RAIS DKT. MAGUFULI AKIWA NJIANI KUELEKEA JIJINI DODOMA

  Рет қаралды 1,083,243

Ikulu Tanzania

Ikulu Tanzania

4 жыл бұрын

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi mbalimbali waliomsubiri njiani akilekea Mako makuu ya Nchi Jijini Dodoma .

Пікірлер: 293
@hanashhanash535
@hanashhanash535 Жыл бұрын
Huyu mzee alikuwa mzuri sana 😭yaani mm ni mkenya mpaka leo huwa naja kuangalia video zake nilipenda sana 😭 Ila Mungu alimpenda zaid 😭 wangapi wanaangalia hii video mwisho wa huu mwaka
@JophasJohn-oh8zu
@JophasJohn-oh8zu 6 ай бұрын
Ikiwa wewe ni mkenya na unaumia na sisi ndo balaa aisee yaani tumuombee tu mzee wetu aendelee kupumzika kwa amani
@elizabethshayo446
@elizabethshayo446 4 жыл бұрын
Akika ww ni zawadi kwa Taifa letu kutoka kwa Mungu,wasiokupenda watafute uraia nchi zingine.Big up Rais Magufili miaka 200' barikiwa sanaa
@thomaschengena6116
@thomaschengena6116 4 жыл бұрын
Mheshimiwa RAIS unawezaje kuzijua lugha zote hizo? Wengine hata lugha moja tu mtihani hongera Sana
@muckhutarymatimbwa2731
@muckhutarymatimbwa2731 4 жыл бұрын
Waliesikia km munataka parking ijengwe kwenye maji jengeni yenu gonga like hapa,Ongera mtoboa tobo mh Jpm
@raymondmsuya7127
@raymondmsuya7127 2 жыл бұрын
Endelea kupumzika mahali pema peponi baba🤲🤲🤲🙏🙏 sijui why nimekukumbuka mzee wangu.
@HagenimanaFidele-ps8no
@HagenimanaFidele-ps8no 8 ай бұрын
Jikaze kama mwanaume ndugu yangu namimi pia Mungu mlaze mahari pema RIP
@HagenimanaFidele-ps8no
@HagenimanaFidele-ps8no 8 ай бұрын
Jikaze kama mwanaume ndugu yangu namimi pia Mungu mlaze mahari pema RIP
@marianaj1707
@marianaj1707 3 жыл бұрын
MUNGU Ninakutukuza sana Kwa ajili ya maisha ya John Joseph Pombe Magufuli, Wewe Unaijua Tanzania 🇹🇿 vizuri na kule mahali Umekusudia kuipeleka....Tanzania iko mikononi mwako MUNGU, TUNAKUTAZAMA.
@kennedylukwembe577
@kennedylukwembe577 3 жыл бұрын
AMEN.
@clementmwaitebele7687
@clementmwaitebele7687 4 жыл бұрын
Mh.JPM... Big machine ...speed 120 ya nchi isonge mbele ...combat ni super ndio wajuwe you're commander..
@hassanyuusuf6176
@hassanyuusuf6176 4 жыл бұрын
What a humble, humane,wholesome & down-to-earth president John Pombe Magufuli is.! Hongera Mheshimiwa rais!
@kelvinvitalis2965
@kelvinvitalis2965 Жыл бұрын
R I P my really president I remember you
@geraldabunuasi
@geraldabunuasi Жыл бұрын
TOMASI BUNUASI
@kennymullah6593
@kennymullah6593 4 жыл бұрын
Kenyan resident,,I like how maghufuli is handling issue ,especially issue facing the local man.BIG UP DR.MAGHUFULi.
@emmanuelreuben5014
@emmanuelreuben5014 4 жыл бұрын
Thank you
@mariambewa8104
@mariambewa8104 3 жыл бұрын
How I wish it was Kenya tungekuwa mbali sana
@yasirmchele5027
@yasirmchele5027 Жыл бұрын
Pikpk
@yasirmchele5027
@yasirmchele5027 Жыл бұрын
Pikpk
@geofreymashauri566
@geofreymashauri566 Жыл бұрын
@@mariambewa8104 iiiiiii
@mwenekihimbaomugahe6437
@mwenekihimbaomugahe6437 4 жыл бұрын
I from Uganda but mzee ninaomba mumwongezeye kura asante
@jahistheway8868
@jahistheway8868 4 жыл бұрын
Nandika kutoka ujerumani. Mie ni mkenya.lakini ndugu zangu wa Tz,wacheni Rais magufuli aongoze mpaka achoke mwenyewe.Hamtapata Rais kama yeye.Hata kenya twampenda sanaa magufuli.Hata asiwe na mpinzani, hata hayupo.
