Wajue Maadui 4 Kwenye Maisha Yako

  Рет қаралды 141,575

Joel Nanauka

Joel Nanauka

3 жыл бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 379
@samwelbashongana960
@samwelbashongana960 3 жыл бұрын
Tangu nimepata kazi kwenye hii kampuni, nimekutana na maadui watatu wa kwanza. Ila Mungu kanipigania na sasa niko ktk kitengo ambacho, hawana access kubwa ya kuniathiri. Ila Namshukuru Mungu sana.
@merymanswet7724
@merymanswet7724 3 жыл бұрын
Sasanasana uyu hamani uyu ndio yupo ananizingra
@abdultandala9600
@abdultandala9600 3 жыл бұрын
Nimekuelewa brother' ww nimkombozi wa fikra mungu akupe maisha marefuuuuu!
@lovenessmasai2204
@lovenessmasai2204 3 жыл бұрын
Toka nimekujua kaka sijawahi ona kama napoteza MB zangu,thanks much stay blessed Mungu akupe mbawa za tai uruke mbaali na maadui wote,tuzidi tupate elimu zaidi.
@neemaemanuel7715
@neemaemanuel7715 Жыл бұрын
Kwanza asante Sana kwa kutupatia elimu kweli binafsi nashukur, mim nimeshakutana na Hawa maadui ila Adui Kaini daaa anatisha saana
@naomimasawe4571
@naomimasawe4571 3 жыл бұрын
Dah!!! Haya yote yamenitokea kwenye maisha. Asante kwa mafundisho yako mazuri ndugu.
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 2 жыл бұрын
Sawa brother
@kidstvk
@kidstvk 3 жыл бұрын
Ikiwa ningejuwa hii miaka saba iliopita singekuwa jinsi nilivyo. Nimekutana na maadui wote hao maishani mwangu hadi sasa nina maumivu yalio sababishwa na maadui. Kwa kweli hili ni somo kubwa kwa wale hasa hawajakutana na baadhi ya maadui hawa. Hata na mimi itazidi tu kunifungua macho. Asante sana Joel N. Tuko pamoja sana kk nikiwa hapa 🇺🇸.
@joelnanauka
@joelnanauka 3 жыл бұрын
🙏🏻🙏🏻 pamoja sana
@groryrichard8367
@groryrichard8367 3 жыл бұрын
kaka huwa nakuelewa sana mungu akubarki sana
@groryrichard8367
@groryrichard8367 3 жыл бұрын
broo naomba utusaidie sana maana hao ndoo tuko nao ktk maisha yetu
@samwellishinu872
@samwellishinu872 3 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu maan umenipa hamasa zaidi juu ya ujasiri I thought that I was nothing in this world but through your videos,now I see the greatness inside me
@radhiafujdvinradhia4144
@radhiafujdvinradhia4144 3 жыл бұрын
Daaaaahh yaani kaka Joel mm hao wote nimekuta nao pia nimebaki Na maumivu moyon ,Ila ninaamini kupitia makala zako nitapona kwa haraka zaidi ,pia nimepata njia ya kuwaepuka kaka,ubarikiwe kaka Joel kwa mafundisho yako maana napata faraja kubwa sn .....
@jamesibrahim8849
@jamesibrahim8849 3 жыл бұрын
Kwangu Mimi takribani mahadui wote wanne wamegusa maisha yangu. Ndio maana mpaka sasa sijui nani wakumwamini. Tunashukuru sana kwa somo na Mada hii
@tatoissa4442
@tatoissa4442 3 жыл бұрын
Hao tunao huku mtaani
@AngelMassawe-nz9sk
@AngelMassawe-nz9sk 2 ай бұрын
Namshukuru Mungu kwa ajili yako japo dunia imefika nyakati zilizosemwa Mungu hajatuacha ameleta watu kina Joel Mungu asante bado unatupenda ubarikiwe JOEL
@tressamakunzo2203
@tressamakunzo2203 3 жыл бұрын
Kaka wote hao ekutana nao,wmenifanya nilie sana na kukosa tumaini ila now namwamini Mungu tyu ndio rafiki mzazi mshauri ubarikiwe kaka Joel😓😓
@saidiramadhani2883
@saidiramadhani2883 3 жыл бұрын
Nilishakutana nao maadui hao nilichofanya ni kuwapuuza
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 3 жыл бұрын
@@saidiramadhani2883 yaan wanachochea ungovi pia na roho za chuki
@evaharuna5595
@evaharuna5595 Жыл бұрын
Usilie
@tabsonmgallah
@tabsonmgallah Жыл бұрын
Adui penina nomekutana NAYE nimuepukaje
@tabsonmgallah
@tabsonmgallah Жыл бұрын
Haman pia NAYE nomekutana NAYE hasa KWENYE mambo ya kiroho
@ponsianamataka4607
@ponsianamataka4607 Жыл бұрын
Asante sana kutusaidia zaidi na zaidi kufafanua, kuielewa Biblia na kuhusuanisha na maisha. Mungu akubariki sana.
