Msikie Mzee Bakari Juma aliyeshiriki Mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964 asimulia mambo yalivyokuwa na kipi kilipelekea mapinduzi hayo matukufu ya Zanzibar.
Пікірлер: 19
@AbdulNassir-jk1jf2 ай бұрын
Bakora ya mungu iyoo ilokupata
@moxasaidi33986 ай бұрын
Karume mwenyewe anasema hajui chochote kuhusu mapinduzi 😂mzee vichekesho si angelikaa kimya tuu au angewambia wana mapinduzi wenzake wamtie meno kwanza 😊
@seifbattawy94556 ай бұрын
Mzee kicheko nimekipenda 😂😂😂
@alimohammedomar3412 Жыл бұрын
Muongo mkubwa we mzee, tunajua mapinduzi yalifanywa na mamluki kutoka tanganyika waliosafirishwa kwa majahazi wakitokea tanga na bagamoyo.
@othmanmohamed1975 Жыл бұрын
kazi nzr sana
@mubinsumra62575 ай бұрын
Huyu mzee Jana tu nimepishana nae anaendesha v8 tena namsalimia akanikaushia
@jarsjam8894 Жыл бұрын
Moto unakungojeeni
@husseinkarim6745 Жыл бұрын
Mzee ameua watu wangapi? Watu wasio na hatia walionewa hasa wasio waswahili.
@nassorally-xi6zh8 ай бұрын
Lione hata aibu hana allhal akbaru
@pandungozi10727 ай бұрын
wazee kama hawa musiwahoji kitu wala musiwatie kwenye mambo ya siasa hawajijui wala hawajitambui. wapeni zawadi za misala.tasbihi na misahafu watubie na kurudi kwa mola wa mbingu na ardhi. wahojiwe watu wenye akili zao timamu sio wazee kama hao wasiojielewa wala hawajijui wanasema nini. maneno ya kutunga yasioingia akilini yasio kichwa wala miguu hayo yote aloongea maskini🙈🙏
@ahmedabry293 Жыл бұрын
Kila mmoja na malipo yake kutokana na amali yake.. We chekaaa lakini kama umeua basi utaenda kulia
@ahmedissa78827 ай бұрын
Kwa hivyo mzee wangu umewauwa wangapi?
@SuleimanChief2 ай бұрын
Kila cku mapinduzi nani hajui kama hili lilitokea
@eddynaeem6708Ай бұрын
subiri mzee wezako bado wanakusubiri yako malipo mumeekewa huko