BIDEN ajikanyaga kwenye MDAHALO na TRUMP, asahau mengi na kupoteza mwelekeo, Democrats wakata tamaa

  Рет қаралды 53,945

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Ай бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 153
@Khalidniya380
@Khalidniya380 Ай бұрын
Trump bana huyu jamaa ni mchokozi saaana cheko yake yenyewe na vile anamuangalia Biden ni kicheko tosha
@TrinaRoman345
@TrinaRoman345 Ай бұрын
😂😂😂😂 cjui nini kinanichekesha..sasa yule msemaji wa Hhite House atajitokeza kwa waandishi kumtetea #Bidenica😂
@BillySmart-tk1wu
@BillySmart-tk1wu Ай бұрын
Amuna cha mafua wala mafuta iyo umekwisha 😊😅😊
@paulomaisa340
@paulomaisa340 Ай бұрын
Nampenda sana turmpo
@Qqambaa
@Qqambaa Ай бұрын
Umesahau aliamuru waafrika warudi kwao
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 29 күн бұрын
​@@Qqambaana walirudi au
@user-sn4iq6cu1f
@user-sn4iq6cu1f 29 күн бұрын
Nampenda sana trump unatulegezea sauti mvulie chupi bs
@redpromediat.o.tstrongteam1679
@redpromediat.o.tstrongteam1679 Ай бұрын
Ndo nilikuwa nasubiria. Hii mada kali mno.
@kassimbayuu5217
@kassimbayuu5217 Ай бұрын
Viva Trump Mungu mpe uraisi Trump iwe sababu ya kusimamisha vita
@MohammedGabaye
@MohammedGabaye Ай бұрын
Uyo tramp ndio nsenge kabisa
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 Ай бұрын
Nani kakudanganya?
@Farhah0035
@Farhah0035 29 күн бұрын
Uyu kama ndo tramp ndo aliziteta mada za ushoga simpendi wallah
@davidsika5292
@davidsika5292 29 күн бұрын
Kumbe watu hawajui tramp kuwa ndo hatarii
@joshuawenceslaus2466
@joshuawenceslaus2466 26 күн бұрын
​@@Farhah0035Trump hatetei ushoga acha ujinga kama hufuatilii siasa za marekani Kaa kimya, bora Trump kuliko biden
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m Ай бұрын
Cheki Trump anavyomkata jicho Biden hahahahahahaha inanichekesha 😂😂😂😂 kwelikweli
@yahayaannu3663
@yahayaannu3663 Ай бұрын
Hawa wote lao moja tu hamna unafuu 😢
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 Ай бұрын
Nilikuwa natizama live last night nilikuwa nacheka kauli za Trump Kwa Biden na watu waliokuwa waki comments ... Aise watu wengi inaonesha hawamtaki Biden... Hata alipoongelea kuhusu Putin, Kim na Xi 😂😂😂
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 Ай бұрын
Safi sana muche ajikanyage tu mda wake wa kuwa mtoto ushafikia
@user-rw4qn6zh6n
@user-rw4qn6zh6n Ай бұрын
Trump alivyo kuwa anamwangalia sasa😂😂😂😂😂
@MS.independent8934
@MS.independent8934 Ай бұрын
😂
@visionstudios6804
@visionstudios6804 29 күн бұрын
Trump jau sana 😅😅
@mayunga..777
@mayunga..777 Ай бұрын
Trump sura yake bwana😂😂😂
@frank18112
@frank18112 Ай бұрын
Tanzania pia tuweke midahalo kama hii...😊
@frankmare1708
@frankmare1708 29 күн бұрын
Nani atakubali unafikiri
@frankmare1708
@frankmare1708 29 күн бұрын
Nani atakubali unafikiri
@user-nz6rs9vn3t
@user-nz6rs9vn3t 13 күн бұрын
Kuna watu watashindwa kujib
@dominicksangu8934
@dominicksangu8934 Ай бұрын
Very good mh trump. Kwa kufanya vizur
@ce-08
@ce-08 Ай бұрын
Angekuwa ndiyo rais wa Afrika hapo wangemsema kweli kweli hajiwezi lakini bahati mbaya ni wao sasa
@mussakiziyzi408
@mussakiziyzi408 Ай бұрын
Wazunqu hawana time ya kuwasema watu weusi Mansemana wenyew,mnaibiana wenyewe na kuuwana wenyew kwa wenyewe.
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 29 күн бұрын
​@@mussakiziyzi408ww choko unatetea mashoga
@user-xl9so6jg1e
@user-xl9so6jg1e 28 күн бұрын
​@@mussakiziyzi408kwel kabsa
@Elybwayz
@Elybwayz Ай бұрын
Heee ata wao wanadaiwa duu mimi ni nan 😅
@zayumar2955
@zayumar2955 Ай бұрын
Trump Sasa alivyo kunja mdomo 🤣🤣🤣🤣🤣
@gaudencemihungo4348
@gaudencemihungo4348 Ай бұрын
Thanks Bundara!
@user-vr4vw7dk7j
@user-vr4vw7dk7j Ай бұрын
The 1
@ayshasaid1547
@ayshasaid1547 Ай бұрын
Kesha kubwa damu za watu wa gaza ishamlewesha mungu atamlipa hapahapa duniani kwa kuchochea vita
@user-vh3hj8mt6l
@user-vh3hj8mt6l Ай бұрын
Trump ww n noma Sana Yan unamuangalia Biden kijeuri kweli aki hii nkali🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@luckkaserekadancer6832
@luckkaserekadancer6832 29 күн бұрын
Huyo biden ni robot😂😂😂mnipe like zangu
@EmanuelNicholaus-of1qg
@EmanuelNicholaus-of1qg 29 күн бұрын
Raisi ana kigugumzi
@peterilimwa5754
@peterilimwa5754 Ай бұрын
jamn democratic mbn hamnaa akili kwann mnamlazimisha biden
@flavourboyke
@flavourboyke Ай бұрын
Mimi kama mkenya niko team trumph,,, huyu biden amepea ruto kiburi they mus go
@salimali-rf9er
@salimali-rf9er Ай бұрын
Walisahau humpiga shindano ya energiser robot,ili awe active
@EzekiaMyila
@EzekiaMyila Ай бұрын
Wote wamezeeka hamna mzima hapo wote wapigwe chini
@MwangaBora
@MwangaBora 8 күн бұрын
Kilajambo liamwisho
@iddiramadhani5111
@iddiramadhani5111 29 күн бұрын
Hawa wamarekani eti wanaona hilo ni jambo baya akati wameruhusu uchafu,
@Mumewangu
@Mumewangu Ай бұрын
Trump ndie anaefaa kuwa Rais nipo Tanzania lakin kama kunaruhusa ya kupiga kura basi kura yangu nampigia kura mwamba trump
@Fgldesigns
@Fgldesigns Ай бұрын
Hata hao wamarekani wenyewe hawawezi kuchagua, rais anachaguliwa na Masenata wala sio raia
@Mumewangu
@Mumewangu Ай бұрын
@@Fgldesigns alafu utasikia raiya wao wanademokrasia kumbe hawana lolote
@mtenhussein
@mtenhussein 29 күн бұрын
@@Fgldesigns. Lengo la kupiga kura ni kuwashawishi wapiga kura wanaowakilisha jimbo lako, ambao nao watapiga kura kumchagua mgombea wako. Katika kila jimbo, kura ya watu wengi huamua idadi ya wapiga kura ambao wameahidi kumpigia kura mgombeaji wa chama fulani. Sio uchaguzi wa moja kwa moja; unapiga kura kumchagua mtu ambaye atapiga kura kwa niaba yako. Mshindi sio kila mara mtu aliyeshinda kura nyingi kwa sababu mbili: 1. Majimbo madogo yana uzito kupita kiasi katika idadi ya wapiga kura wanaopata. Kila jimbo hupata wapiga kura sawa na idadi ya wawakilishi pamoja na maseneta wawili. Wawakilishi wanalingana na idadi ya watu, lakini maseneta kuna mfumo tofauti: kila jimbo linapata wawili, iwe Californi au Rhode Island(Ndio state ndogo sana Marekani). Kwa hivyo majimbo madogo hupata kura kadhaa za ziada. 