@monicacharles1443
@monicacharles1443 3 жыл бұрын
Naona kuna mmoja kabeba kombe kaka Joel maana aina zote 4 zinamuhusu, namshukuru Mungu nimemjua, ubarikiwe Kaka
@joelnanauka
@joelnanauka 3 жыл бұрын
😂😂😂 eti kombe
@monicacharles1443
@monicacharles1443 3 жыл бұрын
@@joelnanauka ndio maana kabeba yooote 😅😅😅
@buyeginkwabi8409
@buyeginkwabi8409 3 жыл бұрын
I appreciate......Natamani pia kufahamu tunawezaje kuishi nao au kukabiliana nao wasilete madhara kwetu....Thank you very much.....
@godfreymwanache668
@godfreymwanache668 3 жыл бұрын
Brother be blessed sana MUNGU anakutumia kuwakomboa vijana katika fikra na uchumi
@jumamabruck7846
@jumamabruck7846 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭uwiih Kain na Delila Penina Ni mtu mmoja ana tabia za hao wote .....ila nimejifunza Asante...
@FrolaMbembela-lt8jy
@FrolaMbembela-lt8jy 2 ай бұрын
Jamani sina chakusema mungu pekee ndiyo tumaini langu pekee mungu akubaliki kaka endelea kututia moyo tulio vijika 🙏🏼🙏🏼
@user-xi4pd1yw7o
@user-xi4pd1yw7o 7 ай бұрын
Jomn uyu Kaka namuelewa mmpk namuelewa tena mashallah Allah akupe siha na afya ilokua mzr
@aminatundondege9384
@aminatundondege9384 3 жыл бұрын
Na ni kweli lazima kuomba Mungu sana,ili akujuze na kukuepusha maadui hao,ni hatari!
@SHILECKIZACHARIA
@SHILECKIZACHARIA 13 күн бұрын
Kaka kaka Mungu akubariki adui Kaini alinitesa saaaaaaana! Yaaaani walinitesa jamani ! Niliwapenda ndugu zangu wa damu niliwasidia! Ila mwisho wa siku hiiiiiii walichonifanya kina kaini! Hadi mamaangu , kumbe nilikuwa sijui kama huwa wananiombea mabaya ndugu zangu! Hadi wakanitamkia kabisa, una nini nawewe, mshahara wako wenyewe wakununua pedi tu! Anayesema hivyo, nimemsaidia jamani ! Uwiiiiii ni mdogo wangu kabisa! Nimelia jamani! Ndugu zangu wameniliza, nilipambana kusoma na wao hawakusoma! Basi uwiiiiiiii ! Jamani ila kwa sasa baada ya kujua vizri kwakweli nimeamua kupambana na maisha yangu huku nikifuata ushauri wako! Kwakwelinimekuja kwako wakati sahihi! Naomba nipone nina majeraha yanamwaga damu nyekundu mno! Halafu nilipoharibikiwa wakanitenga!!!! Wakamshawishi mpka mama, nae akanichukia, wakaingia mpka kwenye ndoa yangu! Mpka kwa majirani! Uwiiiii mwalimu! Itoshe tu kusema Mungu akuinue zaidi!
