No video

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA TAARIFA YA UCHUNGUZI WA MCHANGA WA DHAHABU

  Рет қаралды 216,725

Ikulu Tanzania

Ikulu Tanzania

7 жыл бұрын

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA TAARIFA YA UCHUNGUZI WA MCHANGA WA DHAHABU 24 MAY 2017

Пікірлер: 114
@marianmartin7483
@marianmartin7483 Жыл бұрын
Lala salama baba, vita ulivipigana😭😭😭😭😭😭 nikikuona machozi yanatililika. Mwenyezi MUNGU akupe makao salama huko uliko. Raha ya milele umpe e bwana, na mwanga wa milele umwangizie apumzike kwa amani Amina. Roho za waamini wapate rehema kwa MUNGU, wapumzike kwa amani, AMINA.
@onelovetz7935
@onelovetz7935 Жыл бұрын
Uko Kama Mimi kilip mbili tu machozi yananilega
@alfredlucas972
@alfredlucas972 2 жыл бұрын
Mungu akupe wepesi katika pumziko lako la milele rais wetu wa wanyonge
@frans_dede
@frans_dede 3 жыл бұрын
Mungu akupe pumziko la milele Raic we2 mpendwa Dr. JPM tutaendelea kulia mpak mwak 20100
@mathewben6833
@mathewben6833 3 жыл бұрын
Kuna wakati hua siamini kama rais niliyemkubali nikamchagua hayupo tena duniani,daaah! YAHWEH is great.Pumzika kwa amani JPM hakika me binafsi kwa jitihada zako nakukumbuka
@peterkabigi
@peterkabigi 7 жыл бұрын
Kwa hili kila raia mwenye nia njema na nchi atakuunga mkono.Hongera saana Rais.
@pizzaboy3640
@pizzaboy3640 2 жыл бұрын
HUWA cwezi kujizuia kabisa MACHOZI yanavyo nimwagika nikisikiliza hotuba ya huyu mwanajeshi kamanda rais aliye jitolea mhanga kwa ajili ya Taifa letu hakika wewe ni SHUJAA japo umelala RIP J P M
@motelalasem6755
@motelalasem6755 3 жыл бұрын
Upumzike salama namungu akusamehe makosa yako yote nakulilia kwauwazi na uzalendo kwa nchi yetu inaumasana,
@yusuphwella9651
@yusuphwella9651 3 жыл бұрын
Chuma hicho, najickia faraja sana japo kwa muda wake mfupi impact yake ni kubwa sana, naifananisha na super sub iliyoingia ikapiga hatrick na kuchukua point tatu,
@ismailkipalanga2812
@ismailkipalanga2812 3 жыл бұрын
Kila nisikilizapo hii hotuba, bado naamini kuna siku utarudi tena kuja kuwa hata mshauri tuu. RIP mzalendo wa kweli
@davidcharles5674
@davidcharles5674 7 жыл бұрын
this is what I was asking leaving myself with unanswered qns. why were we not talking of natural minerals as OUR MAJOR SOURCES OF INCOME .... WHY WERE WE DEPENDING ON TBL, TCC...? THANX OUR PRESIDENT YOU KEEP ON ,,, WE TZ WER SUPPOSSED TO BE DONORS
@hajiissa9200
@hajiissa9200 7 жыл бұрын
hongera sana rais wangu mpendwa .ninakupongeza sana kwa kuwanyoosha hao wanaojiita wajanja . namuomba allah akulinde na akupe umri mlefu wenye mafanikio
@omarisalimu366
@omarisalimu366 7 жыл бұрын
Amiin
@omarisalimu366
@omarisalimu366 7 жыл бұрын
Amiin
@tatulalia8211
@tatulalia8211 Жыл бұрын
That's truth Dad but RIP God bless you for your jobs
@mbokaandbahatitv8509
@mbokaandbahatitv8509 7 жыл бұрын
Wewe ni rais wangu, siku zote nitakuheshimu, Mungu akutunze daima.
@charlesmugisha6529
@charlesmugisha6529 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tumepoteza mtu muhimu Sana ktk nchi yetu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@munaahmed8499
@munaahmed8499 3 жыл бұрын
Allah akulinde na kila shari rais wetu utuongoze kwa ufanisi kam unavyotuongoza insha Allah🤲
@Lex_review
@Lex_review 7 жыл бұрын
one day they will value your presidency
@abdallahmngoi8538
@abdallahmngoi8538 7 жыл бұрын
dulamatelephone
