Jinsi ya kupika cake laini ya kuchambuka na mambo muhimu ya kuzingatia

  Рет қаралды 608,796

Shuna's Kitchen

Shuna's Kitchen

Күн бұрын

ingredients
500g butter
500g granulated sugar (if you prefer you can reduce sugar by 10%)
500g plain flour
8 medium-large eggs / 10 small
2 tbsp baking powder
food essence ( vanilla & rose)
1 tbsp cocoa powder
__________________________shuna's kitchen
mahitaji
siagi nusu kilo
sukari nusu kilo (unaweza kupunguza sukari kwa asilimia 10 ukipenda)
unga wa ngano nusu kg
Mayai makubwa au kiasi 8 / Kama madogo 10-12
vjk 2 vya baking powder
arki ya rose na vanilla
kjk 1 cha unga wa cocoa
____________________Shuna's kitchen
______
✔For more updates please join my social media family ❤
▫instagram: @jifunze_mapishi 👉 / jifunze_mapishi
▫Facebook jifunze mapishi 👉 / shunaskitchen
__________________________________________
✔For business enquiry only : shunaskitchen@gmail.com
_____________________________________
✔More videos to watch;
🔴✅Jinsi ya kuchoma kuku bila kutumia oven wala mkaa / How to roast chicken without oven or charcoal grill 👉 • Jinsi ya kuchoma kuku ...
🔴✅jinsi ya kupika pudding ya mchele / Rice pudding 👉 • Mapishi ya pudding ya ...
🔴✅ Jinsi ya kupika mkate wa mchele kwa kutumia unga wa mchele / Rice flour bread 👉 • Jinsi ya kupika mkate ...
🔴✅ jinsi ya kutengeneza Icing sugar mwenyewe nyumbani / How to make icing sugar at home 👉 • Jinsi ya kutengeneza I...

Пікірлер: 469
@hazinawinner8472
@hazinawinner8472 4 жыл бұрын
Mekupenda bureeeeeee. Nimeangalia mara moja na nimeweza na tammu mnooo
@efrahcharles3040
@efrahcharles3040 Күн бұрын
Ulitumia trey nch ngapi sorry
@Sabah-eg7hm
@Sabah-eg7hm 4 жыл бұрын
Sichoki kuiangalia hi video kila nikitaka kupika cake coz nikifata hii napika kake inatoka uzuri mashaallah
@tatumachumu7840
@tatumachumu7840 5 жыл бұрын
Aunt nakupenda SBB video zako unapenda kutumia kiswahili unatupa faida tusiojua kiingereza.ww ni mwalimu asante sana.
@susanmahalu740
@susanmahalu740 5 жыл бұрын
Nimefuata maelekezo yako kwa mara ya kwanza nimeweza kupika cake nzuri. Asante sana. May Allah continue to bless and protect you 🙏🏼🙏🏼
@zenaniah
@zenaniah 5 жыл бұрын
Yaani ndo napika cake... niombeeni dua itoke km ya Shuna's kitchen👌🙌
@zenasambe3626
@zenasambe3626 2 жыл бұрын
Since I watched this video like 2 years back,,it has remained to be my favourite recipe Maa shaa Allah,,,whenever I need to do an Orange cake I also use Shunas recipe😋she's just the best Maa shaa Allah
@Mapishirahisi
@Mapishirahisi 5 жыл бұрын
Masha Allah cake yaonyesha tamu sana😍😍😋
@ShunasKitchen
@ShunasKitchen 5 жыл бұрын
sana tena, asante mpenzi kwa kuangalia
@mahranrashma1745
@mahranrashma1745 5 жыл бұрын
When queen see a queen, i love u both😘
@rayahumoud909
@rayahumoud909 5 жыл бұрын
Shukran habibty kw upishi W keki yum yum
@sallygissa9854
@sallygissa9854 5 жыл бұрын
Daaah nashukuru mpendwa nimeweza kupika keki jamaniiii kweli mapishi yako ni real na kila nikijaribu pishi lolote lazima litokeee haswaaa sio wengine tunapika vituko hakika wewe sio mchoyo barikiwa my dia siwez elezea furaha nliyonayo
