Watu wataka maandishi iwe kama ushahidi hata ikatokea siku mke amepata mume wakumua na akisema ameachwa atatibitisha vp bila kua na hio barua yakuachwa? Na je kama atakua anaolewa kisha yule mume wake wakitambo aje kuvunja harusi nakusema yy hajakuacha bado sababu huna ushahidi lau hata ungekua na hayo maandishi hata ikatokea kakuruka waeza sema amekuacha na ushahidi unao ambao ndio hio karatasi na sign yake pia iko hapo hapo kwa ivo hakuna litakaloshindikana tatizo liko pale akikuruka nakusema hajakuacha akijua hutaeza jitetea coz hauna utibitisho wakuonesha wazi kakuwacha
@salimfei84114 жыл бұрын
Ulipo kua wtk kuoa ki siri lzm kue n shahid wawili ndio uoe n ukitk kuacha ukiandk pale hakuna shahid Nafisa Bali umeandika tu kwahiyo mpk nini kauli mdomo ndo watengz n waharibu umemuelewa sheikh...
@issarashid17624 жыл бұрын
Allah akudhididhie
@zarinazayana62973 жыл бұрын
SHEKH mume Ameniata takriban mwaka mzima nikipijia simu hapatikani Yani hako Kenya Haniangali Kwa lolote Wala mawasiliano Nifanyeje,Na mimi nnahisia yakuolewa na mwanaume mwengine
@ilhamsaid8839 Жыл бұрын
Shekh mm mume wang alinipa karatasi lkn haikuwa ya talak lkn kimatamshi alisema km nimekuwasha moja je imesihi km ni talaka
@halimaalnadhir28493 жыл бұрын
Mm napewa talaka kwa simu tuu
@halimaalnadhir28493 жыл бұрын
Jee yapita
@halimaalnadhir28493 жыл бұрын
Antuma tuu barua lkn hakutemka na mdomo wake
@fatwimatzahrau23273 жыл бұрын
Jee mtu ambae nibubu haezi kusema hapo vp
@sakinaahmed19705 жыл бұрын
Aa nimeachwa kwa kartasi na amenipa yy mwenywe bila kutamka kitu? Je imepita?
@salimfei84114 жыл бұрын
Skz tena
@khaldamahmoud13293 жыл бұрын
Sheikh nimeolewa na mwanaume mwenye mdomo mchafu na muongo na amefikia kusema mm sio mwenzake,na juu ya hivyo hata akininunulia kitu ananisimanga nacho,sisi tuko wake wawili haungami haki katika kugawanya siku Hadi siku atakapo kuwa na haja na mm alafu hataki kuungama haki juu ya ule mwingine kwao kuna pesa na maingine mwengine mengi nimefikia mahali sasa nimechoka siezi tena kuvumilia na nikimweleza anitolea maneno ya ufionzi na hunena ajuwa kuowa hajui kuacha mm siezi tena na Sina mahari ya kumrudishi kwasababu hakunipa chochote alikuwa anitengezee fanicha na zikatengezwa ila anayo zisemea anasahau hizo zangu zilizo mfadhili miyaka yote kabla ya ww kutengeza hizi zake nimetoka siezi tena nimekwenda kwetu nifanye vipi
@nawwarsultwaan64043 жыл бұрын
Fuata taratibu za kiislamu zilizoekwa na misingi yauislamu
@malkiamasumbo7951 Жыл бұрын
Mtembelee kadhi dadangu,akikisha talaka utaipata na misingi ya dini usikorogwe na marafiki
@nashonimchopa9494 жыл бұрын
Namna gan watu wa mbali twaweza kukuuliza maswali
@IzudinAlwyDin4 жыл бұрын
uliza kwa no hii +254772611120
@salimfei84114 жыл бұрын
@@IzudinAlwyDin A.a
@salimfei84114 жыл бұрын
@@IzudinAlwyDin mm nauliza nna hasira kwa mke wangu n Niko mbali lkn n hasira t ila sijampigia simu kumpa talaka n mdomo ila nimemuandikia tu je imepita
Shekhe Assalam alaykum nina swali Je yaswihi kumrudia mke kwa kumpigia cm
@IzudinAlwyDin Жыл бұрын
ndio ya swihi
@yunusmagimba4928 Жыл бұрын
@@IzudinAlwyDin Shukran Sana mana kunamtihani sana
@kautharramadhan-ej2iy Жыл бұрын
@@IzudinAlwyDin sheikh assalam aleikum nina swali naomba kukuuliza ikiwa mume atatoka ndani na kuwafata watu ukumbini kuwaambia kua nimemuacha s mke wangu bila kumtamkia mkewe je talaka imeswihi?au mpaka amtamkie mkewemwenyewe