Yesu KRISTO,, atakutetea Pastor...Usikate tamaa.Simama Imara.
@Focus_Mengi Жыл бұрын
Pole sana mchungaji. Hawa majoka wanaokusumbua ipo siku watalipia.
@mikbete Жыл бұрын
A man I have never seen before. A man from heaven, a real man from heaven, a man of God.
@jacksoncharles5411 Жыл бұрын
That's true, he's a man from heaven,a man of God himself, even me,i've never seen a man like this, it's miracle,may God bless him.
@Kwelihukuwekahuru Жыл бұрын
Rubbish
@Kwelihukuwekahuru Жыл бұрын
Kichwa cha habari hakiendani na mzungumzaji
@jacksoncharles5411 Жыл бұрын
@@Kwelihukuwekahuru Inahitaji umakini na utulivu kumuelewa,ukimsikiliza juu kwa ju,kamwe huwezi kumuelewa hata kidogo,zaidi uta-coment matusi.
@mikbete Жыл бұрын
We probably only have him in this beautiful nation TZ God gave us for a reason, a man with brave soul like him. He is still firm regardless of the attack by the authority. He must be standing for what he believes. It's my conviction he is innocent, and only "time will tell" ( time is GOD).
@christinenyagiro66624 ай бұрын
Magufuli hakumfanyia shida yo yote, kwa kweli huyu mtumishi anajipambanua kufanya kazi ya Mungu. Mungu hapendi uongo na viongozi wengi wameingia katika huo mtego wa unafiki lakini Mungu hapendi unafiki. Analea vijana wengi sana kama angekuwa mbaya angejiwekea mali na kujisifu basi lakini Mtumishi Mbarikiwa anafanya kazi ya Mungu. Hata Yesu walimchukia kwa sababu hakukubaliana na mafalisayo.
@shadrackwilfred2606 Жыл бұрын
*AMEN* MTU WA *MUNGU* HAKUNA WAKUMUOGOPA, TUONYESHANE WEMA TUU NDIO NJIA YA KUSHAWISHIANA
@methodjasson2159 Жыл бұрын
Haki yako ipo mtumishi wa Mungu simama upande wa Kristo daima, maana mwenye haki hajawahi achwa.Amen
@RamadhaniRamadhani-yd4hq Жыл бұрын
Mungu anatupenda wateule wenye haki tutaiona kesho yenye furaha baada ya taabu za dunia ahsante mungu kwa kumleta mbarikiwa
@EmmyKanjanja-qi1vl Жыл бұрын
Hongera shujaa wa Mungu,waambie ukweli,lakini hata wao watakufa,
@daudcharles264 Жыл бұрын
Hakika mungu yu upande wako mtumishi wa mungu Amen
@jenyyusuph4973 Жыл бұрын
Amina Nina nguvu kupitia mbarikiwa Mungu atuvushe nguvu ya wa ovu ni ya muda MUNGU NI WA MILELE AMINA
@jenyyusuph4973 Жыл бұрын
Mungu mpe nguvu za ajabu mtumishi wako mbarikiwa maana amechagua lililo jema Amina
@antonyibrahim5949 Жыл бұрын
Mungu hajawahi kushindwa,tunakuombea sana mtumishi,vyeo vya muda tuu vinawasumbua
@ramamjema8391 Жыл бұрын
Mungu yu pamoja nawe mtumishi, tunaamini kwenye haki Mungu atakutetea pamoja na hao watesi nao Iko siku watakufa TU.
@sarahjames2287 Жыл бұрын
Pole mtumishi mwachie Mungu atawashughulikia. vita hivi si vyako ni vya bwana
@Byondorujulika17 Жыл бұрын
Pole sana mutumishi wa Bwana, kamwe Mungu hatokuacha peke yako. Wanaweza wakakuzuru kimwili ila hawawezi wakakuuwa kiroho. From Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸 .
@bartolomeuhenrique1574 Жыл бұрын
Leo kweli baba,akuna sapoth yeyote Hila kesho yesu yupo kwa magumu yetu
@hilarylaurian7896 Жыл бұрын
Pole sana mtumishi wa Mungu. Mwenyezi Mungu akulinde na waovu na zaidi akutie nguvu. Naamini BWANA atafanya njia
@fredrickipembe8188 Жыл бұрын
Inauma sana kutendeana mambo ya hovyo
@georgepeter2055 Жыл бұрын
Mungu ambariki sana, ni kiongozi wadini ambae hana ushirika na mashetani
@aswilekibona9861 Жыл бұрын
Mbarikiwa barikiwa zaidi
@WILLIAMSINGANO-qn2yh Жыл бұрын
Pole sana mchungaji kiongozi. Watumishi wengi hawakumkana Yesu nasi hatuta mkana kamwe.