@Zamb90
@Zamb90 3 жыл бұрын
The time is now bro
@felexmaphie8677
@felexmaphie8677 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@felexmaphie8677
@felexmaphie8677 3 жыл бұрын
Am just realising your comment sir.
@fettysalum8290
@fettysalum8290 7 жыл бұрын
Mungu akupe uhai zaid rais wa Tz uendelee kufanya mema kwetu wa tz
@alfredjustinian9753
@alfredjustinian9753 3 жыл бұрын
Daah tutakkumbuka mzee aisehe lkn nmemuona proffeser anashangaa kwelikweli aisehe
@heridadia9634
@heridadia9634 3 жыл бұрын
R.i.p JPM 😭😭
@offblogmedia
@offblogmedia Жыл бұрын
Come take your chair father, we miss you already!! ( And, you knew it)
@MeshackAminieli
@MeshackAminieli 27 күн бұрын
Mungu ana makusudi na watanzania maskini ndo maana akafanya hivyo shukrani kwa yesu kristo
@rozinajumbe4237
@rozinajumbe4237 Жыл бұрын
Tunakukumbuka Baba ! Tumebaki wakiwa Baba wanyang'anyi wanatafuna urithi wa nchi yetu
@denismsanzya7145
@denismsanzya7145 Жыл бұрын
Upumzike kwa amani kaka yetu
@januaryevarist2093
@januaryevarist2093 2 ай бұрын
Hii is miss you Dr jonh
@georgegeorge9688
@georgegeorge9688 Жыл бұрын
Akika ulikuwa .nguli wa uongozi, kazi yako ni ilikuwa nzuli sana,
@kelvinchadulaga310
@kelvinchadulaga310 2 жыл бұрын
RIP mwamba wa african
@manstiko5890
@manstiko5890 Жыл бұрын
Rest in paradise chuma tutakukumbuka daima
@abdallahmngoi8538
@abdallahmngoi8538 7 жыл бұрын
mwishimiwa endelea kuchapakazi safi sana
@Dantaata
@Dantaata Жыл бұрын
hatuna la kufanya baba tangu siku umeondoka hadi leo tunaumia,, m/mungu asikuache baba yetu kipenzi
@lgatura
@lgatura 3 жыл бұрын
Kila ninapo skiza hotuba ya Rais Magufuli , huwa si amini eti hayupo tena nasi , aisee ina uma sana , Sema mambo ya Mungu hayana Makosa , Pumzika kwa amani Rais wetu kipenzi, Mungu akupe pumziko la amani .. RIP
@ISSAMITWE-iq1bo
@ISSAMITWE-iq1bo 9 ай бұрын
sintamsahau hayati magufuri ktk maisha yangu yote.mungu mpumzishe kwa aman amin.
@sethmotto4513
@sethmotto4513 2 жыл бұрын
Maisha Ndivyo Yalivyo!Kazi iendelee!
@FortiMtolela-xl2nb
@FortiMtolela-xl2nb 18 сағат бұрын
😢❤
@adelaidaruta2930
@adelaidaruta2930 2 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akuruhusu kutoka huko uliko uzidi kulipigania Taifa hili kama ulivyo lipigania ukiwa duniani mimi nitakukumbuka daima
@yohanabiby3581
@yohanabiby3581 Жыл бұрын
Yohana E Biby
@georgegeorge9688
@georgegeorge9688 Жыл бұрын
Sawa bac ninaumia sana nikifikiri
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate Жыл бұрын
Tutakukumbuka daima
@geopolitics94
@geopolitics94 3 жыл бұрын
Rest in Peace our beloved President 🇹🇿❤️
@farajastudioandstationery5798
@farajastudioandstationery5798 3 жыл бұрын
Nimemis Hii sauti kiukweli...!
@kamuchidyblez2136
@kamuchidyblez2136 Жыл бұрын
Daaa ulale salama aisee kaz yake mola haina makosa
@ramadhanndemeye6932
@ramadhanndemeye6932 7 жыл бұрын
lema uko wapi? mbona husemi?
@dct4lif
@dct4lif 7 жыл бұрын
Tundu Lisu tayari ashaongea ujinga kama kawaida yake
@mgeni1233
@mgeni1233 Жыл бұрын
Alikuwa mkweli na ukiwa mkweli jua maisha yako mafupi
@mrishoselemani7521
@mrishoselemani7521 7 жыл бұрын
MWENYEZI MUNGU AKULINDE
@karimmveyange280
@karimmveyange280 Жыл бұрын
Hakuna atakeye kufikia kwa uadilifu wako na uzalendo na ubingwa wa ufufuaji uchumi bila kuomba omba mikopo.Hata wafanye vipi,tayari uliwaumbua.Tunawaona 0 tu . Haupo kimwili lakini Roho yako ipo na inaona hali ilivyo hii leo.Mungu atalipa hapahapa ktk ardhi na wote watashuhudia
