Nilitaka kuifahamu hii habari la tatizo muda lakn nikipata time nitarud tena shukra SnS kwa habari nzuri tunapata kujua na kujifunza mengi ALLLAH azidi kuwaongoza zaid katika harakati zenu zote za maisha
@staralive92603 жыл бұрын
Mto NILE umepita pia Ziwa Victoria na ndipo ambapo umetelemsha maji yake ambayo ni chanzo moja wapo pia ambapo tunaambiwa mto huo mfereji yake au chanzo kingime ndipo walipojenga bwala la Umeme la Mwalimu Nyerere ambalo lilikuwa na mgogoro na sinto fahamu kwamba ujenzi wake ungeweza kuharibu chanzo Cha mto NILE. Wamisri walikuja kuangalia maendeleo ya ujenzi wa bwawa la Umeme Kama Tanzania ilifuata utaratibu
@patrickmulonda97103 жыл бұрын
Congo tuko juu sana kabisa, ila umaskini wakunuka.
@user-hq8il6ch2j10 ай бұрын
Nchi nyingi zilizotawaliwa na french zina tatzo
@stanleynombwe486510 ай бұрын
Vita ndiyo chanzo Cha umasikini walio nao
@yassergolden68603 жыл бұрын
Samahani kwausumbufu kwa swala la mto nile fanya vizuri utafiti wako sababu mto nile cimbuko lake unaanzia burundi sehem inayoitwa rutovu mkowa wa bururi katika wilaya ya matana
@barikisamali53583 жыл бұрын
Mto kagera ndio umeanzia hapa rutovu
@chachapeter93922 жыл бұрын
Ansant San bro kwa kutujuza
@abdulbishow40343 жыл бұрын
umesahau mto wa Rusizi Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@maigathomas23533 жыл бұрын
Jamaa anasauti nzuri sana
@Ramadhanimsingwa3 жыл бұрын
Upo vizuri tujuze na mengine kama misitu mabonde mapango nk
@aishaswab24132 жыл бұрын
Nice one keep it up
@ezapesambili21303 жыл бұрын
Hapo utasikia baadhi ya watu Mungu hayupo na hakuumba
@selestinsongola27873 жыл бұрын
Haw jamaa wanahali sana kwamfano mtumbwi upinduke sihatal sana
@semanasitv83035 жыл бұрын
kuna mto ruvuma nao nchini kwetu ni mrefu sana
@vanessalaizer43633 жыл бұрын
That’s Amazing 🤩💖💚💖💚
@alexmgimwa68763 жыл бұрын
Hivi mto nile ndo mto Jordani au
@enggeorgemarcomabogamarco38845 жыл бұрын
Congratulate brother kazi zuri
@alexhemedy17403 жыл бұрын
Nakubali sana kazi nzuri
@sharifakhamis24613 жыл бұрын
Subhannallah ALLAH AKIBAR
@malelabmalela50163 жыл бұрын
kwel
@fredrickweinand55483 жыл бұрын
Nyie ni watu makini sana. Mnafanya kazi nzuri sana. Hongereni sana
@kreamagdfsa16973 жыл бұрын
💯💯
@saliminengineer7589 Жыл бұрын
Safi sana
@geographyteacher.29613 жыл бұрын
Nimeipenda sn hii taarifa na nlikuwa na hamasa kubwa kujuzwa kuhusu mto Nile huwenda usingetajwa ningekata rufaa kwa sns director (joke)
@abelypeter32253 жыл бұрын
Umesahau mto igoma uko igoma jijin mwana unaurefu wa km 100 unatoa maji ktoka kwenye majaruba unamwaga maji zwa Victoria
@user-kt1et3fz4u2 ай бұрын
Ni orodha ya mito na sio vijito au vifereji
@jojininga16665 жыл бұрын
Kaka nakukubali kazizuli apa kamavle uposhulen tu naujut bm zako kusikiliza Kaka jitaidi kutujuza
@chrisurbancraft50313 жыл бұрын
Asante Sana kwa ukumbusho wa hili somo
@awadhrajabu14033 жыл бұрын
Mito Iko Na Maajabu Sana Yani Maji Yanaenda Seemu Moja Lakini Yanakotoka Ayaishi2 Kweli Uko Aridhini Sijui Iko Bahari Au Vipi
@aminatanzanya74753 жыл бұрын
🤣🤣🤣Yanapoend pia hakujai Dunia ina maajabu
@kreamagdfsa16973 жыл бұрын
Allahu akbar
@f3ttysaid6433 жыл бұрын
@@kreamagdfsa1697 Hili ndo la kusema Maana ukijiuliza sna maswali haya utajikuta unakufuru 2
@manish-fp1fb2 жыл бұрын
Ni kwasababu maji yapo kwenye cycle.. yanaenda huko baharini lakini yanarudi kwa njia ya mvua... yanayoingia chini yanatoka kwa njia ya chemchem. Hayajawahi kuongezeka wala kupungua bali yanatoka kwenye hali moja kwenda kwenye hali nyingine(liquid, vapour na ice)
@erastojoseph44883 жыл бұрын
Kaz nzuli lkn 2ngependeza 2kasikia pia namajab yake !
@saidaali93795 жыл бұрын
You help my son for geography Thank you 🙏🏿 hun
@celebratingunited40645 жыл бұрын
huo manjano ndo naon leo
@patrickmulonda97103 жыл бұрын
Nzuri sana kabisa
@kanaelmushi95273 жыл бұрын
I like for this story I like it
@EvelineKadege-uj9uyАй бұрын
4
@sergiobosco81205 жыл бұрын
Kali
@maansaitoti37123 жыл бұрын
Nice elimu
@eliemoses1383 жыл бұрын
Oo
@unclefred01393 жыл бұрын
Na River Tana iko nambari ngapi?
@davidnyimbo88702 жыл бұрын
Tana ni ziwa
@suleimandimonde29343 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@halimatanzani85875 жыл бұрын
Asante
@mnzavachris54235 жыл бұрын
unvyosema mifereji ndo swsw na chanzo ama maana kuna wanyarwanda husema kwao ndipo ilipo chanzo cha mto naili?
@aminatanzanya74753 жыл бұрын
Nahis hivy Maan ake ndo unapoanzia huo mto na kwend eneo lingine
@kannycla61633 жыл бұрын
Thx u 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@didierlola13963 жыл бұрын
Kweli we muongo.kwa nini. udanganye? Kama hujui uliza tuku saidie ok
@mumberebinstone36013 жыл бұрын
Asante sana bro
@mweusiasili83453 жыл бұрын
Mto manyara
@superwomen2335 жыл бұрын
mwenyezimungu mkubwa walla
@kreamagdfsa16973 жыл бұрын
Tabaraq wataala allahu akbar
@zulfamohamed45495 жыл бұрын
unajuwa kuchambua vit wewe honger tumeelewa
@aminatanzanya74753 жыл бұрын
Nimeinjoy sana kwa hii habr 👍🙏🙏
@Evo_Tv13 жыл бұрын
Nice
@hassankenga71743 жыл бұрын
Asante sana
@livinswai92913 жыл бұрын
elimu tosha kabisa
@wazirbashir76263 жыл бұрын
Hii show umeimaliza kibabe sana bila hitimisho sijui ulikua na haraka gani? Anyways umebamba kinomanoma