@matrugnawangaeli4815
@matrugnawangaeli4815 3 жыл бұрын
Kwa kipindi ninachopitia inawezekana kabisa kwamba kuna adui. Ni nani adui wangu kusema ukweli sijui. mambo ni mengi na kama unavyo jua huu wakati hatuambatani na watu. Mimi nafuata ushauri wa Mungu kwamba nipende watu wote na kwamba adui wangu ni adui wa Mungu wangu, na naamini kwamba Mungu atamshughulikia. Ahsente kwa maeleyo ninajifunza mengi. ubarikiwe
@SmilingBabyPenguin-sp9ro
@SmilingBabyPenguin-sp9ro 4 ай бұрын
Asante sana brow nimikubari waminitokeya watu kamawo
@charlesfaida1515
@charlesfaida1515 3 жыл бұрын
Asante Sana Bro Joel Nanauka MUNGU aendelee kukulinda Sana 🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 3 жыл бұрын
Ameen, Charles
@elizabethkhagile7530
@elizabethkhagile7530 Жыл бұрын
Dah,,,,ahsante Sana, hasa haps nibora kua mwenyewe mwenyewe tu
@JenniferKimath-px5fo
@JenniferKimath-px5fo 9 ай бұрын
Asante Kwa mafundisho mazuri jinsi ya kukaa na marafiki Mungu akutunze na kukupa mafunuo zaidi.
@josej9888
@josej9888 Жыл бұрын
Tunaishi nao Sana hao.
@otiliahaule5180
@otiliahaule5180 3 жыл бұрын
Mungu wambinguni naomba uniepushie maadui zangu
@joelnanauka
@joelnanauka 3 жыл бұрын
Ameen
@anisetaberi3093
@anisetaberi3093 3 жыл бұрын
Kaka kaka be blessed umekuwa msaada sana in mylife
@joelnanauka
@joelnanauka 3 жыл бұрын
Nashukuru sana, tuendelee kujifunza
@latiphakiwelu8394
@latiphakiwelu8394 2 жыл бұрын
@@joelnanauka kweli mtumishi wa mungu jmn ni kweli kbs MUNGU niponye
@latiphakiwelu8394
@latiphakiwelu8394 2 жыл бұрын
@@joelnanauka minimewahi kukutana nap wote Mtumishi wa MuNGU
@upendonsemwa4573
@upendonsemwa4573 Жыл бұрын
Asante kwa somo zuri sana.Huyo adui kaini nimekutana nae ameniumiza sana sana ila nimemgundua nimeamua kukaa nae mbli ,asante kwa kunikomboa fikira zangu ubarikiwe kwa somo zuri
@hamissitta7062
@hamissitta7062 3 жыл бұрын
Ni kweli kaka maana unayoyazungumza kwenye makala hii nayaona ktk mazingira ya kaz, nakutana na kila aina ya maadui hawa, asante mungu akubarki!
@tommykailanga730
@tommykailanga730 2 жыл бұрын
Asee! Hiii imenigusa sana kama Unanijuwa Mungu akutangulie popote Uwendaka!Joel Nanauka.
@nickvonmusic
@nickvonmusic 2 жыл бұрын
Asante Mungu ,kwa zawadi hii ..kutoka kwa kaka Joel Nanauka
@upperclass68
@upperclass68 Ай бұрын
aisee somo la leo limenigusa sana kaka joel endelea hivyohivyo
@merryhussen2775
@merryhussen2775 3 жыл бұрын
Asante kaka !! adui yangu no moja Ni penina alikua karbu sana kila nitakachofanya anajifanya mwema kwangu kumbe ni Mt mbaya kwangu, no mbili ni kaini ni mtu ambaye nilikua nashea nae changamoto zangu za biashara anasikitika na mm kumbe ni muongo moyoni anajua anachokifanya na hata kama Nina shida na pesa kiasi ananipatia kumbe ni kaini hatari ila namshukulu mungu nimemfahamu
@nagiphasuleimani9246
@nagiphasuleimani9246 Жыл бұрын
Yàaani advice zako ni dawa na tiba tosha M/Mungu akuzidishie Kwa kile ulichonacho kaka angu 🙏.
