Kumtoa Jerry Slaa kwenye hiyo wizara ilitosha kabisa kuona serikali haiko tayari kupambana na migogoro ya ardhi
@NixonJohnson-r4m2 сағат бұрын
😂umejuaje ndg yangu hii serikali ni ya namna ya ajabu duniani...
@fahadfaraj64742 сағат бұрын
@@NixonJohnson-r4m ukifanya kazi serious unatolewa unaonekana unakua maarufu kumzidi raisi ivyo unatolewa hakuna kusikika sana hadi yule makonda kwa wanaomjua alivotoka iyo likizo kaufyata kaamua awe afisa utalii sio kupambana na wanaotesawanyonge tena.
@FatimaAli-of4ghСағат бұрын
@@fahadfaraj6474 Wakati akitenda haki akivunja mpaka za vigogo na wakubwa akirididhia wenyewe wanyonge that why walimtoa kwa kuwa akifata sheria msumeno😂😂😂
@frankmlinda1181Сағат бұрын
Hii ndio Tanzania angekuwa magufuli wangekoma
@fahadfaraj6474Сағат бұрын
@@FatimaAli-of4gh nchi za kiafrica wanajiita viongozi ni wahuni na vibaka wenye mamlaka
@YasinOmary-m6n2 сағат бұрын
Tatizo kwenye nchi yetu mtu akionekana anasaidia wananchi wakubwa wanamtoa ili watu wateseke tu,Jerry slaa alijitahidi kusaidia watu ktk nchi hii,kwasasa hata sijui waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi,sijui anafanya kazi gani🤔🤔🤔🤔🤔
@TOUNDISELASSIE-xj8oyСағат бұрын
Ni kweli kabisa, Jerry slaa alisaidia sana watanzania kwenye wizara hii ya ardhi.
@RubenMtuwaMungu-bz8eeСағат бұрын
Mama hataki kufunikwa, kazi yake ni kuzima kila nyota inapong'aa.
@TOUNDISELASSIE-xj8oyСағат бұрын
@@RubenMtuwaMungu-bz8ee Lakini mazuri yote yaliyofanywa na Jerry slaa, yalikua yanaipa sifa serikali hii.
@deejeydaevСағат бұрын
Huyu jamaa wa mwisho anajua kuelezea na kichwani very bright
@johnmbungo1971Сағат бұрын
Huyu Dogo yuko vizuri sana and he sounds legalise hii ni kesi nzuri sana ikimpata wakili mbishi Kuringe ni mvamizi na atatupwa nje upon court being just and fair
@ShukuruEdward-v1l41 минут бұрын
waliomtoa slaa kwenye wizara nimatajiri mama aliambiwa tu
@seleshaban4849 минут бұрын
Kesi za aridhi nchii zinaleta umaskini wa akili mwili na robo.
@Byme643445 минут бұрын
Mama Wa Kambo Mpk Najisikia Kucheka🤣🤣🤣
@SmilingCityMap-xb9mdСағат бұрын
Jeuli wanajua shelia ina ufa haina meno ndio maana wana jeuli ya kutosha
@mwasongweimani5495Сағат бұрын
Hii nchi ina shida jamani! Hivi unawezaje kufanya hayo huku kesi ipo mahakamani? Hela zina jeuri sana. Bila hela hauwezi kufanya hivi.
@alsam4881Сағат бұрын
Kwa baadhi ya wabongo wengi mara nyingi huwa wanatumia hisia ktk kufanya jambo badala ya kutumia Akili, kwasababu wengi wao hawajaelimika kuhusu sheria na hawana ustaarabu na kufuata sheria.
@SKY-fk3fz2 сағат бұрын
Ajira nguumu wanaajiriwa kuvunja usiku
@gidongailo7174Сағат бұрын
Watanzania wazito sana kufuata sheria
@NixonJohnson-r4m2 сағат бұрын
😂😮❤hawa ni wahanga na serikali ndio inataka hivyo...
@HuseinMwakindoleСағат бұрын
Kila kitu serikali acheni bwana, ikiwa hivyo kunasiku tutachukuliwa wake na hiyo tutaituhumu serikali
@RajeshiSanga2 сағат бұрын
Naombeni kazi ningeuwA hata watatu ndipo selikali ije .bila hivyo mtasubili sana
@The1979bornagain36 минут бұрын
Hata kama huyo anayedai amenunua hiyo ardhi /eneo. Iweje avunje nyumba usiku ambayo inakaliwa na watu na mali zao? Na hata kama ameuziwa, wapangaji wana haki pia.
@saltechnologiesco.ltd.2377Сағат бұрын
Intelijensia ilikuwa imelala muda huo!! Eeh Mola tusaidie😢😢😢
@fatmaOmmy43 минут бұрын
Hiyo itelijenjensia ni ya umbea2 kuchunguza kina mbowe wanasema nini.
@maryamabdullah91692 сағат бұрын
Washenzi yaani Binaadamu kama Wanyama Hawana Iman
@methodiutou727846 минут бұрын
Ndo maana watu wanaamua kujichukulia sheria mikononi maana kuna mambo yanachosha na unaona kama sheria inachelewesha maamuzi😢
@pegionstudiotz891040 минут бұрын
Sana hao walinzi walikua wanakazi gani mana kulinda kumewashinda
@wanguwangu3412 минут бұрын
Mambo haya yamekuwa mengi sana sijui Kwa nini, auction marts zingefungiwa kwanza ndiyo source ya matatizo mengi sana kama haya..
