EPUKA MAMBO HAYA - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 115,171

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 225
@giftymakala3190
@giftymakala3190 3 ай бұрын
Joel nanauka wewe ni mtu muhimu sana na Mungu azidi kukuinua
@ashaidd2912
@ashaidd2912 2 жыл бұрын
Nashukuru Niko makini Kwa yote uliongea mungu akulinde sana we jembe
@assaaresi
@assaaresi Жыл бұрын
naona kwamafunzo yako ujuziwako uwezaidi utupe njiya yaku patanisha watu waju na wachini asante 🙏 mungu akubariki zaidi neno sijawai ku ona hivi wewe niwa kwanza kupana funzo hapa chini yajuwa congratulations 👋
@kyandovaireth4988
@kyandovaireth4988 2 жыл бұрын
Thanks brother. Ila kwa nyongeza point nyingine epuka kupokea offer iwe ya chakula, kinywaji, lift n.k na hasa siku ya kwanza maana offer zingine huwa ni za mtego kwako.
@frankmtei3017
@frankmtei3017 2 жыл бұрын
kama amekupa bila kumuomba ukakataa wakati mwingine inaweza kukuharibia pia
@dastanjonathan6902
@dastanjonathan6902 2 жыл бұрын
Mtengenezee ahisi km unashida(muhitaji) ila hauombi means unaweza zimudu ila akitoa ishi nayo pia ni kumheshimu
@dastanjonathan6902
@dastanjonathan6902 2 жыл бұрын
Mtengenezee ahisi km unashida(muhitaji) ila hauombi means unaweza zimudu ila akitoa ishi nayo pia ni kumheshimu
@allenmdimi8105
@allenmdimi8105 2 жыл бұрын
Kila siku napata kitu kipya kutoka kwako brother mungu akubariki sana
@zickmalik4901
@zickmalik4901 2 жыл бұрын
Hapana pokea kwan ukikataa utakuwa negative side
@fejam9223
@fejam9223 2 жыл бұрын
Kabisa hii kosa ya 5 iko deep sana mtu umekutana naye wewe umetingwa na simu... kitu kinakera SANA.. asanteeee kwa elimu na kutukumbusha haya
@geofreyemanuelzakaria382
@geofreyemanuelzakaria382 2 жыл бұрын
Kaka Joel nayafurahia sana mafundisho yako,nimekuwa nikiyafuatilia sana. Napata mafunzo mengi sna. Hili la kishikashika simu linatusumbua wengi,lkn nimeanza kubadilika. Ubarikiwe sn kwa kugusa maisha ya wengi.
@ElineAngel
@ElineAngel Жыл бұрын
Nakuelewa sana , kaka joeli❤ , point zote nimezielewa mnoo ila ya MWISHO ni Nimezielewa zaidi.😊 ,God bless u broh
@VenanceRoy61
@VenanceRoy61 Жыл бұрын
Asante kaka umenifungulia dunia
@omarimtau5162
@omarimtau5162 2 жыл бұрын
Ni pointi muhimu kuzijua kwa sector tofauti tofauti za kimaisha.. Ahsanteee kwa kutuzindua mr nanauka..
@joelnanauka
@joelnanauka 2 жыл бұрын
Ahsante sanaa
@drkimwaga9583
@drkimwaga9583 2 жыл бұрын
wow Ahsnt sana leader 🙏🏻
@manenolugendo6396
@manenolugendo6396 2 жыл бұрын
Uhalisia hapo nikuepuka kuongea sana Ahsante kwa ujumbe mkuu😐
@emmanuelpeter9022
@emmanuelpeter9022 2 жыл бұрын
Wwe ni best Kila wakt,, endelea kufundisha jamii,.
@captainkomba4739
@captainkomba4739 2 жыл бұрын
Mimi nakushkuru sana yani Sina mda mrefu tangu nianze kufuatilia videos zako Ila binafsi naona mimebadirika sana tena sana asee Mungu akuzidishie icho ulicho nacho na akilinde 🙏
@AmaniManirambona
@AmaniManirambona 11 ай бұрын
Sir Joel,kiukweli nimevutia sana na Maelekezo yako hasa yamenifanya kubadili maisha na kupata matumaini ya mafanikio kunako maisha ya kesho. Nanilikua nashindwa kujua wapi nianzie tena baada ya kufeli kwa mara kadhaa ili kuanzisha mipango yenye kunipa mafanikio hasa pale ninapo ahirikiana na watu wasio sahihi Asante sana kaka❤
@jameskitheka5791
@jameskitheka5791 Жыл бұрын
Thanks sana,nimejifunza kitu may God akuzidishie.Nakufatilia nikiwa kenya 🇰🇪
@musaalsinawi3324
@musaalsinawi3324 2 жыл бұрын
Hi Joel, I'm your neighbour from Uganda.I came across your link on KZbin. Thanks for advising people and all your points are absolutely right. May God bless your work 🤲🤲🤝🙏🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 2 жыл бұрын
Thank you so Much Musa, lets keep on learning.
