Siri 4 Za Kuvutia Watu Muhimu Kwenye Maisha Yako.

  Рет қаралды 153,055

Joel Nanauka

Joel Nanauka

3 жыл бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 307
@hopenamwela959
@hopenamwela959 2 жыл бұрын
I'm from Kenya 🇰🇪 and my life is changing through your teachings ❤️
@samweldaniel3774
@samweldaniel3774 Жыл бұрын
Maisha yangu umeyabadilisha sana mungu anakutumia sana kaka
@dausonphilemon270
@dausonphilemon270 3 жыл бұрын
Ninamtukuza Mungu Kwa ajili yako mwalimu, you changed my life
@jofreysinchenje1995
@jofreysinchenje1995 3 жыл бұрын
Kaka Joel ubarikiwe, Nitakutafuta cku moja tukijaliwa uzima, Keep it up, unatuwakilisha vyema watanzania, Nami Ni miongoni mwa vijana wanaojivunia katka kutatua changamoto, miaka mitatu tokea Sasa nitakuwa billionea katka Nchi yangu ya Tz, inawezekana kabisa.
@gospelgarden1846
@gospelgarden1846 3 жыл бұрын
This channel ni shule tosha! Asante sana Kaka Joel.
@rosemarythorani9710
@rosemarythorani9710 2 жыл бұрын
Thanks Joel unaniimarisha kila iitwapo leo hivi nilivyo Leo unamchango mkubwa Sana katika maisha yangu. Mungu aendelee kukutunza ili kusudi la wewe kuwepo duniani litimie
@JACOBJACOB-ns8ji
@JACOBJACOB-ns8ji Жыл бұрын
Kaka mimi ni mwanachuo but nasomea koz amaboyo haikua ndoto yangu dah!! Nateseka sana,kimawazo.nifanyeje ili hiii hali iiishe?
@agneslobulu7864
@agneslobulu7864 Жыл бұрын
My Bro Joel my Mentor, unani inspire kila iitwapo leo Mungu akubariki sana sana
@wilfredelimeleki4543
@wilfredelimeleki4543 3 жыл бұрын
Asante sana mkuu,wewe ni mtumishi wa Mungu kabsa.Unatoa elimu nzuri sana kwa free with no charge
@salehali4saleh19
@salehali4saleh19 3 жыл бұрын
Hapo nitabeba vitu viwili kujenga kuaminika na pia kuwa ni mtu wa kusolve matatizo na kutoa masuluhishi, Ahsante sana mwalim umenibadilisha na hivi sasa kale ka tabia cha kughairisha mambo na kutumia muda vizuri nimeanza kuona mafanikio yake
@annamallya8756
@annamallya8756 3 жыл бұрын
Uaminifu unalipa,nimeona mafanikio na baraka kupitia uaminifu .ahsante mwalimu, ubarikiwe sana
@mohamedngota8535
@mohamedngota8535 2 жыл бұрын
Great African influencer and soon worldly influencer
@doricejohn2014
@doricejohn2014 2 жыл бұрын
I'm learning more from your teachings be blessed 🙏🇹🇿
@dannymkogoti961
@dannymkogoti961 3 жыл бұрын
Asante brother Joel umeniingizia kitu kipya kichwani wewe ni moja kati ya watu muhimu katika maisha yetu na kwa watanzania wanaotambua mchango wako ubarikiwe kaka.
@mohamedahmad3137
@mohamedahmad3137 3 жыл бұрын
Ahsante san Consultant wangu. Trust ni kitu kikubwa sana ahsante sana kwa kutukumbusha.
@jemimahkimaro3748
@jemimahkimaro3748 3 жыл бұрын
Thank you for the speeches you provide they really helped me to become the right person
@shedubwi
@shedubwi Жыл бұрын
first of all i want to thank GOD for putting people like you in the this world,you change alot of peoples life due to what the world is going through right now many people are depressed and have anxiety and many problems but through this lessons and new topic which you bring here at every moment you real change people"s life..am from uk thanks for the lessons,keep pushing MR.JOEL NANAUKA
@husnahassan3344
@husnahassan3344 3 жыл бұрын
Asante bro hakuna kitu nnachokipenda kutoka moyoni mwangu km kua nimuaminifu yaani broo umeongea point nzuri sn
@kennedysalanomashairi7187
@kennedysalanomashairi7187 3 жыл бұрын
Thanks Joel for being a great imfluencer to many. Karibu kenya.