@MaarifaZaidimz
@MaarifaZaidimz 3 жыл бұрын
Kaka God bless you kwa kweli Mungu amekuleta kwa kusudi hapa Tanzania
@emmanuelbenjamin4656
@emmanuelbenjamin4656 Жыл бұрын
You are a professor of the reality.
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын
Duh shukrani Sana nimejifunza
@tupokengwala2027
@tupokengwala2027 3 жыл бұрын
Asante kwa kutujuza
@ramadhanalmashamza3458
@ramadhanalmashamza3458 9 ай бұрын
Ubarikiwe sana kaka
@momkabura8955
@momkabura8955 2 ай бұрын
Kaka hakika asante sana wapo na tupo nao mimi nimeshawaham kwa sasa nipo mbali nao sana na naendelea kuondokana nao
@MwambaDidier-wq4qu
@MwambaDidier-wq4qu 5 ай бұрын
Niaje unaweza kujilinda hao aina zamaadui nanivipi unaweza ukawapiganishe kwakuwakomeshe ili wasije wakayaharishe maisha yako ,nafurahiya masomo yako muchungaji.
@user-gv4pc9if2u
@user-gv4pc9if2u Ай бұрын
Unapendwa na MUNGU BABA siyo bure uwezo huo alikuandaa kwa namna yake I trust you our Kaka
@husnamohamed9245
@husnamohamed9245 10 ай бұрын
Nskupenda sana kwa elimu unayotupa kwa kwelibinatisaidia sana asante sana kaka. Mungu akubariki. Amin
@_benytz1573
@_benytz1573 3 жыл бұрын
Nilichogundua ndio maan hata wealth people huwa hawapendi sana kuwa na watu ovyo ovyo.....nafkr ni kwa sababu ya kuminimize that enemies.......tunahitaji kumuomb sana mungu juu ya hili kwenye kuliepuka....
@aishanasri7561
@aishanasri7561 2 жыл бұрын
Nafurahishwa katika mafundisho yako
@mimallitho1
@mimallitho1 Жыл бұрын
Nimekutana na Huyo adui penina juzi tu wananichafu Kwa magrp yao wananiongelea vibaya ila yote nimemuachia Mungu Nina imani ipo siku Allah Atanilipia Kwa Yote🙏🙏🙏
@josephinajosephu6859
@josephinajosephu6859 3 жыл бұрын
Cna cha kusema juu yako♥️♥️♥️mungu akuweke zaid uzid kutupa madini🙏🙏🙏yang dua tu my lovely broo🙏🙏🙏
@vumiliajulias6625
@vumiliajulias6625 2 жыл бұрын
Asante kwa ujumbe ubarikiwe
@meijomakeseni4747
@meijomakeseni4747 2 жыл бұрын
Ubarikiwe mpendwa joel
@levinalyimo6240
@levinalyimo6240 Жыл бұрын
Jaman kweli umenifundisha Sana kuhusu Hawa maadui hasa huyu Kain. Napenina mungu akupu miaka mingi uendelee kutufundisha hakika wewe no doctor
@reginaldipeter2272
@reginaldipeter2272 2 жыл бұрын
Haya nakutana nayo JEHOVAH NISS ,WARUMI 8:37 Atatushindia Mungu akuinulie watu sahihi wa kukuombea Siku zote
@raphaelassenga554
@raphaelassenga554 Жыл бұрын
Yes...you are a great Man... perfect
@leilalusekelo153
@leilalusekelo153 Жыл бұрын
Daah wote hao tunaishi nao kwa akili sana maana ukikaa vibaya tu🐍🐍 kaka Joel Mungu akubariki sana nazid kujifunza zaid
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 2 жыл бұрын
Umenitoa mbali sana my brother from another mother ubarikiwe Sana mpaka ushangae
@wilfredlukumay6311
@wilfredlukumay6311 Жыл бұрын
Kwa kweli haya yote nimesha kutana nayo. Huyu wa nne nimekaa naye muda mrefu sana,ila Mungu alikua upande wangu.