@Monja9999-c1b Жыл бұрын
Mungu u pamoja nawe mtumish wa Bwana
@lastkinglastking3326 Жыл бұрын
Kama niukweli nawe Mungu akubariki pamoja naye
@EsterBernardoVumo Жыл бұрын
Amen Mtumishi Wa Mungu Mungu Atakujibu Mtumishi Mungu Yupo Pamoja Nawe.Amesha Kusikia
@conkfabrimendaking7093 Жыл бұрын
Ubarikiwe na Mungu alie juu mbinguni sawa-sawa na lilivyo jina lako
@pacomezouzoua9175 Жыл бұрын
Neema ya Mungu ikulinde baba vita ni kubwa sana lakini yeye alienzisha kazi mioyoni mwetu ndio atakae imaliza🙏
Wewe Mungu ni mhukumu wa haki,angalia taabu na bidii ya mjoli wako,uje uhukumu Bwana kwa mkono wako,Usinyamaza Bwana kwa watu wako na Taifa lako Yesu.
@hildandumbalo5827 Жыл бұрын
Mungu yuko nawe mch Mbarikiwa
@julliennegakwaya5975 Жыл бұрын
Mungu akuteteye Mutumishi wa Mungu 😢
@malugukushaha6764 Жыл бұрын
Hongera sana mtumishi wa mungu, mungu ni mkubwa na atasimama nawe.
@Zaburi- Жыл бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@nipaelmgonja98696 ай бұрын
Aaaah imani hii nikubwaaaa ah kwa hakika yesu anacho kisasi juu ya hayaaaaa
@AbuuSalumu-v3c Жыл бұрын
Nakuelewa sana kiongoz unafaa ata kugombea urais❤❤
@AbuuSalumu-v3c Жыл бұрын
Sio kugombea2 kupewa madalak yoyot ambay yakuwaongoza raia na mali zao
@MartiniKirway-e2b Жыл бұрын
😢😢😢😢😢😢 jamani mungu utusaidie🎉🎉
@AndreaNzunda-f7o Жыл бұрын
Pole sana mtumishi ni kwasaabu Magufuli alikupendana unapenda haki ndio maana wanataka kukuumiza, hata magufuli kifo chake nadhani ilikua n hila tu za hawa wanaotutawala sasa
@AderaMwakilima-dh9sy Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu baba Dunia hii uyu mkulugenzi atalipya
@peterwanyonyi2445 Жыл бұрын
Mjungaji Baba wa mbinguni awe nawe akulinde ni wanyonyi from mombasa kenya
@moseskita4251 Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu mtumishi wa Mungu, Hao wanaokutesa Mungu anawaona,ipi siku watajuta.
@SalamaRashidi-bb4fe Жыл бұрын
Ukweli Mtupu mungu atawahukumu
@NorbethJosphath-hm1zb Жыл бұрын
Pole mch
@stevennjalika-in1fo Жыл бұрын
Mmm ...... Mungu , tunauwakika sana hata kwa maumivu makali. Ila mkono wa mungu uwe juu ya baba
@swidefridalyruu-xe1rv Жыл бұрын
Usiogop bb mungu Yuko na ww.usiogope wauwao mwili
@selemsigala4771 Жыл бұрын
Mungu akushindie mtumishi naamini haki aifi inaishi na ikilazimishwa ife amani utoweka.
@isayaamulike Жыл бұрын
Freedom is coming😢😢😢
@DicksonPaul-f7d Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi MUNGU yupo pamoja nawew uko iliko
@mashannapapaaa9582 Жыл бұрын
Hongelasana mutumishi mungu atakupigania tunakufatiliasana pamoja namabo unayofanyiwa
@annetvuseletse4509 Жыл бұрын
Mungu achelewi wala kukawia atakuja kwa wakati wake
@bartolomeuhenrique1574 Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu,baba misukusuko unayopitia,,,mbele Iko njia.apo baba unafungua njia hili waliyo nyuma Yako,na watakao kuja watapita raisi tu,ila ww tabu na ziki na mateso yanakusubili,pole inaniuma abli ya mtoto
@HadijaMwansasu Жыл бұрын
Amina baba mungu akutetee
@nicolaskalunde Жыл бұрын
Mungu atakuwa upande wako mtumishi wa Mungu tunakuombea.
