Big leo ndio nimeamini kama wewe ni fundi,hodari,mbunifu
@MOPEBLETv6578 ай бұрын
Mr big hongera Sana Kwa kumuumiza dada wa watu, Asante Sana ndugu, yaani freshi😢😢
@PidfourYoungTz8 ай бұрын
Kaka kazi kubwa hii nimeikubali sana imechezwa kiukubwa zaidi🔥 🙌
@johnchem16327 ай бұрын
e bhana uyo jamaa alieimba iyo nyimbo duuuuuuuh noma sana aisee
@sibontungie8048 ай бұрын
Mr Bigibigi umepoa sana hauachili siku hizi madongo unatunyongesha mashabimi zako.
@jumakopa28938 ай бұрын
Kazi iko poa big mi nataka nyimbo iyo ya mwishon
@ginelisangakrambi95468 ай бұрын
😅😂😂😂nmecheka Anapendwa Emmy. 😂
@edinarobert67168 ай бұрын
Naomba rafiki gani iendeleee😘🥰🥰🥰🥰🥰
@yassirgiya67438 ай бұрын
Bigi kazi zako nzuri sana sema NYUMBA ibadilishe kiukweli tumeichoka
@kazidibaraka51717 ай бұрын
Sidhani kama amekosea sana kwasb Mr bigbig amemwambia usijal nitakutumia address kma umemsikia vzr. Means hiyo address itaeleza wap alipo halaf ataifuata hiyo either Zanzibar au kokote kule maelekezo yatakuwa kwenye address kwenye scene moja huwez weka Kila kitu mengine Huwa yanafichwa. Imagene kma Kila kitu kingewekwa tungekuwa na movies zenye more than 5hrs.unakuta Kuna kipande mtu anasafr utaona anatoka nje anaingia ndan ya gar then sec chache anaonekana yupo barabaran halaf kafika safari na sio kuonyeshwa Kila hatua ya safar.
@faizamohamed69938 ай бұрын
Duh hataree masikini mdada wa watu
@edinarobert67168 ай бұрын
😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘dada uliye kosea kutuma pesa umenikumbusha kitu hongera sana 😘😘
@pawasacomedy8 ай бұрын
Love from Rwanda 🇷🇼 ❤️ ❤
@MasikaCom-dv8vf8 ай бұрын
Wow that is good
@sabihaibrahim1438 ай бұрын
mara moja hii tu kukosea namba yeshakuwa hayo tobaa hatari magono na u t i wacha yatuvae na mauwaji ya mapenzi kuongezeka
@amoldlishela51668 ай бұрын
nice work
@wasomitv84878 ай бұрын
Filamu nzuri
@user-vt8dj2oz9n8 ай бұрын
Mbona kama uwongo iyo namba kahifazi saangapi kicwani bigi umetupiga😂😂😂
@elizabethnguma33797 ай бұрын
😂😂😂😂 jamani,ama tatizo rangi,maana sijawahi on mtnzania mweusi😢
@esterkimalio88468 ай бұрын
Nzuri.sana ila inakata kata sauti BIG
@salimramadhani52378 ай бұрын
mapenzi mabaya alijisemea banana zoro kwenye song ZOBA
@nicopaswedy1027 ай бұрын
tupo pa1
@umaima11788 ай бұрын
Kazi nzuri🎉🎉🎉
@Nsengiyumvao0078 ай бұрын
Sauti akuna big mbona ivo
@nukhailamursaly52527 ай бұрын
Mbona kama umecopy na kupast kwa wanaigeria😅
@agnesmatua90188 ай бұрын
Hi story inafanana na movie Moja ya nigeria
@nukhailamursaly52527 ай бұрын
Kakope na kupast 😅kumbe hata wewe unaijua ile movie😅
@rahmasaid7628 ай бұрын
😢😢😢dah eti nimeumia mm
@imraniside43277 ай бұрын
Mm nahitaj kumjua huyo msanii alio imba iyo nyimbo ndan umo
@user-si2hl1us4t7 ай бұрын
Nakubal sana kaz zako
@bramwelmunialo50758 ай бұрын
Kazi nzuri sana 🎉🎉🎉🎉
@lilpblackofficial99507 ай бұрын
Kitambo kaka yangu
@saumbliz89838 ай бұрын
Kujipelekesha wanaume hawataki hizo tabia
@1czay7 ай бұрын
Hata mimi ningekua mr bigbigi ningechagua huyo dadake kasaut kazuri na nikarembo sana😂😂
@zittotheniceone27698 ай бұрын
Hongera kazi nzuri sana. Ombi langu naomba unitajie hizi nyimbo zinaitwaje na msanii ni nani?
