Huyu dada ni shupavu kati ya wanawake shupavu tz nayy yupo...she never gives up, she's a hard worker , a good mother, a good wife eishhh...i love you resty you inspire many of us.
@allthingdranabeauty4 жыл бұрын
Kweli kabisa namjua mda anajituma sana na sio mchoyo kwa ushuli
@gisselahonory72304 жыл бұрын
Resty is a very bright and intelligent lady. Mungu azidi kumshika mkono .
Napenda watu kam hawa wanakwambia nimepitia hivi na hivi bila kupinda pinda safi sanaaa
@marycianajulius88314 жыл бұрын
Hongera sana super woman ,napenda kujifunza kwa waliofanikiwa na natamani cku mmoja niwe mmojawapo kwa waliofanikiwa naamin ipo cku mungu atanifungulia milango ameen
@sadasaid42024 жыл бұрын
Waoooh you’re so amazing girl god bless you dear we admire you always so keep it up
@vickykapama83864 жыл бұрын
Rest mimi naishi Sweden, lkn nakukubali sana uko na familia nzuri na Umeishika familia yk kwa Upendo wa Yesu Kristo👏 Siku nikija Tanzania lzm nitakuja kukutembelea hapo Restpark kula kiti moto, mtori na Mbege. Keep a Good Job ❤❤❤❤❤💋
@josephlwagi93704 жыл бұрын
Nan kaona huyu Dada ana sauti ya utangazaji?
@azzamahamdu70394 жыл бұрын
Dada ni JEMBE 🥰🥰SAFI SANAA
@tausingomeni25684 жыл бұрын
Nimejifunza kitu, mtuleeege watu kama hawa
@estherdhahabu59024 жыл бұрын
Asant resty nimejifunza mengi kutoka kwako
@boke91964 жыл бұрын
Nampenda sana huyu dada ni mwanamke anae pambana sana
@fallymetoo1914 жыл бұрын
Inspired story 👌🏼
@floraclemence20814 жыл бұрын
Du!Big up wewe ni mpambanaji Hongera sana
@mandyfitnesstv67384 жыл бұрын
Taarifa za kibishara bwana wengi hawasemi ukweli. Kama unafanya biashara kwa mazunguzo ya huyu dada......!!!! Wafanyabiashara mshanielewa
@salamaignace78734 жыл бұрын
Nimekuelewa
@butturachel17943 жыл бұрын
Siyowakweli wanasirizao nyuma ya pazia
@othumanlorenzo2602 жыл бұрын
Kweli kabisa
@othumanlorenzo2602 жыл бұрын
Kweli kabisa kabisa ila jambo analo
@bibibomba45152 жыл бұрын
💯
@hyasintapeter2044 жыл бұрын
Hongera Dada but hujasema ulipopata mtaji kuanzia kufuga
@miriamcheya31364 жыл бұрын
Pesa iltoka kwa wazazi
@jacquelinenasaeli14994 жыл бұрын
Pia amesema nyumbani kulikua na kuku ndo walikua wanaendeleza hao hao
@priscapeterprisca76124 жыл бұрын
Nampenda huyu dada wallah...
@floridalupala12284 жыл бұрын
Congrats sis..,but natamani kujua idea ya biashara umeianza kabisa baada ya kumaliza tu chuo au hata ulipoluwa chuoni ulijihususha na biashara??
@jtheophil54993 жыл бұрын
Godbless you resty
@naimanimo49254 жыл бұрын
Mmmmhh lawyer to famigating something is not clear here
@belak9994 жыл бұрын
Acha kukariri maisha, kinachotafutwa ni hela
@farajalaizer46694 жыл бұрын
I agree,...
@claramunish27264 жыл бұрын
Acha ushamba bana.kuna wanaume na vilaza kuwa na elimu au kazi mzuri sio sababu yakudharau kupiga pesa kwa njia nyingine ikitokea fursa tunapiga kitu n pesa sii kaz nzur au elimu.wacha wenye waume wanaojitambua tumukubali huyu dada.nampenda sana Resty.na nawakubali sana.wee endelea kuhoji lowyer na famigation wapi na wapi zitakupita pesa.pole mwaya...wacha uvivu wakufikir
@leylabashir66014 жыл бұрын
Nampenda huyu dada Mungu ambariki sana.
@jackmichael22174 жыл бұрын
Nampenda Uyu dada
@euniceshao1154 жыл бұрын
Mimi binafsi nakuelewa Sana resty wangu kioo changu leo nimejifunza vitu sio kitu
@joynnko51864 жыл бұрын
Nampenda uyu sis
@ThiagoMessi10-f4g4 жыл бұрын
Na yule mtoto mtundu wa Nairobi akiona atafanye
@zakstv73684 жыл бұрын
Jamani nilikuwa natamani sana nimsikie huyu dada namjua sana kwenye mitandao ananivutia natamani kuwa km wewe
@restutabura46114 жыл бұрын
Nashukuru sana Kuna muendelezo wa kipande cha pili bado sijamaliza
@reginatsaxara46003 жыл бұрын
@@restutabura4611 Dada natamani nipate no zako
@hosianaeliud2434 жыл бұрын
Nimekupenda nimependa ulivyo mpambananaj
@doristo25974 жыл бұрын
Tunaomba muendelezo please..........
