Kweli mwana wa mwenzio kumfanyia hivyo. Ungemtafuta kama mwanao umuonye. Mwanaume muhuni hawezi acha tabia yake ya kutaka vibinti vidogo. Maana wewe ushakua mtu mzima
@cathe-wr7gb18 күн бұрын
Kwa kweli na mabinti wadogo wanabeba mizigo mikubwa kuliko uwezo wao watafika wamechoka
@chandeyusufu957016 күн бұрын
Mtu mzima ovyooo
@beinafuu621918 күн бұрын
Kumbe hata polis wanagomea mahakama a.mbona wanasemaga kueshim sheria au wao hawamo.
@SmilingCityMap-xb9md18 күн бұрын
Wasiojulikana mko wapi huyu afande amefanya kitu mbaya sana hebu mwangalieni angalieni je?inafaa apelekwe katavi au