Shukrani xana Shekh umejibi vizuri kabisa ALLAH akulipe kheri na akuongezee elimu zaidi tuzidi kufaidika Amiin.
@user-cy4xf1eu3qАй бұрын
Utofauti wa Yesu alikemea majini na shetani
@abdallahjuma2608Ай бұрын
Sheikh shafi ❤
@HappyKiteboarder-du9thАй бұрын
On fire shafi
@mangeraalbert7982Ай бұрын
Shafi kuja kenya kisii, haki ijulikane,
@suleimanmosooud9405Ай бұрын
Nabi Suleman Sheikh Sheikh Shari. Nakukubusha Tu. Ukosawa.
@halimakunary8802Ай бұрын
Unaongea vizuri na unafafanua vizuri
@DawaUnityGroupАй бұрын
Ni walawi 17:7
@ndukulusudikucho_Ай бұрын
Uchawi upo kila Taifa kila kabila sio dini, Kuna Uchawi wa Kinyamwezi, kinyakyusa, Kimalawi , Ki Botswana, kila kabila hapa duniani, Sema watu wakikosa hoja hushambulia dini za wengine kwa hoja za Kichawi, Wameru na hata uchagani kuna uchawi je wamefundishwa na Waislam? Hapana
@jamalishoo3802Ай бұрын
Hoja nzito kabisa hizo
@hamidudongo1879Ай бұрын
Tatizo huyo jamaa sio muandishi wa habari bali ni mshabiki wa dini. Tena bahati tu Ustaadhi hakutaka kumuwekea manani tu. .....
@NNCTVnewnurucinemaАй бұрын
kzbin.info/www/bejne/Zn7MYph5rZWgjKcsi=PAWKhl0F0yPjD2et Tazama na hii utajifunza mengi
@user-gb5hq7tv2uАй бұрын
🙏🙏💯
@UessoSalimo-cd3mwАй бұрын
Sheikh shafim mi Nina swali na nimkaazi wa msumbiji Nauliza hivi ktk zama za zamani kuna baazi ya wazee walikua na uwezo WA kuchuma nazi hata uwe mrefu VIP Kwa kutumia kuinamisha Swali namna hii walikuwa wanatumia mashetani Au majini au walikua wanatumia uwezo WA qur ani?
@MirajiMiraji-yu4ggАй бұрын
Shehe shafi .kama hujaumwa na Hawa majini mtu hubishia ww mzima. Hujaumwa na Hawa ..wengine ss wagonjwa miaka 40 tunaumwa mnatusaidiaje au ss sibinaadamu tuachwe ..wapo watu wanawatuma majini kututesa na hutupanda husema hawatoki jee huyu jini hajatumika au katumwa mm naamini Kuna binaadaam wengine wanatumia viumbe Hawa kututesa mm naumwa na jini miaka 40 sasa
@abubakarmuhammadsaid3244Ай бұрын
Nenda kazung7mze na imamu msikitini, utapata msaada. Au mfuate Sheikh mwenye elimu aliesoma dini, utapata msaada. Insha Allah