@ruthmoses6565
@ruthmoses6565 2 жыл бұрын
Huwa napenda nikitulia sana nikuskilize maana Kila neno unaloongea kwangu ni thaman tupu,Mungu kakubariki sana,, endelea kutuelimisha kaka
@dodgerwakitaa2658
@dodgerwakitaa2658 2 жыл бұрын
Nafuatilia sana hadi nifikie pale
@farajamtifu4155
@farajamtifu4155 2 жыл бұрын
Yaani mimi nimeshaharibu point tatu zote zinanihusu,maana kuna mahali nimehamishwa kituo cha kazi, nilipoulizwa kuhusu boss wangu wa zamani,nikajibu simpende,nilipoulizwa kuhusu mazingira mapya nikamwambia boss wangu yaani sipapendi hapa,hata kidogo,duuu asante sana mentor wangu maana umenifunza kitu cha msingi sana
@frankmtei3017
@frankmtei3017 2 жыл бұрын
Ukuhitaji kufundishwa kujibu hayo maswali kiusahihi, ulitakiwa kutumia akili yako vzr tu,,
@muttae2
@muttae2 2 жыл бұрын
Umenena vyema kaka. Hata mimi nilimfurahia sana jamaa mmoja nilipokutana nae kwa mara ya kwanza, wakati tunaagana alitaja jina langu vizuri sana kuliko mtu yeyote niliewahi kukutana nae.
@lucyshayo3520
@lucyshayo3520 2 жыл бұрын
ABAHADIIIIIIIIIIIIIII
@JafaChuga
@JafaChuga 22 күн бұрын
Kuongelea mambo yangu kwawa2
@joliea2956
@joliea2956 2 жыл бұрын
Asante,,nlichokua nakosea nikujieleza maisha ,hapo umenielemisha,from kenya in Saudi 🇸🇦
@josephinebitesigirwe5730
@josephinebitesigirwe5730 Жыл бұрын
kwakweli makosa haya tunayafanya mara nyingi yamkini somo hili limekuja kwa wakati kutusaidia asante sana mtumishi nakuombea mafuta zaidi
@josephinekicheleri860
@josephinekicheleri860 2 жыл бұрын
Kweli kabisa niliitwa na watu wawili kuongea nao niliwaona wa ajabu San walikuwa busy na simu zao wote mmi yangu niliuweka serince kwa kweli niliondok na nikawaambia kuwa siitaki kukutana nao tena wkiwa na shida nami wanipigiee ..kwa kweli kaka MUNGU AKUBALIKI KWA KUTUEMIISHA
@PauloChahe
@PauloChahe 2 ай бұрын
Ahsante sana kaka kwa elim
@alikhamis6326
@alikhamis6326 2 жыл бұрын
Iyo kutamka jina brother imenigusa sana
@hellyfridy
@hellyfridy Жыл бұрын
Ubarikiwe kwa darasa kwa kutoa elimu nzuri katika maisha. Ila mimi mtu akiongelea Timu ambayo siipendi siwezi hata kujizuia
@DARIUSMUGANYIZI-xn6qz
@DARIUSMUGANYIZI-xn6qz 9 ай бұрын
Daah nakoseaga sana Ila asante kwa elimu nzuri mwalimu Leo nimejifunza ktu cha muhimu
@tanomarijani508
@tanomarijani508 2 жыл бұрын
Ahsant sana kaka kwa darasa,, je ni vitu gani vya kuepuka endapo mtu atahitaji fursa kutoka kwako..
@COSMASDAMIANO-y5l
@COSMASDAMIANO-y5l 7 ай бұрын
Duuuh ndo naingia nahis statoka huku,kaka thanks umenifunza vitu vingi leo
@michaelsakejo
@michaelsakejo 9 ай бұрын
uko vizuri ushauli wako ni mzuri asante
@JUMAMASANJA-t7m
@JUMAMASANJA-t7m Жыл бұрын
Hongera sana kaka mana hii ndo njia nzuri ya kutumia mitandao ktk kutoa elimu.Asante
@JoelMhagama
@JoelMhagama 4 ай бұрын
Mungu akulinde
@officialbntrasool5223
@officialbntrasool5223 2 жыл бұрын
Leo ndo nimeanza kukujilua umekuwa rolmodel wangu
@francis-chukwuchiduo8337
@francis-chukwuchiduo8337 2 жыл бұрын
Boy from Shangani PS. Proud bro.
