Yes he deserve to be Zanzibar tourist Ambassador. Jamaa anataka kufika mbali sana, wizara ingekuwa vizuri ikawaangalia na kuwashika mkono ili kusaidia kupush utalii wetu. Tukipata mastaa wengi ambao watakuwa wanaijua Zanzibar mambo yatakuwa Bulbul utalii ni mwendo mdundo.
@ahz69072 жыл бұрын
Bulbul eh...nataka nije kuoa huko mtoto mkaliii wa kizenji🤓
@saidcharleskarata022 жыл бұрын
God bless you bro❤️🙏🏻
@issamatola20312 жыл бұрын
Noma
@queeneva37092 жыл бұрын
KEEP UP THE GOOD WORK.
@konakitaatv2 ай бұрын
Ubunifu mzuri sana
@zanfastfood73002 жыл бұрын
Big up bro
@blackpanther48252 жыл бұрын
Sio professional ni profession
@lilnizoea3702 жыл бұрын
Nice
@husseinlali21372 жыл бұрын
Good broh
@halidjuma96332 жыл бұрын
safiiii💎
@ramazaniddy42312 жыл бұрын
yessjamaal🐳
@yuleboytv61042 жыл бұрын
Comfidence
@yussufmohammed9299 Жыл бұрын
Kazi nzur Brother,ila ningependekeza kuwachek n Wachez move w zmani km JECKSHENI,RAMBO,VAN DAME Nk
@mazengomanyama71062 жыл бұрын
Bara wana itajika kujenga ocean wall kama izo hapa dar au pwani yeyeyote sio kuruka sarakasi bungeni dadeq zao
Dah Kuna waja mna roho mbaya aiseee km hapo kajiona kitu Gani?? Jifunze kusifia jitihada za mtu ili nawe ubarikiweee
@slowclimbertothetop4572 Жыл бұрын
Huyo ni Star tayari
@fredypastoryutd48642 жыл бұрын
Nilimjua huyu jamaa baada ya kuona video moja aliipost dogo mmoja aliruka kudive kwa umbali mrefu saana akawa kama jet fighter, hadi nilimpost namimi kwenye insta yangu kwangu. Katika video zote ile ilikiwa ni amazing kwangu