@aidanbadanga8837
@aidanbadanga8837 2 жыл бұрын
Daaaa unaereweka sana kaka nanza biud trast
@yusufubunu
@yusufubunu Жыл бұрын
Nafikiri kuanza na zote ili kujenga uwezo wa mvuto kwa jamii muhimu Shukran Mwalimu
@Maliki954
@Maliki954 5 ай бұрын
Mungu aku Lipe kila la kheri. Imani yangu tuta kutana siku moja nikiwa kwenye level kubwa ya mafanikio kwa knowledge nnayo ipata kwa mafunzo yako🙏🙏🙏🙏
@pheninhojr5875
@pheninhojr5875 3 жыл бұрын
Trust us Love N maneno 2 Tofaut Ambayo Yametoa Maana Kubwa As Me Naweza Sema Hio Ya Kwanza(Build trust) Imekuja Nisaidia Kweny Utoaji Huduma Maan Nmepata Jina Kutokan Na build Trust Japo Utaalamu wangu sio Heavy Kias Hiko Asee thank Mr Joel Nanauka Kwa Makubwa unafanya Ndani Ya Jamiii..
@thomaschacha9716
@thomaschacha9716 Жыл бұрын
In every stage in my life style I apply your different ways you teach us
@salmaabdillah8092
@salmaabdillah8092 3 жыл бұрын
Allah akulipe KHERI Shujaa wetu na akulinde na kila Ovu,binafsi consistment and solution provide (najihsi Amani na furaha kumuondolea mtu Tatizo/shida)
@tarbiyah1027
@tarbiyah1027 3 жыл бұрын
Asante kheri na Baraka zitiririke kwako. Mimi nitaendeleza kutengeneza Uaminifu.
@emmanuelbenjamin4656
@emmanuelbenjamin4656 Жыл бұрын
Yoh are the blessings of the world. Mungu akubariki sana kaka Joel
@matabsjay0919
@matabsjay0919 10 ай бұрын
You are a blessing to this generation🙏🇨🇩🇨🇩 Mungu akupe maisha marefu Sanaa
@mzeeahmadi8836
@mzeeahmadi8836 3 жыл бұрын
yaan sina cha kusema zaid ya mungu akubariki mwalimu
@user-we1wt2kg8m
@user-we1wt2kg8m Жыл бұрын
Nakukubali sana unanijenga sana mwalim Joel nimejifunza vitu vipya katika maisha yangu mana kuna mambo tuapenda tufanyiwe lakini sisi hatufanyii wengine tunapenda tuaminiwe lakini hatuaminiki, kiukweli
@mathayomwashambwa1238
@mathayomwashambwa1238 Жыл бұрын
Ubarikiwe...kazi yako ni njema
@deborahlusenga3574
@deborahlusenga3574 3 жыл бұрын
Haya unayofundisha ni madini kwa kweli. Ahsante kwa masomo mazuri ya kutujenga. Barikiwa
@aminaali7939
@aminaali7939 3 жыл бұрын
Waooooow asantè sana kaka nimekupata na nimekuelewa
@jacobnduya798
@jacobnduya798 3 жыл бұрын
Asante sana Mungu akubariki.mimi nitaanza na specialist
@salomemahenge1612
@salomemahenge1612 3 жыл бұрын
Daaah sijui kwann nimechelewa kuona kaka thanks very much umenisaidia kwa namna moja nimejua kua uwaminifu ndo kila kitu nakuto kujiwekea kushindwa asante kaka
@user-wy6re9be2g
@user-wy6re9be2g 6 ай бұрын
I'm blessed...!! Actually najitahidi sana kubuild myself kwenye areas zote hizo nne na nimekuwa Bora na ninazidi kujiimarisha
@bivactanzania9642
@bivactanzania9642 3 жыл бұрын
Asante nimekuelewa
@anesansibert2968
@anesansibert2968 3 жыл бұрын
Asante Mwalimu wangu
@Mr_Viungo_Tiba
@Mr_Viungo_Tiba 3 жыл бұрын
You bult my spirits of reading More Books my hope Siku moja uwe Mentor! Napenda siku ni katika position yako
@fatherayobo1110
@fatherayobo1110 3 жыл бұрын
Asante 🙏🙏 sana na Mungu akubariki zaidi kwa hichi unacho kifanya
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
This man is a genious❤Ni kweli kabisa
@juliethfrank6626
@juliethfrank6626 3 жыл бұрын
Asante sana,tatizo langu ni kufanya vitu kwa muendelezo nitajitahi aisee
@judithmwambe4767
@judithmwambe4767 3 жыл бұрын
Thanks kaka Joel, TRUST is my weapon huwa ndiyo nasimama siku zote ktk maisha.
@wimaaacharles4027
@wimaaacharles4027 3 жыл бұрын
unajua sana kaka nilikua mbilula now kuptia elmu yko huez amn nina biashara nzur kabsaa
@mibarakatv8459
@mibarakatv8459 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kaka hakika nimejifunza katika eneo hili hakika certainity nitaofanyia kaz
@noelinasaru1496
@noelinasaru1496 Жыл бұрын
Hongera sana kaka Joel.kwa mafundisho mazuri
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 2 жыл бұрын
Ahsante sana wew Mtu wa kutusaidia kila wakati Nakuthamini sana Ubarikiwe
@lamerckjesus5404
@lamerckjesus5404 3 жыл бұрын
duh mmh kichwa hicho Mungu anajua mwenyewe uko vizuri bro
@moshinurse814
@moshinurse814 3 жыл бұрын
Naanza na speciality Joel asante sana nimejifunza mambo ya muhim sana
@mahambagislain9618
@mahambagislain9618 4 ай бұрын
Hiya une niya maana sana mwalimu Mungu akubariki sana 🎉🎉✍️🇨🇩
@emmanuelmwandu.3126
@emmanuelmwandu.3126 Жыл бұрын
Solution provider and consistency in value delivery. Be blessed man of God
@emmanuelmwandu.3126
@emmanuelmwandu.3126 Жыл бұрын
Kuamika , safiiii
@wilsonmaduhu6013
@wilsonmaduhu6013 3 жыл бұрын
Asante kwa elimu
@suzanagerald9377
@suzanagerald9377 3 жыл бұрын
Napenda sana mafundisho wako, Mungu akutete na akusaidie ktk yote.
@aminamasunga7939
@aminamasunga7939 3 жыл бұрын
I like your idea
@olimalinemessi4979
@olimalinemessi4979 Жыл бұрын
Great lesson 🎉
@jasongeofrey8117
@jasongeofrey8117 3 жыл бұрын
Moja ya somo muhimu sana kaka.... Ahsante sana
@atefratv5006
@atefratv5006 2 ай бұрын
Hii ulioielezea mwisho mi nimependa Sana ahsante Sana mungu akubariki kaka
@lexybody1
@lexybody1 3 жыл бұрын
Specialty na solution provider
@marcopeter4091
@marcopeter4091 Жыл бұрын
Asante Mwalimu Wangu Joel
@audakisa8685
@audakisa8685 3 жыл бұрын
Safi kabisa , ujumbe muhimu
@hafajusam4907
@hafajusam4907 Жыл бұрын
Asante teacher kwa kunibadilisha
@athumanikhamisi3377
@athumanikhamisi3377 Жыл бұрын
جزاك الله خيرا اخي
@patricktarimo2699
@patricktarimo2699 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana somo zuri
@samwelmeena2040
@samwelmeena2040 3 жыл бұрын
thank you so much brother blessing
@reginaldipeter2272
@reginaldipeter2272 2 жыл бұрын
YEHOVA SHALOM Waamuzi 6:20-24.Nashukuru Sana kwa mafundisho.EL-SHADDAI Zaburi 77:1-20.
