Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
Пікірлер: 72
@sadahamad61584 ай бұрын
Alhamdhulillah MashaAllah Mungu ni mwema jaman nilijua ni mtoto wa kiume kumbe wa kike mzuri❤❤❤ Allah azidi kumpa afya🤲🤲🤲
@nasramussa23704 ай бұрын
Maaashallah m pia nilijua wa kiume voh Alhamdulillah
@RitbayRitbay4 ай бұрын
Na mm hvo hvo Alhamdulillah allahu akbar Allah ampe afya wote waliosaidia allahuma amiiin.
@FarhiyaThani-yc5et4 ай бұрын
Mashallah tabarak rrahman ❤️ hata mm nlijua mtot wa kiume ivo kumbe mashallah cute baby girl ❤Allah amjaalie afwan inshallah
@MaryamAbass-z1x4 ай бұрын
Mashaallah Allah awalipe kheri kwa kila alie jitolea hamida kwa ss kapendeza Hali ngumu maskini inazidisha maradhi Allah atamuafu Inshaallah kwake hakuna linalo shindikana
@KhalfanSaid-mo9jh4 ай бұрын
Awe namaisha yke mazuri.... aingie kwenye ndoa inshaallah tuombe allah inshaallah....Allahummatakabbalminna innaka anta ssamiu l-alim
@SharifaSalim-cc5dg4 ай бұрын
Wallah nalia na mda huu nataman kma nipige kelele maskin kaingia afya maisha nyie aya umaskin n mtihan mzti unakufa huku unajiona Allah ampe shifaa na nyinyi awalipe kher tuko pamoja
@sadahamad61584 ай бұрын
Alfatah Allah awajaze kheri na nyinyi 🎉🎉🎉🎉🎉
@assiakhadijz41674 ай бұрын
Mashallah nilijuwa ni mwanaume kumbe ni binti tena mrembo mashallah 😊
@HhRt-m5z4 ай бұрын
Subhanallah Allah amfanyie wepesi inshallah
@DelightfulMacawBird-tl5hf4 ай бұрын
Subhanallh Allah azidi kumpa Uzim Hamida shifaaa ya rabbi😭
@umumuhammad13524 ай бұрын
Mashallah Allahu akbar,Allah ampe swiha njema😊
@GatekaFatmaАй бұрын
Mashallaaah tabaraka llaah jmn kapendeza Allah azidi kumuhifadhi ampe afya na nguvu
@halimamfaume19254 ай бұрын
Mtoto amekuwa mzuri ❤ alhamdulillah
@KhalfanSaid-mo9jh4 ай бұрын
Mashaallah Allah amjaaliye arudi kwenye Hali kama zakwetu au zaidi asome afanikiwe inshaallah
@RossaMengo4 ай бұрын
MA SHA ALLAH TABARAKA ALLAH...Alhamdulillah kwahii neema
@al-mamarial-mamari54574 ай бұрын
MaShaAllah Tabaraka Rrahman. Mm nilidhani ni wa kiume pia. SubhannaAllah
@رقيهالخصيبي4 ай бұрын
Alhamdllah Rabbllaamin MashaAllah MashaAllah Mwenyeez Mungu mkubwa mtoto mzuri
@NgololoBinSuleiman4 ай бұрын
Mashallah mungu amjalie afya njem inshallah
@khadijaseif38974 ай бұрын
MashaAllah mheshmiwa hemed suleiman Allah akubarik kwa kweli una moyo nzur sana ❤
@fatimasaid94694 ай бұрын
Alhamdulilah. Allah amzidishie afya njema ameen ya rabil ❤
@WaydaHaji4 ай бұрын
Alhamdulilah. mungu ni mwema ..kumbe ni mwnamke ...mungu ashukuriwe SNA.. alhamdulilah
@MamiMohamed-c6l4 ай бұрын
Allahummah machozi ya furaha yamenitoka mashaAllah mtoto sai ameanza kurudi vizuri wallah afya ngozi hata nywele mashaAllah mm sikujua mara ya kwanza kua ni mtoto wakike saii kapendeza Allah azidi kumrudishia mtoto Afya njema Allahummah Amiiiin
@NahirSaid-wj6ux4 ай бұрын
Allhamdulillah,jina la marehem mama yangu hamida,hata mm nilijua wa kiume, Allah atamuafu.