@feruzcelestine9935
@feruzcelestine9935 4 жыл бұрын
Mungu azidi kumpa ujuzi na.kumtunza
@wajanjakatikamaishajaspajo4540
@wajanjakatikamaishajaspajo4540 4 жыл бұрын
Nzuri Sana ndugu nimeelewa
@mwajumamdaki5861
@mwajumamdaki5861 2 жыл бұрын
Maa shaa Allah mamy keki yko nzuri cn nmejaribu
@salmatalhiyn3225
@salmatalhiyn3225 5 жыл бұрын
Maa Shaa Allah...Shukran Habibty Hakika Ww M/Mungu Amekujaalia Kipaji Cha Kufundisha,Maana Unaelezea Vizuri Kila Mtu Anakuelewa Mwenyezi Mungu Akuhifadhi Habibty Wetu Uzidi Kutupatia Vitu Vizuri....Aaamin Nakupenda Kwa Ajili Ya Allah....Asante Saana 😘
@ShunasKitchen
@ShunasKitchen 5 жыл бұрын
Ameen yarabbi. Asante sana habibty nafurahi kuskia hivyo 😘
@mariamsaid5655
@mariamsaid5655 5 жыл бұрын
Samahan mpendwa naomba unifahamishe hio arki ndo ikoje au ina jina jingine
@sabrahilali8696
@sabrahilali8696 5 жыл бұрын
Shukraan habibty shuna,sijui ndie shuna ninae mjua au mwengine,na kila pishi lako shuna kweli Masha ALLAAH.MWENYEZI MUNGU Akupe kheri daima.
@samirhamis9695
@samirhamis9695 5 жыл бұрын
Salma Solidad cj
@SabeehaAlawi
@SabeehaAlawi Жыл бұрын
Keki yako ni best nimepika sijakosea mashallah u are the best dear
@nafisamohammed9064
@nafisamohammed9064 5 жыл бұрын
Nimependa mapishi.Straight to the point and simple instructions..Mashaallah.
@deborankya2386
@deborankya2386 6 ай бұрын
Nmejaribu and its amazing thank you❤️
@NeemaSingo-zh4ie
@NeemaSingo-zh4ie 27 күн бұрын
Oohh ..kumbe kuna keki haziwekwi maziwa😮MashaAllah
@khawlathassan7545
@khawlathassan7545 2 жыл бұрын
Kiukweli nimefuata maelekezo yako na nimepata keki nzuri mashaallah
@thamsaid7736
@thamsaid7736 4 жыл бұрын
Mashallah sk zte nkipika keki znakua ngum ila nmejarib hii njia yako Alhamdulillah imetoka nzr sana na inachambuka mashallah
@riiabbas3393
@riiabbas3393 4 жыл бұрын
You are the best! Mashallah mm nimepunguza sukari kdg tu lkn keki imekua soft the best recipe ever!
@SalmaBamby
@SalmaBamby Жыл бұрын
It was nice, I tried. Thank you
@rhodamwaka3478
@rhodamwaka3478 Жыл бұрын
I tried this yesterday! OMG it was delicious and fluffy
@LatifahMujaya-sj9uw
@LatifahMujaya-sj9uw 9 ай бұрын
Aleykum salaam, ahsante sana imenisaidia sana nashukulu Jazak'Allah
@hamadmwanja2412
@hamadmwanja2412 2 жыл бұрын
Mashallwa nimejifunza ahsante
@marktesha762
@marktesha762 8 ай бұрын
Hellow shuna... Mi nisaidie preservative gani nitumie kwenye keki ili isiharibike mapema
@riiabbas3393
@riiabbas3393 Жыл бұрын
Mashallah Nimejaribu imetoka best 👌👌kwa sasa hii Ndo recipe yangu asante
@NadyaAlly-s3e
@NadyaAlly-s3e 13 күн бұрын
Shukran kwa kutumia recipe hii napika keki nzuri sanaa
@ShunasKitchen
@ShunasKitchen 7 сағат бұрын
Asante sana :)
@ilhammasoud2235
@ilhammasoud2235 5 жыл бұрын
Nimejaribu leo hii habibty imekuwa nzur, soft☺☺😘 asante sana
@gracendungu8526
@gracendungu8526 5 жыл бұрын
Nimefurahishwa jinsi unavio pika na kuelezea,Asante ssna
@madinamakolo3586
@madinamakolo3586 Ай бұрын
Asante kwa somo my dia
