Рет қаралды 9,793
Katika mazungumzo haya Jenerali Ulimwengu na mwandishi wa habari Sammy Awami wamechambua mwelekeo wa hali ya siasa kwa mwaka 2024, na kujadili kwa kina joto la kisiasa lilivyopanda mapema mwanzo wa mwaka baada ya chama cha upinzani CHADEMA kutangaza maandamano kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi.
Sambamba na hilo, Ulimwengu ametoa somo kwa vyama vya upinzani na wanamageuzi wengine nchini juu ya mambo ya kuzingatia katika mapambano yao kama kweli wanataka kuleta mageuzi yatakayolenga kujenga taifa linalozingatia siasa safi na utawala unaojali haki, utu na uhuru wa raia.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.