Mungu akupe umri. Mrefu bwana poul makonda uendelee kuwatumikia wananchi kiongozi wa chama chetu ukiongozwa na mama yetu pedwa mama SSH ubarikiwe Sana 🙏
@jumastephano26889 ай бұрын
Makonda makonda makonda 😢😭😭😭😭 wew umekuwa mtu wa kwanza kumpa heshima marehe Dk.John pombe magufuli nashukur sana mungu akubariki 🙏🙏🙏🙏🙏🙏😢
@noelbryson78408 ай бұрын
Siyo kweli.. Wacha kuongea uwongo..
@user-zi3kt4yy9l9 ай бұрын
Tunashukuru kwa küm kumbuka kiongozi wetu
@mariaikombe78399 ай бұрын
Nimejikuta Malia Bila kutegemea😭😭😭😭
@hawaelymaricca76029 ай бұрын
Mama ulifanya vizur sana kumweka Paul makonda, Tutafika mbali sana nakupenda sana mama
@user-ek6td4kt4t9 ай бұрын
From the bottom of his heart. Mungu akujalie ukawe mwema na nyota yako ingae
@chusseboywcb28089 ай бұрын
Uwe rais tu ❤❤❤❤maaaana ww nikichwa nafurahia kumkumbuka magu😭😭😭😭😭mkombozi wa nchiyetu komando wa wezi
@helentelemla56239 ай бұрын
Raha ya milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umuangazie MAGUFULI aendelee kupumzika kwa amani. Msamehe kama kuna mahali alikosea.Mungu naomba utupe kiongozi wa aina ya Magu.
@AdellahNdaro-cr4ni9 ай бұрын
Mungu akupe umri mrefu kwa sababu ya wengi muheshimiwa makonda
@ThomasMagoti-it4ty9 ай бұрын
Makonda Anajikaza2 lkn hayuko sawa kiukweli
@shawnmansour56959 ай бұрын
Katika nchi hii walishatangulia mbele ya haki Mwl. Nyerere na Mzee Mkapa;... ila kwa mawazo yangu naona kama msiba wa huyu Mzee unawasumbua hivi 🙃
@jacksonstephano85708 ай бұрын
Makonda Nena alio yanena Jemedari JPM mungu atakuweka njia njema
@marymchina65579 ай бұрын
Jaman mnaniliza mimi MAGULU hato nitoka ndani ya moyo, Mungu msamehe makosa yake umkalishe patakatifu Amen!
@jeanettenashoni9 ай бұрын
😭😭😭😭😭 Sitomsahau pia
@kingnyamafutv86469 ай бұрын
Tunashukuru mama samia kuteuwa makonda pia MUNGU amlaze pema peponi mpetwa wetu babayetu babuyetu Raisi JONH POMBE MAGUFULI amina🙏
@kalumbugideon41599 ай бұрын
JPM A PRESIDENT OF THE WORLD 🌎 IN HARD TIMES(COVID-19) I WILL NEVER FORGET IN MY LIFETIME.
@thehustlerafrica43689 ай бұрын
Ifike mahala serikali itenge siku ya kifo Cha mh hayati Magufuri iwe siku maalumu
@nicksonmremi34129 ай бұрын
Daah naona ameenda kutembele kabur la jembe lakeeeee safiiii
@JosephMilinga-nl4zh9 ай бұрын
Kifo cha jpm hakitazoeleka ni kama kazikwa jana,leo kwa mala nyingine nimejikuta nimelia tena juu ya kifo chake,msiba wa Mkapa haukuliza watanzania ila jpm mpaka leo tunaendelea kuomboleza
@user-vf5gs7ik7w9 ай бұрын
Hakika..zutasema kazikwa sasa hivi
@noelbryson78408 ай бұрын
Wacha kupotosha watu wewe?. Unawezaje kusema msiba wa Mkapa haukuliza watanzania ? .. Akili ndogo..
@marrymwashinga19428 ай бұрын
Me Sina mengi yakusema zaidi yakukuombea maisha marefu,na mungu akuepushe na mabaya yooote🙏
@jeanettenashoni9 ай бұрын
😭😭😭😭😭 JEMEDALI Magufuli , kuna wakati sitakagi hata kusikia sauti yake maana natoaga machozi mnooo😭😭. Rest in peace daddy
@aminamiraji90329 ай бұрын
Tumshukuru Mwenyezi MUNGU Kwa zawadi ya maisha yake, alifanya KAZI yake kikamilifu na ilikuwa njema, tunamuomba MUNGU muumba wa ulimwengu wote na vyote vilivyomo ampe Sasa mtumishi wake tuzo ya ufalme wake usiokuwa na mwisho Raha ya milele umpe Ehe Bwana na mwanga wa milele umwangazie 🙏
@sadalaelias58828 ай бұрын
Asante Makondo umemsemea Rais wetu mpendwa Dr Samia suluhu. Kazi iendelee.
@thehustlerafrica43689 ай бұрын
Kati ya vitu alivyovifanya mama ni kumteua Makonda ambaye ni zao halisi la Magufuri,awakumbuke pia kina Pole pole
@OS-pf6op9 ай бұрын
Tunamkumbuka Rais wa kweli wa bara hili la Afrika.
@rachelkaaya55398 ай бұрын
Mungu akubariki sana Mh Makonda
@user-bq9me7st6z8 ай бұрын
Nakupenda kwa moto huo mungu akubariki
@janethpallangyo38559 ай бұрын
❤❤JPM R.I.P
@misheckmrk88489 ай бұрын
😢😢😢😢😢 Sina megi jila na MUNGU litukuswe milele 🙏🙏
@florachogo2439 ай бұрын
Tutakukumbuka daima 😢
@user-zy6vq6lz7z9 ай бұрын
Pumzika kwa Amani JPM mungu akupe pumziko La uzima😢😢😢😢
@johnmworia10629 ай бұрын
RIP somo wangu John.Mungu akupe raha ya milele.Amen ila makonda chapa kazi,usimwangalie mtu usoni.Uwe mfano wa magu.kwani yoote magu aliyoyarekebisha kuanzia maadili ya kiutawala yametoweka kabisa.Viongozi wanastarehe tuu na kuota viburi.sii mahospitalini,si wapi.Usanii umekuwa mwingi kiutendaji kazi.Viongozi wanajali maslahi yao tuu,huku wananchi wakitaabika.
@SamweliMwankisi-zk3xm9 ай бұрын
Ameni mungu akubaliki
@omaryyusuph78773 ай бұрын
Komando wa Africa ❤❤❤❤ umetutoa matongongo watanzania mungu akupe amani jembe letu.
@martinemandagani95839 ай бұрын
Kaka yetu ,Paul Makonda ,kama jpm,alivyokuwa mchapakazi na mwadilifu ,basi nawe pia tunakuomba ufuate nyayo zake,. Sisi wtz wanyonge tuna Imani na wewe,
@paskalinaleopold32519 ай бұрын
Dah 😢😢😢😢😢😢😢inaumaa Mungu akulindeee paul makonda kumkumbuka nimejikuta naliaa 🙏🙏🙏🙏
@davidrutalomba43719 ай бұрын
RIP JPM
@user-gu3yc1gw3v9 ай бұрын
Tutakukumbuka daima
@happysanga68469 ай бұрын
Kipenzi Cha wa TANZANIA tutakukumbuka mile😭😭🙏🙏
@wilfredlukowo94769 ай бұрын
Ipo siku kweli itajulikana na kisasi kitalipwa
@edsonnelson44649 ай бұрын
Kisasi Cha nini tena mwenzetu mmhhh?
@user-gb4yp3um8o9 ай бұрын
Hogera sana makonda umetukumbushia msiba tena mungu akulinde ktk majukumu hayo uliyopewa,pia hongera kwa kuwa na shukrani wewe ni zao lake,Raha ya Milele Ampe ee bwana na mwanga wa milele amwangazie apumzike kwa Amani ameni
@samsonhamery38099 ай бұрын
RIP Rais wetu kipenzi tutakukumbuka Daima. Bandari imeenda Ngorongoro imeenda.Hatuna namna lakini Mungu atatubakizia Masalia. Komred Makonda utafika mbali Mungu akufiche dhidi ya Maadui wabaya.
Hii ndio nchi pekee ambayo wafu wake hawapunziki wanaoendelea kung'ang'aniwa waendelee kuchapa kazi za nchi na chama hata akiwa peponi.Sijui kule aliko Kuna vyama na serikali?.Duh tungemuacha apumzike, si tuhangaike na yetu. Sasa naelewa Hilo kaburi lilivyojengwa vizuri kumbe halikuwa kwa ajili yake Bali kwa ajili yetu, Ili tukimhitaji tumkute hapo.Niishie hapa kwanza.
