Nilikuwa natizama live last night nilikuwa nacheka kauli za Trump Kwa Biden na watu waliokuwa waki comments ... Aise watu wengi inaonesha hawamtaki Biden... Hata alipoongelea kuhusu Putin, Kim na Xi 😂😂😂
@hajjiomary2383Ай бұрын
Safi sana muche ajikanyage tu mda wake wa kuwa mtoto ushafikia
@user-rw4qn6zh6nАй бұрын
Trump alivyo kuwa anamwangalia sasa😂😂😂😂😂
@MS.independent8934Ай бұрын
😂
@visionstudios680429 күн бұрын
Trump jau sana 😅😅
@mayunga..777Ай бұрын
Trump sura yake bwana😂😂😂
@frank18112Ай бұрын
Tanzania pia tuweke midahalo kama hii...😊
@frankmare170829 күн бұрын
Nani atakubali unafikiri
@frankmare170829 күн бұрын
Nani atakubali unafikiri
@user-nz6rs9vn3t13 күн бұрын
Kuna watu watashindwa kujib
@dominicksangu8934Ай бұрын
Very good mh trump. Kwa kufanya vizur
@ce-08Ай бұрын
Angekuwa ndiyo rais wa Afrika hapo wangemsema kweli kweli hajiwezi lakini bahati mbaya ni wao sasa
@mussakiziyzi408Ай бұрын
Wazunqu hawana time ya kuwasema watu weusi Mansemana wenyew,mnaibiana wenyewe na kuuwana wenyew kwa wenyewe.
@omarymwaluko976529 күн бұрын
@@mussakiziyzi408ww choko unatetea mashoga
@user-xl9so6jg1e28 күн бұрын
@@mussakiziyzi408kwel kabsa
@ElybwayzАй бұрын
Heee ata wao wanadaiwa duu mimi ni nan 😅
@zayumar2955Ай бұрын
Trump Sasa alivyo kunja mdomo 🤣🤣🤣🤣🤣
@gaudencemihungo4348Ай бұрын
Thanks Bundara!
@user-vr4vw7dk7jАй бұрын
The 1
@ayshasaid1547Ай бұрын
Kesha kubwa damu za watu wa gaza ishamlewesha mungu atamlipa hapahapa duniani kwa kuchochea vita
@user-vh3hj8mt6lАй бұрын
Trump ww n noma Sana Yan unamuangalia Biden kijeuri kweli aki hii nkali🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi kama mkenya niko team trumph,,, huyu biden amepea ruto kiburi they mus go
@salimali-rf9erАй бұрын
Walisahau humpiga shindano ya energiser robot,ili awe active
@EzekiaMyilaАй бұрын
Wote wamezeeka hamna mzima hapo wote wapigwe chini
@MwangaBora8 күн бұрын
Kilajambo liamwisho
@iddiramadhani511129 күн бұрын
Hawa wamarekani eti wanaona hilo ni jambo baya akati wameruhusu uchafu,
@MumewanguАй бұрын
Trump ndie anaefaa kuwa Rais nipo Tanzania lakin kama kunaruhusa ya kupiga kura basi kura yangu nampigia kura mwamba trump
@FgldesignsАй бұрын
Hata hao wamarekani wenyewe hawawezi kuchagua, rais anachaguliwa na Masenata wala sio raia
@MumewanguАй бұрын
@@Fgldesigns alafu utasikia raiya wao wanademokrasia kumbe hawana lolote
@mtenhussein29 күн бұрын
