Рет қаралды 385
Furaha ya ndoa imeingia dosari huko Uyui Tabora baada ya Jeshi la Polisi kusambaratisha ndoa ya binti wa miaka 15 iliyokuwa ikifungwa katika kijiji cha Mayombo Kata ya Magiri.
Mpaka sasa, Jeshi la Polisi linawashilia wanandoa hao pamoja na baadhi ya walioshiriki kwenye hafla hiyo huku Sheikh aliyefungisha ndoa hiyo akitimua mbio kukwepa mkono wa sheria.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi