No video

LIFE WISDOM:MUEPUKE MTU WA NAMNA HII - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 20,473

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 118
@user-oq4fv5ed7u
@user-oq4fv5ed7u 26 күн бұрын
Kaka nimejikuta ninacheka sana maana hao watu wawili WA mwanzoni katika maisha yangu ninao na wamekuwa wakiniwazisha sana bro kuanzia leo naachili aisey daah . Asante sana brother
@MajaliwaMhungati
@MajaliwaMhungati 28 күн бұрын
Ni kweli tupu...watu hao kwa sasa wataisoma namba maana kwa sasa itabidi nibadiri mwelekeo Bora peke yangu.
@user-gb1hn5ml8y
@user-gb1hn5ml8y Ай бұрын
From south Africa Durban ili tumuunge mkono kwa nguvu zote mwalimu wetu usi skip tangazo linalo pita liache liishe nadhani hii itampa faida sana na uta Kua umechangia kwa nguvu kubwa please 🙏 wanafunzi wenzangu❤❤
@paschalmasanilo2617
@paschalmasanilo2617 Ай бұрын
Okay 🎉
@YusuphRashidiSimoni
@YusuphRashidiSimoni Ай бұрын
0
@IbrahimuRamadhani-nc4mr
@IbrahimuRamadhani-nc4mr Ай бұрын
Alaaah kumbe sijawai jua ii mm ni mhanga mkubwa wa ili 😢😢😢
@IbrahimuRamadhani-nc4mr
@IbrahimuRamadhani-nc4mr Ай бұрын
Nitafanya hivyo kwakweli maana ❤❤❤
@mahmoudmtanga8448
@mahmoudmtanga8448 Ай бұрын
inasaidia nn
@cocotz1892
@cocotz1892 Ай бұрын
Nimejifuz kusema NO na SINA hiyo ni silaa tosha Mimi nimenuniwa paka leo na rafk yangu na Mimi nimetulia zangu kashanisema pka kwa ndugu zake 😅na mama yake ameninunia pia 😂😂😜Mwanzo niliumia ni kajikumbusha kujipenda 😅kwahiyo jifunze NO NA SINA 😊
@neemadaudisospeter8211
@neemadaudisospeter8211 Ай бұрын
Asante
@monicakauky8914
@monicakauky8914 Ай бұрын
Ndiyo Kuna mtu nikimpa mara nyingi harudishi na nikimwambia Sina anakasirika,Kwa sasa nimeamua nikimpa sitarajii kurudishiwa.
@tukaesanatu2754
@tukaesanatu2754 6 күн бұрын
Asante kwa ushauri mzuri. hao watu wapo baba ila tumejifunza. ubarikiwe
@stanleyandrea5153
@stanleyandrea5153 Ай бұрын
Mimi nilisha kubali lawama kuliko fedheha, Tena bila kupepesa macho
@ahz6907
@ahz6907 Ай бұрын
Kama mimi 😂
@stanleyandrea5153
@stanleyandrea5153 Ай бұрын
Safi sanaa
@blackeagle4441
@blackeagle4441 Ай бұрын
Kaka #joelnanauka barikiwa mnoo najifunza mengi sn kupitia ww🙌
@hawahamza1085
@hawahamza1085 Ай бұрын
Nimeipenda iyooo
@JohnPatrickKasokota-qw6ep
@JohnPatrickKasokota-qw6ep Ай бұрын
Asant sana broe kwa elimu nimegundua na ndo inavyo nitokea mm kwa watu wangu wakalibu sana mwalimu vitu gani nizingatie il na mimi nifanikiwe hizi changamoto ilizo sema zote ndo zinazo nitokea mimi
@denismabuye2282
@denismabuye2282 Ай бұрын
Kaka Joel hii mimi imenikuta sana, tayari nimejifunza namna ya kukabiliana nao., wengine ni ndugu kabisa. Asante sana kwa life wisdom... Mungu akubariki sana.🙏
