Rais wa awamu ya nne Jakaya Kikwete akieleza namna alivyokutana na wasanii wakubwa na ilivyomsukuma kusaidia wasanii wa Tanzania
Пікірлер: 60
@NyakiMollel8 ай бұрын
Man of the people😏
@vanessastafford51202 жыл бұрын
Unajuwa maisha, lazima uweze ku balance kazi na starehe uishi, Hii ndio Dunia ya kuishi na ku enjoy.
@philemonmagesa55482 жыл бұрын
Hapo mzee kikwete swali la kumuuliza muziki wamemfikisha anapenda muziki sana
@yonas.johnson2 жыл бұрын
Jk 🙌
@PhilibetLadislaus8 ай бұрын
Raha zako
@musasabuu28082 жыл бұрын
Kweli kwenye maisha Kuna mda wa starehe cyo Kaz mda wte
@hassanmpwepwe38262 жыл бұрын
Inna lillah wainna illahy rajiuun
@onesettv87492 жыл бұрын
😂
@monstermonster36492 жыл бұрын
Tatufa hela wewe, secondly jikite kwenye channels za dini acha kupangia watu maisha.
@lirastanley3902 жыл бұрын
Hahaha,,,MJ hajapata kutokea kbs yani
@bern12292 жыл бұрын
Upo safi MZEE.nataman ungerudi tena uwe RAIS usaidie waliopo mtaani angalau upunguze wimbi la wasio na ajira
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Labda awe Rais wa ukoo wako pumbavu
@bern12292 жыл бұрын
@@kabwelasutiviraka4765 hahahaha..bwana kabwela..hyo ndo rais nlotokea kumuelewa na huo n mtazamo wangu ko ustake tkalngana sawa ndg..
@jiweg-unit10482 жыл бұрын
Ndugu yako Nini ??? Nina sure jk akifa watanzania 70%au 65% watapiga mziki Kwa furaha usiku mzima Na Mimi Ni mmojawapo
@queenofpossibility3258 ай бұрын
😂😂😂😂❤❤❤
@richardpatrick35902 жыл бұрын
Music ni burudaniiiiii
@isaaabdala7016 Жыл бұрын
Kuna.muda wa kazi.na.sasa.anapunzika kazi.kubwa.amefanya.nchi.hii.hakuna wa.kufananisha.nae.hapa
@Jal2102 жыл бұрын
Wewe umeshakuwa Al haji hutakiwi kuwa na mambo haya au ulikwenda kinafiki tu kuhiji
@danielmartinnapiya88022 жыл бұрын
Anaongelea maisha yake ya nyuma,don’t be dumb
@Jal2102 жыл бұрын
@@danielmartinnapiya8802 I'm not going to hurt him, he is not even support to talk about the past.
@monstermonster36492 жыл бұрын
@@Jal210 Concentrate with your own life challenges dummy, who the hell are you to dictate on how people should be living?
@Myplusbee2 жыл бұрын
@@Jal210 And stop being a sanctimonious piece of shit!
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
@@danielmartinnapiya8802 ,,,,,his own life at the expenses of poor citizens!!
@markjason20352 жыл бұрын
Mzee anawakumbusha kuwa ni wimbo huu sio nyimbo hii
@hamadsaburi35692 жыл бұрын
Zungumzia bomba la mafuta
@fauzhaji71492 жыл бұрын
50 cents ..lol
@romanamassawe8142 жыл бұрын
Baba unazingua
@yusufmohamed88742 жыл бұрын
Hapa jk kaongea pumba tupu
@lirastanley3902 жыл бұрын
acheni chuki bunafsi unajua kwann kazungumza?si aliulizwa ndio sbb aliongea na kusimuliamengi badala ya kumuwishi mazur ktk siku yake ya kuzaliwa kwakuwa alikua kiongoz wetu imara mpenda watu na katuachia nchi ikiwa salama pasina kuwa na machafuko eti mnamdis hv sisi watanzania tutapenda lini na kusifia vya kwetu...?