@nurumwakisisya8870
@nurumwakisisya8870 4 жыл бұрын
Nimejaribu kupika cake....uwiiiiii ni hatar...be blessed Shuna
@nusaibamohammed4930
@nusaibamohammed4930 4 жыл бұрын
I shall try inshaallah thanks so much
@mauayahaya5039
@mauayahaya5039 2 жыл бұрын
Ahsanteee nimeelewa Sana ntajaribu in shaa Allah
@YousraSalimMohamad
@YousraSalimMohamad 4 ай бұрын
Mashaallah Allah akulipe bibie unaelekeza mpaka mtu unsalted
@tabithaelisha3718
@tabithaelisha3718 4 ай бұрын
Asante uko vizuri ubarikiwe
@danielmnjokava4423
@danielmnjokava4423 10 ай бұрын
Dada barikiwa na munguuu nimetoa kitu kizuriiiii lainiiiii
@hawamohdhassan8748
@hawamohdhassan8748 3 жыл бұрын
Mashallah napenda mapish yako unaishi zanzibar au dar
@yakoubdhiab5817
@yakoubdhiab5817 5 жыл бұрын
Mashaallah shukran kwa somo habibty nauliza ni lazima kuweka uwo unga wa cocoa
@ShunasKitchen
@ShunasKitchen 5 жыл бұрын
Si lazima dear, unaweza kufanya nyeupe tupu. .. asante sana kwa kuangalia :)
@rahmasalum7107
@rahmasalum7107 5 жыл бұрын
Mashallah mwenyez mungu akubarikiye kwa mafunzo yako
@RitbayRitbay
@RitbayRitbay 6 ай бұрын
Mapishi yako mashallah napenda kuangalia
@deborahreuben7223
@deborahreuben7223 3 жыл бұрын
Asante sanaaa recipe zako nzuri Sana na zinatoa kitu amazing swali langu hiyo white sugar inapatikana wapi?
@hazinaamar3578
@hazinaamar3578 2 жыл бұрын
Asante sana swet nimeielewa sana naomba kipimo cha mandazi matam
@fatyiimaabas2759
@fatyiimaabas2759 4 жыл бұрын
Jaman huyu dada masha allah Yaan asante sana Nilikua na tatzo la kupika keki isiyochambuka Ila baada ya hii video Mepika keki tamu balaa inachambuka hadi raha
@ShunasKitchen
@ShunasKitchen 4 жыл бұрын
asante sana kwa feedback nzuri
@tumainimlanga6431
@tumainimlanga6431 4 жыл бұрын
Big up dear
@shuhailamohammedy1536
@shuhailamohammedy1536 3 жыл бұрын
@@ShunasKitchen kwa nn keki mm nikipika inachanika juu
@sitihassan9439
@sitihassan9439 4 жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah habbty tray Inch ngapi
@ammarzk7043
@ammarzk7043 5 жыл бұрын
MashaAllah dear cake nzuri na laini. Naweza kutumia siagi ya kupima
@ShunasKitchen
@ShunasKitchen 5 жыл бұрын
Yes yes
@MozaAHimid
@MozaAHimid 4 жыл бұрын
Mashaallah videos zako Shuna ni very easy to follow. Thank you. Nimefata step by step na keki imetokea vizuri kila nilivyojaribu. Ahsante sana, keep up the good work...Moza
@pamelakibona9280
@pamelakibona9280 5 жыл бұрын
Hongera sana na Mungu akubariki. Kwenye vipimo vya unga unasema nusu unaonyesha kipimo cha 500g na kusema unapima viwili. Sijui nimesikia sawa?
@yvonnemusinzi1147
@yvonnemusinzi1147 5 жыл бұрын
Unapima 500g alafu ukichanganya unaweka Mara mbili yaani 250g uchanganye alafu baadaye ongeza 250g. My understanding though
@kudrayunus792
@kudrayunus792 Жыл бұрын
❤❤ ahsantu ya ukhti mashaallah so sweet
@kudrayunus792
@kudrayunus792 Жыл бұрын
I have been trying for some time now and I have not been able to make it for a while
@gloryswai6469
@gloryswai6469 4 жыл бұрын
Mashallah!! Kama natumia mzani wa mezani natumia vipimo ivyo ivyo!?