@FarajaMkumbo-pc3ft
@FarajaMkumbo-pc3ft Ай бұрын
Asante kwa mafundisho yako tangia nianze kukufatilia nimebadilisha maisha yangu hakika mungu akubarik kaka joel
@khadijaamour7654
@khadijaamour7654 Ай бұрын
Wazee wetu pia wako hivo hatuna jema zaidi ya kuapizwa km huna hela za kuwapa
@ENOCKDANIEL-jo3ed
@ENOCKDANIEL-jo3ed Ай бұрын
Kaka hawa watu binafsi ninao marafiki zangu na ndugu pia , asante san umenifundisha somo kubwa mno 🙏🙏
@AllyJuma-fy2is
@AllyJuma-fy2is Ай бұрын
Asant kaka hawawatu wapo atamm niponae lkn nimejifunza kwa somohili
@brianisack7673
@brianisack7673 Ай бұрын
Be blessed brother 🙏🏽🪜
@brianisack7673
@brianisack7673 Ай бұрын
@leticiampeka1488
@leticiampeka1488 Ай бұрын
Asante sana kwa somo nzuri sana, hawa watu huwachukulia wenzao kama fursa vile, bila kujali kuwa kuna kujinyima mpaka yanaonekana anayoyaona kwako. Nimekutana na wengi ila huyu wa hivi karibuni amezidi ana sifa nyingi tajwa, kwangu naona ni bora kumkwepa au kumwambia siko vizuri tu.
@NickGamba-ft8tl
@NickGamba-ft8tl Ай бұрын
ASANTEE SANA MENTOR ARTHUR NANAUKA JOEL MASTER
@alsam4881
@alsam4881 Ай бұрын
Yaani hapo umenigusa mie kabisa ,yalinikuta hayo na siku hizi nimeachana nao kabisa kwasababu walinitumilia mimi kwa miaka mingi na sasa nimewaepuka, tena huwa wanakuwaga hawana shukrani wala fadhila kabisa, wao kutwa ni kutowa lawama tu na shida zisizoisha.
@sharfatyally7224
@sharfatyally7224 Ай бұрын
Yupo hapa pemben yangu ,kila ulicho kisema anacho natayar nimesha mtoa ktk system yangu ,mshenz sana.
@lovenessjoseph5718
@lovenessjoseph5718 Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@jessiepeter2819
@jessiepeter2819 Ай бұрын
😂😂😂😂wanakera sanaaa😂😂
@FaricevitusiNkane
@FaricevitusiNkane 17 күн бұрын
mm ninae mt wa mtindo alaf mtu wangu kalb sana
@user-hm5jl1kh2t
@user-hm5jl1kh2t Ай бұрын
Habari , mm naona ndio walio nizunguka katika maisha yangu 😢 dah Asante sanaa
@nwntz
@nwntz Ай бұрын
Thanks man❤
@allyway999
@allyway999 Ай бұрын
From here Capetown Hii changamoto imekuwa kubwa mno kiasi kuanzia kwa ndugu mpaka wazee wangu kiasi mpata sijui nn chakufanya yaan mtu anajimaliza kiasi kwa bila mm no way out tena after that Yoh so sad 😢 man
@user-df3su9fp1o
@user-df3su9fp1o Ай бұрын
Hongera sana, maana hiyo ndiyo familia yangu yaani umepita mlemle
@PriscaMwamakula
@PriscaMwamakula Ай бұрын
Nimekutana nao sana kwa kweli wanaumiza sana halafu wanakatisha tamaa
@tullymwakatuleme552
@tullymwakatuleme552 Ай бұрын
Nimejifunza ...mpaka saiz nimekutana nao na wanasema mm mchoyo
@FELISTERPETER-jf9jv
@FELISTERPETER-jf9jv Ай бұрын
Umenigusa kwa kiasi kikubwa sana, barikiwa sana mtumishi.