@noelbryson78408 ай бұрын
Kaka unaona mbali sana.. A big thinker..
@eligiuselias44698 ай бұрын
Mimi ni mwanume lakini machozi yamenitoka daaah😢
@catherinemukami41909 ай бұрын
Kwa kweli tunamkumbuka ,ila Mungu kampenda zaidi.
@elikanaernesti84409 ай бұрын
Pumnzika Kwa Amani magufuli
@issackntacho44989 ай бұрын
So Sad
@AgnesKalinga-if3uf9 ай бұрын
.......Namwogopa Mungu
@JohnGamma6 ай бұрын
Mungu amlinde
@nasrahassan73468 ай бұрын
Dah pumzika kwa amani baba yetu😢😢 daima tutakukumbuka
@user-pf5gg5gk6i9 ай бұрын
Big up paul makond u will
@philemonmagesa55489 ай бұрын
Aisee Makonda anajua kuomba kama mchungaji!!! Kumbe ni mwanasiasa.
@MichaelMathew-ke6bi9 ай бұрын
Hadi leo hii rais ni Magufuli. Ukiniambia amekufa ni kama unanitania. Kimwili hatuponaye, lkn kiroho tuponaye kila siku. Jmn nilimpenda sana Magufuli, nilimpenda sana. Machozi yananitoka hadi leo. Ukinikumbusha kidogo tu naanza kusikitika kwelikweli. Makonda Mungu akubariki sana. Amen.
@noelbryson78408 ай бұрын
Me nikimkumbukaga Nyerere nahuzunika…
@ThomasMagoti-it4ty9 ай бұрын
Mungu Ww ni Mwema Daima
@zenobiakapere13799 ай бұрын
Apumzike kwa amani.
@rahelsimon20148 ай бұрын
Mungu akulinde makonda mama amefanya maamuzi mazuli nchi ilikuwa inazama
@user-we2qz1kb8h9 ай бұрын
Tutakukumbuka daima😂😂😂😂 Asante mungu🙏
@GerardWilliam-xt8pb9 ай бұрын
Ndugu tusisshau bandari 😂😂
@user-hk3uu1du7l9 ай бұрын
Apumzike kwa aman baba yetu
@user-vk4mv8iu4h9 ай бұрын
Asant kwa kumbuka kiongozi wetu🙏
@latifalayla99909 ай бұрын
Mnajivisha Ngozi ya kondoo Km n wakweli na hayo machozi twambieni kipi kilimsibu mzalendo mpk alale hapo? Yawezekana si mapenzi ya M'MUNGU ni ya watu flan yaliyosababisha kulala hapo wengine ndo haoahao.
@kibaladangohe63998 ай бұрын
Dah mungu mpe pumziko njema baba yetu😂😂😂
@user-bn2eh7os7l9 ай бұрын
Mungu akbarik
@issakwisamwasanjobe5419 ай бұрын
Mwamba WA mabeberu umelala kwa Aman. Kazi zako na matendo yako yanaishi😭😭
@user-xz4mc4ec7x8 ай бұрын
Daah Yan kila kinifika mbez aseee
@user-wu9zz1bm9h8 ай бұрын
Makonda umeangalia mbali na siujanja wako kuzuru makaburi ya viongozi Hawa ni nguvu ya mungu imekuongoza hakika makonda Nakuona mbali mnomno umebarikiwa makonda
@jogoomohamed26528 ай бұрын
Bro/Mkuu Paul Makonda.Kwa huo moyo wako napia mwenendo wako mzuri.Mi nakutabiria makubwa sana mbeleni kama MWENYEZI MUNGU akitujalia uzima.Maana ww kijana mwenye kuthubutu siku zote
@epifaniamilinga28488 ай бұрын
Maua yanaanzia duniani.upendo usio na unafiki.Mungu anasikia.hata mawazo yetu anayajua tokea mbali.umemwambia Mungu utasimamia haki.na utende.au Mungu atakupiga.