@ashadaudynjokii3636
@ashadaudynjokii3636 2 жыл бұрын
Wow asant sana mungu akujalie
@najmanassor5991
@najmanassor5991 4 жыл бұрын
Mpenzi Asante kwa recipe ila nilikuwa nauliza km Sina sukari nyeupe je naweza kutumia sukari ya kawaida tu? Au cake haitotoka vzr
@doreenkiriama6128
@doreenkiriama6128 3 жыл бұрын
Hi love,nimejaribu nimeweza ila cake yangu ikipoa inakua harufu mayai matupu pia haiwi na ulaini kama cake tunazokula harusini plz nakosea wap mmy nijarib tena na leo sukari nimetumia brown yakawaida
@bettymvanga3273
@bettymvanga3273 Жыл бұрын
Asante sana dear
@mauwam3627
@mauwam3627 4 жыл бұрын
Anty shuns hiy ni yakilo au nusu na je me nikitaka kupika ya kilo spend sukar nying ntumie nusu na siag nusu na mayai 12 si ndiia
@selmezahor4696
@selmezahor4696 Жыл бұрын
Ma Sha Allah Shukrn 😍
@ElizaJoseph-rk8gp
@ElizaJoseph-rk8gp Ай бұрын
Dada samahn unatumia unga gani unga wa pipif au ?
@nafisamohammed9064
@nafisamohammed9064 4 жыл бұрын
Assalaam aleykum. Between salted and unsalted butter which is better for baking?
@ShunasKitchen
@ShunasKitchen 4 жыл бұрын
waalaykum Salam, personally, I prefer salted butter
@annamasale3893
@annamasale3893 5 жыл бұрын
Asante mamy umenifunza Kitu kizur
@mamahamida6807
@mamahamida6807 5 жыл бұрын
Assalaam aleikoim shuna kuanza nakupa hongera kwa kazi Nzuri ya kutuelimisha Allah atakulipa sasa swali langu ni je hii unayotumia ni butter au margarine?yaani ni vegetable au animal oil?
@marymaswei1746
@marymaswei1746 4 жыл бұрын
Ahsante,naomba kujua mbna mi natumia chombo chenye nafasi lakin keki haiumuki ?
@zahraamin2910
@zahraamin2910 5 жыл бұрын
Thank u dear,love u unaelewesha vzur mashaallah❤
@ShunasKitchen
@ShunasKitchen 5 жыл бұрын
Asante sana ❤
@delinstiven7892
@delinstiven7892 5 жыл бұрын
Zahra Ami
@winfridajaphet9209
@winfridajaphet9209 5 жыл бұрын
maa shaa raaah uko vzr.
@anisiaanisiaanthony8767
@anisiaanisiaanthony8767 5 жыл бұрын
Mashallah pia asante sana nimejaribu kupika ikatoka nzuri kweri Asante sana
@ShunasKitchen
@ShunasKitchen 5 жыл бұрын
Asante sana dear kwa kutupatia feedback
@edithnjuru1966
@edithnjuru1966 5 жыл бұрын
Shuna, this is very good work!!!!! i like your videos. I really like the final product!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
@aziatupekeake6926
@aziatupekeake6926 4 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akupe maisha marefu hakika we si mchoyo
@dianahjaphet6561
@dianahjaphet6561 5 жыл бұрын
waoooo uko vzr Dada asante ntapika na mimi nione
@rahmaabdallah2053
@rahmaabdallah2053 5 жыл бұрын
Allah akuzidishie ujuz uzidi kutufunza nakupenda saaan mpishi haswaa
@soziglande7871
@soziglande7871 5 жыл бұрын
We noma na hunachoyo nakupendaje😍😍😍
@safiyasafiya5014
@safiyasafiya5014 5 жыл бұрын
Umebarikiwa habibty mola akujaalie ujuzi zaidi na akuepushe na hasad asante sana
@ShunasKitchen
@ShunasKitchen 5 жыл бұрын
Ameen asante sana habibty :)
@halimamvungi1112
@halimamvungi1112 5 жыл бұрын
@@ShunasKitchen hivi kokoa ni kawaha ,eti!? Na ni kahawa yeyeto Tu.??
@Ukhtyzuhura
@Ukhtyzuhura 5 жыл бұрын
Ma Shaa Allah habbty Nina swali je nikitaka kutumia 250g kwa kila kitu Naweza kuweka Mayai ma ngapi?? Shukran
@ShunasKitchen
@ShunasKitchen 5 жыл бұрын
Unaweza kuweka mayai 4 kama ya kilo 1 utatumia 8, au unaweza kutumia 6 kama ya nusu utaweka 12. Inategemea na size ya mayai. Mayai makubwa au kiasi tumia 8 kwa nusu. Mayai madogo tumia 12.