@@Fgldesigns. Lengo la kupiga kura ni kuwashawishi wapiga kura wanaowakilisha jimbo lako, ambao nao watapiga kura kumchagua mgombea wako. Katika kila jimbo, kura ya watu wengi huamua idadi ya wapiga kura ambao wameahidi kumpigia kura mgombeaji wa chama fulani. Sio uchaguzi wa moja kwa moja; unapiga kura kumchagua mtu ambaye atapiga kura kwa niaba yako. Mshindi sio kila mara mtu aliyeshinda kura nyingi kwa sababu mbili: 1. Majimbo madogo yana uzito kupita kiasi katika idadi ya wapiga kura wanaopata. Kila jimbo hupata wapiga kura sawa na idadi ya wawakilishi pamoja na maseneta wawili. Wawakilishi wanalingana na idadi ya watu, lakini maseneta kuna mfumo tofauti: kila jimbo linapata wawili, iwe Californi au Rhode Island(Ndio state ndogo sana Marekani). Kwa hivyo majimbo madogo hupata kura kadhaa za ziada. 2. Upeo wa ushindi katika jimbo haujalishi. Ukishinda 100% ya kura katika CA na ukingo mdogo kwingineko, bado unaweza kushinda uchaguzi ikiwa maeneo uliyoshinda kwa nywele yatakuwa na wapiga kura wengi kuliko California. Kwa hivyo sio mfumo uliojengwa ili kuakisi kura ya watu wengi; ni mfumo uliojengwa ili kuhakikisha kuwa majimbo makubwa hayaendeshi uchaguzi upande mmoja mara kwa mara. Lakini matokeo kwa ujumla yanawiana na kura za watu wengi. Katika uchaguzi huu uliopita (ambapo Clinton alishinda kwa kishindo kikubwa katika California na New York na kushindwa kwa tofauti ndogo katika majimbo mengine mengi), lakini kwa wingi wa majimbo mengine. Unapaswa kupiga kura kwa sababu ile ile ambayo ungepiga kura katika uchaguzi wa moja kwa moja: kumfanya mtu wako afisini. Ni kwamba tu unampigia kura mpiga kura, sio moja kwa moja kwa mgombea. Chuo cha uchaguzi huchagua, lakini unachagua chuo cha uchaguzi.
@muhammadmbaraka4515Ай бұрын
Trump kama kichaa flani hiv 😂😂 kumbe ni genius
@davismuzahula907Ай бұрын
Lakini mboka kama Amedhohofu sana
@michaeljames3480Ай бұрын
Kamaaa unamkubal Trump
@frankmare170829 күн бұрын
Biden ni kama robot vile
@katayaloveness5529Ай бұрын
😂😂😂😂trump siyo mambo yake 😂😂😂
@ebengapierre882625 күн бұрын
Uyu miaka yake imesha pita yy ahache wengine watawale 😅😅😅😅 baiden kachoka kabisa 😢😢😢😢😢 sioni baiden kushinda
@KS-iw7qvАй бұрын
😂😂 trump hivyo anavyomtizama..... Biden
@MerciMariamu-bt9vm5 күн бұрын
🥰🥰🥰🥰
@BabasahdSahdАй бұрын
Kwan beiden ninan aswaaa kama mnajua lecode yake nijuzeni😂😂 malekan inachekesha mngu ata walipa xku moja
@festohaule9716Ай бұрын
Dunia hii omba sana usokutane na changamoto ambazo hata pesa haiwezi kukusaidia chochote...omba sana!!!!!
@user-ti5ik2le1iАй бұрын
Point kaka
@loyalforumtv17 күн бұрын
@@user-ti5ik2le1i❤😂❤
@hassanikaawizy2597Ай бұрын
Wakwanza
@jacksonseverin5670Ай бұрын
Tumpu yupo vzr ila sera zake haziibebi africa
@loyalforumtv17 күн бұрын
Akibebe akupereke wap Kaka 😅😅
@bensonswai-hl6fn12 күн бұрын
Unataka ubebe na marekan ili nn jibebe
@LUJIGA_PODCASTАй бұрын
😅😅😅😅😅😅 ila Trump
@bryanzeconfesor5476Ай бұрын
Trumph kajikaza sana kuto kumwingilia Biden na kumchamba Kwa udhaifu wake😂😂😂
@joshuawenceslaus246626 күн бұрын
Sanaaaaaa😂😂😂
@jongosalehe1036Ай бұрын
kwanza Trump kavaaa tai nyekundu nzuri Sana alitakiwa havae Joe Biden Kama raisi wa sasa.