@petrokapaya9112
@petrokapaya9112 3 жыл бұрын
RIP mtumishi wa Mungu magufuri roho inauma
@stephensigonda9927
@stephensigonda9927 4 жыл бұрын
Hongera mheshimiwa Rais mtetezi wa wanyonge
@amanimasenya
@amanimasenya Жыл бұрын
Mungu aendelee kukupumzisha kwa amani, nimekukumbuka mzee wangu.
@jumaamartin7929
@jumaamartin7929 Жыл бұрын
pumzika kwa amani mzee wetu watanzania bado tuna kulilia na bado tunakuombea mungu ailaze roho yako mahali pema peponi tunakukumbuka sana baba😭😭😭🤲🤲
@jworld1480
@jworld1480 5 ай бұрын
huyu alikuwa anatatua tatizo ha[po hapo
@dennismalima5365
@dennismalima5365 4 жыл бұрын
VIVA JPM... MORE BLESSINGS TO OUR President
@gilbertjames7898
@gilbertjames7898 Жыл бұрын
Hata mm nataman sana kuwa kiongz mwenye busara Na kuwatendea mema watanzania hakika mungu alikuchakua kuwa kiongz mzur pumzka kwa aman
@theosaimon6933
@theosaimon6933 2 жыл бұрын
You will always and forever be the best 👌 president of all time? 🙏 🕊 RIP forever in our hearts 💕 💞 missing you alot
@edwardpeter8569
@edwardpeter8569 3 жыл бұрын
Magu tutamkumbuka Sana, Sana zako hazitakuwa na mfano tena mkuu pumzika KWa amani, wananchi hawa tutakukumbuka baba 😭😭
@lexisavage1770
@lexisavage1770 4 жыл бұрын
asante baba rais wetu mpendwa Magufuli kwa kusaidia wananchi wanyonge
@rosenamilia4140
@rosenamilia4140 4 жыл бұрын
Rais wangu Rais wetu JPM hongera sana kwa maendeleo ya Tanzania.Kweli umekaa kikazi zaidi kwa ajili ya wanyonge. Umependezea sana na vazi la jeshi.
@great-african903
@great-african903 2 жыл бұрын
Mungu aisamehe Roho yangu juu ya mh magufuli 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@dignakanje4508
@dignakanje4508 Жыл бұрын
Nashindwa chakuandika nabaki kusismka kwahii sauti jmn.Huyu baba bass tu Mungu ampe pumziko lamilele
@kulwashimba977
@kulwashimba977 4 жыл бұрын
I consider Dr J.P.Magufuli as a Unique president Globally. God bless him substantially!!!!!
@januarymiujiza5400
@januarymiujiza5400 Жыл бұрын
Really
@omarnzaro31
@omarnzaro31 3 жыл бұрын
R. I. P jembe yani nimeshindwa kuona watu wakikutizama umelala bora nisikie kauli zako nikifurahi daima tutazikumbuka na tutawaeleza wajukuu zetu Mungu atupe umri na akulaze mahali pema peponi.
@edennkulikiye2330
@edennkulikiye2330 2 жыл бұрын
Leo watu wanenda kuzindua filamu marecani
@theresiasamba3943
@theresiasamba3943 4 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu rais wangu unafanya kazi nzuri sana.
@mkenyamzalendo254
@mkenyamzalendo254 2 жыл бұрын
I pray to God to grant you eternal life Mr President. It's God will but I do pray that may the will of God be for you to inherit heaven.
@maserekajimmex4717
@maserekajimmex4717 4 жыл бұрын
Tz your lucky country to have such dab,talented,gifted and understanding president given to u by Allah or God
@patrinraura1397
@patrinraura1397 Жыл бұрын
Umma wa Watanzania waliokuchagua,walionachama na wasio na chama wanakukumbuka sana na wanazidi kukuombea Mungu akupumzishe.Mungu akulaze mahali Pema PEPONI AMINA
@hamzaahmada3022
@hamzaahmada3022 4 жыл бұрын
kazi nzuri rais wetu mwenyezimungu azid kukuweka
@godfreylyimo4177
@godfreylyimo4177 4 жыл бұрын
Mh Rais anafanya Kazi nzuri basi unayerecord na kupost hizi video muhimu Kwa kumbukumbu za Taifa letu jitahidi ndg kufanya kazi nzuri/professional.Una vifaa vizuri sn..
