Thanks for sharing Looks delicious going to try to make the buns
@cookingwithtina81865 жыл бұрын
Zahida Hasham thanks 🙏
@daudilinuma40423 жыл бұрын
hiyo mashine inauzwaje?
@daudilinuma40423 жыл бұрын
na inaitwaje?
@rossamengo72115 жыл бұрын
Very nice
@cookingwithtina81865 жыл бұрын
Rossa Mengo thanks 🙏
@aseelaaseela49135 жыл бұрын
Umekoroga w2 hapa hujaonyesha mayai umefanyia nn
@mariamshebwana1776 жыл бұрын
Mayai kazi yake ni nini?
@mamsywachia69236 жыл бұрын
Nimependa
@cookingwithtina81866 жыл бұрын
Mamsy Shy Asante kwa kuangalia 🙏
@mamsywachia69236 жыл бұрын
Cooking With Tina Nisaidie number yako
@mwanamisikibwana18934 жыл бұрын
Jamani pia tuonyeshe jinsi ya kutengeneza buns na jiko la makaa
@cookingwithtina81864 жыл бұрын
Mwanamisi Kibwana Nitalifanyia kazi dear
@mwanamisikibwana18934 жыл бұрын
Sawa
@ramadhanikibenga63174 жыл бұрын
Binti Kibwana
@mwanamisikibwana18934 жыл бұрын
🤔
@ramadhanikibenga63174 жыл бұрын
@@mwanamisikibwana1893 hayo majina nakufananisha samahani wewe binti Kibwana wa wapi ??
@ummunifaljabry22665 жыл бұрын
Machine yako Mara ya Kwanza kuona
@farhiasalad19206 жыл бұрын
Thanks
@cookingwithtina81866 жыл бұрын
Farhia Salad Thanks for watching
@aquilinajohn78855 жыл бұрын
Kikombe cha ukubwa gani,ni vema kutumia kipimo kama vile Lita au kg,maana vikombe havina saiz sawa
@cookingwithtina81865 жыл бұрын
Aquilina John ni kikombe cha ujazo wa ML 250
@k.suufromborafamilyteacher49835 жыл бұрын
Unaweza kufunika mda inaiva naje kutumia jiko LA mkaa kama kuna hiyo mashine inawezekana
@cookingwithtina81865 жыл бұрын
k. suu from bora family Teacher Ndio unaweza tumia jiko la mkaa. Kama unatumia jiko la umeme usifunike ila kama unatumia mkaa unafunika ili uweze kuweka moto kwa juu ya mfuniko. Hii mashine nimetumia tu kukanda unga ila unaweza kufuata vipomo vya unga hamira n.k. Kisha unakanda kwa kutumia mikono kama unavyo kabda unga wa mandazi.
@hellenmakupa36166 жыл бұрын
Dada tina ulinunua wapii Hii!??
@cookingwithtina81866 жыл бұрын
Hellen Makupa Sikununua hapa tz but ilikuwa ni siku nyingi 2004
@mariethaluvunzu16935 жыл бұрын
Kama huna oven unafanyaje
@cookingwithtina81865 жыл бұрын
marietha luvunzu unaweza weka moto wa mkaa juu na chini ila wazima kuwa makini
@jamesngundateresia26006 жыл бұрын
Hiyo mashime inauzwa shiringi ngapi?
@cookingwithtina81866 жыл бұрын
James Ngunda Teresia Sorry nilinunua kitambo sana sikumbuki bei yake na haiwezi kuwa bei hiyo hadi lea.
@jamesngundateresia26006 жыл бұрын
@@cookingwithtina8186 Yaweza fika laki nne au tatu
@cookingwithtina81866 жыл бұрын
James Ngunda Teresia I am not sure! Nikiziona dukani nitakuangalizia bei
@jamesngundateresia26006 жыл бұрын
@@cookingwithtina8186 Ok asande sana
@hellenmakupa36166 жыл бұрын
Ulinunua wapi sorry
@aminarashidi56494 жыл бұрын
Nashukuru nimejifunza jinsi ya kutengeneza skonzi nitajaribu kuzipika kesho,,but ungesema umetumia kikombe gani au kipimo Cha nusu au kilo,,au ungesema umatia kikombe Cha Cha bcz vina saizi moja tungekuelewa??
@cookingwithtina81864 жыл бұрын
Amina Rashidi size ya kikombe 1 ni mil 250 kwahiyo vikombe 4 ni sawa na 1 kg
@aminarashidi56494 жыл бұрын
@@cookingwithtina8186 Thanks so much and big up 💌👍👍
Hesha Mkama unaweza weka kwenye microwave kwa dk 1 au kwa kutumia sufuria jikoni ila usiache muda murefu isije ungua ( ikianza kuyeyuka epua itaendelea kuyeyuka kwa joto la sufuria)
@heshamkama80175 жыл бұрын
Cooking With Tina asante mamy hapo nimeelewa mungu akujahaalie uzidi kutufundisha vingi
@heshamkama80175 жыл бұрын
Cooking With Tina na mfano unga kg1 inatakiwa uweke vitu kiasi gan nusu nusu au na butter naiyeyusha kiasi gan samahan kwa usumbufu..
@cookingwithtina81865 жыл бұрын
Hesha Mkama vipomo kwa 1kg ya unga matumizi ni kama nilivyotumia mimi hapo kwenye video (1kg ni sawa na vikombe 4) ndo nlivyotumia mimi hapo