Hosted by: Nassor Bin Shabaan Guest: Sheikh Salim Barahiyan الجواب الكافي {Jibu lenye kutosheleza} RADIO IHSAAN FM TANGA, TANZANIA ANSAAR MUSLIM YOUTH CENTER
SubhanAllah mtihan nakuonea huruma sana Ndugu yangu katika Imani.
@stonecolly4 жыл бұрын
Subhanallah , kweli kuna masheh ndevu na masheh kanzu . Sasa tukuweke wapi. Allah akuhidi.
@user-cy1od5xr8x6 ай бұрын
MSHAWAHI KUWASIKIA AU KUSOMA VITABU VYAO MCHENI ALLAH UONGO UNAMPELEKA MTU MOTONI
@ahmedoman77516 жыл бұрын
Mashia ndio wanao wakufurisha Maswahaba. Mashia wame watukana maswahaba mpaka bibi aisha mama wawa umini Radhia Allahu anhaa na ukisema mashia bakubali kwasababu ndio itkadi zao potof Allah atuepushie miongoni mwa hao amiin
@salamakhamis72455 жыл бұрын
Jamani mashekh ALLAH anatusubiri
@hamoudel-mughery93965 жыл бұрын
Leo sheikh barahian nimeona barua yako kuhusu sheikh kishk mashallah
@khalfansharji97905 жыл бұрын
Ukisoma coment mhhhhh!!! Mijahili kama Barahiyani ipo mingi ALLAHUMA ARNA LHACKA HACK WARUZUKUNA TIBAA WAARINAL BATIL BATILAN WARZUKCKUNA JITINABA ALLAHUMA AMEEN. ALLAH ATUKINGE NA HII FITNA KUTOKA NAJDI.
@user-cy1od5xr8x6 ай бұрын
WANAZUONI WENU SIO MASWAHABA SIO, MATABI, SIO MATAABIINA SIO MATABITABIINA NA HAO MAIBADH WAMEKUJA MAKARNE MINGI SANA KULIKO NYINYI NA HAWAKUFURISHI MASWAHABA HAYO NI MANENO YAKO NA MASHEKHE ZAKO MCHE ALLAH
@MohamedAhmed-yi1yf4 жыл бұрын
Mwenyezi mungu kwanini asionekane maibadhi someni uislamu
@thabitisimba11433 жыл бұрын
Masha Allah upo sahihi Akhy...wanaopinga wajichunguze vizur elimu yao na uislaam wao
@msafiriduwiya7765Ай бұрын
SI NDO MTOE USHAHIDI WA HAYO MADAI
@fahadjuma51505 жыл бұрын
Sheikh Barahiani Allah ANAKUONA
@ahmedoman77516 жыл бұрын
Wala hakuna maswahib radhi za Allah ziwe juu yao. wa mtume muhammad (S.A.W) walio kufurishwa. Na maibadhi Nenda ukasome vitabu vizuri kama kuna maswahib( r.a) Wala hakuna maswahaba walio kufurishwa. Hichokitu hakuna
@issamasanjala46535 жыл бұрын
Ahmed Oman umesoma?
@MohamedAhmed-yi1yf5 жыл бұрын
Barahiyan yuko sawa kwa kusema kweli hata kama itawauma maibadhi
@hamoudel-mughery93965 жыл бұрын
Allah atakuongoa kupitia mikono yako...!!! mashallah angalia neno "(alkhawairi)"umekusudia alkhawairi lakini Allah alrraham amejalia mikono yako kusema ukweli badala ya moyo wako na mdomo...bado miguu yako yako sasa unamuonea choyo sheikh wa kimataifa anavyofanya jitihada take na kupendwa na kina mmoja hata wasio waislamu naamini wanampenda.. mashallah. اليوم نختم علا أفواههم وتكلمنا ايديهم وتشهد أرجلهم بماكنو يكسبون....الله اكبر حسبنا الله ونعم الوكيل...الحمدالله
@MohammedMohammed-tr7bb5 жыл бұрын
Wewe sheikh wapi sie maibadhi tumesema ya kuwa masahaba ni wa motoni au ulimsikia sheikh gani wa kiibadhi akisema kuwa saydina uthman ni wa motoni? HACHENI KUZUSHA
@salehsuleiman12185 жыл бұрын
Subhanallah yan skuiz mtu amesoma sura moja basi amekuwa ni shekhe na anaanza kutoa tofaut ya wenzake kuwen makini jmn hawa sio mashekhe mbn hakujitoa sura yake kama yeye ni mkwel inatia hasira kwel
@AhmedAli-os2dq5 жыл бұрын
Huyu baada ya kunyimwa msaadacna Ibadh,ndio anasema maneno haya,msikiti wa Ansar Barbara ya 19,umejengwa na ibadhi,sehemu ya chini,na kiwanja kilichangiwa na Ibadh,mbona hawauwachii?Dada yake ,huyu Salimu Barahiyani baba mmoja,mama mmoja aliolewa na Ibadh mara mbili,na amezaa na watoto na waume wa kiibadhi,kwa dada yake alikuwa akizini?Shangazi yake ndugu na baba yake,mume wake ni ibadh na amezaa watoto,huyu shangazi hana ndoa,anazini?Watoto wa dada zake wameolewa na Ibadh,wanazini?Ndugu yake baba mmoja mam mmoja alioa Ibadh akazaa na watoto,hawa watoto ni wa haramu? Hii chuki yote kwa Ibadh ni kukosa misaada kutoka Ibadh,na kuona shule zake,hazina maendeleo.