@amanmissana29318 ай бұрын
Iyo sauti kama ya baruti
@salumabdu54158 ай бұрын
Saut ya balut iyo
@MkukiLissu-tl6hb7 ай бұрын
Big hii content umechukua kwenye filamu ya MAPITO😢...
@yasigale66954 ай бұрын
Mr Big mwambaaaaa
@liylahahmed8298 ай бұрын
Nzurii sanaaa.....😢❤
@devijackson99187 ай бұрын
KEEP IT UP
@mohammedkidody56187 ай бұрын
Nakubali sana bigi bigi❤❤❤🎉🎉🎉
@nassibmasoud34068 ай бұрын
Mtu kakosea no Alfu Anampgia Cm Anamwambia Anataka Kuonana Nae Bila Kumuliza Unaishi Wapi,Mkoa Gani,Zanzbr,Anasema tu Direct Nataka Kuonana Kwakujua Tayar Anajua Upo Karibu na Wewe Apo Kidogo Kwangu Icho Kipande Nimekiona Fail Sana Bigbig Mwenetu!?!!
@user-bt1vl8nu5n7 ай бұрын
Nikweli apo wamefeli
@mohdhaji5507 ай бұрын
Fanya yakoo utie icho kipande 😂
@nassibmasoud34067 ай бұрын
Mlete mkeo bhc au mama ako tueke kipande chetu hapo kuma msenge,Uyo big Anatafuta Maoni ya Wadau Wake Wewe Km Nani unafirwa nini
@user-ss3zl5cs2j7 ай бұрын
Really hapo hata mm sijaelewa kikubwa wametupga
@nassibmasoud34067 ай бұрын
@@user-ss3zl5cs2jnakwambia kwasab sisi hawa tunawafuatilia sana na wenetu kuna fala hajui lolote ananambia nitoe kipande changu akili hana sisi tunafatilia stry zao hatuangaliii picha za mademu hapa
@user-zj3hm8wm5f8 ай бұрын
Kazi nzuri sana ila nimemiss kumuona V , umempeleka wp?
@lujuomjanja28668 ай бұрын
BIG BIG MMEFANANA KAMA NDUGU
@mjsteven32978 ай бұрын
Tunataka part tow
@saadatiyahyashabani-yg2xy8 ай бұрын
❤🇰🇪
@eliasmaro8 ай бұрын
2 🤙
@zainabukhamisi38398 ай бұрын
😂😂😂😂 mapensi
@shugunderitu89997 ай бұрын
I miss Rahma
@user-ft4yx6yk9s7 ай бұрын
We dads mubaya bwana ata ukijibebixha😢😂
@barakamwasi74428 ай бұрын
😂😂😂😂🎉
@zaksmyles33967 ай бұрын
sauti inapotea sana... the audio is not working in some sections
@user-xh9dm3ni4k5 ай бұрын
Kaz hipo apo
@aminali26777 ай бұрын
👏👏👏❤️❤️❤️🤣🤣🤣
@sofiakinyia27347 ай бұрын
❤❤🎉🎉
@PrincessHellen-pg1oy8 ай бұрын
Jamani 😢
@yuui18788 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mustafampande1738 ай бұрын
oya BIG nipe namba ya huyo sina nyama
@AminaMbaraka-um4qg7 ай бұрын
Unataka kumpa nyama?
@saidhaitham7 ай бұрын
Copy ya movie from nigeria🤣🤣ila umejitaid
@giftjonson57398 ай бұрын
Ndy shda hzo tucpende kwend Sehm na watu unaend sehm nend mwenyew
@gracechalle76298 ай бұрын
😂😂😂
@sabihaibrahim1438 ай бұрын
sio kwenda na watu tuache umalaya tusubiri wetu ukiona mtu tu ushajishobokesha hujui mapenzi yanamacho yanajua pa kuingia na pakutoka
@HamimuMtoro-ii5is8 ай бұрын
Ila ktk Maisha ya kawaida kuna cha kujifunza unaenda sehem na mtu yeye anaonekana wa maana kuliko wewe