@mariyamgharib9404 ай бұрын
Bismillah mashaa allah allah azid kumuafu inshaa allah
@SwalehHashim4 ай бұрын
aaallhamdu lilahh walwahi kwakweli nafsi inauma mungu ampe nguvu ishaall
@OmanOman-e8w8f4 ай бұрын
mashaallah mungu atamfanyia wepes
@SalamaRajabu-c6hКүн бұрын
Allah amjalie shifaa
@FirdausAli-i7v4 ай бұрын
Mashallah Mashallah mtoto hamida allah akufanyie wepes
@fatmamansour6764 ай бұрын
Mashallah vara mwili umeingia kidogo alhamdulilah
@OmanwafiWafi4 ай бұрын
مشاءالله تبارك الله ❤❤❤
@kadejakk41274 ай бұрын
Alhamdulilah mungu ni mwema🤲🤲
@Aminahlamranl420-hw2ie4 ай бұрын
Maashaallah Maashaallah Alhamdulillah
@aishahazary40974 ай бұрын
Maasha Allah bint yetu amependeza sana
@Ayuminchasi4 ай бұрын
Màashallah amenawiri
@JalanOman-m4j4 ай бұрын
Masha allah mungu mwemaaa
@AminaAhmed9994 ай бұрын
maa shaa Allah mtoto amekuwa mzuri .Allah awape kila kheri kwa juhudi zenu
@thehumblediti49394 ай бұрын
Maa shaa Allah ❤alhamdulillah thumma alhamdulillah nafurahia wallahi kama vile mm ndo nimepata hiyo afueni wallahi
@LeilaKanyinyi4 ай бұрын
Allah awajaalie wote mlo fanikisha Jambo hili
@sheikhanasser47144 ай бұрын
Bismilah Ma Sha Allah Alhamdelilah kwa Neema zake Allah Alhamdelilah 🤲🤲
@MwajumaJuma-h4k4 ай бұрын
Maa Shaa Allah
@Latifaally390Latifa4 ай бұрын
Mashaallah Allah ampe shifaa zaid na allah wajalie kila la heri
@ZuhraNassor-jm7hq4 ай бұрын
Allah SW atupe nguvu ya kutoa katika kheri
@SalmanMughal-lq5lt4 ай бұрын
MashaAllah
@halimaoman87264 ай бұрын
Alhamdulillah mungu kubwa tuzidi kumshukulu mungu
@MaryamMaryamsalum4 ай бұрын
Mashallah Allah awazidishie waliotoa
@FaustaNyagawa-oq1eb4 ай бұрын
Mungu amtie nguvu
@SalamaAli-cv6uj4 ай бұрын
ALLAHU AKBARU!
@HalimaZuberi-o5o3 ай бұрын
Alhamdulillah
@ghhyhh75914 ай бұрын
Subhanallah hakika allah ni muwenza wa yote amakweli umaskin m.baya😢😢😢
@KhadijaSalum-nf5mf4 ай бұрын
Alhamdullillah
@khadijaseif38974 ай бұрын
Amiin
@mwantumkombo30144 ай бұрын
Alhamdulillah, mashallah❤
@saumkassim40564 ай бұрын
.اللهم انتشاقي لاشفاء الشفاءك
@sharifafatawy98744 ай бұрын
ALHAMDULLILAH
@khadija57614 ай бұрын
Alhamdulillah 🎉🎉🎉
@annesmatemu4264Ай бұрын
Ni mzuri jamani
@KHAMISKHATIBFAKI4 ай бұрын
AmUstdh Rashid kikweli ww ni mtu wa watu kikweli sote tulitokwa na machozi tulipomuona Ramadan Alla akulipe khr ustdh Radhid
@OmanOman-gu1wy4 ай бұрын
Allah azid kumuimarish afya yak
@G.r.e.a.t.I.Q4 ай бұрын
Muulize Daktari wake kama tangawizi mbichi si shida kwa huyo mtoto kuitumia. Akiruhusu basi msagieni, ichujwe vizuri apewe kijiko kimoja (Cha chakula) mara tatu. Yaani, kijiko Asubuhi, kijiko Mchana na kijiko usiku kabla kulala. Ni kwa ajili ya kukunjua mifupa na kuondosha kukakanaa.
@WaydaHaji4 ай бұрын
Tusikate tamaa na rehema za mungu jamani ...kw hali alivyokuwa nayo Huyu mtoto na alipofikia MUNGU TUACHE AWW MUNGU TU