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 2 жыл бұрын
Hii hotuba Ni ya kulikomboa taifa kwa vizazi vyote....tupate wapi Rais Kama JPM Tena.. éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@moshykimario7601
@moshykimario7601 2 жыл бұрын
The life time president
@danielimeshack3712
@danielimeshack3712 7 жыл бұрын
nakupenda rais wangu 2020 ukishinda badili katiba uongoze mpaka utakopochukuliwa na mwenyezi mungu inauma sana lisu kachukua rushwa ya wazungu anabwatuka ovyoo piga kazi baba
@abushirikijaji4014
@abushirikijaji4014 2 жыл бұрын
Ewe mngu tunakuomba umuweke mahala pema peponi rais wetu mpendwa natunakuomba uturudishiye rais ajae awe mkweli kama mpendwa wetu magufuli
@blackmartin2395
@blackmartin2395 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭 kwel tulipoteza
@bizzosela6186
@bizzosela6186 3 жыл бұрын
😭😭😭
@nuhunyambulapi5320
@nuhunyambulapi5320 2 жыл бұрын
We missed you today Mwamba
@arjunelly540
@arjunelly540 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭Inauma jamn
@konzerasokoni1773
@konzerasokoni1773 2 жыл бұрын
Natamani siku zirudi nyuma ufufuke ungetawala milele... Wengi washakuelewa lakin ndo ivo too late
@JacobAlexander-sc1oh
@JacobAlexander-sc1oh 4 ай бұрын
sna la kusema kizuri hakidumu
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 3 жыл бұрын
Jembedali wetu JPM ulisema tutakukumbuka kweli tumeanza maana uku Prof Muhongo hataki tena Bwawa la umeme la Rufuji ambalo ilikuwa ndoto ya Mwl Nyerere na ndio ukombozi wetu. Nakumbuka Mzee Mengi aliwai sema prof Muhongo ni Muongo...RIP Mengi. Alafu Ndugai anataka kuwaleta wachina na ule mradi wenye masharti ya ajabu ajabu. Ambapo tayari tunajua Sri Lanka wanatesena na mradi wa namna hii.😭😭😭 Ila hata kama haya yatakwama ss vijana tayari umetuonesha njia siku moja tutakuja kuyafufua kama wewe ulivyo fufua iliyokuwa ndoto ya Mwl Nyerere. RIP NYERERE NA JPM 💪🏿🙏🏿
@jonasjaphetthomas6434
@jonasjaphetthomas6434 2 жыл бұрын
We ndo rais sasa tunayemtaka watanzania walobaki woteni .....Watajua wenyewe wapo kundi gan siwapendi sijui kwanini!
@kakamau0384
@kakamau0384 Жыл бұрын
Hivi huyu jamaa alikuwa na kasoro gani jamani katika Nchi hii lkn!!?? 😭 Tutakukumbuka baba
@daudikapange9203
@daudikapange9203 Жыл бұрын
😢
@avitimushi1541
@avitimushi1541 7 жыл бұрын
The president and his TUME have walked the walk after the talk. Viva President Magufuli. Viva Tanzania
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 Жыл бұрын
This guy was a legend
@msandigeorge8355
@msandigeorge8355 Жыл бұрын
Was.
@dmstephano8643
@dmstephano8643 6 жыл бұрын
Jamen
@godfreykwejah
@godfreykwejah Жыл бұрын
Kwa kweli utaendelea kuishi mioyoni mwetu, na akili zetu bado zinakuenzi!
@tgeofrey
@tgeofrey 7 жыл бұрын
Kimenuka Shamba la Bibi
@elishebawerema7155
@elishebawerema7155 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@georgegeorge9688
@georgegeorge9688 Жыл бұрын
Mzee uko sawa Tanzania tuna watu wa ajabu sana, uwatunawafikiria hatupati majibu,
@adammrisho1990
@adammrisho1990 10 ай бұрын
Mpl
@paulcosmas8031
@paulcosmas8031 Жыл бұрын
Pumzika kwa aman baba
@georgegeorge9688
@georgegeorge9688 Жыл бұрын
Mzalendo wetu, leo tunaubiriwa neno uzalendo, najiuliza sipati jibu, Magufuli uko wapi? Kama nchi inaitaji wazaleno!!