@rahmakipingu29264 жыл бұрын
Nampenda sana huyu dada
@hadijakabona9554 жыл бұрын
Apa nimejifunza kt kwa Dada rec
@ntekaniwakitatu63434 жыл бұрын
Congratulation rest
@cocktailkwinzy94194 жыл бұрын
Huwez kumridhi kila mwanadam dada ake so hakuna tusi jipya hapa dunian ww fany biashara zako yako tu watu wako wa karibu wakikupenda inatosha wanao kutukana acha wakutusi achana naooo
@salmakiungo25384 жыл бұрын
Nakupendaje
@tausingomeni25684 жыл бұрын
Kwan mtangazaj ana miaka mingap🤣🤣maan rest alipost 30 mwaka jan, sasa mbona kama wanaendan jmn shikamoo hz kha🤣mtangazaj una mingap ww naona unamuonea resty🤣
@neymafrancis62194 жыл бұрын
Kwakweli syo tabia nzuri hii😄
@ashaally66624 жыл бұрын
😂😂😂😂
@mastidiadionis33354 жыл бұрын
Hata mimi sijapenda aisee 😄😄
@lipymuscat47794 жыл бұрын
mtangazaji ovyo tu et heshima yako dada
@gertruderobert54884 жыл бұрын
Siku zote ukiwa n hela utaamkiwa had n waliokuzid
@fatumamdoka84754 жыл бұрын
Kila kitu hadi mtt nimezaa2010
@fatumamdoka84754 жыл бұрын
Mbona historian yako kama yangu second born tuko wanawake3 yaani kila kitu😀😀
@damalisamnguto30664 жыл бұрын
😍😍
@nahyialetomia92844 жыл бұрын
Nice interview
@kokutunda95914 жыл бұрын
♥️♥️♥️♥️♥️♥️
@happygw69304 жыл бұрын
Huyu mtangazaji mbona anaingilia sana ajui kutangaza amwache aonge na ndio aulize maswali ana kiherehere ajirekebishe na kumwacha aonge kuhusu biashara za kwenda china awe na uvumilivu
Sauti ya Mamlaka, hata kuimba anaweza, hasa nyimbo za GOSPER ..,ana Kipaji haswaaaa , namkaribisha kwenye Ushereheshaji pia karibu uwe Mc wa Shughuli mbalimbali
@florahmeck1244 жыл бұрын
Jamani huyu dada nampenda
@mmakiluly4 жыл бұрын
Video yenyewe inafunguka kwa shida
@neemawilliam84154 жыл бұрын
Huna bando
@zainabuhatibu43734 жыл бұрын
simu yako ina matatizo
@damalisamnguto30664 жыл бұрын
Cmu yako ndugu
@zeriamdee73814 жыл бұрын
Da rest nakufatliaa Sana'a uko vzur
@Lizzah_Media4 жыл бұрын
❤❤❤❤
@mariaamos35384 жыл бұрын
rest kama rest..mwanamke mwenyee furaha zake mda woteeee
@aluwiyahussein19484 жыл бұрын
❤❤❤❤
@marymwasantaja19674 жыл бұрын
💞💞💞💞💞
@Lizzah_Media4 жыл бұрын
DA rest un an I enspire Sana..nakupenda mnooooo yani nikiingiaga Instagram wa kwanza kukuangalia ni ww post zako na kufanya napata nguvu zaidi ya kunitumia huku uarabuni ili nije kuwa Kama ww
@amaliweston39634 жыл бұрын
CAN YOU GIVE US THE NAME OF HER INSTAGRAM ACCOUNT🙏🏾
@marryakyoo65794 жыл бұрын
@@amaliweston3963 resty- cosmetics
@amaliweston39634 жыл бұрын
@@marryakyoo6579 THANKS FOR THE REPLY. I LOVE TO SEE ORDINARY CITIZENS DOING WELL IN TANZANIA. GOING TO FOLLOW HER.🙏🏾🙏🏾
@happymwanguo25214 жыл бұрын
Dada nimekupenda bure hukati tamaa na ndio inavyotakiwa ili kufikia mafanikio
@nuruleonard9594 жыл бұрын
I love this lady
@neemafrancis93624 жыл бұрын
Umenifariji na story yako.Umenipa nguvu Asante da Rest .Inawezekana unaona umesema kama story tu lkn wenzio tuko darasani TUNAJIFUNZA vitu vingi kwako 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@rosejoseph93784 жыл бұрын
Resty ni superwoman kusema kweli anastahili tuzo
@dubenamahanga53634 жыл бұрын
Mungu akubariki mama Hayley
@farajalaizer46694 жыл бұрын
English baaado,plz ongea tu kiswahili, zisi zati tunaomba tupumzishe na shemeji akapambane si kufuatana na wewe kila kona na kinywaji kila siku yeye anakunywAgaaaas Try a little bit of privacy...