2. Upeo wa ushindi katika jimbo haujalishi. Ukishinda 100% ya kura katika CA na ukingo mdogo kwingineko, bado unaweza kushinda uchaguzi ikiwa maeneo uliyoshinda kwa nywele yatakuwa na wapiga kura wengi kuliko California. Kwa hivyo sio mfumo uliojengwa ili kuakisi kura ya watu wengi; ni mfumo uliojengwa ili kuhakikisha kuwa majimbo makubwa hayaendeshi uchaguzi upande mmoja mara kwa mara. Lakini matokeo kwa ujumla yanawiana na kura za watu wengi. Katika uchaguzi huu uliopita (ambapo Clinton alishinda kwa kishindo kikubwa katika California na New York na kushindwa kwa tofauti ndogo katika majimbo mengine mengi), lakini kwa wingi wa majimbo mengine. Unapaswa kupiga kura kwa sababu ile ile ambayo ungepiga kura katika uchaguzi wa moja kwa moja: kumfanya mtu wako afisini. Ni kwamba tu unampigia kura mpiga kura, sio moja kwa moja kwa mgombea. Chuo cha uchaguzi huchagua, lakini unachagua chuo cha uchaguzi.
@muhammadmbaraka4515
@muhammadmbaraka4515 Ай бұрын
Trump kama kichaa flani hiv 😂😂 kumbe ni genius
@davismuzahula907
@davismuzahula907 Ай бұрын
Lakini mboka kama Amedhohofu sana
@michaeljames3480
@michaeljames3480 Ай бұрын
Kamaaa unamkubal Trump
@frankmare1708
@frankmare1708 29 күн бұрын
Biden ni kama robot vile
@katayaloveness5529
@katayaloveness5529 Ай бұрын
😂😂😂😂trump siyo mambo yake 😂😂😂
@ebengapierre8826
@ebengapierre8826 25 күн бұрын
Uyu miaka yake imesha pita yy ahache wengine watawale 😅😅😅😅 baiden kachoka kabisa 😢😢😢😢😢 sioni baiden kushinda
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv Ай бұрын
😂😂 trump hivyo anavyomtizama..... Biden
@MerciMariamu-bt9vm
@MerciMariamu-bt9vm 5 күн бұрын
🥰🥰🥰🥰
@BabasahdSahd
@BabasahdSahd Ай бұрын
Kwan beiden ninan aswaaa kama mnajua lecode yake nijuzeni😂😂 malekan inachekesha mngu ata walipa xku moja
@festohaule9716
@festohaule9716 Ай бұрын
Dunia hii omba sana usokutane na changamoto ambazo hata pesa haiwezi kukusaidia chochote...omba sana!!!!!
@user-ti5ik2le1i
@user-ti5ik2le1i Ай бұрын
Point kaka
@loyalforumtv
@loyalforumtv 17 күн бұрын
​@@user-ti5ik2le1i❤😂❤
@hassanikaawizy2597
@hassanikaawizy2597 Ай бұрын
Wakwanza
@jacksonseverin5670
@jacksonseverin5670 Ай бұрын
Tumpu yupo vzr ila sera zake haziibebi africa
@loyalforumtv
@loyalforumtv 17 күн бұрын
Akibebe akupereke wap Kaka 😅😅
@bensonswai-hl6fn
@bensonswai-hl6fn 12 күн бұрын
Unataka ubebe na marekan ili nn jibebe
@LUJIGA_PODCAST
@LUJIGA_PODCAST Ай бұрын
😅😅😅😅😅😅 ila Trump
@bryanzeconfesor5476
@bryanzeconfesor5476 Ай бұрын
Trumph kajikaza sana kuto kumwingilia Biden na kumchamba Kwa udhaifu wake😂😂😂
@joshuawenceslaus2466
@joshuawenceslaus2466 26 күн бұрын
Sanaaaaaa😂😂😂
@jongosalehe1036
@jongosalehe1036 Ай бұрын
kwanza Trump kavaaa tai nyekundu nzuri Sana alitakiwa havae Joe Biden Kama raisi wa sasa.