@EdifonceJuma-y8r
@EdifonceJuma-y8r 2 ай бұрын
Thank you brother you can improve me my mind.so God bless you❤
@neemaryan9947
@neemaryan9947 2 жыл бұрын
Asante kaka Joel kwa kutuelimisha nimekua nikifanya makosa mengi nikijua nipo sahihi,, imebidi nitazame Mara mbili video hii ili kuelewa zaidi.
@mariamkitaluka717
@mariamkitaluka717 7 ай бұрын
Joel nimekuelewa vzr Sana mm nina ushuhuda Kuna mtu ambaye had Sasa n rafik kwa sababu tu nilipokutana naye kwa Mara ya kwanza nilionyesha kumsikilza kwa makin Hilo tu lilinipa point kubwa Sana na aliniambia kuwa watu weng hawana hiyo
@MustafaShomari-nh7pn
@MustafaShomari-nh7pn 11 ай бұрын
Shukrani sana brother joel nanauka yana dah naamini kwakazi yako malipoyaduniani ayakutoshi unafanya kazikubwa sana
@evodizzle
@evodizzle 2 жыл бұрын
Video bora ya mwaka
@victornafwa2471
@victornafwa2471 6 ай бұрын
Kuomba pesa ni vibaya Sana...
@bernadetachari7648
@bernadetachari7648 2 жыл бұрын
Najifunzavitumighi sana kwako mughuakupe ufahamu zaidi
@LusajoMboli-ef2xx
@LusajoMboli-ef2xx Жыл бұрын
Uko vzr bro
@danielshekiyao706
@danielshekiyao706 2 жыл бұрын
Joel mwana wa nanauka unatisha
@lizzybahati3739
@lizzybahati3739 2 жыл бұрын
Najifunzaaaaa🙏
@mozasaid3869
@mozasaid3869 2 жыл бұрын
Ahsante kaka Joel Nanauka
@Alexnderlique123-ze7mh
@Alexnderlique123-ze7mh Жыл бұрын
Habari joel ninaneno yakuuliza unaeza nipa nafasi
@sakinaamundala5253
@sakinaamundala5253 2 ай бұрын
Shauri yako Niyamuzuri saana kaka
@ValeliaJames
@ValeliaJames 7 ай бұрын
Nzuri hii imenifungua, kazi nzuri hongera
@JennipherChina
@JennipherChina Ай бұрын
Me pia napenda mtu ataje jina langu vizuri
@JemaKalinga
@JemaKalinga 6 ай бұрын
Asante sana kaka joel lakn mm point ya 4 inanihusu apo cjui ntajizuiaje
@AdventJulius
@AdventJulius 2 ай бұрын
Nimejifunza kitu kaka
@idrisanassor7744
@idrisanassor7744 Жыл бұрын
Hongeraa snaaa
@aash4145
@aash4145 2 жыл бұрын
Aksante kwa mafunzo mazuri kaka
@salvinamakindi473
@salvinamakindi473 2 жыл бұрын
Dah mungu mwema yote hayo sijawahi kufanya makosa na spend mtu nikutane nae ayafanye kwenye jina apo ume patia ata me napenda mtu ataje jina langu vizur napenda mtu ajari muda wangu sio tunaongea Yuko busy na sim spend atu mweny misifa mingi . asante kwa kunikumbusha
@stuntkizzy
@stuntkizzy 2 жыл бұрын
Una creativity jamaa angu
@hellenismail4351
@hellenismail4351 2 жыл бұрын
Mungu Akubariki na kukuinua zaidi my brother💕💕💕💕
@nkeshimanayuda1115
@nkeshimanayuda1115 4 ай бұрын
Wewe ni mwalimu bora
@festoamos_tz
@festoamos_tz 2 жыл бұрын
Nimejifunza mengi ikiwemo kumsifia mtu (kum-compliment, au kum-appreciate) ni kitu napenda sijui kama kuna kosa kumwambia mtu, mfano. you look nice, and beautiful, I am happy to meet you...... (Msaada hapo kiongozi)
@athumanipigo9295
@athumanipigo9295 2 жыл бұрын
Ubarikiweee
@perpetuajambia9021
@perpetuajambia9021 6 ай бұрын
Asante sana kaka Joel
@MatokeoJoseph.Fonkol
@MatokeoJoseph.Fonkol 8 ай бұрын
kwanza mungu ajalie sote tuwe na afya njema ili tuweze kupewa elim tukiwa na afya njema nashukuru xana tangu nilipo anza kuku fuatiria kuna mengi nime jifunza kutoka kwako pia miaka 3 iliyo pita nili fuaata elim yko kweri nili weka nizam ya pesa hadi kubadili pare nilipo kuwa hadi wa tofauti baada ya hapo mwaka ulio fata nilikuwa wa tofauti na marengo yare pia nime pata mazara mno nashukuru elim yko ina nipa somo kubwa naanza mwanzo nikiwa wa tofauti sana niritupa marengo marengo yaka nitupa hivi akili imekuwa na nita simama tena mungu akupe afya njema ili uweze kutupa elim
@AllexMartin-m9w
@AllexMartin-m9w 11 ай бұрын
God bless you Joel 🙏
@SHILECKIZACHARIA
@SHILECKIZACHARIA 5 ай бұрын
Asante sana Joely
@halimahleema5165
@halimahleema5165 2 жыл бұрын
Thanks teacher yote uliosema yanatuhusu Kwa nija moja au nyingine
@Bbwaoy
@Bbwaoy 2 жыл бұрын
“kuongea sana/ Ujuaji” mbaya sana hii.