@ezekieldamiano1891
@ezekieldamiano1891 2 жыл бұрын
Ujumbe mzuri, natamani tukutane kwa maongzi
@KulwaMgeta-ef9zk
@KulwaMgeta-ef9zk Жыл бұрын
Asante na MUNGU akubariki
@abdijelilithomas996
@abdijelilithomas996 3 жыл бұрын
Thank you for your advice
@dominicemanuel748
@dominicemanuel748 3 жыл бұрын
Nashkuru kwa kua bhdo unaendelea kunijenga kwa namna moja ahsante sana
@ramakatonyongo8932
@ramakatonyongo8932 Жыл бұрын
Nakukubali sana kaka Joel Nanauka mungu akupe maisha marefu zaidi
@edwinalfred6460
@edwinalfred6460 2 жыл бұрын
Nimejifunza kaka Mungu akubariki sana. Natamani nitumie njia zote Ili niwe Bora zaidi.
@moshikilimanjaro5660
@moshikilimanjaro5660 3 жыл бұрын
Asante, sana naomba uongelee customer service ,pia kuna shida sana ,na wengi hawajui inavyo wanavyo haribu mfano unaenda hotelini unaulizwa maswali na mlinzi,ni sawa ila inaharibu standard ya huduma,ndio maana kuna reception desk,au unaingia dukani jamaa wanasema huyu sio mnunuzi ilinikuta Bongo last year its so painful to me. Au unaingia kanisani siku ambazo sio za ibada kuulizia mchungaji unajibiwa hayupo na unasikia sauti yake.
@finiasfidelis1475
@finiasfidelis1475 3 жыл бұрын
Nitaanza na Specialty maana ni tatizo kubwa sana kwangu. Thank you bro Joel
@wilfredelimeleki4543
@wilfredelimeleki4543 3 жыл бұрын
tiny boy upo na ww huku🤗
@roselynerwiza9383
@roselynerwiza9383 2 жыл бұрын
Shukrani ubarikiwe sana
@dullahhabibu9971
@dullahhabibu9971 3 күн бұрын
Ahsante mkuu. Mimi nitaanza na trust mkuu
@goldengerald6160
@goldengerald6160 Жыл бұрын
Upo vizur asante kwa somo
@elifazikasindi.4146
@elifazikasindi.4146 3 жыл бұрын
When I face people with the solution will listen me.. Asante Sana JOEL NANAUKA.......
@arensenrupia2120
@arensenrupia2120 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi umenijega pakubwa
@linussiwitilisitv4830
@linussiwitilisitv4830 3 жыл бұрын
Asante sana kwa somo zuri Kocha natamani kuanza na Consitancy value delivery, Solution provider
@rajabadam7580
@rajabadam7580 3 жыл бұрын
Dah na mm iyo nime ipenda
@greatman296
@greatman296 3 жыл бұрын
Love and trust n vitu viwili tofaut!
