Hongera mtumishi kwakweli inahitajika Neema ya Mungu kuvuka kumbe ukitoka ila nimeenda ujasiri wako hongereni Promova Tv
@janegacheru92873 жыл бұрын
Started since part one,,and am realy amazed with what God works,He works greatly in this guy..watching from Kenya
@rajabhussein77943 жыл бұрын
Pole Sana ndugu mwalimu mwenzangu,maisha yanatutesa sana
@Joyjoy-ym6th Жыл бұрын
Ameeeen Ameeeen and Ameeeen damu ya YESU Christo ina nguvu hakika ni ushuuda wa nguvu Mungu azidi kukutawala🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@mutabirwakashasha54283 жыл бұрын
Ushuhuda mzuri sana Mungu ni mwema sana aisee
@FerdinandNjau3 жыл бұрын
Huu ushuhuda umenigusa sana. Hakika Mungu wetu nimwanifu
@fatumanaliaka22103 жыл бұрын
Pole sana kwa yote Mwenyezi Mungu aendelee kukupikania akushindie akuweseshe akulinde salama akutunze salama akutawale akupikanie akuongose vyema na azidi kukupa nguvu na afia njema na uzima tele pamoja na familia yako na pia jipe moyo kuwa na Imani endelea kumwamini Mwenyezi Mungu kwa anawesa na anachua yote na hakuna jambo lililo ngumu la kumshinda yeye maana yeye ndiye mwenye uweso na mamlaka kwetu na pila yeye hatuwesi chochote kweli na anastaili kila wakati maana yeye ndiye kimbilio tegemeo na msaada Pekee Kwetu kupidia Kwa Jina La mwanae YESU Kristo aliye Bwana na Mwokozi wetu amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@emmanuelmsukuma60993 жыл бұрын
Amina fatuma
@fatmawanjiko2513 жыл бұрын
Am watching from Kenya and am amazed for that testimony thank you...
@penninahngau73993 жыл бұрын
Tumengundua mengi mungu akubariki sana hutaokoa wengi kweli😍
@peninahkariuki46793 жыл бұрын
Watching from 🇰🇪,A blessed Testimony 🙏🙏
@kithia1003 жыл бұрын
Wanne leo twende kazi🇰🇪🙋
@josefomoises9521 Жыл бұрын
Pole sana mtumichi, nilikuwa na nia ya kujiunga icho chama lakini basi nimekoma.
@Berchmansngendakumana6 ай бұрын
Burundi tunawasikiliza kila siku neema ya Mungu iwe juu yenu wapendwa
@lydiamichael55093 жыл бұрын
Pole sana mwalimu kwa yote uliopitia ulingizwa pasipo wewe mwenyewe kujua Mungu aendelee akikupigania AMINA
@lilianmugyabuso89082 жыл бұрын
Shetani hana huruma,Hana cha kupoteza hana cha bure kabisa pole na Hongera sana Mungu Akusaidie usimame na Mungu vizuri
@hebronsdaughter16613 жыл бұрын
Hakika huu ushuhuda ni mkubwa sana barikiwa na Mungu azidi kukuinua
@jeanbb13853 жыл бұрын
Shetani ahana cha bure asante kwa ushuuda mzuri Sana
@fedhajoseph76873 жыл бұрын
Mungu akuwezeshe katika yote Damu ya Yesu ikufunike.
@gideonwekesa40333 жыл бұрын
Jesus christ is the lord,, from kenya God bless you
@maryamayitsa61813 жыл бұрын
Mungu alikua na kusudi na maisha yako mchungaji,ili uokoe nafsi zengine.mungu akuinue zaidi my brother
@marthamaligo4583 жыл бұрын
Mungu akubariki sana na akusimamie kwa yote
@joannembaja6053 Жыл бұрын
Damu ya Yesu inene uzima maishani mwako popote unapotajwa Emmanuel
@fedhajoseph76873 жыл бұрын
Nimeupenda sana huu ushuuda kwakweli nimebarikiwa mno.
@happynesskimt62493 жыл бұрын
Asante sana hii ni elimu tosha,
@JaneMsegu9 ай бұрын
Mungu Akutunze Daima
@saraphinaSamweli-rv7bv2 ай бұрын
Duh ama kwer mungu saidia family yang pamoja na watu wengine
@LOGOSNew3 жыл бұрын
Psalm 46:1 God is our present help in times of trouble. Romans 10:3 Whoever calls upon the name of the Lord shall be saved.