@tabuabdallah1908
@tabuabdallah1908 4 жыл бұрын
Poa
@hellenmoshi5838
@hellenmoshi5838 4 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukupa afya tele Rais wa wanyonge ili lile kusudi Mungu alilokuitia ukapate kulitimiza bila mawaa.... Penda sana Rais wangu Magufuli
@naisaraahmed2822
@naisaraahmed2822 4 жыл бұрын
Mungu akubarik. Akujifadhi akulinde na maadui
@hassanyuusuf6176
@hassanyuusuf6176 4 жыл бұрын
It appears to me that Tanzania has made big strides in terms of democracy & freedoms than say,Kenya. president Magufuli directly interacts with ordinary wananchi. Amazing!
@eastersilayo6841
@eastersilayo6841 4 жыл бұрын
Hassan yuusuf
@shabbiranwar8758
@shabbiranwar8758 3 жыл бұрын
A Hardworker President.
@hassainshija6622
@hassainshija6622 Жыл бұрын
Mama kwani alivokuwa mkifanyakazi pamoja mzee ulikuwa unajifunza nini? Au ulikuwa ukifurahiya Safari tyu, skuelewi kabisa, R I P MAGUFULI
@ruthcharles2074
@ruthcharles2074 3 жыл бұрын
You will be missed magufuli mwee amkaaa jmn
@philiplenardsylvester6063
@philiplenardsylvester6063 Жыл бұрын
Kipindi cha magufuli ilikuwa raha sana saivi shida tu mvua hakuna matozo ndio usiseme yaani ni shida
@RfrDdd-vm5dr
@RfrDdd-vm5dr Жыл бұрын
Big up man
@onyangoshem9508
@onyangoshem9508 Жыл бұрын
From Kenya, I loved you so much, may your soul rest in peace
@ethanjunior533
@ethanjunior533 Жыл бұрын
Same here From kenya
@jamesnjoka
@jamesnjoka Жыл бұрын
he was a good leader in africa
@aokalelitv4546
@aokalelitv4546 4 жыл бұрын
Vazi limekaa vizur kwa sababu ana chapa kazi sanaa
@teresiamgimba760
@teresiamgimba760 4 жыл бұрын
Uko vizuri mh raisi umeelisha.
@RepdcObama
@RepdcObama 8 ай бұрын
Mwenyezi Mungu amupumuzishe kwa amani
@shabbiranwar8758
@shabbiranwar8758 3 жыл бұрын
A Brave & Public Friend President.
@jarsaduba2626
@jarsaduba2626 4 жыл бұрын
Asante Rais kwa ziara ya mikoani
@abou-prokhabab4129
@abou-prokhabab4129 4 жыл бұрын
Asant san mheshimiwa
@stefanhoecherl3116
@stefanhoecherl3116 4 жыл бұрын
good work ,at last we have a president.nakuomba sana kutusaidia yatima na mirasi hadi leo hatuja pewa, tangu 2009 ,
@josephatsambua9939
@josephatsambua9939 4 жыл бұрын
Hongera sana Mheshimiwa raisi kwa kazi nzuri.
@mussamkali9926
@mussamkali9926 Жыл бұрын
Jamanii watanzania tumefiwa na kiongozi wa kweli
@emmanuelbrownofficialke.-n7942
@emmanuelbrownofficialke.-n7942 Жыл бұрын
I like how this president handles problems. May his soul rest in peace
@mosesshagembe4993
@mosesshagembe4993 2 жыл бұрын
Mungu ni mwema🙏😥😥😭😭😭😭
@rashidsuleym4503
@rashidsuleym4503 Жыл бұрын
Watanzania na watu wema wote watakukumbuka baba Raha ya milele umpee e baana na mwanga was milele umwangazie astarehe kwa kwa Aman amina
@luluhassan3066
@luluhassan3066 Жыл бұрын
Daaaaa mungu ni mwema mungu akuweke mahali pema peponi ulichofanya hakuna anaeweza kufikia edbiten yako
@nc8038
@nc8038 4 жыл бұрын
huyu Ndio Raisi anayetakiwa kwa miaka mingi iwezekanayo Hongera mheshimiwa MAGUFULI kwa kazi nzuli sana unayofanya .
@EzekielNyandwaro-nq5gt
@EzekielNyandwaro-nq5gt 3 ай бұрын
I really love this video
@mourinhonyamkekwa3568
@mourinhonyamkekwa3568 Жыл бұрын
Lala tu lala baba ilikua lazima itimieee
@user-dv1mx7gb8z
@user-dv1mx7gb8z 6 ай бұрын
Mungu akulaze pema!!