@barakahhawu2324 Жыл бұрын
Sitaki hata kuona mbarikiwa akilia ivi ,wanadamu ninyi wabaya sana 😢😢😢😢😢
@joycenicodemus.2232 Жыл бұрын
Sauti yamtu aliaye nyikani mtumisi wamungu usiogope mungu Yuko Pamoja nawe🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@kefajoseph158 Жыл бұрын
Ohoo huyo aogopagi
@anafikamugisha8834 Жыл бұрын
Hadi roho inaniuma pole sana MTUMISHI wa mwokozi
@NGUVUYAUYOGA Жыл бұрын
Heri mtu atakaeteswa na kuonewa hata kuuwawa apate kupumzika baada ya taabu zake.
@edmundmmuniedmund1623 Жыл бұрын
Mungu ni mwaminifu mtumishi..Nadhani Usalama wa taifa ulikuwa enzi hizo kwa sasa ni usalama wa watu wa juu na kula.. si mda mrefu Mungu ataanza kushughulika nao!
@belinamwambeleko370 Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu baba
@frenkfarm Жыл бұрын
asila ya mungu itawaka juuuu ya watu wake ila matumaini yangu kabisa mungu kakuchangua we uwe shujaaaa wetu baba mbalikiwa endelea kutupingania maan paka kufikia hatua iyo si jambo ndogo mi naamini nimungu e shujaaaa endelea kusonga mbelee 💪
@farajapeasonmagota8226 Жыл бұрын
Mungu akutangulie kwenye magumu haya IPO siku Mungu atafanya jambo kubwa zidi ya wabaya
@aristidesvedasto7855 Жыл бұрын
Wambie baba nakukubali sana
@mch.deosinkala3120 Жыл бұрын
Umeeleweka Baba Mbarikiwa....Bwana atakuthibitisha tuuu na hautakufa
@MichaelmollelMollel Жыл бұрын
Hakika itengenezeni njia ya bwana yanyoosheni mapito❤ yake
@christineaimtonga9872 Жыл бұрын
Mtu wa mungu mungu atawaubuwa wote
@NaomiMagoti Жыл бұрын
Mungu wetu ni mkuu sana sana
@RaymondZindah-ow7wr Жыл бұрын
Mtumishi tuko nyuma yako na tutakufa na wewe.Mungu awe nawe na azidi kukupa maono na ujasiri. Huyu mkuu was usalama wa taifa inabidi tumuombee laana ya kifo tu.
@helbertsoneka2008 Жыл бұрын
daaah kama ukweli ndo upo hivi basi serikali ina wajibu wa kuangalia kwa jicho la tatu
@frenkfarm1139 Жыл бұрын
mungu ingilia kati kiukweli juuu yawatu hawa niaibu sana sana kukaliwa nawaovu nawanafanya chochote wanachotaka baba mbalikiwa endelea kutuvusha katika nyakati hizi japo mungu kama vile haoni ila nahakika mungu ataona
@NellyIsack-lk4gz Жыл бұрын
Tumika bb hata yesu hakufanya kosa lolote lkn aliteswa kwa ajili yetu ss wenye dhambi mungu anamakusudi na maisha yako endelea kumtumikia mungu nahuko gerezani kuna viumbe wahitaji lnjili bb yangu achana na mawkala wa shetani nisawa na kumpiga chura wanakusogeza ikulu ya mbinguni ushuzunike
@AtuChris Жыл бұрын
Mungu akuepushie mashetani aya
@chrithicksambo2287 Жыл бұрын
Hivi ni kwann wanasiasa hawamjuhi Mungu na Wala hawana hofu ya Mungu.
@HabilyTech Жыл бұрын
Dhamiri zao zilisha kufa ni wana wa majoka
@molineadema4872 Жыл бұрын
Chuma kweli kweli endelea kupiga mwendo mtumishi wa Mungu
@majaliwakibwama9634 Жыл бұрын
Mimi ni mkristo nisienda kanisani ila I will protect you, MUNGU baba ulie mbinguni naomba uokoe nchi yangu, nchi inaongozwa na mashetani
@anosiata8242 Жыл бұрын
Pole sana mtumishi wa mungu
@askari_wa_yesu Жыл бұрын
Haya maumivu yana mwisho wake . Bwana Yuaja na malipo . Sherehe ya waovu ni ya kitambo kidogo. Mkurugenzi wa usalama wa taifa aliyeua na analindwa Mungu Atakuja kulipa
@sayunimkongwa9830 Жыл бұрын
Wenye haki watawalapo watu hufurahia na Waovu watawalapo watu huugua.