@AhmedAli-os2dq5 жыл бұрын
Dada yake Huyu,anaitwa Rigea,ameolewa mara mbili na Ibadh,kwanza aliolewa na ibadh,akazaa naye watoto wengi tu,akaolewa mara ya pili na Sheikh wa kiibadh,ambaye alikuwa katibu wa Istiqama Tanzania,amepata naye watoto,shangazi yake baba mmoja,mama mmoja na mama yake kaolewa na Ibadh,kazaa watoto,ndugu yake wa kiume baba mmoja mama mmoja,alioa ibadh,akafa amepata watoto na huyu mwanamke karibia 3,wa kiume.Watoto wa dada zake wameolewa na ibadh,wengi tu.Sasa hawa wote ndugu zake wanazini?Ndoa zao hazisihi? Au huko kunyimwa misaada na ibadh ndio aropokwe,wakati ndani ya familia yake uibadhi upo,tena mwingi tu.Kusoma Alhamdu,ndio amekuwa Sheikh,hata kuswalisha,hajui,wala hajahifadhi hata juzuu moja.
@maalimjuma68334 жыл бұрын
Shekh kasome utaona
@adammaulid235611 ай бұрын
Kam umeumia si acha uibadhi njoo njia ya usawa!!!!
@kibibimwanamvuamohammadmoh98236 жыл бұрын
SubhaanAllah
@moanamohammed14064 жыл бұрын
Mh Subhanallah
@parasuminazi44035 жыл бұрын
We ni mnaaffikk.kwanza nyinyii wenyewe muko na akida tofauti baina yashaffii nanyinyi mawahabi mulioijua Dini kwakupewa msaada wavisima.mbona wenzenu shafii walionailmu huwa wanaswali nakusalisha miskit yalbadh nahawana longolongo
@Mofaiz_115 жыл бұрын
Alichosema ni sawa sawaa mawahabi/maanswari mnavyojiita hawamo kabisaaa in ahlus Sunnah waljamaa na nyiee kumsifia mtume mmekataaa so kuswali nyuma yenu haifaaaaiiii
@abdulazizal-mazroui33635 жыл бұрын
mtihani kwa kweli
@salmahilaly97085 жыл бұрын
Shekh jitambue na usome uibadhi uelewe maibadhi wanaharamisha kilichoharamishwa na Allah km zinaa suni wanahalalisha zinaa kuwa waliozin waweza oanacna ibadhi tunakipinga hilo km huujui uibadha usiongelee
@111dudi4 жыл бұрын
Na wale wanao waudhi Waumini wanaume na wanawake pasina wao kufanya kosa lolote, bila ya shaka wamebeba dhulma kubwa na dhambi zilio dhaahiri. AHZAAB 58
@jumamzee69994 жыл бұрын
Nyinyi Mashekhe ndio mlio kwenda kusoma nchi ya mayahudi kuupotosha uislamu mukawagawa waislamu na makafiri wakapata njia ya kukubomoweni
@qassimyahya14015 жыл бұрын
Shkh naombaa utumiee kwenye kitabu gani baadhi tume semaa sayyed othaman ataingia motoni
@user-kc4fv6cf8l10 ай бұрын
Huyu mshenzi kwa misimamo yake hiyo anakuwa tayari kashawakufurisha waisilam wote kwani hata hata hao masuni tsyari kashawakafirisha
@shamasautolampscan87755 жыл бұрын
Nadhani kuna umuhimu mkubwa Istiqama waliopo tanga kuwatafuta hao wahabi Wa tanga na kuwajibu hoja zao ,hivi karibun sheikh kishk alipokuwa oman,akawasifu maibaidh ,basi hao jamaa wakarudia maneno Yao kweny media, Nasema hawa sio watu wakuachwa hivi hivi .inshaAllah wajibiwe kwa Mara nyengine Tena .
