Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
Пікірлер: 29
@user-ko6lg9tw6wАй бұрын
Mashallah Mungu awazdshiyen Barka wote waliotowa sadaka ❤
@user-vs8si3do2mАй бұрын
Wallahi natamani na mm nitoe ila na mm ni mnyonge namuomba Allah atupe rizki za halali ili nasi tutowe ktk njia ya Allah.
@abdulrahmantalib5637Ай бұрын
Allah atajalia kher
@abdulrahmantalib5637Ай бұрын
Mungu ajaliie wiki hiii hii alete kher ya ajab aondoshe dhiki zak zte
@user-dx6dm6lh1iАй бұрын
Allahuma amiiin
@chikujuma18Ай бұрын
Mashallah hongera al Fatah tv mwenyezi mungu awabariki kwa utangazaji wenu na wanaotoa misaada mola awazidishie mlipo mtoa inshallah ❤❤❤ nawapenda wote kwa jili ya Allah
@sulekhan7119Ай бұрын
Mimi nawaombea kira renye kheri nanyi litimie kwa uwezo wa Allah na namuombea mtoto apone na atapona amini Amini amini Allah awape guraha katika maisha yao Amini
@kassimomar7589Ай бұрын
Sijawah ona tv kama alftah Tanzania wallah Allah atawalip kher yamu lkiyama
@user-dx6dm6lh1iАй бұрын
Amiiin
@sheikhanasser4714Ай бұрын
Allahuma Aameen Yaarb Alaameen 🤲
@user-eu4pk3eh5dАй бұрын
Hakika yaa akhy Allah awalipe kheri duniani na akhera
@salummussa1139Ай бұрын
Nyumba nzuri ila hana hata jirani wa karibu
@abdallahbakari-xv6iyАй бұрын
Allah awajalie kila la kheri tkt mafanikio yenu inshaallah
@user-xi4pd1yw7oАй бұрын
Ammin ya rabball allamin
@RashidAbbas-zy6xxАй бұрын
Nyumba NZURI Masha Allah lakini mbona IKO pekeyake
@AminaSeif-ns3qtАй бұрын
allah akujalieni kher alfatah na wote mlotoa misaada yenu
@MrMona_TZ26 күн бұрын
Mashallah 🤗 ila nyumba mbona hamjamjengea krbu na mizunguko ya majirani .... Ipo peke ake 🥺
@mwaninimpendu2468Ай бұрын
Mashaallaah
@user-ms3lu6gr2iАй бұрын
Mbona yupo peke yake apo mtaani apo
@FatmaMohammed-ry8yoАй бұрын
Mashaallah tabarakallah Allah kareem raheem Allah awape afya nyote Allah akufungulieni kila zito
@faridapandu7579Ай бұрын
Mungu amjalie kila laheri inshaallah ❤❤ mpovizuri alfat mungu awabariki inshaallah
@ZainabAbdullah-bc6pu28 күн бұрын
Jaman Hakuna nyumba iliyo peke yake maisha huyo kaaza na majiran watafata muhimu kapata mahali pa kujisitir alhaamdulilah. Hebu achen hizo comment mbona yupo peke yake hapo ndiko alipo pangiwa na mungu aishi maana mwanzo alikua Katikati ya majumba mumeona alipo kua akiishi kikubwa alhaamdulilah mungu Kwa kumjaalia hapo alipo pata
@MaryamFerej-ep9cqАй бұрын
Mtihani mkubwa umasikini, na mtoto mgonjwa, Alla atajaalia kheri,