@nassorjuma3943
@nassorjuma3943 3 жыл бұрын
Asante mr. Joel
@edithajames433
@edithajames433 3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mwl na kukupa maarifa zaidi
@aminaali7939
@aminaali7939 3 жыл бұрын
Mm ndaenda kutengeneza kuwa mwaminifu mbele ya watu💪🏽💪🏽
@husenboy6963
@husenboy6963 Ай бұрын
Mungu akusaidie uzidi kutupa elimu brother
@januaryneville4578
@januaryneville4578 3 жыл бұрын
Nimeipenda iyo
@phabianiwilliam9004
@phabianiwilliam9004 5 ай бұрын
Mungu ni mkubwa kaka hakika wewe ni genius nitaanza kuzitumia zote kuanzia leo hii 10/01/2024🎉
@veronicajohn3510
@veronicajohn3510 3 жыл бұрын
Kaka ahsante sana nimepata hiyo message kwa uzuri sana
@maryambassumbul5881
@maryambassumbul5881 Жыл бұрын
Zote nimuhimu ubarikiwe sana💕
@kelvooonowbert7427
@kelvooonowbert7427 Жыл бұрын
Asante mwalim joeli
@zaujiaahmed8803
@zaujiaahmed8803 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@genuinedavid6885
@genuinedavid6885 3 жыл бұрын
Epic teaching
@allysalehe4769
@allysalehe4769 2 жыл бұрын
Nakukubali Sana broo unanihamasisha sana
@eliajonas3720
@eliajonas3720 3 жыл бұрын
Joel mungu akubariki. .... unakitu change kitofauti sana
@athanasmichael9859
@athanasmichael9859 3 жыл бұрын
Consistent value derivery
@asantrowland2177
@asantrowland2177 3 жыл бұрын
Thnk u 4presentatation, i wanna start w/soln prov n Build trust
@mtashahussein603
@mtashahussein603 3 жыл бұрын
its good
@marinpascalrafiki4794
@marinpascalrafiki4794 3 жыл бұрын
Nakukubali kabisa
@paschalkadege8997
@paschalkadege8997 3 жыл бұрын
You are right Bro!
@anethnico4537
@anethnico4537 3 жыл бұрын
Nabalikiwa sana mungu akutunze kaka
@chobalikosimon6459
@chobalikosimon6459 3 жыл бұрын
proud of YOU
@sexy_baby9599
@sexy_baby9599 3 жыл бұрын
Nashukuru tangu niamenza kukufuatilia naona kabisa natendea kazi mambo yangu maana kuna vujitabia nilikuwa navyo ila naona naviacha
@shabaninamtema3767
@shabaninamtema3767 3 жыл бұрын
God bless broh
@joniajohn4716
@joniajohn4716 3 жыл бұрын
Thank you brother
@michaelrweyemamu1068
@michaelrweyemamu1068 3 жыл бұрын
Great lesson
@michaeluisso6287
@michaeluisso6287 Жыл бұрын
I like it be blessed 🙏
@PeoMadete
@PeoMadete 28 күн бұрын
Am appreciate you
@mtindimagogera2525
@mtindimagogera2525 3 жыл бұрын
Thanks bro Joel nanauka
Namna gani unaweza kuongeza kasi ya kutimiza maono yako
26:17
Joel Nanauka
Рет қаралды 153 М.
EPUKA MAMBO HAYA - JOEL NANAUKA
9:19
Joel Nanauka
Рет қаралды 99 М.
КАРМАНЧИК 2 СЕЗОН 7 СЕРИЯ ФИНАЛ
21:37
Inter Production
Рет қаралды 506 М.
3M❤️ #thankyou #shorts
00:16
ウエスP -Mr Uekusa- Wes-P
Рет қаралды 12 МЛН
ROCK PAPER SCISSOR! (55 MLN SUBS!) feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
HOW DID HE WIN? 😱
00:33
Topper Guild
Рет қаралды 27 МЛН
Nini Chakufanya Unaposemwa Vibaya Na Watu?
11:28
Joel Nanauka
Рет қаралды 176 М.
Jinsi ya Kuishi na Watu Wenye Haiba Mbalimbali 16.02.2016
44:09
Channel ten
Рет қаралды 77 М.
MFUKO WA UKWASI (LIQUID FUND)
11:59
UTT AMIS PLC
Рет қаралды 658
Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa.
59:26
Personal Finance Hub
Рет қаралды 18 М.
LIFE WISDOM : IJUE NGUVU ILIYOPO NDANI YAKO - JOEL NANAUKA
15:34
Joel Nanauka
Рет қаралды 15 М.
Fix You: Namna ya kuishi na watu wenye tabia tofauti kabisa na wewe
1:01:08
Mambo 5  Ya Kufanya Kila Siku Kama Unataka Kufanikiwa
21:53
Joel Nanauka
Рет қаралды 260 М.
КАРМАНЧИК 2 СЕЗОН 7 СЕРИЯ ФИНАЛ
21:37
Inter Production
Рет қаралды 506 М.