@AmosMsema
@AmosMsema 6 ай бұрын
GOD bless you abundantly
@erickevarst9589
@erickevarst9589 2 жыл бұрын
Siongezi kitu hapo juu ya somolako, ila nimepata kitu kizuri nmecho jifunza wewe Roll model wangu, tangu 2019, hua siifungui KZbin bila kupita kwako, na hivi Sasa najipanga kuanza kununua Ebook zako zakutosha maana Umekwisha niosha akiliyangu na Mungu kaongeza kuyafumbua machoyangu pia. Asante Kaka Joel Nanauka. Mungu azidi kukutunza.
@joelnanauka
@joelnanauka 2 жыл бұрын
Ameen ahsante sana
@mjumbemwanda9666
@mjumbemwanda9666 2 жыл бұрын
Very very informative
@MasungaGahima-es5ei
@MasungaGahima-es5ei 6 ай бұрын
Sehemu ya nne ishawahi kunikuta
@davidmushi2212
@davidmushi2212 2 жыл бұрын
Asante sana. umefundisha kitu cha muhim sana.
@RadislausMlende
@RadislausMlende 3 ай бұрын
Asante sana tuko. Pamoja
@RamadhanMtaki-sw1gx
@RamadhanMtaki-sw1gx Жыл бұрын
Shukrani Sana mkubwa mungu hawe nawe
@MaryClement-r9k
@MaryClement-r9k 11 ай бұрын
Thanks. Bro kwa ujumbe mzuri
@selenganyagawa1358
@selenganyagawa1358 2 жыл бұрын
Shukrani ndugu umetoa elimu muhimu kabisa, itasaidia hakika.
@mcnyoka
@mcnyoka 2 жыл бұрын
Hongera mkuu 200K subscribers na mimi nimo humo🤝
@EmanuelIsamba
@EmanuelIsamba 11 ай бұрын
GOD BLESS YOU JOEL
@paschalmtaki8117
@paschalmtaki8117 2 жыл бұрын
Safi sana kaka
@Suka_Dm_Guy
@Suka_Dm_Guy 2 жыл бұрын
Kila mara nipo pamoja nawewe bro na nimejifunza mambo mengi sana mungu akuweke zaidi kwa faida ya wengine
@laureenodimba9261
@laureenodimba9261 4 ай бұрын
Great content, keep it up 😊
@dastandomition7665
@dastandomition7665 2 жыл бұрын
Nimekupata brother,, thanks
@emanuelchanya5182
@emanuelchanya5182 2 жыл бұрын
NZURI SANA JOEL ,LIMBUKO LIKIWA JEMA NA DONGE LOTE LINAKUWA JEMA .NA HAPO UMEZUNGUMZIA NAMNA TUNAPOKUTANA NA WALE AMBAO TUNAWEZA KUPATA FURSA TOKA KWAO INGAWA KILA MTU NI FURSA LAKINI JE KWA MARA YA KWANZA TUNAPOKUTANA NA WATU WANAOHITAJI FURSA TOKA KWETU NI YAPI YA KUEPUKA .SALUTE SIR JOEL.