@amoursalum35855 жыл бұрын
Masikini wee huyu Shehe kwanza alinganiwe na kina Mazinge arudi kwenye mstari maana kina Mazinge wakisema kitu hutoa naushahidi sio yeye anasema kwa matamanio ya nafsi yake Mungu atamhidi inshaalla
@Sekenke1235 жыл бұрын
Nashaka na ushekhe wako, acha kuwazulia uongo Waislamu wa kiibadhi. Wote ni Waislamu, Ahl Sunah, Ibadhi, shia, salafi, wote ni Waislamu. Acha ubaguzi katika Uislamu, hii dini ya Mungu, sio yako, Je wewe ndio utawahukumu watu siku ya kiyama? Hiyo ni kazi ya Allah ya kumjua nani Muislamu wa kweli na nani mnafiq, hii sio kazi yako. Namuomba Allah akupe hidaya, Ameen.
@MohamedAhmed-yi1yf4 жыл бұрын
Hakuna ibadhi katika uislamu Hilo linaleta mashaka
@asasally39785 жыл бұрын
Waislam wote mtambue kuwa mna wajibu wa kutafuta ukweli sio kufuata tu kila kitu wachosema mashekhe.Mashekhe wetu wengi wanaona wanna wajibu wa kupinga misimamo ya wenzao kwa hali yeyote .Kwa kupinda ukweli au kusema uongo kabisa.Mfano:Shekhe katoa aya inayosema Mungu ataonekana siku ya kiama.Sawa.Suala kwa namna gani ataonekana?Ukianza kumpa miguu,mikono ,uso_waislam lazima wapinge.Kwa sababu kuna aya za Quran zinazosema Mungu huwezi kumfananisha na kitu chochote.Waislam nawambia tena:Yastamiuna lkaula wa yatabiuna ahsana.
@seifissa4506 Жыл бұрын
Huyo barahiani sio shekh muhuni tena kafir
@Sekenke1235 жыл бұрын
Huyu anaejiita Sheikh aliwahi kutoa fatwa eti inafaa kunyonya nanhi ya mwanamke.
@salehsuleiman12185 жыл бұрын
Ww shekhe mungu anakuona wacha uwongo wako Maibadh hawaja kanusha nabii wala swahaba yeyote na endapo mtamfata huyu shekhe basi mjue anapotosha kwanza ujue tofaut ya ibadh na mashia jmn kuwen makini ktk kuelezea jambo la kidin uislam sio siasa ya chama. Toa ushahid kama Maibadh wamekanusha chochote ktk dini. Subhanallah Allah awasameh woote wanaomsikiliza huyu sheikh na kumfata pia sheikh jirekebishe mm nakuona haujasoma na kama umesoma basi ustoe tofaut ya wenzako wakat ww haujui kitu.
@ludacrissrangiyabank37375 жыл бұрын
Maibadhi hawana tatizo lolote acheni fitna tatizo kila mmoja aheshimu ufahamu wa mwenzake
@khalfansharji97905 жыл бұрын
Mawahabi uzushi ndio kazi yao khasa hawajaanza leo kila kukicha wanalo lakuzua na hamtawaina hata siku moja kuleta ushahidi.Katika madhehebu ibadh hakuna iliposemwa saidina Uthman mtu wa motoni.Huyu shekh yeye aendelee kumgonga sheitan kwa kidole kwake sawa na bismilah asiitaje sawa lakini uongo achaaaa!!!WAISLAM WANA ILIMU NA AKILI wewe ponda tu pesa za wasaudi waisilamu waache na dini yaooooo!