@johnsonkatangaСағат бұрын
Serikali si ipo sisi yetu macho
@mwlekartiesmwankenja360240 минут бұрын
Iko wapi Serikali?
@DennisAnthony-j5yСағат бұрын
Usiseme mama wa kambo sema mama mdogo au mlezi
@FatimaAli-of4ghСағат бұрын
Kumbukeni ya kwamba ardhi tutaiwacha awache kujifanya mbabe😢😢😢
@MtanganyikaTanganyika54 минут бұрын
Uliokua hujui
@AthanaseKiyoja2 сағат бұрын
Mnaenda kuomba kura.Lkn kila kitu mmeshindwa.Hamjui kuwa.mna jukumu la kulinda raia na mali zao ?
@knight6757Сағат бұрын
🙄
@saltechnologiesco.ltd.2377Сағат бұрын
Tunyamaze tu!
@Lundege_Hips12 минут бұрын
JERRY SLAA ALIPOTOLEWA TU NIKASEMA SASA UWONEVU WA ARDHI UMERUDI
@victorcephas361845 секунд бұрын
Mama wa Kambo Oyeeeeee
@leokamil62842 сағат бұрын
Matatizo ya Mirathi ni shida ya Mahakama zetu kutokutenda haki .Haya matatizo yapo nchi nzima. Na wanunuzi wa mali wawe na ufuatiliaji wa sehemu wanazonunua wasiwe wababe kununua mali za watu kwa viburi vya uwezo. Kuna Mkuu mmoja mstaafu kanunua mali ya watu kibabe ndio maana naongea haya
@ikungetajohnluketa86012 сағат бұрын
Kununua mali ya urithi inaitaji umakini sana.
@leokamil6284Сағат бұрын
@@ikungetajohnluketa8601 Sana na sio tu ya urithi ila kununua Ardhi nyumba inatakiwa kujiridhisha na anaekuuzia ni mmiliki halali ?
@Lundege_Hips11 минут бұрын
Inaonekana huyu mama anapangiwa nani amuweke wapi na nani amtowe
@Lundege_Hips10 минут бұрын
Waziri aliekuepo sasa hivi Anakaa ofisini tu
@STELLAMARCELYСағат бұрын
Yaan uyu kuringe nae amekua kama kirusi...ni mvamizi kweli wa Ardhi
@oam14l2 сағат бұрын
Investment environment in Tanzania.
@Byme643439 минут бұрын
Yaaaani Hapo Wanaojiita Mainvestment Wamevamiwa Asaivi Wanataka Wakikujengea Hakuna Kikomo Cha Mkataba Hawa Si Wezi Hawa Sie tumewafukuza Nyumbani Tumewaaambia Watuwache na Umaskini Wetu
@MOSESIMCHUNGUZI52 минут бұрын
MBONA MNAKUWA WASENGE DSM? KWANINI MSIWAUWE?
@GiselaMungerejaСағат бұрын
Kweli inasikitisha ,tumefikia mahali kuna wale wanaojifanya wako juu ya sheria na yote hayo ni uongozi huko chini haufanyi kazi wako kimaslahi zaidi.
@faithjonathan3845Сағат бұрын
Ndo tatizo la mali za urithi. Hapo kila mtu angetafuta chake mapema wala huu ugomvi usingetokea mzee yeye angeendelea tu kugombana na mkewe basi. Na kama mke angeuza vyite basi watoto wangemlea baba yao wakiwa makwao
@RajeshiSanga2 сағат бұрын
Mlinzi wenu hana bunduki
@FloridaAdelinus2 сағат бұрын
Wameona sheria hazifuatwi wakaamua kufanya mwenye nguvu mpishe. Wanasema kuku mkubwa alimfundisha kuku mdogo ku........
@samorajama88332 сағат бұрын
Hawa kiboko yao ni slaaa
@mwikamwika48512 сағат бұрын
Serikali mnataka ifanye nini wakati kesi ni ya watu waliouziana wenyewe? Kila kitu mnataka serikali. Kesi ya hapo ni umiliki wa ardhi. Kuna mtu alinunua na waliouza. Kwahiyo ninyi wakamateni hao wawili muuzaji na mnunuzi.
@1961nungwiСағат бұрын
Uko sahihi. Ila unakosea: kuvunja usiku sio sahihi
@mosesmacha1080Сағат бұрын
Wewe hujui Serikali ni pamoja na jeshi la police
@tynashao920027 минут бұрын
Fidia itamlamba shenzi huyu Bora wangetumia utaratibu na wapangaji wakisema wameibiwa hela hachomoki
@fredrickipembe8188Сағат бұрын
Hao wakamatwe kama majambazi
@bamdogokiki1486Сағат бұрын
Enzi za Jerry hii kitu siku tatu tu, inaisha.
@MtanganyikaTanganyika55 минут бұрын
Jerry ndio nani wewe boya na haya yanatoka wapi kama hayakuwepo acha siasa kwenye mambo ambayo yanahitaji utaratibu wa kisheria