@jacquelinejohn78214 жыл бұрын
Ww ni hater
@mariammbughi27024 жыл бұрын
Ampumzishe wapi na ndio mumewe ni wivu
@gracemichael22254 жыл бұрын
Hater
@faridamussa9654 жыл бұрын
Acha wivu khaaaa
@scolastikanjau18914 жыл бұрын
Jiue ukapumzike unakasirikia maisha ya watu na liinsha lako lireeefu woii
@yasintawalyuba24442 жыл бұрын
Umenizidishia ujasili Sana dada Resty kwangu na nmejifunza Mambo mazuri kutoka kwako, ubarikiwe sana.
@farajalaizer46694 жыл бұрын
Hongera pia kwa kua mpambanaji
@faithmwangosi164 жыл бұрын
Keep it up lady,so inspiring
@uwimananadia60664 жыл бұрын
Acha na mimi nika ku forrow dada, unaongea vizuri kwa busara hakika Mungu akubariki sana unatupa moyo wa kusonga mbele bila kukata tama🙏🇧🇮
@anamariayuba54572 жыл бұрын
asante dada umenitia nguvu kwa maneno yako mungu akubariiki
@victorlaiser15124 жыл бұрын
Napenda unavyoishi na biashara zako.Mungu aendelee kukufanya kichwa.
@pendopendo74274 жыл бұрын
Mi nampenda huyu dada yni Mungu ndo anajua love nlonayo kwa huyu dada Mungu akutunze ili nizid kujifunza kupitia wew😘😘😘😘😘😘😘😘😘😍😍😍😍
I lov u dear....u ar how you ar since childhood ..jioneshe and keep dat up, i lov u
@veronicavalence5344 жыл бұрын
😍😍😍😍
@restipaul42863 жыл бұрын
Good wajina
@joycekimario95524 жыл бұрын
Watoto watatu au wawili
@atuganilekalinjila83854 жыл бұрын
your the best Resty
@maggyjerry80624 жыл бұрын
Ila Resty ww ni mwongo na ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu Nakumbuka ulishasemaga kuwa hilo eneo ni lako la kitambo ulinunua ndo ukaamua ujenge leo umekodisha jitahidi ukumbuke uongo wako
@abiahsteven73454 жыл бұрын
😂😂😂
@bonvivant37044 жыл бұрын
😭😂🤔
@venerandamwalimu164 жыл бұрын
Ukweli umekusaidia nini wewe?
@maggyjerry80624 жыл бұрын
@@venerandamwalimu16 WE NAE HEBU TOA UJINGA WAKO WW NDO RESTY AU UMBEA TUU
@venerandamwalimu164 жыл бұрын
@@maggyjerry8062 Mungu akuweke unapostahili...nimekubali mimi mjinga.
@normansanga1274 жыл бұрын
ila marafiki mungu anawaona
@stacydii33244 жыл бұрын
Super woman I love her
@vailethkinabo79614 жыл бұрын
Dada wa Taifa nakupenda mpaka basi Unampenda Mungu na ndio maana upo juu Mungu hawezi kukuacha daimaa .nakufuatilia sanaa wewe ni mwl mkubwa sana kwangu
@saramwaipopo85164 жыл бұрын
B.A
@salamakindee48054 жыл бұрын
Mbona mtangazaji anaonekana mzee kuliko huyo rest,kakazana kujibebisha mxue.....kujifanya mdogo hivyo kwio
@djamilathiam46634 жыл бұрын
Ila recho temu anamutusi sana uyu dada duuh
@joynnko51864 жыл бұрын
Afu sijui kwann
@deborahrkaguo65404 жыл бұрын
Yule anatukana kila mtu anaepambana sijui ana roho gani
@ashaally66624 жыл бұрын
Ndy na hata Ww ukienda ukacommnt kitu chakwaida anakutukana😂😂😂Sijui kichaa yule
@pilimateleka29704 жыл бұрын
Huyu dada sio kwa resty tu..kuna mtu alimfanyia hvyo na hakua mkubwa..nlihisi wanarandana umri.. sema..labda ni mdogo ila mwili ni mkubwa.
@berthaleonardbihondo11414 жыл бұрын
@@ashaally6662 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@janembawala60094 жыл бұрын
Faru john
@ashaabdallah92544 жыл бұрын
Acha uchokozi
@eastcuisines1244 жыл бұрын
unaemwita faru john kakuzidi kila kitu, acha wivu mwanamke....penda mafanikio ya wengine na wewe ufanikiwe
@janembawala60094 жыл бұрын
@@eastcuisines124 kanizid nn embu niache umesifiwa ss muon sura lake kwanza km pumbu za mwijaku nyioo
@janembawala60094 жыл бұрын
@@ashaabdallah9254 kapewa na shg ake hili jina
@eastcuisines1244 жыл бұрын
Jane Mbawala duh dada muombe Mungu akuondolee wivu jaman, yani unasikitisha shida ni nn??kakupora bwana ama?usipo penda mafanikio ya wenzako hivi unadhani ukimuomba Mungu atakubariki?