@personpeter2221Ай бұрын
Mbona wazee sana
@89_MediaАй бұрын
Ila wana mitonyo💸💵 Moja ya sifa kushinda uchaguzi mkuu Marekani,ili usiwe mwizi mwizi😂😂😂
@noelmusa3502Ай бұрын
Eeeh yani anaongea kama roboti
@idinado-wk3lx28 күн бұрын
Kusema ukweli uyu mzee amchoka hajiwezi kabisa
@hemedisufiani3219Ай бұрын
Mpumbavu baideni kauwa watu wengi sana huyu mzeeee loho zitamtesa sana kabuli lake litawaka moto milele 😢😢😢
@Zuu673Ай бұрын
Wala hakuna wa maana apo
@salehkhalfan7345Ай бұрын
Lkn panapo na vbaya viwili bs ki1 kitakua afadhali
@shabanimataka8418Ай бұрын
Angekuwa rais wa wenzao uyu sijui ingekuaje bahat mbaya ni wao
@Nyanda506Ай бұрын
Ina maaana wa democrats hawana wagombea wengine zaidi ya Biden😂😂
@Agath45Ай бұрын
Nilingojea kwa hamu sana. Ila trump kauwa
@hemedjackson2261Ай бұрын
Mara anajamba huyo mzee, kun clip km tatu au nne hiv anajamba
@malkiawagiza1327Ай бұрын
Biden ni mzee mwenye shida ya akili wapaswa kumwacha astaafu 😕Hata hajui anachozungumza.
@eleven-in5qwАй бұрын
Jamaaa na si kumchukia lakini aachane tu na uongozi lakini hii inaonyesha kuna watu au mtu sahii analiendesha taifa
@stellanyamuhogota1832Ай бұрын
Wote wamezeeka wakwende huko kwan America haina vijana wa kugombea urais😢
@partnersah8802Ай бұрын
Wampe Kanye West tu
@wadantz123Ай бұрын
@@partnersah8802😂😂😂😂😂😂
@BenjaminMetanyauАй бұрын
😂😂😂
@omarymwaluko976529 күн бұрын
America wote mashoga
@MohammedGabayeАй бұрын
Watu wengi wanamtaka tramp ila tramp ndio mpumbav akiwa rais
@sarastephano3409Ай бұрын
hakuna waislam wanaomkubali Trump maana Ni myahudi😂
@sa3dasa3da87Ай бұрын
Hawa wazee wote wana bore,kwani hakuna vijana hukooo
@Yassinseleman26 күн бұрын
Trump hii sura yake sasa na alivyo jaariwa zarau😂
@hajjiomary2383Ай бұрын
Wasioleweka
@alexbahindolwa3921Ай бұрын
Huo muono wa Trump sasa 😂😂.jpt
@kassimramadhani3198Ай бұрын
Mbona haujachambua na alio yasema Trump
@MosesHarerimana-ku2cpАй бұрын
Trump ipo makini san😂😂
@MS.independent8934Ай бұрын
Team Trump 🎉
@omarmohammed5157Ай бұрын
Speech diosder 😂😂😂
@blezywatino104310 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@BaboumitengaMutengaАй бұрын
1❤
@personpeter2221Ай бұрын
Kaz kwen waislam mambo yameanza kuchangamka mnajifanya kmsifu Trump nnasahau kpind chake alizuia nch za kiislam kuingia america viva tramp
@maryamabdallah314024 күн бұрын
Si ubakie kwako, unatafuta nini usikohitajika!
@lucymacha185311 күн бұрын
Trump anaubaguzi sana baiden nae kazeeka wote hawafai Bora Obama arudi .
@user-it7ih1it3mАй бұрын
Ilipaswa kichwa cha habari kiandikwe biden kayakanyaga lkn sio kajikanyaga😂😂
@NoblessePatrioteАй бұрын
😂😂😂
@hebertotanaely6607Ай бұрын
Marekani toka atoke Obama Bado hawajapata Raisi, Antony Blinken anafaa
@AwateeАй бұрын
😂😂😂😂
@MarryCharles-rc6ei29 күн бұрын
Najarbu kutafakar ikifika tz hi democracy, huku samia vs mbowe! Naamin siku hyohyo kuna mtu ataomba kujiuzuru😂😂😂
@rabsonchisumo664010 күн бұрын
Trump anamchora
@Sidrasidra636Ай бұрын
Sasa😅 kwanini wanajua na wana uhakika kama hayuko vuzuri alafu wana kuhusu hii midahalo kwani ni lazima?😅😅😅
@AjiaMohamed-rt5pbАй бұрын
Sio tz hiyo utake usitake lazima ufanye
@personpeter2221Ай бұрын
Hyo ni katiba ya USA🇺🇸
@Sidrasidra636Ай бұрын
@@personpeter2221 okay!