@iddindagile3670
@iddindagile3670 4 жыл бұрын
Magufuli anafanya vizuri. tumuombee kwa mungu atuongoze salama angalau kwa miaka 10
@josephmaroa28
@josephmaroa28 2 жыл бұрын
Forever in our hearts JPM
@kennethmakunga4211
@kennethmakunga4211 Жыл бұрын
Hakika. Itakuwa hivyo maisha yote atakayotupa mungu.
@arvccongo9194
@arvccongo9194 4 жыл бұрын
Un président doit mettre l’Intérêt de ces populations. Félicitations son Excellence Dr John
@deogratiustimoth4070
@deogratiustimoth4070 2 жыл бұрын
Mwamba ulishaenda Huku tukikuhitaji hata Leo tangulia Baba
@dkwelli
@dkwelli 4 жыл бұрын
Huyu Dume Dume ..nimemuita nini? Huyu Dume a cheki na Kazi, Kazi tu.. Its not easy being in government in TZ like Kenya coz its not a joke there. no nonsense
@user-qu4wz1wo2f
@user-qu4wz1wo2f 11 ай бұрын
Jpm ulikua upo vzur asee ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@marystambuli8045
@marystambuli8045 Жыл бұрын
Pumziko la milele umpe Ee Bwana, na Mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani. Tunakukumbuka Sana kupita maelezo. Lakini Mungu alikupenda zaidi.
@chachajulius4481
@chachajulius4481 2 жыл бұрын
Eee mungu
@MuendoJusto
@MuendoJusto 3 ай бұрын
By the way mimi ni Mkenya na ninapenda kuangalia video za huyu prezoo Pombe Magufuli.
@kahmardintebe9266
@kahmardintebe9266 Жыл бұрын
Jpm mungu akupumzishe Mahalia pema peponi hakika uliwapenda watu wako
@omarikibwanga
@omarikibwanga Жыл бұрын
Nimejikuta natokwa na machozi tu R.I.P JPM
@samwelilaizer661
@samwelilaizer661 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭 Hakika tutakukumbuka daima kila kuitapo Leo hayati doctor John pombe Magufuli Tutamkumbuka daima saivi hatuna Rais wakutetea nchi hasa wanyonge
@nailaty
@nailaty 2 жыл бұрын
rais wa wanyonge R.I.P magufuli
@benjambesseltdltdt.v.shiny9457
@benjambesseltdltdt.v.shiny9457 3 жыл бұрын
Rip magu mungu akulaze mahal pem pepon amee
@EzekielNyandwaro-nq5gt
@EzekielNyandwaro-nq5gt 3 ай бұрын
I love the speech of this mzee makufhuli
@atrick.
@atrick. 2 жыл бұрын
Cheema hakidumu R.I.P Magufuli
@stephanokigosi656
@stephanokigosi656 Жыл бұрын
Rest in power dr JPM, Tulikupenda sana watanzania
@Princewaweru
@Princewaweru 2 жыл бұрын
Daah mlituweza asee magufuli mungu akulaze mahali pema pepon
@felixotieno595
@felixotieno595 10 ай бұрын
GOD you left poor Tanzanians alone
@nyaradangasa620
@nyaradangasa620 4 жыл бұрын
Good
@karumeyamo358
@karumeyamo358 Жыл бұрын
Mungu ailaze roho yako pema peponi, Amia
@benedictormagembe6483
@benedictormagembe6483 7 ай бұрын
I can't believe it that were not to gether
@elishastayo8320
@elishastayo8320 4 ай бұрын
Kiukweli haikuwa rahisi kumpata Rais kama huyu na bado hatutampata kwa ukaribu wa kufanana naye pamoja na kuwa binadamu hawafanani. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Mungu ailaze Roho yake mahali pema peponi Amin 🙏🙏🙏
@Axvagjkqoqnsh
@Axvagjkqoqnsh 5 ай бұрын
SIMBA WA AFRICA 🦁
@charlesbulayi4095
@charlesbulayi4095 Жыл бұрын
Ni kweli Mh. Magufuli tunamkumbuka kwa mazuri mengi mno.