@thuwaibamusa2360
@thuwaibamusa2360 4 жыл бұрын
@@ShunasKitchen APA mm cjafahamu maana unga umeugawa Mara mbili je umetumia nusu mbili au nusu moja umeigawa Mara 2
@nyemokedmon3368
@nyemokedmon3368 3 жыл бұрын
Safi hongera sana
@nuruzebedayo5458
@nuruzebedayo5458 2 жыл бұрын
Wewe ni mwalimu mzuri
@shukranjulius5910
@shukranjulius5910 3 жыл бұрын
Asante sana kipenzi
@hawaabubakar2619
@hawaabubakar2619 5 жыл бұрын
Ma Sha Allah Shukran ya Habibty......Jee Naeza kutumiya Hamira.Na Mafuta badala ya cyagi? From Saudi Arabia
@ShunasKitchen
@ShunasKitchen 5 жыл бұрын
Cake hii haitumii hamira, na mafuta ni RECIPE nyengine nitaweka in shaa Allah. Hii lazima utumie siagi na usiweke hamira. Asante sana kwa kuangalia :)
@khadijakibabi4170
@khadijakibabi4170 5 жыл бұрын
Keki isipochambuka ttz huwa n nn? Moto au upimaj wa baking powder? @Shuna's kitchen
@marryjonathan7735
@marryjonathan7735 2 жыл бұрын
Asante jamani Asante mwaaa
@helidaholambo882
@helidaholambo882 4 жыл бұрын
Asante sana nimejaribu style yako na cake yangu ilikuwa tamu sana
@safiaseif7494
@safiaseif7494 4 жыл бұрын
Da shuna hio siagi ni salted butter? Siagi yenye chumvu?
@rahmaoscar130
@rahmaoscar130 4 жыл бұрын
naomba kuuliza hapa unga unaweka izo kopo za blue band 2 au maana sijaelewa hapo unga sawa na gram ngap kwa vile vikombe?
@lightnessmathayo8336
@lightnessmathayo8336 5 жыл бұрын
jaman Dada mim kila napopika kuna tofaut naziona haichambuki kama hiv ,,inajishika ,je nakwama wapi?
@Ukhtyzuhura
@Ukhtyzuhura 5 жыл бұрын
Shukran ntajaribu In Shaa Allah
@happyshabani8760
@happyshabani8760 4 жыл бұрын
Amila auweki
@batuliahmed2113
@batuliahmed2113 3 жыл бұрын
Ahsante
@veronicajonas6391
@veronicajonas6391 5 жыл бұрын
Dada napendaga Chanel yako sana, nilikua naomba nikuulize, Je kwenye mapishi ya keki nitaweza saga sukari na blueband hadi unga kwakutumia Brenda?
@tz1170
@tz1170 4 жыл бұрын
me napend ukifanya video na sauti mm ni sahbiki yko hamn pishi linlonipit alhamdullah
@feruzcelestine9935
@feruzcelestine9935 4 жыл бұрын
Hello.naomba uyavunje mayai ili kupata kipimo vizuri.asante kwa mafunzo
@sesiliankayamba7581
@sesiliankayamba7581 5 жыл бұрын
Hongera, Hiyo cocoa powder naweza tumia ile ya kuunga kwenye chai?
@AnnAnn-no1sk
@AnnAnn-no1sk 4 жыл бұрын
Yes
@TamimaChum-nd3js
@TamimaChum-nd3js 4 ай бұрын
Mashallah ❤❤
@eliwanguminja593
@eliwanguminja593 3 жыл бұрын
Unajua nn unafany dr keep it Up 👏👏👏👏
@zuhuraomar8849
@zuhuraomar8849 3 жыл бұрын
Asante
@kautharsaid5206
@kautharsaid5206 5 жыл бұрын
Hi shuna, I like this video cause finally I got a recipe which fits my pan. But I wanted to know,to make the batter can I just the blender like in the other video and then mix the flour in small portion like you did.?
@ShunasKitchen
@ShunasKitchen 5 жыл бұрын
Hi dear, yes you can use a blender method.. Thanks for watching:)
@joselinajosephat8984
@joselinajosephat8984 4 жыл бұрын
Asnte San dear unatoa maelezo mazuri.
