Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi mbalimbali waliomsubiri njiani akilekea Mako makuu ya Nchi Jijini Dodoma .
Пікірлер: 293
@hanashhanash535 Жыл бұрын
Huyu mzee alikuwa mzuri sana 😭yaani mm ni mkenya mpaka leo huwa naja kuangalia video zake nilipenda sana 😭 Ila Mungu alimpenda zaid 😭 wangapi wanaangalia hii video mwisho wa huu mwaka
@JophasJohn-oh8zu6 ай бұрын
Ikiwa wewe ni mkenya na unaumia na sisi ndo balaa aisee yaani tumuombee tu mzee wetu aendelee kupumzika kwa amani
@elizabethshayo4464 жыл бұрын
Akika ww ni zawadi kwa Taifa letu kutoka kwa Mungu,wasiokupenda watafute uraia nchi zingine.Big up Rais Magufili miaka 200' barikiwa sanaa
@thomaschengena61164 жыл бұрын
Mheshimiwa RAIS unawezaje kuzijua lugha zote hizo? Wengine hata lugha moja tu mtihani hongera Sana
@muckhutarymatimbwa27314 жыл бұрын
Waliesikia km munataka parking ijengwe kwenye maji jengeni yenu gonga like hapa,Ongera mtoboa tobo mh Jpm
Jikaze kama mwanaume ndugu yangu namimi pia Mungu mlaze mahari pema RIP
@HagenimanaFidele-ps8no8 ай бұрын
Jikaze kama mwanaume ndugu yangu namimi pia Mungu mlaze mahari pema RIP
@marianaj17073 жыл бұрын
MUNGU Ninakutukuza sana Kwa ajili ya maisha ya John Joseph Pombe Magufuli, Wewe Unaijua Tanzania 🇹🇿 vizuri na kule mahali Umekusudia kuipeleka....Tanzania iko mikononi mwako MUNGU, TUNAKUTAZAMA.
@kennedylukwembe5773 жыл бұрын
AMEN.
@clementmwaitebele76874 жыл бұрын
Mh.JPM... Big machine ...speed 120 ya nchi isonge mbele ...combat ni super ndio wajuwe you're commander..
@hassanyuusuf61764 жыл бұрын
What a humble, humane,wholesome & down-to-earth president John Pombe Magufuli is.! Hongera Mheshimiwa rais!
@kelvinvitalis2965 Жыл бұрын
R I P my really president I remember you
@geraldabunuasi Жыл бұрын
TOMASI BUNUASI
@kennymullah65934 жыл бұрын
Kenyan resident,,I like how maghufuli is handling issue ,especially issue facing the local man.BIG UP DR.MAGHUFULi.
@emmanuelreuben50144 жыл бұрын
Thank you
@mariambewa81043 жыл бұрын
How I wish it was Kenya tungekuwa mbali sana
@yasirmchele5027 Жыл бұрын
Pikpk
@yasirmchele5027 Жыл бұрын
Pikpk
@geofreymashauri566 Жыл бұрын
@@mariambewa8104 iiiiiii
@mwenekihimbaomugahe64374 жыл бұрын
I from Uganda but mzee ninaomba mumwongezeye kura asante
@jahistheway88684 жыл бұрын
Nandika kutoka ujerumani. Mie ni mkenya.lakini ndugu zangu wa Tz,wacheni Rais magufuli aongoze mpaka achoke mwenyewe.Hamtapata Rais kama yeye.Hata kenya twampenda sanaa magufuli.Hata asiwe na mpinzani, hata hayupo.
@petrokapaya91123 жыл бұрын
RIP mtumishi wa Mungu magufuri roho inauma
@stephensigonda99274 жыл бұрын
Hongera mheshimiwa Rais mtetezi wa wanyonge
@amanimasenya Жыл бұрын
Mungu aendelee kukupumzisha kwa amani, nimekukumbuka mzee wangu.
