INASIKITISHA! KIJANA MTANZANIA ASIMULIA JINSI ALIVYOAMBUKIZWA UKIMWI GEREZANI/NDUGU WAMEFARIKI/UGUMU

  Рет қаралды 10,385

TimesFMTZ

TimesFMTZ

3 жыл бұрын

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Пікірлер: 64
@lovvy854
@lovvy854 3 жыл бұрын
Ukiona kaamua kulieka wazi na wengi uwaga wanaficha duhh mungu atakufanyia wepesi insha'Allah Khair 🤲
@samkandamasanula7548
@samkandamasanula7548 3 жыл бұрын
Pole sana broo
@sharinv8864
@sharinv8864 3 жыл бұрын
Jamani mungu amfanyie wepesi ndugu yetu ni huruma sana.
@ayshabombasana7388
@ayshabombasana7388 3 жыл бұрын
Daa pole mpendwa yote maisha ucijali
@user-bj2xp1zh1o
@user-bj2xp1zh1o 3 ай бұрын
Pole sana kaka angu 😢😢
@zainabukivale9571
@zainabukivale9571 6 ай бұрын
Mbona ya miaka mingi sana iyo watangazaji bwana
@lyilyanmussa5433
@lyilyanmussa5433 3 жыл бұрын
Mungu atakufunika katika mbawa zake takatifu
@beatricemuya5768
@beatricemuya5768 3 жыл бұрын
Pole sana mungu akufanyie wepesi
@ngassangwegwe1989
@ngassangwegwe1989 3 жыл бұрын
Pole saana brother
@shuuabdallah7815
@shuuabdallah7815 3 жыл бұрын
Daah.nimeumia sana
@aisharamadhan5257
@aisharamadhan5257 3 жыл бұрын
Allah akupe busara na kubwa zingatia dawa ivo ni mipango ya mungu na nimitihani km ilivo mitihani mingine Kupata ukimwi sio mwisho wa maisha kikubwa ishi kwa matumaini
@tunusefu2018
@tunusefu2018 3 жыл бұрын
😭😭imeniuma ana Allah akufanyie wepesi inshallah
@kevomakundi61
@kevomakundi61 3 жыл бұрын
Pole Sana bro mungu atakusaidia
@mariumpeter6147
@mariumpeter6147 3 жыл бұрын
Kaka usikate tamaa Mungu ni mwema.Nakuomba sana ukimaliza hizo dawa uende ulkachukue dawa nyingine.Namuomba Alla aniwezeshe pesa nikuwezeshe mtaji
@happyjohn7630
@happyjohn7630 3 жыл бұрын
Wew mtangazaji ujui kaz unaoyo fany mulize alipataje hv
@mariamselemani5208
@mariamselemani5208 3 жыл бұрын
Walichangia viwembe alishaga ongea kipindi cha nyuma mwaka jana
@ashuramhando5285
@ashuramhando5285 2 жыл бұрын
Frank alitangazwa na maximum tv natulimchangia mshukuru Sana Zahir alikutoa pabaya mpk kufika hapo ulipo usiseme uliishia godoro na kitanda we omba tu msaada Frank uwe mwingi wa kushukuru🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@ameenaameena1224
@ameenaameena1224 3 жыл бұрын
Pole mdogo wangu daa
@tumabhay8576
@tumabhay8576 3 жыл бұрын
Pole sn kaka nakukumbuka zamani ulikua unafanya intaview za kujitangaza kua umeathirika.. Lakini ulikua unamaisha ya unafuu kwa mujibu wa kauli zako. Mackini saiv hali imekubadilikia umekua na hali ngumu ulikua kila ukiongea unaongea na tabasam kila mda unacheka tu lakini leo. Dah! 🤔 Unasikitika na sura yako Imejaa huzuni... 😞Inshaallah mwenyezimungu atakukhifadhi atakufanyia wepec na utafanikiwa mungu akuondoshee mazito ucdhalilike. Mungu akutie nguvu na imani. Mungu akuoe ustahmilivu na subra.
@anifamickidard4555
@anifamickidard4555 3 жыл бұрын
Napenda tu alivyo na furaha
@salamakombo3257
@salamakombo3257 3 жыл бұрын
Masikini polee myHeee polee sana handsome boy jamani mzuri jamani eeeh
@masalujoseph3820
@masalujoseph3820 3 жыл бұрын
umeonaee
@rosecruiz4348
@rosecruiz4348 3 жыл бұрын
Kaka amini na uta pona kwa jina la yesu naomba wende mwenge mpakani kwa kuhani musa richard mwacha uta pona kwa jina la yesu
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 12 күн бұрын
Bira aishi na cherry
@fatmamsallam437
@fatmamsallam437 Жыл бұрын
Hasemi aliupataje ?
@teddymwageni1763
@teddymwageni1763 3 жыл бұрын
Daaaa hatari sana
@aisharamadhan5257
@aisharamadhan5257 3 жыл бұрын
Dahhh,,, nahuzunika Wapendwa tumsadie japo mia mia tukichanga tunaweza kumuinua ili nae aweze kujikimu
@salamakombo3257
@salamakombo3257 3 жыл бұрын
Umeongea Pont true
@rahmaramadhan9773
@rahmaramadhan9773 3 жыл бұрын
Maskini jamaniii inasikitisha Dunia hiii 🤦‍♀️
@happymariki824
@happymariki824 Жыл бұрын
Hiki kichwa cha habari mmm. Sema anashi na virusi vya ukimwi kusema kaambukizwa gerezani je alishiriki mpenzi na nani.
@salamakombo3257
@salamakombo3257 3 жыл бұрын
Tusaidie number nina dada pia ni ugonjwa muasirika waowane jamani dozzi ale
@aminasalamalekumamina6217
@aminasalamalekumamina6217 3 жыл бұрын
Salam alekum pole sana naombo no yako
@frankfrancis2195
@frankfrancis2195 3 жыл бұрын
0747142486
@omaridarus8847
@omaridarus8847 3 жыл бұрын
Pole sana
@sophiageorge3565
@sophiageorge3565 3 жыл бұрын
@@frankfrancis2195 mungu bado ni mwema kwako
@paulmkalawa496
@paulmkalawa496 3 жыл бұрын
Alipataje maradhi
@moshimgaza5642
@moshimgaza5642 3 жыл бұрын
Atoe no asaidiwe. Mtangazaji nia yako umsaidie au
@halishmwarua2957
@halishmwarua2957 3 жыл бұрын
Fata dawa kaka usiache dawa ni hatar hiyo
@dullajuma5295
@dullajuma5295 3 жыл бұрын
Muuuuuu
@user-jk5ir4ke3z
@user-jk5ir4ke3z 3 жыл бұрын
Mh masikin
@RAFIKI_TANZANIA
@RAFIKI_TANZANIA 3 жыл бұрын
KAKA HUNA AKILI KWANZA WEWE UMESHAKUWA MUHUNI ALAFU UNACHUKULIA UGONJWA KAMA KITEGA UCHUMI SASA TUMEKUTUMIA PESA NYINGI SANA UNGEKUWA TAYARI UMESHAPATA MTAJI NIKUULIZE HIVI UNAJUA WATU WENGI TUU WANA UKIMWI WAKISEMA WAACHE KUJITUMA WAANZE KUOMBA OMBA ITAKUAJE
@lilyrose7983
@lilyrose7983 3 жыл бұрын
Kwani mlishawahi kumtumia?
@christianjohnmwalugaja8090
@christianjohnmwalugaja8090 3 жыл бұрын
Ulipataje ukimwi gerezani?
@mariamselemani5208
@mariamselemani5208 3 жыл бұрын
Alielezea kipindi cha nyuma alipata kwa njia ya viwembe kuchangia
@ngolegracesimon
@ngolegracesimon 3 жыл бұрын
Alishahojiwagwa na kituon kingine akasema alipata virus kwa njia ya kuchangia wembe
@brianmuchiri1098
@brianmuchiri1098 3 жыл бұрын
Alifanya interview na midia gani nione?
@aganthujohn7883
@aganthujohn7883 3 жыл бұрын
@@brianmuchiri1098 millard ayo Angalia alifanya huko
