Uwa nafatiliya sana mafuzo yako naitanji siku monja niwe kama wewe mungu akupe maisha marefu.
@elishakabone85352 жыл бұрын
unatusaidia sana Bro
@BukelebeTv8 ай бұрын
Ubarikiwe kaka Joel
@sapiamosi3285 Жыл бұрын
Huyu n Genius
@sylivanus8674 Жыл бұрын
Asante nimeelewa
@marcopeter4091 Жыл бұрын
Shukran Mwalimu
@sidaryotv88212 жыл бұрын
Mungu akubariki sanaa kaka Joel kwa motivation zako 👏👏👏👏🤛
@kuruthumukondo71497 ай бұрын
Shukrani kaka nimejifunza kitu kipya ❤❤
@rahmamohammed3116 Жыл бұрын
Mungu akubariki kaka joel ila mimi naomba unishauri jinsi ya kuikuza biashara ya mtandao
@mudygay29292 жыл бұрын
Ni kwel kaka
@ashaidd29122 жыл бұрын
Mungu akuweke milele una mambo mazuri na mengi
@frankmafole27132 жыл бұрын
nahitaji mtaji nina wateja wengi sana
@joshuamollel6993 Жыл бұрын
Asante sana nimejifunza sijutii kuskiliza habari zako za mafundisho @joel
@raphaelamensimon28882 жыл бұрын
Asante kaka kwasomo.zuri
@juliusjohnii78232 жыл бұрын
Shukran brother
@saidhaji45372 жыл бұрын
BIG Big up brother Nakukubali sana
@givenjackson54492 жыл бұрын
Dream comes true kwangu Leo jaman 😭😭😭😭😭 nimefanikiwa kushake hands na mtumishi wa Mungu na nmemuona live 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@joelnanauka2 жыл бұрын
Nimefurahi sana kukuona pia, hongera kwa initiatives unazofanya kwa mabinti na wenye matatizo ya akili, keep it up
@rajabumnyimwa1649 Жыл бұрын
Sea s
@user-ww6xe9ez1d10 ай бұрын
Me Nataka biashara Nikuze Je Unaweza kunisadia Kuza Bixharayangu Kujiunga Mukono
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
💙Yeah 🔥👌🏽
@misalabambudeba31202 жыл бұрын
Ahsante sana brother joel kwa somo zurr hakika umeniongezea matilio kichwan godblees you
@rweumbiza255ommy72 жыл бұрын
Habr ya asubuhi.... somo zuri sana kaka.kwa mimi ningependa unishauli sana sana kwenye swala la perteners....
@mbukejames32313 ай бұрын
BIASHARA ya korosho zilizobanguliwa
@daudkanyelele4862 Жыл бұрын
Nauliza nakipi kwa sasa unaweza wekeza Ili unufaike na tanzania ya mwaka 2032
@awadhzmussa52652 жыл бұрын
Ubarkiwe sana mentor sema tunaomba ujitaid kuboresha kidogo kwenye upande wa sauti
@ismail_4_future. Жыл бұрын
Mafunzo Yako makubwa Cana Joel..... thanks
@omarhamad94892 жыл бұрын
Joel nanauka mungu akubariki sana
@piellee19152 жыл бұрын
Tunasubili Kaka Joel ifunguke tu
@evancepillar37532 жыл бұрын
Daah Big up kakaaaa Why not Tanga.. kwanini huji tanga kaka napenda sana mafunzo yako na kila siku nachek nini umepost... maisha yangu kwa kiasi kikubwa yamebadilika kupitia wewe....Tembelea Tanga Mtumishi naamini pia wapo wengi watazidi kubadili maisha yao kupitia wewe.. Barikiwa Mtumishi
@raphaelamensimon28882 жыл бұрын
Mungu akubariki
@imlankumchaya6612 жыл бұрын
🙏
@eyoboboytzeyobo11877 ай бұрын
Kaka j.nanauka nakubalii sanaa
@eliudbeyanga8575 Жыл бұрын
Mimi kaka sijajenga human resource sawa sawa.
@selemanihussein78732 жыл бұрын
Thank you
@fatumaabdallah48518 ай бұрын
Asantee kwa somo nimelielewa vzr sana.barikiwa sana kaka.ila mimi kaka nina kijiduka kdg cha nguo za akina mama ila kutokana na udogo wa mataji kuna vitu wanaviulizia wateja nashindwa kuviweka kwa ajili ya udogo wa mtaji basi ninapoona nimekosa mteja naumia sana.nisaisidie hapo nifanyeje .
@willyqtz68352 жыл бұрын
mimi nataman niweke system nzur ya kugaw ofa ambayo haita nitia loss
@ismail_4_future. Жыл бұрын
MUNGU akubariki 🙏🙏🙏💯
@hatari95912 жыл бұрын
Napenda sana unavyoenda kwenye point miji kwa moja. Natamani kupata vitabu vyako..... Kwa mtiririko. Kuanza chini kwenda juu napataje?
@joelnanauka2 жыл бұрын
Tuwasiliane 0762 31 21 71 karibu sana
@hatari95912 жыл бұрын
@@joelnanauka asante sana nitakutafuta i'm very serious.
@mahirfauz1993 Жыл бұрын
🧠
@NikomezeMpapla22 күн бұрын
Tuungeni kwenye masomo kama hayo pls
@philemonmasalu-qy4wz Жыл бұрын
Fantastic training
@peteretlawe62698 ай бұрын
Nimekutafuta muda mrefu lkn. Upatikaji wako umekuwa chida mtu wa baba nitafute
@leonardkasanga4435 Жыл бұрын
Mimi napenda nifanye biashara ya usafilishaji wa watu
@JacklineMusau-me4vp5 ай бұрын
Nivyema kukopesha katika biashara ya duka?
@maikosimon-xy2bt9 ай бұрын
Kaka naomba namba zako
@pilichuli44492 жыл бұрын
Mungu akubariki kaka
@joelnanauka2 жыл бұрын
Ameen
@peteretlawe62698 ай бұрын
Sasa kupatikana kwako ni kwa chida Sana mbona?
@director_ggxstudio329710 ай бұрын
Nafanya kazi ya picha na video shooting nifanyaje kuiukuza kazi yangu