@lameckmulokozi4685
@lameckmulokozi4685 2 жыл бұрын
Tutakuenzi baba lala kwa hamn
@johnnestory9970
@johnnestory9970 Жыл бұрын
JPM utakumbukwa daima,kwa mazuri mengi uloyafanya kwa watanzania wengi!
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 3 жыл бұрын
Mbabe kaenda na ubabe wake haaaaaa
@halajanyerere3512
@halajanyerere3512 2 жыл бұрын
Jpm rest in peace
@Joseph-lu4yj
@Joseph-lu4yj 2 жыл бұрын
Ikulu haina hizi video kweli ? including mkataba wa bandarui ya bwagamoyo ?
@elipidiuskweyamba1394
@elipidiuskweyamba1394 Жыл бұрын
RIP
@susannaikuni8595
@susannaikuni8595 Жыл бұрын
Shujaa hutasahao lika milele lala salama
@veromakoe5017
@veromakoe5017 Жыл бұрын
Mm
@ramadhanndemeye6932
@ramadhanndemeye6932 7 жыл бұрын
nchii ina wajinga wengi kazi yao kupiga kelele bungeni
@sadamkuntukumu3672
@sadamkuntukumu3672 Жыл бұрын
Kwanin samia suluhu afanyi hivi
@MeshackAminieli
@MeshackAminieli 27 күн бұрын
Ata saaulika alikuwa kichwa cha taifa
@clausemanuel9891
@clausemanuel9891 7 жыл бұрын
daaah
@mudhihirugara8845
@mudhihirugara8845 4 ай бұрын
Jeembehiro bwana pumzika salama
@allykingu1752
@allykingu1752 3 жыл бұрын
Jembe toka chato?
@vandamemaress1350
@vandamemaress1350 4 жыл бұрын
Og
@maluhismadila9593
@maluhismadila9593 Жыл бұрын
Pumzika kwa amani bd tunakukumbuka baba
@clementmentusela171
@clementmentusela171 Жыл бұрын
In
@hermanisaay1904
@hermanisaay1904 2 жыл бұрын
Itv
@paulkapele2797
@paulkapele2797 Жыл бұрын
Mahubiri,ya,moses,Maghembe,t,ag
@emmanuelshilinde2512
@emmanuelshilinde2512 Жыл бұрын
JPM
@ramadhanndemeye6932
@ramadhanndemeye6932 7 жыл бұрын
je hicho chombo kina uzwa bei gani?
@zawadix9574
@zawadix9574 7 жыл бұрын
Ramadhan Ndemeye I love this man true Patriot...... Tanzanians are cursed how can we be so stupid and dumb
@innocentmalingumu1541
@innocentmalingumu1541 Жыл бұрын
Pumuzika xalamal rais
@isackkubimba819
@isackkubimba819 Жыл бұрын
Dodoma
@kefamwakipesile275
@kefamwakipesile275 3 жыл бұрын
bado unadumu ata hujafa baba wa pili wa taifa
@user-vh2pe9lu1v
@user-vh2pe9lu1v 11 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😅😅😅😅😊😊😊😊😅😊😅😅😊😊😅😊😊😊😅😅😅😅😅😅😊😊😊😅😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😅😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😅😊😅😊😊
@user-vh2pe9lu1v
@user-vh2pe9lu1v 11 ай бұрын
😊😊😊😊😅
@user-vh2pe9lu1v
@user-vh2pe9lu1v 11 ай бұрын
😊😊😊😊
@user-vh2pe9lu1v
@user-vh2pe9lu1v 11 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊
@user-vh2pe9lu1v
@user-vh2pe9lu1v 11 ай бұрын
😊
@user-vh2pe9lu1v
@user-vh2pe9lu1v 11 ай бұрын
😊 17:04 😊😊😊
@bumsnyagenda9639
@bumsnyagenda9639 3 жыл бұрын
Kwa nchi za kiafrica hata hawakuelewi hata Kama ni wasomi watakuona unawabana tu maana wenyewe wanasema hili bara la wajinga Ila upo sahihi mzee
@yohanabiby3581
@yohanabiby3581 Жыл бұрын
Yohana E Biby
@nicholaus6859
@nicholaus6859 Жыл бұрын
Tuta kukumbuka baba
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 42 МЛН
Pleased the disabled person! #shorts
00:43
Dimon Markov
Рет қаралды 31 МЛН
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 590 М.
0CTOBER 31,2016 ZIARA YA MH RAIS MAGUFULI NCHINI KENYA PARTY ONE
56:16
HUYU NI MHE JOHN POMBE MAGUFULI 14 Nov 2013
13:38
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 281 М.
MANENO MAZITO YA RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA HAYATI MAGUFULI CHATO
30:26