@jackjoshua3666
@jackjoshua3666 3 жыл бұрын
Wewe Frank wewe Aya bhana
@sitiabubakar2892
@sitiabubakar2892 3 жыл бұрын
Mbona kwani unamfahamu
@thelionwomen4970
@thelionwomen4970 3 жыл бұрын
Brother kuwa na ukumwi si mwicho wa maicha kaka yangu kuna watu wana roho mbaya tu!!
@alittoalhabsi7507
@alittoalhabsi7507 3 жыл бұрын
Nyie huku kaka haja zoea kufanya kazi kwani ukimwi ndio sababu mbona sisi hatujitangazi yani anaomba omba bila kufanya kazi
@judithmelvinealuchio8968
@judithmelvinealuchio8968 3 жыл бұрын
kwani we unayo
@lilyrose7983
@lilyrose7983 3 жыл бұрын
Pole sana
@sitiabubakar2892
@sitiabubakar2892 3 жыл бұрын
Enyewe nisha ona interview zake karibu nne toka mwaka juzi sijui kma ni mwaka jana mwanzoni
@shangwekamando2599
@shangwekamando2599 3 жыл бұрын
Muongo huyo tunamjua wa kiwalani huyo alikua anachukua wanawake Kama mvua na Alikuwa bajaji binge la bwana wenyewe wanamuita anataka tu hela huyo jina lingine wanamuita kafyome
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 3 жыл бұрын
Una ongea kweli mana hawa waandishi wakisema hiviulivyoandika watakutafuta wakuulize vizuri. Alikuwa kiwalani ipi mana mimi mwenyewe wa kiwalani midizini nyuma ya karakana
@fesalchambuso8023
@fesalchambuso8023 3 жыл бұрын
Usinambie duu 🙄🙄
@lyilyanmussa5433
@lyilyanmussa5433 3 жыл бұрын
Maadamu amekir mbele ya watu kwa yey n muathieik tayal ananutakaso wa mungu angeamua kunyamaza hakuna ambae angewez kujua na angeondok na Weng sisi ni nan hata tutoe hukumu ikiwa kwa kukir kwake tayar anamsamaha namkibali toka kwa mungu Sisi n binadam tu ujafa ujaumbika Kesho lawez kuku pat hat wewe pia wapo watakao sema ni muongo pia jamani ni wakat wa kumsaidia n si kumpa lawama
@lilyrose7983
@lilyrose7983 3 жыл бұрын
Kwahiyo sio mgonjwa ni tapeli?
@shangwekamando2599
@shangwekamando2599 3 жыл бұрын
@@lilyrose7983 sana
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,3 МЛН
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 12 МЛН
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 62 МЛН
FRANK AMEPATA VIRUSI VYA UKIMWI / ILIKUWA GEREZANI / NAMPENDA DIAMOND SANA!
10:41
LIVE🚨LIVE: SIMBA SC VS TELECOM LIVE LEO
Simulizi Forum TV
Рет қаралды 4,7 М.
🔴Taarifa ya Habari ya Saa Mbili Usiku, 28 Julai 2024
ITV Tanzania
Рет қаралды 657
ODM Leadership in Kenya Kwanza Government.
43:38
SpiceFM
Рет қаралды 88 М.
I meet Mr.Beast
0:15
ARGEN
Рет қаралды 26 МЛН
Rang Pi Liya Mama 😂 #shorts #tiktokvideo #funnyshorts #comedy #ytshorts
0:46
Sukhasan Ka Rahman Bhai
Рет қаралды 22 МЛН
бим бам бум💥💥 типа..
0:18
Ma1x1
Рет қаралды 1,9 МЛН
КАЧЕЛИ ИЗ АРБУЗА #юмор#cat  #топ
0:24
Лайки Like
Рет қаралды 1,8 МЛН
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
0:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 4,2 МЛН
😬 Мам Дай Хлеб 🍞 #shorts
0:38
AOneCool
Рет қаралды 1,5 МЛН