@jumaamartin7929 Жыл бұрын
pumzika kwa amani mzee wetu watanzania bado tuna kulilia na bado tunakuombea mungu ailaze roho yako mahali pema peponi tunakukumbuka sana baba😭😭😭🤲🤲
@jworld14805 ай бұрын
huyu alikuwa anatatua tatizo ha[po hapo
@dennismalima53654 жыл бұрын
VIVA JPM... MORE BLESSINGS TO OUR President
@gilbertjames7898 Жыл бұрын
Hata mm nataman sana kuwa kiongz mwenye busara Na kuwatendea mema watanzania hakika mungu alikuchakua kuwa kiongz mzur pumzka kwa aman
@theosaimon69332 жыл бұрын
You will always and forever be the best 👌 president of all time? 🙏 🕊 RIP forever in our hearts 💕 💞 missing you alot
@edwardpeter85693 жыл бұрын
Magu tutamkumbuka Sana, Sana zako hazitakuwa na mfano tena mkuu pumzika KWa amani, wananchi hawa tutakukumbuka baba 😭😭
@lexisavage17704 жыл бұрын
asante baba rais wetu mpendwa Magufuli kwa kusaidia wananchi wanyonge
@rosenamilia41404 жыл бұрын
Rais wangu Rais wetu JPM hongera sana kwa maendeleo ya Tanzania.Kweli umekaa kikazi zaidi kwa ajili ya wanyonge. Umependezea sana na vazi la jeshi.
@great-african9032 жыл бұрын
Mungu aisamehe Roho yangu juu ya mh magufuli 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@dignakanje4508 Жыл бұрын
Nashindwa chakuandika nabaki kusismka kwahii sauti jmn.Huyu baba bass tu Mungu ampe pumziko lamilele
@kulwashimba9774 жыл бұрын
I consider Dr J.P.Magufuli as a Unique president Globally. God bless him substantially!!!!!
@januarymiujiza5400 Жыл бұрын
Really
@omarnzaro313 жыл бұрын
R. I. P jembe yani nimeshindwa kuona watu wakikutizama umelala bora nisikie kauli zako nikifurahi daima tutazikumbuka na tutawaeleza wajukuu zetu Mungu atupe umri na akulaze mahali pema peponi.
@edennkulikiye23302 жыл бұрын
Leo watu wanenda kuzindua filamu marecani
@theresiasamba39434 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu rais wangu unafanya kazi nzuri sana.
@mkenyamzalendo2542 жыл бұрын
I pray to God to grant you eternal life Mr President. It's God will but I do pray that may the will of God be for you to inherit heaven.
@maserekajimmex47174 жыл бұрын
Tz your lucky country to have such dab,talented,gifted and understanding president given to u by Allah or God
@patrinraura1397 Жыл бұрын
Umma wa Watanzania waliokuchagua,walionachama na wasio na chama wanakukumbuka sana na wanazidi kukuombea Mungu akupumzishe.Mungu akulaze mahali Pema PEPONI AMINA
@hamzaahmada30224 жыл бұрын
kazi nzuri rais wetu mwenyezimungu azid kukuweka
@godfreylyimo41774 жыл бұрын
Mh Rais anafanya Kazi nzuri basi unayerecord na kupost hizi video muhimu Kwa kumbukumbu za Taifa letu jitahidi ndg kufanya kazi nzuri/professional.Una vifaa vizuri sn..
@tabuabdallah19084 жыл бұрын
Poa
@hellenmoshi58384 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukupa afya tele Rais wa wanyonge ili lile kusudi Mungu alilokuitia ukapate kulitimiza bila mawaa.... Penda sana Rais wangu Magufuli
@naisaraahmed28224 жыл бұрын
Mungu akubarik. Akujifadhi akulinde na maadui
@hassanyuusuf61764 жыл бұрын
It appears to me that Tanzania has made big strides in terms of democracy & freedoms than say,Kenya. president Magufuli directly interacts with ordinary wananchi. Amazing!
@eastersilayo68414 жыл бұрын
Hassan yuusuf
@shabbiranwar87583 жыл бұрын
A Hardworker President.
@hassainshija6622 Жыл бұрын
Mama kwani alivokuwa mkifanyakazi pamoja mzee ulikuwa unajifunza nini? Au ulikuwa ukifurahiya Safari tyu, skuelewi kabisa, R I P MAGUFULI
@ruthcharles20743 жыл бұрын
You will be missed magufuli mwee amkaaa jmn
@philiplenardsylvester6063 Жыл бұрын
Kipindi cha magufuli ilikuwa raha sana saivi shida tu mvua hakuna matozo ndio usiseme yaani ni shida
@RfrDdd-vm5dr Жыл бұрын
Big up man
@onyangoshem9508 Жыл бұрын
From Kenya, I loved you so much, may your soul rest in peace
@ethanjunior533 Жыл бұрын
Same here From kenya
@jamesnjoka Жыл бұрын
he was a good leader in africa
@aokalelitv45464 жыл бұрын
Vazi limekaa vizur kwa sababu ana chapa kazi sanaa
@teresiamgimba7604 жыл бұрын
Uko vizuri mh raisi umeelisha.