@ahmedoman77516 жыл бұрын
Muogopeni Allah hayo nimaneno yenu tu kiukweli hakuna kwenye vitabu vya ibadhi au masheikh wa ibadhi n.k panapo semwa sayyidana Othman Radhia allahu anhu eti niwamotoni سبحان الله سبحان الله wala hatuna kauli hiyo sisi Na maibadhi washaitwa mpaka mashia n.k
@hassanjuma55805 жыл бұрын
Allah atatulipa sisi maibadh kwa maungo ya masheikh tangu nizaliwe cjawahi kuwaskia othman bin Affan kama ni kafiri kwa maibadh mara wengine wasema Ally bin Abitwalib kafir inauma sana nyinyi masheikh wa zama hizi
@imash04tv203 жыл бұрын
laanatullah alaika ikiwa unasema uongo ilhali kila siku mnajibiwa kuhusu tuhuma hizo wapi maibadhi wamesema othman bin affan motoni wakwanza ulokua haifai kufuatwa kuswali ni ww kila mtu kakufuru ispokua ww tu ndio upo sahihi wallah huyu kijamaa hakifai hata kusikilizwa kinapotoa watu ambao mustawa wao wakielimu ni wa chini sana
@khamisptrany93932 жыл бұрын
Muhabi hakanyagi arthi yoyote ila atainajisi kwa fitna zake, Inatosha kujuwa uwovu wa kiwahabi nikuwa hawakutani mawahabi wawili ila mmoja atamkufurisha mwenzake
Weh ustaz mbona unaongea Maneno yasio sahihi Kama unasikia tu Maneno kwa watu usiseme mpaka usome Najuata kuskiliza hii
@fahminasser38555 жыл бұрын
ASALAM ALEYKUM SHEIKH BARAHIYAN KAMA WATAKA KULINGANIA KITU BORA ZAIDI KWAKO UANZE NA KILE UNACHO KICHUNGA KWANZA UMLINGANIE DADA YAKO KARITADI NA KAZAA NNJE YA NDOA ANZA NA YEYE NDIO UWENDELEE NA UNAO WAITA MAKAFIRI
@fatmaali2050 Жыл бұрын
Aliyozungumza huyu sheikh hayana mashiko yoyote ila kulingania unatakiwa ulinganie hata km watu wako wa karibu ni maasi kwa sababu mtume Alikuwa na watu wake jamaa zake walikataa kusilimu na mtume Nuhu mwanae na mtume lut mkewe kwa hivyo kulingania unatakiwa ulonganie
@user-rt1bz7lk4s10 ай бұрын
Nyinyi hamuna kazii kumwitaa huyoo mzee sheikh ety ndo anajiona sheikh ndio maana mawahabii wenzio wakakukataaa mnafiki
@ahmadzubeir91135 жыл бұрын
Huyu sheikh kama ni sheikh,mimi ninawasiwasi nae juu ya elimu yake
@khalfansharji-ez7pg Жыл бұрын
Kuwa mkweli BALAAKHIYANA WE Japo spichi Moja wa ibadhi wakisema Ababaqar r a ni mtu wa motoni ama kweli mawahabi ni majahil mia fil mia
@user-rt1bz7lk4s10 ай бұрын
Muongooo mnafik wewe mzee huna usheikh wewe ni mnafiki
@mohammedhafidh60165 жыл бұрын
huyu sheikh akili zake mbili
@hamoudel-mughery93965 жыл бұрын
Na sio mawahabi wote ambao hawasali nyuma ya Ibdhi(ahlul faradh) ni baadhi Tu ambao wana lengo la kisiasa na KSA pia ni kivuli cha mayahudi wanaotakia Shari katika dunia na akhera...Allah wetu ni mmoja na dini moja na qurani na hadithi ndio mwongozo mmoja...hizo ikhtilafu tukumbuke zimetoka wapi...ni kama hivyo munavyashajihisha nyinyi mawahabi wa KSA...kutafuta Imani na amani ndio kitu muhim Sana Leo hii tunapasa kuishi hata na asiemuislam jee kumtukana Shia au ibadhi huoni no njia ya kumuweka mbali na itikati yako ....onyesha dalili zako nzuri ili afuate...na masuala ya ikhtilafu hayo hayana nafasi katika kutengana hata kama kuna sheikh wa ibadhi kamuingiza Othman r.a basi na yy atajibu hoja hio mbele ya hukmu...inafaa kumtajia mtu mema yake Tu na sio mabaya...hata mtume. S.A.W alikuwa anakosea kama binadamu...! Allah aalam
@Mofaiz_115 жыл бұрын
Huyu baraiyaan mwenyewe alifumwa in muheza na wagangaa alivyokua aumwa
@rajabumzuwanda75055 жыл бұрын
Tusipakane mafuta ukweli ni kwamba madhehebu yote kila moja haifai kuswali nyuma mwenzie mfno hao shafii na wahabi kila moja aqida tofaut kuhusu Allah yupo wapi wahabi wanasema yupo juu shafii wanasema yupo kila sehemu hiyo vp pia shafii wanakubali tawasuli wahabi wanasema shirki sasa vp mnaswalishana sikwambii utofaut uliyopo kwa qaadiriya muridi yabligh ibadhi shia
@saeedmohammed10675 жыл бұрын
Hakuna dhehebu la wahabi sheikh.