@westoninyema8343
@westoninyema8343 Ай бұрын
Naanza kuwaepuka nana ninao wawili awajal ninao itaj msada wao
@cocotz1892
@cocotz1892 Ай бұрын
Jifunze kusema NO na SINA hiyo ni silaa tosha Mimi nimenuniwa paka leo na rafk yangu na Mimi nimetulia zangu kashanisema pka kwa ndugu zake 😅na mama yake ameninunia pia 😂😂😜Mwanzo niliumia ni kamekumbuka kujipenda 😅kwahiyo jifunze NO NA SINA 😊
@MohamedSarahani-gk6jx
@MohamedSarahani-gk6jx Ай бұрын
Watuu kamaa haooo wapooo wengi hasaa katikaa familiaaa zetu
@brackskinyozi3280
@brackskinyozi3280 Ай бұрын
Imenitokea sana marafiki hta kw ndugu....lakin kw hili somo nashukur nimejifunza kitu Joel asante sana
@edinachami4318
@edinachami4318 Ай бұрын
Mpaka waseme😂😂😂 Asante broo Joel ulikonitoa nimbali mnoooo❤❤❤
@TumainiChengula-dn5vx
@TumainiChengula-dn5vx Ай бұрын
Yaani kaka mm nishakutana nao sana wanachosha sana wanataka kusaidiwa wao tuu ila wew ukipata shida kama hawakuoni alafu wakizipata Sasa wanakula bata na watu wengine zikiisha ndio wanakuja tena kwakooo Aloooo kiufupi mm ngoja niwapoteze tuuu siwataki hata bureee popote walipo najua wanajijua wapite kuleeee
@olivermkuni8232
@olivermkuni8232 Ай бұрын
Ahsante sana kwa somo nzuri nimezungukwa na watu wengi wenye tabia hii
@gosbertrutayega4546
@gosbertrutayega4546 Ай бұрын
This is very true. Yaani kuna mtu haamini hata nikimwambia sina hela
@kalengashoppingcenter1108
@kalengashoppingcenter1108 Ай бұрын
Wapo wengi sana na wanatuzungukA kaka😢😢
@brunomwimanzi6074
@brunomwimanzi6074 Ай бұрын
Daaah Asante sana kaka,wapo mtaani Kwangu hadi unajuta kuwafahamu yaani
@mwanaomary3034
@mwanaomary3034 Ай бұрын
Duuh wapo wengi,Asante
@user-dy6mx4yc6y
@user-dy6mx4yc6y Ай бұрын
Huyo ni mwanaume wangu tabia zote anazo na kujitilisha huruma yan wewe ndio kila siku umsaidie na umpe moyo yan anaona ni wajibu wako kbs na hata watu wakimuazima harudishi wakichukua hatua anaona kaonewa nimeamua kumuacha aende zake yani nikipata shida imekuwa ni ngumu kusaidika kwa sabab ya kuambatana na yeye wanadhani nina tabia kama zake yan simtaki kabisa kwenye maisha yangu ATOKE
@HaniyaKisingo
@HaniyaKisingo Ай бұрын
Kimbia hapo Huna mtu ni mzigo huo🙌
@judithlugongo8804
@judithlugongo8804 Ай бұрын
Ni sahihi kabisa Barikiwa kwa mafundisho mazuri nimejifunza mengi na umenisadia sana
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 Ай бұрын
Hii imenikuta kwenye familia yangu ,yani kuna ndugu yangu akikuomba pesa ukimwambia huna anakasirika,naukimkopesha kurudisha lawama
@dysonmligite3482
@dysonmligite3482 Ай бұрын
Yan mm dadaangu amenikasilikia hd leo nikimpigia cm hapokei kisa ss hv akiniomb hela namwambia cn
@lincolnkimambo3744
@lincolnkimambo3744 Ай бұрын
Kiukweli ni Ndugu zangu.
@ambakisyemwakinunu2002
@ambakisyemwakinunu2002 Ай бұрын
Hawa nimekutana nao wengi sana
@SephaniaLucas
@SephaniaLucas Ай бұрын
Kiukweli watu hao wanaumiza sana. Ubarikiwe mwalimu.