@paulyusuph7572
@paulyusuph7572 2 жыл бұрын
Nimekupta sana bro joel kutoka iringa mafinga
@yvesniyongabo9437
@yvesniyongabo9437 Жыл бұрын
Thanks for your wise word Sir, tunajifunza vitu vingi kwenye mafunzo yako. From 🇧🇮
@EmmanuelMoswala-pj4hu
@EmmanuelMoswala-pj4hu Жыл бұрын
GOD BLESS YOU
@victoriamerura9382
@victoriamerura9382 2 жыл бұрын
Thanks so much, may good Lord bless you 🙏
@isayandege1837
@isayandege1837 2 жыл бұрын
Brother Joel,,,habari yako,,,,kwa kweli nimekuwa nafatilia sana video zako,,,,,mimi nimewahi kosa mke kwakusemea cm yake na kucha tuu,,,,,,,yani sikuamini kilicho nitokea,,,,ahahaa
@deboraclass9282
@deboraclass9282 2 жыл бұрын
Daaah...🥺😅
@RashmaAbdulla
@RashmaAbdulla 2 ай бұрын
Asante kwa mafunzo
@advocateishengoma1088
@advocateishengoma1088 2 жыл бұрын
Hujazungumzia point nyingine demu kukuomba nyingii kisa tu umeonyesha kumpenda,pesa unayoombwa ni kama umetozwa faini ya kumpenda
@sophykitale9981
@sophykitale9981 2 жыл бұрын
Asante sana my mentor nimeongeza kitu kwenye safari yangu🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@scolakalindu8077
@scolakalindu8077 2 жыл бұрын
Mimi ni mwanafunzi mzur yani umekiwa furaha kwangu asante kaka
@dodgerwakitaa2658
@dodgerwakitaa2658 2 жыл бұрын
Nakumbuka tu kua mkuu wetu wa shule alikua mama Nannauka
@andrewmusa9592
@andrewmusa9592 3 ай бұрын
Ubarikiwe Sana
@amkenikumekucha
@amkenikumekucha 2 жыл бұрын
Asante ndugu kwa ushauri, barikiwe.
@doreenlyimo4142
@doreenlyimo4142 2 жыл бұрын
Asante Sana kwa somo zuri Kaka Joel
@Justinebaada
@Justinebaada 2 жыл бұрын
Nimejifunza kitu hapa barikiwa Sana mentor wangu
@ggvv9970
@ggvv9970 Жыл бұрын
Duuuuh Safi sana....Mimi sio mara ya kwanza ata sasa mtu namchukia nkiwa naongea nae na call ye anaongea namimi uku ana chat pia namchukia..
@saumusanjiama6991
@saumusanjiama6991 2 ай бұрын
Shukran sana
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 5 ай бұрын
Asante sana kaka N
@RedemptaShio-yi9dx
@RedemptaShio-yi9dx Жыл бұрын
Ushauri kwa wasiokukubali ndio tatizo kubwa
AINA 5 ZA KUFIKIRI ZINAZOFELISHA WATU - JOEL NANAUKA
9:23
Joel Nanauka
Рет қаралды 68 М.
NJIA 3 ZA KUMUACHA MTU UNAYEMPENDA.
8:50
Mbeki TV
Рет қаралды 48 М.
Сестра обхитрила!
00:17
Victoria Portfolio
Рет қаралды 958 М.
IL'HAN - Qalqam | Official Music Video
03:17
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 700 М.
Vitu Vinavyowakera  Wanawake - Joel Nanauka
8:50
Joel Nanauka
Рет қаралды 191 М.
Siri (8) za Kufanikiwa Kiuchumi Na Reginald Mengi
11:32
Pesa360
Рет қаралды 93 М.
Unataka Kufanikiwa? Hizi Ndizo Sifa za Watu Wenye Mafanikio Makubwa.
6:24
Njia Tano (5) Unazoweza Kuzitumia Kuongeza Ujasiri
9:37
Joel Nanauka
Рет қаралды 199 М.
UNAMPENDA LAKINI YEYE HAKUPENDI - JOEL NANAUKA
9:15
Joel Nanauka
Рет қаралды 237 М.
SELF CONTROL Dhirigalin | Sheikh Mustafe Hajji Ismail
18:45
abdull عبدول
Рет қаралды 232 М.
Mambo ya Kuzingatia Ukitaka Kufanikiwa Kwenye Maisha - Joel Nanauka
17:05
FANYA JAMBO MOJA KWA MUDA MREFU - JOEL NANAUKA
29:30
Joel Nanauka
Рет қаралды 200 М.
MITAZAMO INAYOLETA UMASIKINI - JOEL NANAUKA
6:26
Joel Nanauka
Рет қаралды 63 М.