@stephensteve92992 жыл бұрын
Mwenzenu kakutana na 10 cent nyie mnatuambia 50 cent. Hizo 40 cent mlizoongeza mmezitoa wapi? Au ndo chumvi??
@mohamedhamismagoraonlinetv4592 жыл бұрын
Hahahahah🤣🤣🤣
@monstermonster36492 жыл бұрын
@@mohamedhamismagoraonlinetv459 Wamezidisha 10cent x 5 ndiyo wakapata 50cent kwa maana ya kwamba kakutana na 10cent mara tano ndiyo ikawa hiyo 50 Cent.
@mohamedhamismagoraonlinetv4592 жыл бұрын
@@monstermonster3649 🤣🤣 72 si mchezo kala chumvi. Lazima aanze kuwa babu
@monstermonster36492 жыл бұрын
@@mohamedhamismagoraonlinetv459 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mwasamiladldm75572 жыл бұрын
Zungumzia ugumu wa maisha ya mtanzania.
@HusseinRj2 жыл бұрын
Zungumzia wewe
@abuu_tv2 жыл бұрын
Wakat n bday yake acha akumbuke Raha zake shida zako ustaw wa jamii
@mwasamiladldm75572 жыл бұрын
@@abuu_tv Huenda labda unanizidi hata hizo shida zenyewe,unjitutumua mtandaoni.
@abuu_tv2 жыл бұрын
@@mwasamiladldm7557 ndio na zimudu si zangu ww usilalamikie mtu
@aaaaaah2902 жыл бұрын
MAISHA MAGUMU UNAYO WEWE SIO KILA MTANZANIA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Mzee wa kujisahau mla bata fisadi haoni hata aibu kuongea upumbavu huo
@ChoroTesla2 жыл бұрын
hizo ni moment zilizotokea kwenye maisha yake vitu vya kawaida sana tatizo umaskin unatusababisha tuwe na chuki za kisenge senge sasa ww km huna cha kuwasimuia vizazi vyako kaa hvy hvy ndo nyie utaskia baba yako niliteseka nilikula mihogo as if mihogo kitu cha ajabu
@jaxnales2 жыл бұрын
Tafuta hela mzee.
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
@@ChoroTesla bwege wewe hata hujitambui kama zingekuwa hela zake nani angesema Ila ni hela za Watanzania masikini , na siku ccm ikiondolewa madarakani hawa wote watashitakiwa kwa kuwaongea watz umasikini, utakuwa kizazi cha wafisadi wewe au huyu ni shemeji yako
@didimhutila89852 жыл бұрын
Aibu sana sio sili,yaani mzee anajisifia kula batA?watanzania??
@lugelosanga57982 жыл бұрын
Zungumzia hata bagamoyo bandari tukusikie lione
@amaniabdi97552 жыл бұрын
Sanga wewe ndo mpumbavu kabisa, Ina maana huyu si binadamu, mpaka akalie siasa tu, Unajua nyie makafili hamna akili kabisaa.
@peterlucas72462 жыл бұрын
Amani nini maana ya kafiri?
@johnmike60592 жыл бұрын
Raisi gani mpenda starehe ndo maana unaitwa fisadi amjui mtanzania wa hali ya chini anaishi vipi mnajiona nyie na familia zenu ipo sikuyenu
@nathanwakitaa88752 жыл бұрын
Raisi yuko wapi!? Punguza makasaliko bob
@danielmartinnapiya88022 жыл бұрын
Mlaumu baba ako mzazi sio kikwete
@johnmike60592 жыл бұрын
@@danielmartinnapiya8802 mpuuz mmoja ww acha kitako mwiba ww utaolew
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Huyo babu alileta umasikini haswa Tz na ufisadi mkubwa miaka yake alichokuwa anajua ni kusafiri tu Johnny walker 💩💩🤮🤮🤮