@Winie-ht3zq
@Winie-ht3zq Ай бұрын
Imenikuta hii Ni kwel kabisa kaka
@LeahVlogstoday
@LeahVlogstoday Ай бұрын
Kabisa yani nikama unanizungumzia mimi changamoto hii nimeipitia
@vumiliamgingu1579
@vumiliamgingu1579 Ай бұрын
💯
@amonkaiza9876
@amonkaiza9876 Ай бұрын
hawa watu tupo nao Sana wengne tumesoma nao chuon pia wengne ni rafik zetu kabisaa kiukweli wanakera sans
@SelfathumanMisere-te6kg
@SelfathumanMisere-te6kg Ай бұрын
Wapo wengi mm wananisumbua sana
@saay4273
@saay4273 Ай бұрын
Wapo sanaa wametuzunguka katika Maisha yetu
@everlyneiminza5722
@everlyneiminza5722 Ай бұрын
Yani umesema ukweli kabisa bro, hayo mambo mi nayaona sana kwenye maisha yangu🤔🤔🤔
@HamzaSelemani-rt8jt
@HamzaSelemani-rt8jt Ай бұрын
Ihii imenitokea Sana daah binahadamu
@rahimyahaya5776
@rahimyahaya5776 Ай бұрын
Wapo sana kuna mmoja alinikopa laki 5 mwisho wa siku nilirudishiwa laki 1 mpaka leo ikabidi nisamehe maana ukimdai anaona kama unamsumbua
@rhabrhab1797
@rhabrhab1797 Ай бұрын
Ameen Asante sana kwa mafundisho mazuri
@KelvinMmari-fp7zx
@KelvinMmari-fp7zx Ай бұрын
Wako wengi mkuu
@emanuelmlingwa9408
@emanuelmlingwa9408 Ай бұрын
Ahsante mentor Joel nanauka you made me a winner,, watu wanamna hii niko nao kwenye cycle nitatumia mbinu hizi kujinasua
@neemadaudisospeter8211
@neemadaudisospeter8211 Ай бұрын
Nimekutana nao saà
@mariamndikumana-nn9ly
@mariamndikumana-nn9ly Ай бұрын
Yaani huyo ni mam yangu nimechoka
@vitarismujuni6889
@vitarismujuni6889 Ай бұрын
Hawa ni ccm na raia wake
@victoriakaroli6995
@victoriakaroli6995 Ай бұрын
Dah iyo mimi nilikutana nayo kwa boss wangu baada ya kunipeleka ofisini kwake na nikaanza kufanya kazi ikawa kama nafanya kazi bure, hata usipolipwa mshahara ukiuliza tu anaamua akulipe au asikulipe au anakufanyia chochote anachoamua na ukiuliza utaumia.. kiukweli watu wa aina hii ni wengi sana ni bora hata kukosa kazi lakini ubaki na amani vinginevyo utaumizwa sana na watu wa aina hii.. unatengenezewa hata skendo ili tu wawaonyeshe watu kuwa wewe ni mkosaji
@Fantastic.-gm1eo
@Fantastic.-gm1eo Ай бұрын
Kuna mmoja ni best wang friend sijui nimu avoid kwa njia ip
@kelvinemmanuel8616
@kelvinemmanuel8616 Ай бұрын
BRO LEO UMENIGUSA MNOOO YAAN AINA HII YA RAFIKI NILIKUA NAE.