@kasakimba35473 жыл бұрын
Tena ndugu katika yesu,unaadisia vizuri kabisa
@anitamageni34873 жыл бұрын
Asante kaka jacktan kwa kutuletea ushuhuda mzuri mungu akubaliki
@PromovertvTz3 жыл бұрын
Amen
@dokasa91762 жыл бұрын
Eee Mungu wa Israel,nipe nguvu zaidi ya ufahamu wangu Baba yangu nikutumikie Kwa ukweli na Roho ijapo ni Kwa umaskini wa kiasi gani nibaki kuwa mwaminifu kwako milele na hata milele
@MaggieG2763 жыл бұрын
Thanking God for your salvation
@failaprince92509 ай бұрын
Pole sana ndugu
@flm15303 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@nakiwalahjulliet92083 жыл бұрын
Doing great job promover TV.long live promover t.v
@LOGOSNew3 жыл бұрын
Mtego wa Shetani huwa hivyo : anaanzia vishawishi vidogovidogo hadi unajikuta kwenye kina kirefu cha majaribu !
@martinmaryogo36763 жыл бұрын
yan huyu jmaaa amshukur mungu sana, maan altoka hakuw na iman kabsa, yan kanisa shetan anakujavip kuliharibu? ndo ujue walimnusulu tu na kuamua kumtesa tu
@lydiamichael55093 жыл бұрын
Pole sana mwalimu mandugu zangu yafaa tujue hakuna kitu chochote hupatikanana kwa Raisi lazima utoe jasho hata Neno linatuambia asiyefanya kazi naye asile? Mbona tukimbilie pesa ziko tiyari pasipojua kule zimetoka uzuri umemkimbilia Bwana Yesu ndio mwanzo na mwisho
@janegabriel789 ай бұрын
Kweli mungu akulinde. Na azidi kukuinua😢😢😢😅
@lilianachiengministries33863 жыл бұрын
Asante kuendelea..
@Mbenja123 жыл бұрын
MUNGU awabariki Sana na awapiganie..
@egospeltz94863 жыл бұрын
Mateso ya mwenye haki ni mengi, lakini Mungu atamponya nayo yote.
@jeffersonmontero35979 ай бұрын
Subhanallah 😭😭
@PeterNzinza8 ай бұрын
Kole kazi yauwalimu uliacha
@anthonkephasglobalmedia74063 жыл бұрын
Namba 2♦️♦️♦️ tunabarikiwa sana jaman
@sharondivine89943 жыл бұрын
Rehema ya Mungu yatosha
@HBI-TV3 жыл бұрын
Mungu nimwema
@xiwuyan4573 жыл бұрын
Kaka nisikufuche huu ushuhuda ni moja kati ya ushuhuda BIG 🙏
@PromovertvTz3 жыл бұрын
Amen
@geraldmakalala60913 жыл бұрын
Huu ushuda Ni ushuda Bora kabisa na Ni ukweli asilimia 100.
@fei36683 жыл бұрын
Asante yesu
@lispamagu58103 жыл бұрын
Hatr
@fridamwikuka54023 жыл бұрын
Du dunia hii ina makubwa sn.bora nikae na umaskini wangu
@saraholuche11173 жыл бұрын
Ukweli, heri nife maskini
@joycesikana45133 жыл бұрын
We ni mshindi
@levismike163 жыл бұрын
BWANA YESU ASIFIWE MILELE.JACKTAN ASANTE NA MUNGU AKUONGOZE SANA NA UJASIRI'
@PromovertvTz3 жыл бұрын
Amen
@horemow98323 жыл бұрын
Jamani wapendwa tuelewane sio kila mtu amepewa huduma ya kufungua kanisa ukweli ni kwamba haukumjua huyu Bwana Yesu vizuri makanisa ni mengi ila niwachache mno wanaoingia mbinguni
@millicentayangokunting37283 жыл бұрын
Ndio..hata mimi na shangaa mbona alifunguwa kanisa na bado hajasima vizuri
@happinessmwenda27733 жыл бұрын
TUMTAFUTE MUNGU KWA BIDII SANA
@carolinewanjiku57273 жыл бұрын
Kama hungeitishwa familia yako ungeendelea kupeana watoto wawenyewe surely people are heartless
@mwikalijoeephine15223 жыл бұрын
And mama kanumva keeps accusing lulu while his son was this own problem . May God have mercy . In any area of my an connected to satanism system I command the connection be broken and consumed by the fire of holy ghost in Jesus name Amen
@trilionea_online_TV11 ай бұрын
Ongea bro nakupata vema, mm nilikuwa na cheo cha Craft, ni cheo cha tatu kutoka vyeo vya Kanda na Africa mashariki ni daraja la 29, So mwalimu funguka watanzania wajue, hasa vijana ambao wanatamani kuingia huko, funguka
@Mbenja123 жыл бұрын
Nimependa ujasiri wako..