@personpeter2221
@personpeter2221 Ай бұрын
Mbona wazee sana
@89_Media
@89_Media Ай бұрын
Ila wana mitonyo💸💵 Moja ya sifa kushinda uchaguzi mkuu Marekani,ili usiwe mwizi mwizi😂😂😂
@noelmusa3502
@noelmusa3502 Ай бұрын
Eeeh yani anaongea kama roboti
@idinado-wk3lx
@idinado-wk3lx 28 күн бұрын
Kusema ukweli uyu mzee amchoka hajiwezi kabisa
@hemedisufiani3219
@hemedisufiani3219 Ай бұрын
Mpumbavu baideni kauwa watu wengi sana huyu mzeeee loho zitamtesa sana kabuli lake litawaka moto milele 😢😢😢
@Zuu673
@Zuu673 Ай бұрын
Wala hakuna wa maana apo
@salehkhalfan7345
@salehkhalfan7345 Ай бұрын
Lkn panapo na vbaya viwili bs ki1 kitakua afadhali
@shabanimataka8418
@shabanimataka8418 Ай бұрын
Angekuwa rais wa wenzao uyu sijui ingekuaje bahat mbaya ni wao
@Nyanda506
@Nyanda506 Ай бұрын
Ina maaana wa democrats hawana wagombea wengine zaidi ya Biden😂😂
@Agath45
@Agath45 Ай бұрын
Nilingojea kwa hamu sana. Ila trump kauwa
@hemedjackson2261
@hemedjackson2261 Ай бұрын
Mara anajamba huyo mzee, kun clip km tatu au nne hiv anajamba
@malkiawagiza1327
@malkiawagiza1327 Ай бұрын
Biden ni mzee mwenye shida ya akili wapaswa kumwacha astaafu 😕Hata hajui anachozungumza.
@eleven-in5qw
@eleven-in5qw Ай бұрын
Jamaaa na si kumchukia lakini aachane tu na uongozi lakini hii inaonyesha kuna watu au mtu sahii analiendesha taifa
@stellanyamuhogota1832
@stellanyamuhogota1832 Ай бұрын
Wote wamezeeka wakwende huko kwan America haina vijana wa kugombea urais😢
@partnersah8802
@partnersah8802 Ай бұрын
Wampe Kanye West tu
@wadantz123
@wadantz123 Ай бұрын
​@@partnersah8802😂😂😂😂😂😂
@BenjaminMetanyau
@BenjaminMetanyau Ай бұрын
😂😂😂
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 29 күн бұрын
America wote mashoga
@MohammedGabaye
@MohammedGabaye Ай бұрын
Watu wengi wanamtaka tramp ila tramp ndio mpumbav akiwa rais
@sarastephano3409
@sarastephano3409 Ай бұрын
hakuna waislam wanaomkubali Trump maana Ni myahudi😂
@sa3dasa3da87
@sa3dasa3da87 Ай бұрын
Hawa wazee wote wana bore,kwani hakuna vijana hukooo
@Yassinseleman
@Yassinseleman 26 күн бұрын
Trump hii sura yake sasa na alivyo jaariwa zarau😂
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 Ай бұрын
Wasioleweka
@alexbahindolwa3921
@alexbahindolwa3921 Ай бұрын
Huo muono wa Trump sasa 😂😂.jpt
@kassimramadhani3198
@kassimramadhani3198 Ай бұрын
Mbona haujachambua na alio yasema Trump
@MosesHarerimana-ku2cp
@MosesHarerimana-ku2cp Ай бұрын
Trump ipo makini san😂😂
@MS.independent8934
@MS.independent8934 Ай бұрын
Team Trump 🎉
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 Ай бұрын
Speech diosder 😂😂😂
@blezywatino1043
@blezywatino1043 10 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@BaboumitengaMutenga
@BaboumitengaMutenga Ай бұрын
1❤
@personpeter2221
@personpeter2221 Ай бұрын
Kaz kwen waislam mambo yameanza kuchangamka mnajifanya kmsifu Trump nnasahau kpind chake alizuia nch za kiislam kuingia america viva tramp
@maryamabdallah3140
@maryamabdallah3140 24 күн бұрын
Si ubakie kwako, unatafuta nini usikohitajika!