@IbrahimuJaphet-hx2ns Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭 hayo machozi yatalipwa baba 😭😭😭😭
@moseskilangi4989 Жыл бұрын
Very sad😢😢😢
@yamungumbarikiwamwakipesil401 Жыл бұрын
Huwa nafikilia sana viongozi tuliowaajili sisi wamepata nafasi nakutugeuka maana tulitarajia watendao haki na kutokuleta hasara kwa jamii na taifa Zima, nimejiulza Sana KUPITIA wanavyomhangaisha mtumishi wa Mungu atendae haki na kusaidia maerufu ya watu wakaacha kuwalaza watu tongo macho(wizi) na namna mbalimbali Ila humtesa pasipo kuthamini kazi anayoifanya kusaidia serikali na jamii, ndo huwa nafika hapo nakujiulza HIVI kweli hawa ni viongozi tuliowaajili au ?? Napokuta nimehisika kuwachagua ndo hata hamu ya kuishi huisha kabisa na huwa nawazaga kufanya ibada zenye uwezo wa kulipa kisasi Kama wakili wa Mungu, ni vyema Sana ukajua avaaye Kwenda vitani asijisifu Kama avuaye akitoka vitani, (1 wafalme 20:11
@neemarabani Жыл бұрын
Mungu Yuko nawe songa mbele Mutumishi wa Mungu. Mungu ni Mungu hata Kama hatajibu Kama tulivyo omba
@methodiutou7278 Жыл бұрын
Siku za mwisho zinakaribia! Ole wao wasimamao katika njia isiyo ya haki!
@clemenceparokola Жыл бұрын
Mbarikiwa Mungu Yuko pamoja na wewe kamwe hatakuacha
@christopherkanyalakc8941 Жыл бұрын
God with you
@chrizostomangelo8140 Жыл бұрын
dar aiseee hakika nimejisikia vby sana ila wapambanaji tuko pamoja nawewe Mtumishi.
@mestonisimzosha203 Жыл бұрын
Kwenye CORONA Huyu Baba Alitutetea sana Wa Africa japo Serikali Ilikubali Kutuuza kwa Wazungu kwa Chanjo zilizo jaa hila na uozo..sasa Naona Mnamfinya ili Asitutetee
@titonsimbazi5532 Жыл бұрын
MUNGU ni mkuu MUNGU ndo mwenye mamlaka ya mwisho. Mungu yu pamoja nawe. Watashuudia mapigo ya MUNGU hawatakuja waamini watabaki wamekodoa macho.
@jenyyusuph4973 Жыл бұрын
Amina
@DeusiMorisi Жыл бұрын
Watanzania nchi yetu isije ingaingizwa pambaya naona watu wana hasira kila mahali
@ryobajohnes6400 Жыл бұрын
Mungu akuonekanie na akufute machozi tutazidi kukuombea
@ezekielmatondane714 Жыл бұрын
Serekali ni wauwaji asilima m%100
@GeraldYamoya-hx3wc Жыл бұрын
Pole sana
@fortyyellu9971 Жыл бұрын
Uko sawa kabisa mbalikiwa
@neemanziku5403 Жыл бұрын
Enyi serikali Mungu hafananishwi na cheo Wala pesa ole ole ole ole asema bwana
@STEVENKAJUMBA Жыл бұрын
selikali bana shida sana .mnatangaza amani uku meficha MAPANGA....
@emmanuelkanyela275 Жыл бұрын
Huyu jamaa mtumishi aliimba nyimbo moja kuhusu JPM kwamba umejitoa kwa taifa hili lkn watu watakuuwa wapenda hila
@mathiaslyamunda2526 Жыл бұрын
God will be with na utashinda 🙏🙏🙏
@aengelukalula7036 Жыл бұрын
MUNGU AKUTIYE NGUVU BABA 🙇♀️😭😭🙏🏿🧎♀️
@nesielias9493 Жыл бұрын
Mungu hatakuacha mpaka makusudi yake yatimie juu yako
@kingngojea Жыл бұрын
Tunge pata wachungaj 10 kama Hawa tungekua mbali sana
@aminaasia-jl8fk Жыл бұрын
Kweli wenijajusi wambinguni
@innosentimugarula8625 Жыл бұрын
Mungu yuko na wewe naamini utashinda kwa kila kitu wewe ni mtumishi wa Mungu unaesimama kwenye haki
@danielmwandenga5369 Жыл бұрын
Mtumishiiiii duuuu
@AhaziSimwakwenda3 ай бұрын
Umechanganyikiwa wasikufunge kweli ila kupeleke namba 4
@ShabaniHusseni-m8l Жыл бұрын
Amina baba
@ChristinaMonyi-tl8sc Жыл бұрын
Jamanii Hawa kwanini wasiuawe kimyakimya na wananchi😮