@TRACEMOURICE
@TRACEMOURICE 11 күн бұрын
🙏🙏🙏❤️‍🔥
@jamesshirima33
@jamesshirima33 Ай бұрын
Asante sana 🎉 KAKA
@HalimaAmadi
@HalimaAmadi Ай бұрын
😭😭😭Kaka Joel huyu nini kabisa unaemuongelea nipo gulf huu mwezi wasita Sasa tangu nifike mishahara niliopokea ni mitano hadi Sasa, lakini sina hata akiba nilionayo, familia baada ya kuskia nipo uku wote wamejazana kwa mama hawafanyi kazi wote wananiangalia mimi, na hapo na mimi nina watoto wangu 3, najitahidi kubalanc pesa kila mwisho wa mwezi lakini hawakosi kunibebesha matatizo yao, asante sana leo nimeongeza kitu
@rosesimon4630
@rosesimon4630 Ай бұрын
We dada wewe tuma hela inayotosha watoto wako tu aisee utarudi kwenu huna chochote pole sana anza kuwa na roho ngumu usipofanya hivyo Kaz yako utaiona chungu
@rehemabakari3032
@rehemabakari3032 Ай бұрын
Thank you so much ❤❤❤❤❤
@UtnessMlimakala
@UtnessMlimakala Ай бұрын
Ukweli mtupu
@tullymwakatuleme552
@tullymwakatuleme552 Ай бұрын
Ubalikiwe na Bwana
@TabiaChibwana
@TabiaChibwana Ай бұрын
Usiombee uyo mtu awe mwenza wako😢
@RamadhanMtaki-sw1gx
@RamadhanMtaki-sw1gx Ай бұрын
ni rafiki yangu kabisa Yani yupo hivyo kaka.
@dativerdionese8099
@dativerdionese8099 Ай бұрын
Asante sana,, ubarikiwe kwa kazi nzuri 🙏
@BonfriInsuranceAgency
@BonfriInsuranceAgency Ай бұрын
Kweli, nashukuru
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj Ай бұрын
Asante Sana.
@neemadaudisospeter8211
@neemadaudisospeter8211 Ай бұрын
Wengi saaana
@user-kg9df9zp1h
@user-kg9df9zp1h Ай бұрын
Hawa ninao hata nina rafiki yangu hapa yeye akiwa na shida ndo ananitafuta ila akiwa hana shida hawezi kujitafutia.
@winifridamalila6061
@winifridamalila6061 Ай бұрын
Yan kuna watyu wengine ukiwapa pesa sema tu nimetoa sadaka
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 Ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka @Joel ❤
@FATHIAABDI-j7e
@FATHIAABDI-j7e Ай бұрын
Niafadhali wengne niwaume zao lakin cc wengne niwenza wetu natumeshazaa watoto inabidi nishida tu yaani cfa hizo zte mumewng anazo yey tutafanyeje unafkiri nandio nipo nae kwenye ndoa
@justinekereri7445
@justinekereri7445 Ай бұрын
Uko sahihi mno mimi nina ndugu zangu wenye tabia ya kukufanya kwa makusudi kabisa kitega uchumi ya fedha zao ni vigumu kujua kama wanayo lakini za zinahitajika wakati wote.
@user-je8qx8ze8o
@user-je8qx8ze8o Ай бұрын
MM nimekutana nawo kwa sasa wanasema ninaringa
@iizalaw6674
@iizalaw6674 Ай бұрын
Hakika yameshawahi kunikuta na najitahidi nirudie makosa na wana tabia ya kurudia kukopa hata kama hakulipa lililopita, ukiazima vyakwao wanadai balaa
@marykweka4247
@marykweka4247 Ай бұрын
Asante
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Ай бұрын
😅😂😂😂😂Ila 😂😂Joel 😂😂mpaka. Jasho limenitoka😊😂😂
@HaniyaKisingo
@HaniyaKisingo Ай бұрын
Mimi ni ndugu zng kabisa wa damu ndio wenye kunididimiza na mpaka sasa kaka yng tena mdogo Ana mke na watoto wawili amenifanya km baba yake baada ya mm kuchoka na kumwambia simama km baba wa familia yako imekuwa Kosa kisa ni mm nipo nje ya nchi wanadhani muda wote ninanyo pesa
@ayubuhamad9451
@ayubuhamad9451 Ай бұрын
Brother umegusa uhalisia wa Maisha ninayoyapitia Watu wa aina hiyo ninao sana Wafamilia na baadhi ya Marafiki,ningepata hili Somo kabla ningekua mbali sana,nashukuru leo kulipata nitahakikisha napata Vitabu vyako kujifunza zaidi,ni Changamoto kubwa nilionayo.