@lucymacha1853
@lucymacha1853 11 күн бұрын
Trump anaubaguzi sana baiden nae kazeeka wote hawafai Bora Obama arudi .
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m Ай бұрын
Ilipaswa kichwa cha habari kiandikwe biden kayakanyaga lkn sio kajikanyaga😂😂
@NoblessePatriote
@NoblessePatriote Ай бұрын
😂😂😂
@hebertotanaely6607
@hebertotanaely6607 Ай бұрын
Marekani toka atoke Obama Bado hawajapata Raisi, Antony Blinken anafaa
@Awatee
@Awatee Ай бұрын
😂😂😂😂
@MarryCharles-rc6ei
@MarryCharles-rc6ei 29 күн бұрын
Najarbu kutafakar ikifika tz hi democracy, huku samia vs mbowe! Naamin siku hyohyo kuna mtu ataomba kujiuzuru😂😂😂
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 10 күн бұрын
Trump anamchora
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 Ай бұрын
Sasa😅 kwanini wanajua na wana uhakika kama hayuko vuzuri alafu wana kuhusu hii midahalo kwani ni lazima?😅😅😅
@AjiaMohamed-rt5pb
@AjiaMohamed-rt5pb Ай бұрын
Sio tz hiyo utake usitake lazima ufanye
@personpeter2221
@personpeter2221 Ай бұрын
Hyo ni katiba ya USA🇺🇸
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 Ай бұрын
@@personpeter2221 okay!
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 Ай бұрын
@@AjiaMohamed-rt5pb eeh kumbe!
@paulvimbamvula9508
@paulvimbamvula9508 Ай бұрын
Make American great again, Viva Trump
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@stephenmmbago4975
@stephenmmbago4975 18 күн бұрын
Viva Trump
@democritenzoisaba9117
@democritenzoisaba9117 Ай бұрын
TRUMP /YES
@MHDFURNITURE-jn2rx
@MHDFURNITURE-jn2rx 29 күн бұрын
baiden kama lowasa
@HarounRashid-rh6jr
@HarounRashid-rh6jr Ай бұрын
😂
@BigZhumbe
@BigZhumbe 29 күн бұрын
DT for the president hii Amerika inamhitaji mwamba wa sheria kali Trump akishinda tu wenye upinde wakatafute kwa kuishi 😂
@joshemman520
@joshemman520 Ай бұрын
plz like video
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 Ай бұрын
Trump anamwangalia biden kama vile helewi
@ammaherman3391
@ammaherman3391 29 күн бұрын
Hamjuagi Biden ni Robort? Ile ni AI. Biden alishafariki.
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 22 күн бұрын
Hata mm niliwaza hvyo huyo atakuwa AI
@Ibrah__
@Ibrah__ 27 күн бұрын
Ulafi wa madaraka Jaman, Biden kazeeka vibaya, aachie madaraka. Kufiamadaraka
@user-dg7wf6fg2j
@user-dg7wf6fg2j Ай бұрын
Trump apewe nchi Baden apumzike
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 Ай бұрын
Trump direct white house ❤
@e11said23
@e11said23 Ай бұрын
Trump kawapa mayahudi mji mkuu jerusalem nauyu baiden kaja kupiga haya karibuni wote mbwa nyie uwanjani mpaka muombe poo
@joshuawenceslaus2466
@joshuawenceslaus2466 26 күн бұрын
Roe vs wade iliondolewa chini ya Biden😂😂😂 asimseme Trump, halafu sasa mahakama ya marekan imempa kinga Trump, hahahahahahah kwahyo huyu mzee bado yupo yupo, na hii ni kesi ya biden, kwasababu mahakama ya juu ilisema Mahakama haina mamlaka ya kuamua utoaj mimba bunge ndio ina hiyo haki, so wabunge wa democrats ilibidi walete muswada bungeni wa kupromote utoaj mimba walishindwa, so wasimlaumu Trump🤣🤣🤣🤣 hawa jamaa hawashindi tenaa
@kembopere4961
@kembopere4961 Ай бұрын
Nyie acheni habari za uongo...ndo kuongeya kwa Baden.