@rebeccamukonyi3489
@rebeccamukonyi3489 Жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏 nikweli.nimejifunza utofauti wa maadui
@Meck25554
@Meck25554 Жыл бұрын
Asante Kwa mafundisho
@abelntobi382
@abelntobi382 3 жыл бұрын
Thanks kwa elimu yako kubwaa
@user-qy7wv3xv4o
@user-qy7wv3xv4o 14 күн бұрын
Kweli kabisa Mimi ninandugu yangu ila utasjabu unakuta mtu ananiulizia anataka tuonane akiulizwa tu huwaambia jamaa amesafiri mara unapokutana nahuyo anayekutafta anabaki na mshangao kweli.
@phocuskifaluka9027
@phocuskifaluka9027 Жыл бұрын
Yaaan ninao wote aise. Dahhh. Joel. Bg up kaka
@KingSolomon-jo3dh
@KingSolomon-jo3dh 9 ай бұрын
Nashukuru sana kaka una tupa seaport ya tunako kwenda
@hellenachola9808
@hellenachola9808 3 жыл бұрын
God is able in every seasons
@neemaamon4960
@neemaamon4960 3 жыл бұрын
Nimekutana na kaini,Delila na hamani hivi Sasa ananitesa sanaaa
@josephmuhoji3813
@josephmuhoji3813 2 жыл бұрын
Asante braza nimeelew
@willysteyofficial4450
@willysteyofficial4450 2 жыл бұрын
Asante sana kwa mafundisho yako nimejuwa aina za maadui
@rachelraphael1355
@rachelraphael1355 2 жыл бұрын
Aisee Maadui hawa nimekutana nao hasa Penina habil na Naamani ni wauaji kabisaa
@frademyindustry3751
@frademyindustry3751 2 ай бұрын
God be with you
@anordgerison8639
@anordgerison8639 3 жыл бұрын
Nakukubali Sana officer Wang
@almannahcompany2365
@almannahcompany2365 Жыл бұрын
Mwalimu ahsante Sana huyo adui wa tatu alikuwa ni mama yangu mkubwa,aisee alisimama ila hakuweza mungu akanipa ushindi.
@bombokojunior7479
@bombokojunior7479 3 жыл бұрын
Asante sana Joel 🙏
@kuruthumcharles626
@kuruthumcharles626 3 жыл бұрын
asante kutufumbua macho delila mbaya sana unajua mwenzio kumbe mbaya du
@kelvooonowbert7427
@kelvooonowbert7427 Жыл бұрын
Asante mwalim
@user-we4pv3hj2w
@user-we4pv3hj2w 6 ай бұрын
Asante kaka joel
@thepowerofchristministry1918
@thepowerofchristministry1918 3 жыл бұрын
Aise nimepitia sana,nilistushwa kusikia maneno yamtu nilie msaidia sana,akisema vibaya sana kuhusu mimi
@masungamusingi-lu6qx
@masungamusingi-lu6qx Ай бұрын
Kaka upo vizuri sana yan
@anzub7508
@anzub7508 9 ай бұрын
Nimekuerewa joel
@beatricemshubi479
@beatricemshubi479 Жыл бұрын
God bless u mom nimekuta a sana na kain na penina
@daniellepari4525
@daniellepari4525 3 жыл бұрын
Ahsante sana Nanauka kwa mafunzo yako mungu akupe maisha marefu enye uzima ndaniake 🤞
@salehali4saleh19
@salehali4saleh19 3 жыл бұрын
Hao wote nishakutana nao ila nimewapiga na chini na kwa sasa naishi peke yangu naamini rafiki wa kweli ni Allah
@saifalhabsi4829
@saifalhabsi4829 3 жыл бұрын
Dh kaka asante sana nakuelewa hayo yote unayo yasema yapo kweri mungu akubaliki kutukumbusha na kutuelimisha
@justinmsigwa1791
@justinmsigwa1791 3 жыл бұрын
Mungu akuzidishie nguvu Zaid coz masomo yako kwakweli yanamafunzo makubwa Sana mkuu
@aash4145
@aash4145 Жыл бұрын
Shukrani kaka kwa tupa elimu
@Bintilundo3362
@Bintilundo3362 2 жыл бұрын
Mungu awe msaada wa ulinzi wa maisha yetu
@simionbirai7851
@simionbirai7851 Жыл бұрын
Nimependa sana
@rpgmovies.350
@rpgmovies.350 3 жыл бұрын
Nipo nao maadui wa namna hiyo wote kabisa kama ulijua ulijua bro asante sana.