@RepdcObama8 ай бұрын
Mwenyezi Mungu amupumuzishe kwa amani
@shabbiranwar87583 жыл бұрын
A Brave & Public Friend President.
@jarsaduba26264 жыл бұрын
Asante Rais kwa ziara ya mikoani
@abou-prokhabab41294 жыл бұрын
Asant san mheshimiwa
@stefanhoecherl31164 жыл бұрын
good work ,at last we have a president.nakuomba sana kutusaidia yatima na mirasi hadi leo hatuja pewa, tangu 2009 ,
@josephatsambua99394 жыл бұрын
Hongera sana Mheshimiwa raisi kwa kazi nzuri.
@mussamkali9926 Жыл бұрын
Jamanii watanzania tumefiwa na kiongozi wa kweli
@emmanuelbrownofficialke.-n7942 Жыл бұрын
I like how this president handles problems. May his soul rest in peace
@mosesshagembe49932 жыл бұрын
Mungu ni mwema🙏😥😥😭😭😭😭
@rashidsuleym4503 Жыл бұрын
Watanzania na watu wema wote watakukumbuka baba Raha ya milele umpee e baana na mwanga was milele umwangazie astarehe kwa kwa Aman amina
@luluhassan3066 Жыл бұрын
Daaaaa mungu ni mwema mungu akuweke mahali pema peponi ulichofanya hakuna anaeweza kufikia edbiten yako
@nc80384 жыл бұрын
huyu Ndio Raisi anayetakiwa kwa miaka mingi iwezekanayo Hongera mheshimiwa MAGUFULI kwa kazi nzuli sana unayofanya .
@EzekielNyandwaro-nq5gt3 ай бұрын
I really love this video
@mourinhonyamkekwa3568 Жыл бұрын
Lala tu lala baba ilikua lazima itimieee
@user-dv1mx7gb8z6 ай бұрын
Mungu akulaze pema!!
@iddindagile36704 жыл бұрын
Magufuli anafanya vizuri. tumuombee kwa mungu atuongoze salama angalau kwa miaka 10
@josephmaroa282 жыл бұрын
Forever in our hearts JPM
@kennethmakunga4211 Жыл бұрын
Hakika. Itakuwa hivyo maisha yote atakayotupa mungu.
@arvccongo91944 жыл бұрын
Un président doit mettre l’Intérêt de ces populations. Félicitations son Excellence Dr John
@deogratiustimoth40702 жыл бұрын
Mwamba ulishaenda Huku tukikuhitaji hata Leo tangulia Baba
@dkwelli4 жыл бұрын
Huyu Dume Dume ..nimemuita nini? Huyu Dume a cheki na Kazi, Kazi tu.. Its not easy being in government in TZ like Kenya coz its not a joke there. no nonsense
@user-qu4wz1wo2f11 ай бұрын
Jpm ulikua upo vzur asee ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@marystambuli8045 Жыл бұрын
Pumziko la milele umpe Ee Bwana, na Mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani. Tunakukumbuka Sana kupita maelezo. Lakini Mungu alikupenda zaidi.
@chachajulius44812 жыл бұрын
Eee mungu
@MuendoJusto3 ай бұрын
By the way mimi ni Mkenya na ninapenda kuangalia video za huyu prezoo Pombe Magufuli.
