⚡Swali la Leo⚡ Kipi kinachokusumbua kusave pesa? Niandikie kwenye comment chini
@shangwekamando25994 жыл бұрын
@neno Elimu tv jifanye Kama huyaoni
@ramadhanrashidali70563 жыл бұрын
Sawa Sawa Kuna baadhi ya majukumu yapotezee kaa nayo Mbali sana usiyabebe moyoni Ivo unaweza kufny yako
@marthakulanda20292 жыл бұрын
Mshara wangu niraki Moja rakini uwana pewa Hera na wateja kama Asante Kwa uduma nzuri
@oswardmwalukasa69482 жыл бұрын
Kiswahili Kizuri cha kusave ni kuweka akiba badala ya kuhifadhi pesa. Asante kwa somo zuri
@GOnlinepositivity2 жыл бұрын
Asante
@t.altamtamia58064 жыл бұрын
Asante sana kaka kwa ushauri wako mzuri
@mbutolwemwakambonja91322 ай бұрын
Ni vigumu kutunza bidhaa nyingi bei iko juu
@shangwekamando25994 жыл бұрын
Mimi inanisaidia sana na nathamini pesa ndogo inanifanya nifike Mbali huwa nasevu 5000 mpaka 10000 Kwa mwaka Nikija kuangalia Daa Naweza Hata kumsomesha Mwanangu shule za academic
@alimatambwe34029 ай бұрын
Mimi kinanishinda ku save money ni,I work and I work hurt but I have 6children and I’m a widow Mother,najikuta ninacho kitumikia ni kulipa bills na stock ndani ya watoto kula mwezi mzima,watoto mavazi,najikuta pesa yote natumikia inaishia hivyo kila mwezi,Nina wasichana 5na mwanaume umoja,mwanaume hanipi shida hawa wanawake sasa,mara mama I need my hair done sijuwi nguo,sijuwi mafuta najikuta natumikia wenyewe.naona nikisema sina ndiyo pale analeta mawazo mabaya,I want to look for boyfriend.naomba ushauri pls🙏
@ElimikaTz4 жыл бұрын
Big up sana.. well said💪🏽 tunapaswa kujifunza matumizi mazuri ya mapato yetu na kuweka hakiba.
@veronicamussa73064 жыл бұрын
Kinacho nisumbua nimatumizi ya hela bila mahesabu mwisho wa siku nilicho fanya cha maana hamna
@Resam012 жыл бұрын
Ni video nzur😊🤝
@aminaibrahim36563 жыл бұрын
Nice motivation
@GOnlinepositivity3 жыл бұрын
Thanks
@ibramligo78132 жыл бұрын
Kaka mm beting inanisumbua sana najalibu kuacha nashinda unanixhaulu nifanyaje
@peterthomas7674 Жыл бұрын
Kuwa na nidhamu ya pesa
@regnaldgadi99244 жыл бұрын
Ninasevu sana ila bado sijapata wazo zuri za kuzitumia ili ziniongezee kipato
@ChristineRobert-i6k4 ай бұрын
Mimi na save ila nikipatwa na kitu najipata nimetumia hadi mtaji😢natamani ni save bila kungusa
@dedeElly-ml8wm5 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@fatamaalhabsi34644 жыл бұрын
Mshahara wangu milioni moja habaki
@williammpiluka9952 Жыл бұрын
Umesemau kweli wanabadli chakazi wanawezaku wekaaslimya yakpato chake 20
@lucysimon431 Жыл бұрын
Mh nataman kwel Ila ikifika lak3 natumia yoteee
@marysiyame42752 жыл бұрын
kinachonishida nashidwa kutunza pesa namshahara wakawaida ila matumizi mengi
@GOnlinepositivity2 жыл бұрын
Pole nitakusaidia ili kwenye video inayofuata
@mariamuhady62572 жыл бұрын
Mie kwa mwezi napata laki saba je na nina familia ya watu 7 je nifanyeje
@mfswcb58374 жыл бұрын
nmekuelew
@omarykandolo72933 жыл бұрын
Kaka nimekuelewa kaka
@bahatikengese7442 жыл бұрын
Bro me ni fundi ujenzi sawa na huwa na jitaidi sana kutunza hela lakini kitu cha nikitunza hela kazi zinakosekana na Yan Hadi hela iishee ndio na weza kupata kazi nikishikaa hela nikitunza kzi sipaji inaniuma sana
@mudymuzungu3388 Жыл бұрын
Ushauri wanguh pesa ndan haikai na kitu kikubwa zaid nakushauri jaribu kununua asset ambapo itakufanya uweze kuigeuza kuwa pesa ambapo utahitaji
@Mpakauseme11 ай бұрын
kwasababu haujajua nini maana ya kitu ulichonacho, na hiyo ndio shida kubwa kwa watu wengi ulimwenguni kutokujua walichonacho kama ujuzi fulani , au uimbaji , uchezaji mpira , uigizaji na ata kazi ya ujuzi wako , pole sana ndugu. Ujuzi ni sehemu ya mwanya wakwenda utakapo kuwa tajiri au kuwa mtu wa kawaida ilo ni chaguo lako , sasa unaujuzi na hauna ela katika nchi ya asili yako mwenyewe tena yenye ardhi nzuri na fulsa za kila aina aisee pole sana , nianani aliyekuwambia ela ya mtaji unatunza amgali u bado katika utafutaji ebu litafakari ili arafu chukua hatua kabla mda haujakutupa mkono 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mrbaraka43263 жыл бұрын
Kaka ninaingiza 25000_30000 kwa siku katika biashara yangu ,niweke akiba kiasi gani hapo?
@GOnlinepositivity3 жыл бұрын
Kaka kusave kidogo kidogo nakushauri anza kuweka akiba asilimia 30 ya hiyo 30000/= ambayo ni shillingi 12000/=
@danielmlwafu43802 жыл бұрын
Asilimia 30 ya 30000 ,ni 12000?
@wilisonwilliam64843 жыл бұрын
Starehe za ujana
@simpozeboy94903 жыл бұрын
Kaka habar mimi nalipwa lak na nusu per month, naish dar, nashndwa kabsa kusev akiba ata 10% nashndwa maana kipato
@GOnlinepositivity3 жыл бұрын
Linapokuja suala la kuweka akiba si lazima 10% niliyoisema ila unaweza anza kidogo hata 5% au save hata 1% ya mshahara wako.
@khamismussa17193 жыл бұрын
Uvutji WA sigara
@GOnlinepositivity3 жыл бұрын
Acha unaharibu afya yako.
@bekahassan13134 жыл бұрын
Mi fund Umeme huwa nashindwa kutumia kanuni ya 30,20,50 daaah
@GOnlinepositivity4 жыл бұрын
Si kila mtu anaweza kutumia kanuni mbalimbali zinazotumiwa na watu wengine. Labda unashindwa kutumia kanuni ya 30/20/50 kwasababu ya kipato chako pia na nidhamu yako ya pesa katik hilo. Jaribu kubadilisha mfumo ya kusave pesa zako, mifumo ipo mingi sana na angalia ipi inakufaa .Fanya experiment kwa mwezi mmoja na angalia ipi ni nzuri zaidi kwako.Unaweza