@martinmaryogo36763 жыл бұрын
kumbe haukuw na nguvu ya mungu bali walikusamehe tu na kuchukua mali zao,ndo maan ulipofngua kanisa lakin yaliharbika kwa sababu alipo yesu wa kwel nguvu za giza haziwez kusogea, na wangetaka kukuuwa wangekuuwa tu
@kasakimba35473 жыл бұрын
Yesu asifiwe
@PromovertvTz3 жыл бұрын
Amen
@linuxlipawaga16963 жыл бұрын
Oooh ila nimewahi twende kazi
@vomalizavomaliza7462 жыл бұрын
Hawa wanaume wanashinda
@blessingmmbone66383 жыл бұрын
Jesus,jesus your christ
@emmanuelmnyoro3560 Жыл бұрын
Naipataje namba ya huyu mchungaji
@sevenmund3 жыл бұрын
ujamalizia kuhusu inshu ya kanumba
@godsavethesociety13922 жыл бұрын
Sizani kama ni kweli
@kimsamespa84903 жыл бұрын
Zinaitwa pesa jamani doh
@DRIPPINGPAIN3 жыл бұрын
HAMNA KULAZIMISHWA OBVIOUS KWA KUWA SIYO RUHUSA YA MUNGU ...
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Kwahyo hyo huduma ulikua unafanya biashara au
@HilarioAfonso-en1gv7 ай бұрын
Maisha ni kupitia
@lilianachiengministries33863 жыл бұрын
Kiwango cha yule mtumishi wa kwanza kiliishia pale,kwa hivyo bado ni yesu alikusaidia,hadi akakupeleka kwa mtumishi mwingine
@edinambaga7763 жыл бұрын
Mke wako alijuwa anajuwa sababu ya hayo mpito au anajuwa ulikuwa freemaso
@karrolleschon39863 жыл бұрын
🇰🇪😧
@KhadijaAlly-j1s10 ай бұрын
Cha ajabu ni kwamba wote wanaotoka hukumbilia kanisani na si msikitini why this ?!! Kuna siri zenu hapa na kwa nn hukueleza kwann uliambiwa uchague jina la othman ambl ni la kiisilam??!! Kuna siri gan napo hapa.?
@JN-bq8dh3 жыл бұрын
kwa nini kuhuzuliya mikutano usiku??
@neemaernest41673 жыл бұрын
Duuu
@godsavethesociety13922 жыл бұрын
Muongo mkubwa sana huyo hakuna ukweli wowote ni muongo nani agent mkubwa wao, Biblia hata haijui bc MUNGU atusaidie tusijiunge na chama hicho hakika ni hatari sana
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Kwani kitimoto dhambi? Nakula bila shaka
@Blessed7doc3 жыл бұрын
What is kitimoto in english?
@karensylvester37533 жыл бұрын
@@Blessed7doc pork
@graceshikulu72572 жыл бұрын
Shuuuuuu
@chuggapjt37823 жыл бұрын
Yesu hakuwa na nguvu katika dini hiyo?
@tiamo7263 жыл бұрын
Dini gani swali lako sielewi
@DRIPPINGPAIN3 жыл бұрын
2TIMOTHY CHAPTER 4 VERSE 7 GOING ON... I HAVE FIGHT A GOOD FIGHT.. I HAVE FINISHED MY COURSE... THE REST WE LEAVE FOR JESUS CHRIST THE RIGHTEOUS JUDGE TO JUDGE AMEN 🙌💞💞🔥🙏🙏..