@Sidrasidra636Ай бұрын
@@AjiaMohamed-rt5pb eeh kumbe!
@paulvimbamvula9508Ай бұрын
Make American great again, Viva Trump
@hajjiomary2383Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@stephenmmbago497518 күн бұрын
Viva Trump
@democritenzoisaba9117Ай бұрын
TRUMP /YES
@MHDFURNITURE-jn2rx29 күн бұрын
baiden kama lowasa
@HarounRashid-rh6jrАй бұрын
😂
@BigZhumbe29 күн бұрын
DT for the president hii Amerika inamhitaji mwamba wa sheria kali Trump akishinda tu wenye upinde wakatafute kwa kuishi 😂
@joshemman520Ай бұрын
plz like video
@omarmohammed5157Ай бұрын
Trump anamwangalia biden kama vile helewi
@ammaherman339129 күн бұрын
Hamjuagi Biden ni Robort? Ile ni AI. Biden alishafariki.
@Churchofecclesia22 күн бұрын
Hata mm niliwaza hvyo huyo atakuwa AI
@Ibrah__27 күн бұрын
Ulafi wa madaraka Jaman, Biden kazeeka vibaya, aachie madaraka. Kufiamadaraka
@user-dg7wf6fg2jАй бұрын
Trump apewe nchi Baden apumzike
@Brunotarimo10Ай бұрын
Trump direct white house ❤
@e11said23Ай бұрын
Trump kawapa mayahudi mji mkuu jerusalem nauyu baiden kaja kupiga haya karibuni wote mbwa nyie uwanjani mpaka muombe poo
@joshuawenceslaus246626 күн бұрын
Roe vs wade iliondolewa chini ya Biden😂😂😂 asimseme Trump, halafu sasa mahakama ya marekan imempa kinga Trump, hahahahahahah kwahyo huyu mzee bado yupo yupo, na hii ni kesi ya biden, kwasababu mahakama ya juu ilisema Mahakama haina mamlaka ya kuamua utoaj mimba bunge ndio ina hiyo haki, so wabunge wa democrats ilibidi walete muswada bungeni wa kupromote utoaj mimba walishindwa, so wasimlaumu Trump🤣🤣🤣🤣 hawa jamaa hawashindi tenaa
@kembopere4961Ай бұрын
Nyie acheni habari za uongo...ndo kuongeya kwa Baden.
@ezekielphilemon7343Ай бұрын
Trump latima ashinde
@fasterwalker1464Ай бұрын
Biden inasemekana ni Robot tu sio mtu sahihi
@FahadAbubakariАй бұрын
Inasemekana wapi Biden kawa kwenye siasa miaka zaidi ya 50 , ni sawa we Leo useme yusuph makamba sio mtu ni robot
@emmaonalloh5515Ай бұрын
@@FahadAbubakariakili yake haiko sawa anasahau sahau vitu
@FahadAbubakariАй бұрын
@@emmaonalloh5515 uzee
@fasterwalker1464Ай бұрын
@@FahadAbubakari inasemekana huyu Biden sio yule halisia wakawa wanaonesha na tofauti za Biden Og na huyu Robot wanaamini yule halisi ashafariki
@fasterwalker1464Ай бұрын
@@emmaonalloh5515 unatakiwa kabla hujajibu uelewe kwanza sijasema huyu sio Biden kwamba nna uhakika 100% ila nimeongea kwa baadhi ya madai ya wa2 yanaweza yasiwe yakwel pia ndomaana shule mkaambiwa read instructions yaan jibu kitu ambacho unaelewa nacho ok!
@salimali-rf9erАй бұрын
Huyu biden ni gay, hayo sio mafua, hiyo sauti ishaanza kubadilika, hivyo ndio mahanis wanavyokuwa
@ramadhanikazimoto3052Ай бұрын
Uwe unanyama kaka tuwasikilize viongozi mda wotw unaongea wewe tu unakera bana
@AjudeKaluwa-bp1zzАй бұрын
Welcome trump Biden buried
@kingpunzy194Ай бұрын
Kaka Sky sie wengine tulikuwa tunasubiria hatma ya GAZA na URUSI, ila jamaa wamecheza trick Kwenye kuuliza maswali na kujibu maswali. Biden & Trump are Zionists Brothers