@parasuminazi44035 жыл бұрын
Elimu yako kidogo inawalakin juu ya maibadh .achana nakitabu tutakupa shida kukipata tupatie clip moja tuu hatakamakunashekh wakiibadh aliekosea nakutamka hilo LA sayyidnaa Othman kua ni MTU wa motoni basi ss tutakua wafuasi wako
@Sekenke1235 жыл бұрын
Wewe Muongo, Hakuna ibadhi anayesema kwamba sahaba Othman رضي الله عنه ataingia motoni. Muongo wewe, Hakuna ibadhi inasema hayo, kama bado unabisha leta ushahidi wako, najua huna ushahidi na hautopata ushahidi, acha kudanganya watu, wewe sio Sheikhe, nasikia maibadhi walikunyima msaada ndio maana ukaanza kuwakufurisha tokea siku hiyo..
@salmahilaly97085 жыл бұрын
Huyu si shekh na wala hatahiki kuwa shekh ni mpotoshaji kwa wasiouelewa uislam Allah atahukum kwa yeyote aneupotosha uislam km huyu
@aminahassan46422 жыл бұрын
Tatizo la waislam hawana umoja wangekaa pamoja wakasoma vitabu wangetatua tatizo kila mtu ana kibri anajiona yeye yuko sawa lakini mtakwenda ulizwa na Allah nyie mashekh mnaopotosha watu huko hakuna hoja.
@ahmedoman77516 жыл бұрын
Sio kweli wapi maibadhi wamesema sayyidna (othman radhia allahu anhu) niwamotoni wapi tupe jibu au ume sikia. Tu watu wana sema
@goantanamoo91176 жыл бұрын
kwenye vitabu vyenu maibadhi ndo mulivoaandika , kasome uache ujinga ww
@goantanamoo91176 жыл бұрын
tena c othman peke yke ni maswahab wengi munawakufurisha
@mohdseif43945 жыл бұрын
Goanta Namoo nadhan una akili finyu mgonjwa wewe
@el_chilubi74585 жыл бұрын
Goanta Namoo wapi imeandikwa? Au weka nukuu basi
@MohammedMohammed-tr7bb5 жыл бұрын
@@goantanamoo9117 wewe unasema kuwa sisi maibadhi tunasema kuwa saydina uthman ni wa motoni je unaoushahidi au unaropokwa tu? Tafadhali toa ushahidi kwa unayoyasema kuwa sisi maibadhi tuna wakufurisha masahaba ?
@bakarabajana34335 жыл бұрын
Mbona sheikh unachanganya mada ni maibadhi au mashia ndio wanaosema saydna umary motoni nibadhi wako sawa2 acha kupotosha umma
@ibnabou18865 жыл бұрын
Maibadh kataen tu kua hamtukan maswahaba lakn nyie itikad zenu n sawa na mashia kwan #mashia wana itikad za kusema uwongo ili tuwaamin #ibadh pia itikad hii mnayo, msijali tunawajua vzr wala msijali endeleen kujitetea mitandaon lakn kwenye vitab twavisoma.
@Sekenke1235 жыл бұрын
Nakushitaki kwa Allah, Ameen. Yeye ndio tunayemtegemea sisi Waislamu.
@user-ue8zi5xs9y2 ай бұрын
Hawa wanakula mchana ni wa bidaa wa mwanzo
@makamemufadhil6275 жыл бұрын
Mimi ilikua sijui kumbe ibadhi ndio ajenda yao hiio daah Astaghafirullah
@shimuld67215 жыл бұрын
Wewe sheikh naomba ukasome wewe ni mzandiq na elimu yako jaahil ibadhi hawapo hivyo unavyo eleza wewe fanya ukasome tena halafu ndio uzungumze
@johahilali72434 жыл бұрын
Ibadhi gani alosema sayyidina Othman mtu wa motoni
@abdulhalim5950 Жыл бұрын
soma vitabu vya kiibadhi
@mohdseif43944 жыл бұрын
Chanel ya fitna allah aiangushe
@user-kc4fv6cf8l10 ай бұрын
Jamani barahani ni jahil kubwa
@MohamedAhmed-yi1yf5 жыл бұрын
Watu bida kama ma ibadhi hawamwona allah
@abdulazizal-mazroui33635 жыл бұрын
mtihani kwa kweli
@pembaspices377 Жыл бұрын
Salafi wao wapinga wazi jihadi wanaunga mkono tawala dhaalim
@thulaniduku32182 жыл бұрын
Shukan sana Sheikh wetu Nimuhimu sana kuwambia ukweli hawo watu wa bidah uzushi maibadhi