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 2 жыл бұрын
Barikiwa zaidi kaka wengine nindugu kabisa
@aminatundondege9384
@aminatundondege9384 3 жыл бұрын
Kaka Joel mmh!yaani ni kweli kabisa !unachosema ndivyo ninavyokutana nao,mie nina adui Delila na Kaini,yaani tena wa karibu sana.Asante kwa kunifungua macho zaidi,yaani wakati mwingine unajiuliza kwani kuna shida gani?
@wardw3022
@wardw3022 2 жыл бұрын
Wote nimekutana nao watu wa namna hii.Mungu akubariki
@lucianambalamwezi1864
@lucianambalamwezi1864 2 жыл бұрын
Yaani nimejifunza kaka asante sana
@essaukumburu3414
@essaukumburu3414 Жыл бұрын
Nimekutananao wengi sana!
@cecylianhumbi2672
@cecylianhumbi2672 3 жыл бұрын
Nimekutana nao Sana hasa adui hamani,,, ubarikiwe sana kwa masomo mazuri
@roi2554
@roi2554 3 жыл бұрын
#JOEL_NANAUKA *WATU WENGI HUWA TUNASUMBULIWA SANA NA WIVU WA KIMAPENZI SO, NINGEPENDA UTUPE ADVICE JINSI YA KUEPUKANA NAO*
@esthetbabu7481
@esthetbabu7481 3 жыл бұрын
Thank you for good reason
@irenewanyonyi5923
@irenewanyonyi5923 3 жыл бұрын
Mimi nimekutana na hao maadui wote wanne Asante kwa kunipatia elimu
@hadijajohn7434
@hadijajohn7434 2 жыл бұрын
Yani kweli kabisaa wanawivuu sana
@hadijajohn7434
@hadijajohn7434 2 жыл бұрын
Naona ni wote ninekutana nao lakini kwa mipango ya mungu nimesimama.tena asante
@donaldsydney8574
@donaldsydney8574 2 жыл бұрын
Mungu akubariki kaka
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 2 жыл бұрын
Ahsante sana
@issahategekimana7232
@issahategekimana7232 2 жыл бұрын
Asante sana kwakutuonya
@annamwanzonje5627
@annamwanzonje5627 3 жыл бұрын
Thank Joel
Siri 4 Za Kuvutia Watu Muhimu Kwenye Maisha Yako.
9:48
Joel Nanauka
Рет қаралды 152 М.
Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa.
59:26
Personal Finance Hub
Рет қаралды 17 М.
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 13 МЛН
Haha😂 Power💪 #trending #funny #viral #shorts
00:18
Reaction Station TV
Рет қаралды 15 МЛН
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 53 МЛН
FANYA JAMBO MOJA KWA MUDA MREFU - JOEL NANAUKA
29:30
Joel Nanauka
Рет қаралды 173 М.
ONGEZA THAMANI KWENYE MAISHA YAKO
36:48
Success Path Network
Рет қаралды 16 М.
Aina Nne (4) Za Watu Wanaoua Ndoto Zako - Joel Nanauka
8:43
Joel Nanauka
Рет қаралды 107 М.
MAOMBI YA ASUBUHI by Innocent Morris
16:53
Holy Spirit Connect
Рет қаралды 690 М.
NAMNA YA KUISHI RAFIKI YAKO AMBAYE UNAJUA NI MNAFIKI
5:21
Lazaro Samwel
Рет қаралды 13 М.
NGUVU YA ZIADA KWENYE KUWEKA MALENGO - JOEL NANAUKA
41:10
Joel Nanauka
Рет қаралды 118 М.
IL CICLO KARMICO E LE LEGGI UNIVERSALI (Messaggio molto potente)
22:40
La Mente Vincente
Рет қаралды 114 М.
Watu Unaopaswa Kukutana Nao Kwenye Mwanzo Mpya (Day 2) - Pastor Joel Nanauka
1:38:36
Total Healing Ministries
Рет қаралды 19 М.