@judyjebaskwony505
@judyjebaskwony505 Жыл бұрын
Watanzania ni watulivu aki I can't imagine Kenyans being these calm
@djlozthestreetking1955
@djlozthestreetking1955 4 жыл бұрын
nampenda sana magufuli
@bjsalum932
@bjsalum932 4 жыл бұрын
Big up mheshimiwa
@bjsalum932
@bjsalum932 4 жыл бұрын
Dahh huyu jamaa ni noma
@denissiedisoni-lk7xm
@denissiedisoni-lk7xm Жыл бұрын
Kasimu majaliwa ange chukua mikoba yake hiv sasa tungekuwa mbali sana
@salumhango2168
@salumhango2168 2 жыл бұрын
Lala salama mzee wetu
@paulowilliam1851
@paulowilliam1851 4 жыл бұрын
Tunakuombea mheshimiwa magufuri kwa mambo mazur unayo yafanya kwa watanzania wote mungu akuongoze kwenye majukumu yako
@josephkita1435
@josephkita1435 4 жыл бұрын
Balikiwa narais wetu
@mosesmzakwe7774
@mosesmzakwe7774 4 жыл бұрын
HUYO DIWANI NIMEPENDA KWA KUJIELEZA KWAKE. ANAJUWA KUJIELEZA HAKIKA VIONGOZI HAWA TUNAWAKOSA SANA HONGERA DIWANI WETU. WAGOGOOOOOOOOOO OYEEEEEEEEEEEEERR
@chiefmuholo6379
@chiefmuholo6379 4 жыл бұрын
good Mr president
@emmanuelbonifas2804
@emmanuelbonifas2804 2 жыл бұрын
Pumzika mzee mimi nimekumic mno mungu akusamehe sote tupo gizani atujui tunakoenda magufuri kifo kingekuonea huruma jaman
@danielyohana5965
@danielyohana5965 4 жыл бұрын
Safi sana
@rashidihamza5469
@rashidihamza5469 2 жыл бұрын
Mtumishi wa munqu mh maqufuli munqu ailaze roho yako mahali pema peponi amini
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 Жыл бұрын
Ulikuwa Jembe Kweli Kweli....
@user-gc8pc4xl4e
@user-gc8pc4xl4e 9 ай бұрын
Baraka makulu
@dicksonandrew25
@dicksonandrew25 2 жыл бұрын
Mungu wewe wajua sababu,R.I.P beloved President
@lameckmbise4192
@lameckmbise4192 Жыл бұрын
Rest in peace Baba.
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 2 жыл бұрын
Jamani ivi tutakuja kumpata laisi kama huyu ?
@gilbertidi9682
@gilbertidi9682 4 жыл бұрын
Tuli kumiss sana rais
@differentlufyagile2399
@differentlufyagile2399 4 жыл бұрын
Nice to contribute in education but also we hope you to employ teachers because some schools are having few no of teachers
@DeboraWisdom-zx8ne
@DeboraWisdom-zx8ne 11 ай бұрын
Inauma Sana Kifo Hakuna huruma jamani Magu Wetu
@kaimonkodmon
@kaimonkodmon Жыл бұрын
I'm from Sudan 🇸🇩 I can't forget what raise Pomp Magufuli's events. It's 2023 May his soul rest in peace.
@barakashadrack7695
@barakashadrack7695 3 жыл бұрын
Mabango ndo kila kitu
@omarybakari2532
@omarybakari2532 Жыл бұрын
R.I P John pombe magufuli.😢😢😢
@bahatichombo7209
@bahatichombo7209 Жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Magufuli
@edsonmsigala1869
@edsonmsigala1869 2 жыл бұрын
Rest ln peace Rais wa watanzania,mtetez wa watanzania maskin
LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM
48:48
Cat Corn?! 🙀 #cat #cute #catlover
00:54
Stocat
Рет қаралды 17 МЛН
100❤️
00:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 24 МЛН
Cool Items! New Gadgets, Smart Appliances 🌟 By 123 GO! House
00:18
123 GO! HOUSE
Рет қаралды 17 МЛН
MAGUFULI AMPIGIA MKURUGENZI TAKUKURU LAIVU, AMFUKUZA KAMISHNA WA MKOA!
13:52
WAMEYATIMBA NDARO NA STEVE MWEUSI
14:56
Ndaro Tz
Рет қаралды 1,7 МЛН
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
Wasafi Media
Рет қаралды 1,8 МЛН
RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU
8:03
Millard Ayo
Рет қаралды 1,9 МЛН
BREAKING: JPM Atembelea Shule Aliyosoma Nyerere
13:30
Global TV Online
Рет қаралды 238 М.
Wananchi 'WAMCHONGEA' MBUNGE, DC kwa MAGUFULI LAIVU - "WANATUTISHA"
15:50
Global TV Online
Рет қаралды 717 М.
LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM
5:25