Kaka asantee sana unatubaliki sana na speech zako nilikuwa naomba utufundishe jinsi ya kuwa watulivu ktk maisha yetu baada ya kupokea tarifa mbaya au nzuri au kwa namna yoyote Ile "UTULIVU "
@fedharmmark63982 ай бұрын
Umeendelea kuwa mwalimu wangu bora sana katika maisha yangu, na nimejikuta nafanya yale kwa vitendo unayo fundisha na kuona matokeo yake makubwa; na nimeweza kukuwa kwa hisia, kiakili kimwili na fedha pia. Wewe ni MTEULE.
@paschalmasanilo26172 ай бұрын
Mimi pia yalinikuta na sasa naishi mbali sana na family yangu na kuanza maisha mapya kabisa
@hamisally9742 ай бұрын
good morning team all the way from Zanzibar
@jacksontumaini4892 ай бұрын
Bon voyage
@hekimamyoba-hm5ij2 ай бұрын
Kweli kaka najivunia kukufuatilia
@harithwhite5892 ай бұрын
Hili somo limekuja wakati muafaka, yaani kama limeandaliwa kwa ajili yangu.
@JsephJegizh2 ай бұрын
Ni kweli kabisa mwache aende.mwalim Joel thanks
@devothasimbi64952 ай бұрын
Nilifanikiwa kufanya maamuzi magumu kumuachia kiumbe n'a n'a sasa naona matokeo yake ,uko Sawa kabisa
@olivanooraladin54362 ай бұрын
Kaka Joel mafundisho yako mazuri lkn unapoweka hii sound kubwa naumia Sana masikio
@godfreygerase87132 ай бұрын
Naaam mwalim ni kweli namm iliwai kunitokea kuna binti nilikua naye kimausiano kwa malengo ya kuoana lakini nikipangilia mambo yango yalikua hayaendi kabisaa nilipoanza kukufatilia wewe kuna moja ya maneni unasema fanya maamuzi na nyingine inasema watu hawawez kukuelewa!! Mm nilifanya maamuzi ya kuachana nae niliumia sana lakini kwasasa naona mambo yang yanaenda sawa!! ❤asante mwalim joel mungu akulinde🙏
@NyalingaSamwel2 ай бұрын
Kak ujumbe wako unatunge san endelea kuwa nwalm mwem 🙏
@IbrahimuRamadhani-nc4mr2 ай бұрын
Namshukuru sana kaka Joel, i wish long life God bless you 😢
@ReshimaAbdalla2 ай бұрын
Asante umenitia nguvu ya Jambo fulan🙏
@annoyua56422 ай бұрын
exactly kaka joel😢.. ni ukweli kabisaa,, ilinihrt kweli karibu hata nipoteze maisha yangu.. ann from kenya
@imanimwakinga49342 ай бұрын
Emotional dependence 😮😮😮😮 acha kabisa mwalm
@MrMireal009232 ай бұрын
I real appreciate you; Life coach and Mentor Mentor naendelea kujifunza na kukua kifikra kupitia wewe, kwakweli stay blessed Man of God🧠💪
@ashurashabani72492 ай бұрын
Shukrani sana somo limekuja kipindi nimeamua kumuacha aende😢
@eliasmugume2542 ай бұрын
Asante Sana kwaushauri Mkubwa Mungu Akubariki Sana
@hopingtrust12842 ай бұрын
Hili somo limesema uwalisia wa maisha yangu ya sasa ila umenipa nguvu mpya na kukubali kupoteza🥹
@jacobdaud34252 ай бұрын
Kaka Joel umekua mkomboz sana kwang
@user-sw2fi1gu4j2 ай бұрын
Ni kweli kabisa,
@yusuphmartin99002 ай бұрын
Kaka Kama kunakitabu hiki Cha life wisdom nakihtaji
@emmynjau39832 ай бұрын
Ùnajua unajua unajua tena tunajifunza mambo mengi mazur
@goldiegranted55012 ай бұрын
Shukran sana kwa somo PROFESSOR 🏆
@asiajoseph3142 ай бұрын
😭😭😭mbadala jamani
@shijandobehe49532 ай бұрын
Asantee Sana Mwalimu Kwa ujumbe huu
@godfreygerase87132 ай бұрын
Naa asante kwa kumwita mwali nimekuona ❤
@matrida.lunyilija51962 ай бұрын
Asante kakaangu umenifumbua macho maana nimeng'ang'ania pasipo pendeka,kuanzia sasa nachukua hatua, ACHA AENDE
@aishaabdallah45602 ай бұрын
Shukran kaka somo limeniingia na n mda muafaka napitia kipindi kigumu lkn cna budi kupingana na ukwl kumuacha aende 😭
@saidbanga2 ай бұрын
Ahsante sana japo sauti haikuwa sawa Leo ila ujumbe umetufikia
@hashimuliloto80172 ай бұрын
Ni kweli kabisa....💪🏻💪🏻💪🏻
@imanimwakinga49342 ай бұрын
Kuhisi utakosa mbadala daaah 😢😢😢😢😢😢
@janetmbwana5532 ай бұрын
Shukran sana 🙏🙏🙏
@IddiMakungu2 ай бұрын
Hongera kaka kwa kutupa madini
@Shedrackh2 ай бұрын
Ubarikiwe sana kaka. Umebadilisha maisha yangu kaka
@jacobdaud3425Ай бұрын
Kaka hakika ww ni mteule
@user-gz1cd6kn5j2 ай бұрын
Imeni tokea mke niliye juwa tuta zikana nilimuacha aenda IRA ni maumivu makali mno tuna kupata kaka hazina ya vijana