@aycharamadhani4889
@aycharamadhani4889 3 жыл бұрын
We ril enjoyed dear, ma sha Allah 😚
@BiazzeMohamed
@BiazzeMohamed 4 ай бұрын
Sio pia😊😊😊
@jennygrace723
@jennygrace723 5 жыл бұрын
Asante Sana dada maana unaeleza vizuri Sana
@mapishinarose2415
@mapishinarose2415 5 жыл бұрын
Samahani nilipo hamna sukari nyeupe unaweza tumia Brown na je itasagika kwa kutumia handmixer hiyo brown sugar? Pili hii keki naweza itengeneza ikakaa muda gani kama sina friji huku nimeipamba?
@ShunasKitchen
@ShunasKitchen 5 жыл бұрын
Unaweza kutumia sukari brown ila inaweza kubadilisha rangi ya cake na ladha japo kidogo, inaweza kusagika na handmixer kama utafkiri italeta shida Unaweza kuisaga kwanza au kuitwanga. Kuhusu kukaa nje bila fridge kama umeshaipamba inaweza kukaa siku 2 mpaka 3 kama weather ni ya baridi.
@dianadaudi5535
@dianadaudi5535 3 жыл бұрын
Perfect
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 3 жыл бұрын
Asante sana
@mwanaishambili241
@mwanaishambili241 5 жыл бұрын
Mashaallah hii channel yafundisha vzury paka waelewa shukran habbity
@ShunasKitchen
@ShunasKitchen 5 жыл бұрын
Sukran sana my dear kwa kuangalia
@ammarzk7043
@ammarzk7043 5 жыл бұрын
Asalam aleikum naeza kueka dry fruits kwa hii cake
@shimahussein6907
@shimahussein6907 4 жыл бұрын
A.aleikum nimefanya lkn mbona haikuchambuka nimekosea wapy Kisha kila nikifanya keki haitokei iko maji sana yaivaa lkn iko kama joto utanisaidia vp
@umumuhammad1352
@umumuhammad1352 3 жыл бұрын
Mashallah inaonekana nzuri,vipimo vinaeleweka,ila hapo kwa mayai naomba kipimo kwa grams kwani mara huwa makuwbwa sana au madogo sana,na nathaka kutumia hii recipe kwa biashara ila hapo kwa mayai yeza leta uthafauthi
@umumuhammad1352
@umumuhammad1352 3 жыл бұрын
Na hio baking pia nikipata kipimo kwa grams ithanisaidia kwani Niko na scape sina hivyo vipimo vya spoon na cups
@rugeyyemuhammad1549
@rugeyyemuhammad1549 3 жыл бұрын
Mashaallah Allah barik
@umahmed1511
@umahmed1511 5 жыл бұрын
Ma’sha’Allah inaonesha cake nzuri 😍😍jazasha Allah khair
@ShunasKitchen
@ShunasKitchen 5 жыл бұрын
Shukran sana dear kwa kuangalia pia :)
@faridasanga1897
@faridasanga1897 Жыл бұрын
Yupo Vizuri kwa kweli
@ammarzk7043
@ammarzk7043 3 жыл бұрын
Asalam aleikum hii cake inaweza kua kilo ngapi
@zaisalum1044
@zaisalum1044 5 жыл бұрын
asante mumy naomba utufundishe haluwa
Jinsi ya kuoka Zebra Cake | Cake ya mafuta | Zebra cake recipe
5:46
Shuna's Kitchen
Рет қаралды 95 М.
KEKI YA UNGA ROBO TATU 750g FLOUR CAKE
14:04
Mziwanda Bakers
Рет қаралды 10 М.
Friends make memories together part 2  | Trà Đặng #short #bestfriend #bff #tiktok
00:18
JINSI YA KUPIKA KEKI #mapishirahisi
8:39
SARAH NATURAL
Рет қаралды 134 М.
jinsi ya kupata keki ya kuchambuka part 02
6:12
Marybhoke67
Рет қаралды 1,5 М.
Jinsi ya kupika mikate ya ajemi/laini sana/ Ajemi bread recipe
13:08
Shuna's Kitchen
Рет қаралды 192 М.
HUTONUNUA MKATE TENA  BAADA YA KUANGALIA VIDEO HII
6:21
keki plus
Рет қаралды 1,6 МЛН
Friends make memories together part 2  | Trà Đặng #short #bestfriend #bff #tiktok
00:18