanite ambapo moja lina kilo 9.2 ambalo lina thamani ya shilingi bilioni 4.5 na la pili lina kilo 5.8 lenye thamani shilingi bilioni 3.3.- Wizara ya Madini. Amekubali kuiuzia Serikali na makabidhiano yamefanyika leo @DailyNewsDigital