@kahmardintebe9266 Жыл бұрын
Jpm mungu akupumzishe Mahalia pema peponi hakika uliwapenda watu wako
@omarikibwanga Жыл бұрын
Nimejikuta natokwa na machozi tu R.I.P JPM
@samwelilaizer6612 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭 Hakika tutakukumbuka daima kila kuitapo Leo hayati doctor John pombe Magufuli Tutamkumbuka daima saivi hatuna Rais wakutetea nchi hasa wanyonge
@nailaty2 жыл бұрын
rais wa wanyonge R.I.P magufuli
@benjambesseltdltdt.v.shiny94573 жыл бұрын
Rip magu mungu akulaze mahal pem pepon amee
@EzekielNyandwaro-nq5gt3 ай бұрын
I love the speech of this mzee makufhuli
@atrick.2 жыл бұрын
Cheema hakidumu R.I.P Magufuli
@stephanokigosi656 Жыл бұрын
Rest in power dr JPM, Tulikupenda sana watanzania
@Princewaweru2 жыл бұрын
Daah mlituweza asee magufuli mungu akulaze mahali pema pepon
@felixotieno59510 ай бұрын
GOD you left poor Tanzanians alone
@nyaradangasa6204 жыл бұрын
Good
@karumeyamo358 Жыл бұрын
Mungu ailaze roho yako pema peponi, Amia
@benedictormagembe64837 ай бұрын
I can't believe it that were not to gether
@elishastayo83204 ай бұрын
Kiukweli haikuwa rahisi kumpata Rais kama huyu na bado hatutampata kwa ukaribu wa kufanana naye pamoja na kuwa binadamu hawafanani. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Mungu ailaze Roho yake mahali pema peponi Amin 🙏🙏🙏
@Axvagjkqoqnsh5 ай бұрын
SIMBA WA AFRICA 🦁
@charlesbulayi4095 Жыл бұрын
Ni kweli Mh. Magufuli tunamkumbuka kwa mazuri mengi mno.
@judyjebaskwony505 Жыл бұрын
Watanzania ni watulivu aki I can't imagine Kenyans being these calm
@djlozthestreetking19554 жыл бұрын
nampenda sana magufuli
@bjsalum9324 жыл бұрын
Big up mheshimiwa
@bjsalum9324 жыл бұрын
Dahh huyu jamaa ni noma
@denissiedisoni-lk7xm Жыл бұрын
Kasimu majaliwa ange chukua mikoba yake hiv sasa tungekuwa mbali sana
@salumhango21682 жыл бұрын
Lala salama mzee wetu
@paulowilliam18514 жыл бұрын
Tunakuombea mheshimiwa magufuri kwa mambo mazur unayo yafanya kwa watanzania wote mungu akuongoze kwenye majukumu yako
@josephkita14354 жыл бұрын
Balikiwa narais wetu
@mosesmzakwe77744 жыл бұрын
HUYO DIWANI NIMEPENDA KWA KUJIELEZA KWAKE. ANAJUWA KUJIELEZA HAKIKA VIONGOZI HAWA TUNAWAKOSA SANA HONGERA DIWANI WETU. WAGOGOOOOOOOOOO OYEEEEEEEEEEEEERR
@chiefmuholo63794 жыл бұрын
good Mr president
@emmanuelbonifas28042 жыл бұрын
Pumzika mzee mimi nimekumic mno mungu akusamehe sote tupo gizani atujui tunakoenda magufuri kifo kingekuonea huruma jaman
@danielyohana59654 жыл бұрын
Safi sana
@rashidihamza54692 жыл бұрын
Mtumishi wa munqu mh maqufuli munqu ailaze roho yako mahali pema peponi amini
@kalumbugideon4159 Жыл бұрын
Ulikuwa Jembe Kweli Kweli....
@user-gc8pc4xl4e9 ай бұрын
Baraka makulu
@dicksonandrew252 жыл бұрын
Mungu wewe wajua sababu,R.I.P beloved President
@lameckmbise4192 Жыл бұрын
Rest in peace Baba.
@davidmalogo71002 жыл бұрын
Jamani ivi tutakuja kumpata laisi kama huyu ?
@gilbertidi96824 жыл бұрын
Tuli kumiss sana rais
@differentlufyagile23994 жыл бұрын
Nice to contribute in education but also we hope you to employ teachers because some schools are having few no of teachers
@DeboraWisdom-zx8ne11 ай бұрын
Inauma Sana Kifo Hakuna huruma jamani Magu Wetu
@kaimonkodmon Жыл бұрын
I'm from Sudan 🇸🇩 I can't forget what raise Pomp Magufuli's events. It's 2023 May his soul rest in peace.
@barakashadrack76953 жыл бұрын
Mabango ndo kila kitu
@omarybakari2532 Жыл бұрын
R.I P John pombe magufuli.😢😢😢
@bahatichombo7209 Жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Magufuli
@edsonmsigala18692 жыл бұрын
Rest ln peace Rais wa watanzania,mtetez wa watanzania maskin