@ezekielphilemon7343
@ezekielphilemon7343 Ай бұрын
Trump latima ashinde
@fasterwalker1464
@fasterwalker1464 Ай бұрын
Biden inasemekana ni Robot tu sio mtu sahihi
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari Ай бұрын
Inasemekana wapi Biden kawa kwenye siasa miaka zaidi ya 50 , ni sawa we Leo useme yusuph makamba sio mtu ni robot
@emmaonalloh5515
@emmaonalloh5515 Ай бұрын
​@@FahadAbubakariakili yake haiko sawa anasahau sahau vitu
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari Ай бұрын
@@emmaonalloh5515 uzee
@fasterwalker1464
@fasterwalker1464 Ай бұрын
@@FahadAbubakari inasemekana huyu Biden sio yule halisia wakawa wanaonesha na tofauti za Biden Og na huyu Robot wanaamini yule halisi ashafariki
@fasterwalker1464
@fasterwalker1464 Ай бұрын
@@emmaonalloh5515 unatakiwa kabla hujajibu uelewe kwanza sijasema huyu sio Biden kwamba nna uhakika 100% ila nimeongea kwa baadhi ya madai ya wa2 yanaweza yasiwe yakwel pia ndomaana shule mkaambiwa read instructions yaan jibu kitu ambacho unaelewa nacho ok!
@salimali-rf9er
@salimali-rf9er Ай бұрын
Huyu biden ni gay, hayo sio mafua, hiyo sauti ishaanza kubadilika, hivyo ndio mahanis wanavyokuwa
@ramadhanikazimoto3052
@ramadhanikazimoto3052 Ай бұрын
Uwe unanyama kaka tuwasikilize viongozi mda wotw unaongea wewe tu unakera bana
@AjudeKaluwa-bp1zz
@AjudeKaluwa-bp1zz Ай бұрын
Welcome trump Biden buried
@kingpunzy194
@kingpunzy194 Ай бұрын
Kaka Sky sie wengine tulikuwa tunasubiria hatma ya GAZA na URUSI, ila jamaa wamecheza trick Kwenye kuuliza maswali na kujibu maswali. Biden & Trump are Zionists Brothers
@KarisBaya
@KarisBaya Ай бұрын
Bado biden atashinda tu,hakuna wa kumzuia hapo
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 13 МЛН
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 58 МЛН
Clowns abuse children#Short #Officer Rabbit #angel
00:51
兔子警官
Рет қаралды 77 МЛН
Ip Man 2 | The Boxing Competition
15:57
Cinewatch
Рет қаралды 6 МЛН
Mapping the Trump Shooting
6:12
fern
Рет қаралды 14 МЛН
ജൂതനെ അറിയുക | ABC MALAYALAM | ABC TALK | ISRAEL JEWS
21:46
New tfc sports car yellow colour kardya
0:27
Ruhul Shorts
Рет қаралды 7 МЛН
Не хватило бензина встал на трассе
1:01
чоооооооооооооо
Рет қаралды 2,2 МЛН
bulldozer in road construction
0:14
Lifetime TV
Рет қаралды 10 МЛН
Злая Ауди vs Пассат! Оживление корча и заруба на треке!
1:28:47
ИЛЬДАР АВТО-ПОДБОР
Рет қаралды 2,4 МЛН