@sarahjacobs88143 жыл бұрын
Aligusua kuhusu kanumba LAKINI hueleza
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Alivokufa
@tiamo7263 жыл бұрын
Ndio nangoja pia
@sarahjacobs88143 жыл бұрын
Je hao mapastors pia hutia wife zao.au watoto
@sarahjacobs88143 жыл бұрын
Hutoa wake zao kafara
@tiamo7263 жыл бұрын
Machawi hana huruma ndio wanaweza
@achsahcharles67283 жыл бұрын
Mmhh huyu alikua kwenye kilinge tu cha waganga ila sio freemason 😃, lakini pia kisaikolojia mtu akiwa anasimulia kitu anapiga miayo fulani kama huyu jamaa anavyofanya, kunakua na kitu hakiko sawa, ila msiniulize ni nini
@nkugi3 жыл бұрын
Uganga, uchawi, freemason vyote ni vidhehebu kwenye ufalme wa giza. Freemason ni uchawi pia, ila ni wa viwango vya namna ile ambavyo unaouona. They are all wichcrafts. Tafuta vitabu vya Ike Nathan Uzorma mnigeria aliyekuwa mchawi utajifunza mengi
@piusmtwale76903 жыл бұрын
Kweli kabisa hivyo vitabu ukivisoma vitakusaidia san
@achsahcharles67283 жыл бұрын
@@nkugi nimeshawasikiliza wote nawajua vizuri, but still mganga na freemasons hata kama wote ni watumishi wa ufalme wa giza, wako tofauti
@evansmwathi6176 Жыл бұрын
😂
@DRIPPINGPAIN3 жыл бұрын
ULIKUWA ZOBA KWELII ENZI HIZO.. SIJUI TUKUPE POLE AU... ILA MUNGU ANAONA.. NA ANASAMEHE 😏😒🚮
@mariachannelke97693 жыл бұрын
Mbona naona mwarudia jameni?
@PromovertvTz3 жыл бұрын
Tumerudia nini jamani
@mariachannelke97693 жыл бұрын
@@PromovertvTzmnarudia hii testimony Nikienda kwa playlist ushuhuda nishauskiza hadi part 7
@PromovertvTz3 жыл бұрын
Barikiwa,hatujarudia bali wewe umefahamu kuupata kupitia playlists,wengine tulishawaelekeza hiyo njia lakini hawajafahamu.
@mariachannelke97693 жыл бұрын
@@PromovertvTz nashukuru mbarikiwe Mimi nangoja mwendelezo wa vyumba 351)part 9 na kwendelea pls
@PromovertvTz3 жыл бұрын
Sawa
@allyawadh84923 жыл бұрын
Yaani wakristo ni waongo hizi shuhuda ni story ambazo hazina ukweli wowote na hawa watoa hizo shuhuda wanachofanya ni kuunganisha story za watu mbalimbali kisha wanazionganisha, kwasababu wakristo elimu zao ni ndogo basi moja kwa moja wanaamini tena wanamuona kama mtu wa mungu kwa kufata hizo hadithi zake, wakristo kila siku dini yenu inakosa thamani kwasababu ya watu kama hawa, tena cha kusikitisha hata hiyo biblia yenu haina thamani wala kufundishwa kila unae mskia badala ya kufundisha neno la mungu wao hufundisha hadithi za vijiweni.
@edinambaga7763 жыл бұрын
Atushangai kwa shutuma zako wewe ingia maana niwakwenu tuaachie ss tujifunze ili tukae na yesu wetu
@edinambaga7763 жыл бұрын
Na alama za ajari zimeundwa
@edinambaga7763 жыл бұрын
Mahakimu anaokutajia uongo tunakushahuli ndugu mtafute yesu sio utajiri was shetani mpendwa
I've listened Pt1 and Pt2. And my Conculution is this is a very Big liar. Who wants publicity. You were Never Never Ever in Freemason. Wewe ni Mu ongo. And also to make money. Shame on you..
@johnnjoroge27733 жыл бұрын
You could have shown us the Freemasons Uniforms or even Diagrams. Freemasons don't meet in houses but in their Temples. Stop the lie.
@emmanuelmsukuma60993 жыл бұрын
Barikiwa na mawazo yako
@eleonorandole92443 жыл бұрын
Kwaio temple zenyewe ni nn? Kwamba hazina ukuta?? Temple ndo nyumba hizo hizo labda kwa sababu ww unaongea kingereza
@emmanuelmsukuma60993 жыл бұрын
@@eleonorandole9244 Amina waache wangee huwa hawakos kama John njoroge
@stanleywaweru17143 жыл бұрын
It's good you have taken interest listen to both parts. He is saying the truth whether you believe it or not. Kuzema ni uongo haibadirishi jambo lolote.