@user-rd6us8eo3k
@user-rd6us8eo3k Ай бұрын
Hawa Hua ni chamgamoto kwa wale watu wanao fanya biashara kwa Mali Kauli
@abelhilonga1095
@abelhilonga1095 Ай бұрын
Me ndio nina hiyo tabia kwa baadhi ya marafiki zangu
@dorrie-b8q
@dorrie-b8q Ай бұрын
Kuwa ww ni yule rafiki entitled 😂 au? Mnyonyajii
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 Ай бұрын
Tena hawa kwa kununa kama ile pesa yao Dah nimecheka sana kuskia hii mana wee acha tu Na anataka umpe hapo hapo anachokitaka kama utamwambia subiri anaweza kukupigia cm kila baada ya saa moja
@GraceSteven-qq5hn
@GraceSteven-qq5hn Ай бұрын
Asant
@user-dq3op3gs2d
@user-dq3op3gs2d Ай бұрын
Hii kitu inasumbua Sana unaweza pata stress
@goldiegranted5501
@goldiegranted5501 Ай бұрын
"amenisema mpaka jasho limenitoka"😂😂👋,,,"amenisema mpaka nimezimia"😂😂😂😂😂😂
@shidashida6060
@shidashida6060 Ай бұрын
Dadaangu 😅😅 hadi namwogopa akiomba kitu hata kama sina haamini ni kulalamikat,.
@goldiegranted5501
@goldiegranted5501 Ай бұрын
Wapooooh 😂,nlikutana naye mmoja huyo,Ila Yule dada hafai 😂,,,anatumia hela ovyo huku anapost status,jioni ikifika tu atakupigia simu, mara nimeibiwa pochi 😂,,so sina nauli,yani umpe pesa 😂,,,mara nimetumia hadi nauli 😂 whoiiii 😂👋
@lovenessjoseph5718
@lovenessjoseph5718 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@pamelaalphonce4742
@pamelaalphonce4742 Ай бұрын
Kaka Joel what if huyu mtu ni mtoto au mume?utamkwepa Vp??
@dominickntajinya1550
@dominickntajinya1550 Ай бұрын
%Usiache Kutabasamu%
@Sumay228
@Sumay228 Ай бұрын
Kama kuna namna watu wa namna hii hawatakiwi kukujua sana ili kama inawezekana wasijue kipato chako otherwise kazi ipo mi ndio nilimalizana nao hivyo ctaki kujuana sana
@mariammanyama6390
@mariammanyama6390 Ай бұрын
Umeongea ukweli mtupu lakini mambo mengine inabidi tusamehe kwa sasa ili tuendelee kupambana zaidi watu wa hivi au marafiki ya hivi ni wengi sana
LIFE WISDOM: VITU VINAVYOFANYA UNG'AE - JOEL NANAUKA
17:12
Joel Nanauka
Рет қаралды 26 М.
LIFE WISDOM : NUSU YA MWAKA ILIYOBAKIA FANYA HAYA - JOEL NANAUKA
13:57
SPILLED CHOCKY MILK PRANK ON BROTHER 😂 #shorts
00:12
Savage Vlogs
Рет қаралды 48 МЛН
OMG what happened??😳 filaretiki family✨ #social
01:00
Filaretiki
Рет қаралды 13 МЛН
LIFE WISDOM:UGONJWA UNAOMALIZA WENGI - JOEL NANAUKA
12:20
Joel Nanauka
Рет қаралды 11 М.
MFUKO WA UKWASI (LIQUID FUND)
11:59
UTT AMIS PLC
Рет қаралды 4,5 М.
LIFE WISDOM : KWA NINI WANAKUCHUKULIA POA - JOEL NANAUKA
13:30
Joel Nanauka
Рет қаралды 35 М.
LAZIMA USHINDE HOFU HIZI - JOEL NANAUKA
10:59
Joel Nanauka
Рет қаралды 66 М.
Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa.
59:26
Personal Finance Hub
Рет қаралды 24 М.
EPUKA MAKOSA HAYA KWENYE SAFARI YA MAISHA YAKO  - JOEL NANAUKA
10:22
TAMBUA MAJIRA MUHIMU KWENYE MAISHA YAKO - JOEL NANAUKA
10:18
Joel Nanauka
Рет қаралды 6 М.