Jenerali Ulimwengu Anaifungua Shajara Yake Kwa Babbie Kabae

  Рет қаралды 14,017

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Күн бұрын

Mwanahabari mkongwe Jenerali Ulimwengu Akiifungua Shajara yake mbele ya Babbie Kabae katika mahojiano maalum #ShajaraCloudsTV

Пікірлер: 28
@hansdedes1903
@hansdedes1903 6 ай бұрын
Jenerali Shukrani Sana kwa kipindi chako unafumbua wa Tanzania macho kweli mzalando wakweli mwenyezi mungu akubaliki na usichoke niko pamoja na wewe Amani na upendo 🇹🇿🇹🇿!!**
@mwasakafyukasamson
@mwasakafyukasamson 6 ай бұрын
Jenerali , asante kwa kazi njema na uaminifu kwa Taifa lako
@user-ii9jl9vi5i
@user-ii9jl9vi5i 6 ай бұрын
Shajara hii inanikumbusha makala za Daily News enzi hizo zaidi ya miaka 50 iliyopita.. .... The way I see it, .. With A Light Touch.... nk Nakumbuka waandishi wa enzi hizo - Adam Lusekelo, Philip Ochieng, na Jenerali Ulimwengu!. Walikuwa wanandika makala nzuri sana. Nakumbuka mada mojawapo iliyoandikwa ilikuwa " Be ye A Good Messiah" na ilitoka baada ya Ochieng kwenda Kenya.
@user-nt4ov8uv4n
@user-nt4ov8uv4n 6 ай бұрын
Culture image na Fred Macha!
@aloycemwambwiga2318
@aloycemwambwiga2318 6 ай бұрын
Elimu degree moja! Maarifa zaidi ya elimu yoyote. Asante Ulimwengu.
@barakafundo9208
@barakafundo9208 6 ай бұрын
Siku zote ni wakati mwema sana kumsikiliza Jenerali Ulimwengu.Asante sana Babie Kabae Kwa shajara
@eacoratz2331
@eacoratz2331 6 ай бұрын
Huyu Mhenga nilimkuta Tabora Boys' Secondary School, Tabora School, a.ka. Berlin, meals 1968,nikijiunga na shule hiyo ambayo awali ikianzishwa mwaka 1925 wasome wana wa Machifu. Mhenga Jenerali Twaha Ulimwengu alikuwa House Prefect wetu, na alina Lipumba [mwaka 1968 akiwa Form III] bweni la Mkwawa. Mhenga Ulimwengu alikuwa gwiji wa kuigiza plays za William Shakespeare, k.m. JULIUS CAESAR, MERCHANT OF VENICE, nk ndiyo ilikuws speciality yake, akiutema Ung'eng'e ile mbaya. Na ile Column ya THE WAY I SEE IT ililifanya Gazeti liuzike. Shughuli nyingine Ulimwengu alifanya Tabora School ilikuwa masuala ya burudani, yaani madansi na pia sinema za 007 Bond, James Bond. Wana TS tulishikwa na butwaa alipozuliwa la si raia!
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 6 ай бұрын
Duh kumbe muigizaji mzuri toka shuleni ...ndio maana bongo movie wamewahi kumtumia kwenye movie kama mbili hivi na alifanya vizuri sana ...he is a good actor
@tassyulimwengu4049
@tassyulimwengu4049 6 ай бұрын
Hii interview ilipaswa kuwa ndefu, Jenerali ametuacha kiu kubwa ya kujua zaidi....
@giztony2009
@giztony2009 6 ай бұрын
Brilliant!@ Ulimwengu
@jumamdoe3090
@jumamdoe3090 6 ай бұрын
Ahsante Sana General!
@boniphacetesha1152
@boniphacetesha1152 6 ай бұрын
Andaa part 2 mulize kuhusu nchi @baby kabaya
@dominickyaruzi9191
@dominickyaruzi9191 6 ай бұрын
Huyu ndiye Jenerali. Asante Clouds kuongea na huyu nguli
@user-zd5pc5nc9c
@user-zd5pc5nc9c 6 ай бұрын
Kweli kabisa dini hazina majina,,,,,! Hata ukristo ungeanzia tz bible ingebeba majina ya kichaga,kigogo na makabila mengine,,,,,,! So haya ni majina ya kizungu na kiarabu.
@childrengospelmissiontanza1474
@childrengospelmissiontanza1474 6 ай бұрын
Namheshimu sana huyu Mzee,nimekuwa nikimfatilia sana toka zamani nikiwa mtoto.
@uwezokinahi7870
@uwezokinahi7870 6 ай бұрын
Nimemfuatilia tangu nikiwa Primary
@user-ii9jl9vi5i
@user-ii9jl9vi5i 6 ай бұрын
Babies muulize Phillip Ochieng yupo wapi? .... "Be ye a Good Messiah"
@user-sl2dr6iy8n
@user-sl2dr6iy8n 4 ай бұрын
mzee ulimwengu wee muongo mohme swallahu aleyh waslam hakiazisha dini ya uisilam bali aliikutoa dini ya kiislam ni toka kwa adam aleyh salam afu unajiita mtoto wa sheikh daah mtihani kweli huyu mzee
@eliasnganira7661
@eliasnganira7661 6 ай бұрын
Kumbe Ndivyo ilivyo kwa Ulimwengu!
@jumamkwanda8031
@jumamkwanda8031 6 ай бұрын
Binadamu anaongozwa na mambo mawili tu hapa Ulimweguni Nafsi na Akili na mara kwa mara nafsi inakuelekeza mambo ya Ovyoovyo lkn Akili ikiveshwa joho la Elimu nafsi haina Nafasi
@ndalahwakulwa4517
@ndalahwakulwa4517 6 ай бұрын
Je unakumbuka tarehe uliyosafiri kwenda Algeria?
@begukulemosobe9685
@begukulemosobe9685 6 ай бұрын
Huyu mzee ni hazina ya tz
@ephraimndelwa4073
@ephraimndelwa4073 6 ай бұрын
Kumbe Bebie Kabae bado yupo Clouds?
@Jefa_Adili
@Jefa_Adili 6 ай бұрын
@39:25 Pan Africanist = Mmajumui wa Uafrika
@user-vz4xv7lg3x
@user-vz4xv7lg3x 6 ай бұрын
Generali ww utabaki kua Generali tu siku zote
@Kim19onlinetv
@Kim19onlinetv 6 ай бұрын
Mzee umri wako uko mbali sana kwahiyo chagua kua upande. Mbona kwenye itikadi zako za kisiasa uko bayana?
@user-sl2dr6iy8n
@user-sl2dr6iy8n 4 ай бұрын
sio kosa lake huwenda mke aliemuoa
Sheria Ngowi Aifungua Shajara Yake Kwa Babie Kabae
55:41
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 8 М.
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4 МЛН
Женская драка в Кызылорде
00:53
AIRAN
Рет қаралды 448 М.
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 6 МЛН
JENERALI ULIMWENGU ANENA HAYA MBELE YA VIONGOZI WA DINI KUHUSU HAKI ZA BINADAMU
51:46
KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Рет қаралды 18 М.
UTAPENDA MAISHA HALISI YA MSANII JUMA NATURE NYUMBANI KWAKE
12:36
SHAJARA || Uwekezaji katika soko la Hisa
19:29
Azam TV
Рет қаралды 2,2 М.