@sharommiriam26749 ай бұрын
Amina❤
@user-dh8eg7nu3j8 ай бұрын
Pole sana
@abdallabundala4048 ай бұрын
Makonda big up sana
@jeremiahmwasomola12528 ай бұрын
Ipo cku mungu atakuinua makonda umeniliza sana. Saf
@josephlorri4319 ай бұрын
Kuna huyo mwamba just kushoto ya makonda,mwenye kapero..ana akili sana..wala hakuvutwa na hisia kali za makonda..wengi wanalia... hapo ni hisia zaidi..wala kweli halimo ndani yao.
@user-le1mo8ru7u9 ай бұрын
We ni mjinga sana kifo cha maghufuli imemgusa kila mtu mimi hapa machozi yananilengalenga pole sana mwanangu Paul makonda
@josephlorri4319 ай бұрын
@@user-le1mo8ru7u namna pekee ya kumwenzi JPM..acheni ufisadi...sio kulia na kuamsha hisia za majonzi.. hapo makonda anacheza na hisia zenu..acheni ujinga
@joshuamgoba67059 ай бұрын
😂
@judyngowi3918 ай бұрын
Kamshtukia jamaa msanii tu
@mathiasgodfrey80048 ай бұрын
Daah MUNGU akutangulie kwenye utumishi wako na akulinde kwenye kila hatua
@salumjrsaidjr71509 ай бұрын
Baba kulia Unaomba msamaha Kwa jpm?
@salmahalfani63079 ай бұрын
Anaomba msamaha kwani alimkosea nini?
@ombendaud59389 ай бұрын
Baba yetu Magufuli ulioko amka utuone Samia anavyotunyanyasa ameuza bandari na ngorongoro amerudisha mbuu na vyandarua.Hii ndo kazi ya kikweta baba amka Magufuli
@user-wu9zz1bm9h8 ай бұрын
Lala salama baba 😭😭😭
@johnmahu50609 ай бұрын
Ccm kweli ni mashetani yan mnalia kaburin kma ndo anazikwa ? Bosi wa makonda wauaji wakubwa Mungu awalipe tu hpo mnaomba lkn baadaye mnatoa kafara baraka ya kuongoza kibabe?
@mushumbaeric49169 ай бұрын
Ata wana wa Israel pamoja na kuongozwa na Mungu fece 2 fece ila wanafki kama nyinyi walikuemo
@robertigohe74778 ай бұрын
JPM alitangulia mbele za haki,ninacho amini akina jpm wengi wapo na watazidi kuzaliwa.keep it Makonda
@jumastephano26889 ай бұрын
🙏🙏🙏
@francismigongwa41469 ай бұрын
RIP Mpendwa wetu mbele yako nyuma yetu RIP MH JPM
@ramadhanisimba34436 ай бұрын
Ni heri kufa Kwa tumaini la mungu kuliko kufa kwa tumaini la binadamu,😂😂😂😂
@barakavalencendola11179 ай бұрын
Rip Jpm
@zuwenaabdallah77489 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@judyngowi3918 ай бұрын
Vituko nchi hii jamani!
@marymchina65579 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢
@awadhawadh58289 ай бұрын
Ameen
@ThomasMagoti-it4ty9 ай бұрын
😭😭😭😭😭
@robertigohe74778 ай бұрын
😢😢 kinachofanyika Juu ya teuzi mbili zimelenga kuuhadaa umma wa watanzania hususani Kanda ya ziwa wakiandaa 2025. Jamani hamshituki,mnahongwa na teuzi mbona yule nshomile bashiru walimtoa?
@josephjosephati48419 ай бұрын
Kuna jamaa amemwangalia san makonda hapo uyo wa jiran yake duu
@JofreyMsigwa-ok7hv9 ай бұрын
Namm nimeona jicho Lina jambo hilo
@HappinessSawe8 ай бұрын
Atakua wa usalama banaa😂
@judyngowi3918 ай бұрын
Anamshangaa jamaa alivyo msanii
@judyngowi3918 ай бұрын
Usanii mtupu wala hamna chq kuniliza hapa!
@edwinsilas43269 ай бұрын
Jamani nimejikuta nalia mno mungu tusaidie
@joycehaule97178 ай бұрын
Yan hapo nikama anaandika nimerudi baba madarakini jamani
@user-ut6jq4pl3p9 ай бұрын
Ulipanda wakati wa kikwete na JPM akakupokea na Mwisho alikutema .