Ninamtukuza Mungu Kwa ajili yako mwalimu, you changed my life
@hopenamwela9592 жыл бұрын
I'm from Kenya 🇰🇪 and my life is changing through your teachings ❤️
@samweldaniel3774 Жыл бұрын
Maisha yangu umeyabadilisha sana mungu anakutumia sana kaka
@jofreysinchenje19953 жыл бұрын
Kaka Joel ubarikiwe, Nitakutafuta cku moja tukijaliwa uzima, Keep it up, unatuwakilisha vyema watanzania, Nami Ni miongoni mwa vijana wanaojivunia katka kutatua changamoto, miaka mitatu tokea Sasa nitakuwa billionea katka Nchi yangu ya Tz, inawezekana kabisa.
@gospelgarden18463 жыл бұрын
This channel ni shule tosha! Asante sana Kaka Joel.
@mohamedngota85352 жыл бұрын
Great African influencer and soon worldly influencer
@wilfredelimeleki45433 жыл бұрын
Asante sana mkuu,wewe ni mtumishi wa Mungu kabsa.Unatoa elimu nzuri sana kwa free with no charge
@rosemarythorani97102 жыл бұрын
Thanks Joel unaniimarisha kila iitwapo leo hivi nilivyo Leo unamchango mkubwa Sana katika maisha yangu. Mungu aendelee kukutunza ili kusudi la wewe kuwepo duniani litimie
@JACOBJACOB-ns8ji Жыл бұрын
Kaka mimi ni mwanachuo but nasomea koz amaboyo haikua ndoto yangu dah!! Nateseka sana,kimawazo.nifanyeje ili hiii hali iiishe?
@agneslobulu7864 Жыл бұрын
My Bro Joel my Mentor, unani inspire kila iitwapo leo Mungu akubariki sana sana
@annamallya87563 жыл бұрын
Uaminifu unalipa,nimeona mafanikio na baraka kupitia uaminifu .ahsante mwalimu, ubarikiwe sana
@salehali4saleh193 жыл бұрын
Hapo nitabeba vitu viwili kujenga kuaminika na pia kuwa ni mtu wa kusolve matatizo na kutoa masuluhishi, Ahsante sana mwalim umenibadilisha na hivi sasa kale ka tabia cha kughairisha mambo na kutumia muda vizuri nimeanza kuona mafanikio yake
@doricejohn20142 жыл бұрын
I'm learning more from your teachings be blessed 🙏🇹🇿
@mohamedahmad31373 жыл бұрын
Ahsante san Consultant wangu. Trust ni kitu kikubwa sana ahsante sana kwa kutukumbusha.
@dannymkogoti9613 жыл бұрын
Asante brother Joel umeniingizia kitu kipya kichwani wewe ni moja kati ya watu muhimu katika maisha yetu na kwa watanzania wanaotambua mchango wako ubarikiwe kaka.
@jemimahkimaro37483 жыл бұрын
Thank you for the speeches you provide they really helped me to become the right person
@husnahassan33443 жыл бұрын
Asante bro hakuna kitu nnachokipenda kutoka moyoni mwangu km kua nimuaminifu yaani broo umeongea point nzuri sn
@emmanuelbenjamin4656 Жыл бұрын
Yoh are the blessings of the world. Mungu akubariki sana kaka Joel
@kennedysalanomashairi71873 жыл бұрын
Thanks Joel for being a great imfluencer to many. Karibu kenya.
@aidanbadanga88372 жыл бұрын
Daaaa unaereweka sana kaka nanza biud trast
@yusufubunu Жыл бұрын
Nafikiri kuanza na zote ili kujenga uwezo wa mvuto kwa jamii muhimu Shukran Mwalimu
@thomaschacha9716 Жыл бұрын
In every stage in my life style I apply your different ways you teach us
@mzeeahmadi88363 жыл бұрын
yaan sina cha kusema zaid ya mungu akubariki mwalimu
@pheninhojr58753 жыл бұрын
Trust us Love N maneno 2 Tofaut Ambayo Yametoa Maana Kubwa As Me Naweza Sema Hio Ya Kwanza(Build trust) Imekuja Nisaidia Kweny Utoaji Huduma Maan Nmepata Jina Kutokan Na build Trust Japo Utaalamu wangu sio Heavy Kias Hiko Asee thank Mr Joel Nanauka Kwa Makubwa unafanya Ndani Ya Jamiii..
@mathayomwashambwa1238 Жыл бұрын
Ubarikiwe...kazi yako ni njema
@mahambagislain96184 ай бұрын
Hiya une niya maana sana mwalimu Mungu akubariki sana 🎉🎉✍️🇨🇩
@matabsjay091910 ай бұрын
You are a blessing to this generation🙏🇨🇩🇨🇩 Mungu akupe maisha marefu Sanaa
@tarbiyah10273 жыл бұрын
Asante kheri na Baraka zitiririke kwako. Mimi nitaendeleza kutengeneza Uaminifu.
@Maliki9545 ай бұрын
Mungu aku Lipe kila la kheri. Imani yangu tuta kutana siku moja nikiwa kwenye level kubwa ya mafanikio kwa knowledge nnayo ipata kwa mafunzo yako🙏🙏🙏🙏
@bivactanzania96423 жыл бұрын
Asante nimekuelewa
@anesansibert29683 жыл бұрын
Asante Mwalimu wangu
@user-we1wt2kg8m Жыл бұрын
Nakukubali sana unanijenga sana mwalim Joel nimejifunza vitu vipya katika maisha yangu mana kuna mambo tuapenda tufanyiwe lakini sisi hatufanyii wengine tunapenda tuaminiwe lakini hatuaminiki, kiukweli
@shedubwi Жыл бұрын
first of all i want to thank GOD for putting people like you in the this world,you change alot of peoples life due to what the world is going through right now many people are depressed and have anxiety and many problems but through this lessons and new topic which you bring here at every moment you real change people"s life..am from uk thanks for the lessons,keep pushing MR.JOEL NANAUKA
@lamerckjesus54043 жыл бұрын
duh mmh kichwa hicho Mungu anajua mwenyewe uko vizuri bro
@atefratv50062 ай бұрын
Hii ulioielezea mwisho mi nimependa Sana ahsante Sana mungu akubariki kaka
@user-wy6re9be2g6 ай бұрын
I'm blessed...!! Actually najitahidi sana kubuild myself kwenye areas zote hizo nne na nimekuwa Bora na ninazidi kujiimarisha
@Mr_Viungo_Tiba3 жыл бұрын
You bult my spirits of reading More Books my hope Siku moja uwe Mentor! Napenda siku ni katika position yako
@dullahhabibu997121 сағат бұрын
Ahsante mkuu. Mimi nitaanza na trust mkuu
@jacobnduya7983 жыл бұрын
Asante sana Mungu akubariki.mimi nitaanza na specialist
@judithmwambe47673 жыл бұрын
Thanks kaka Joel, TRUST is my weapon huwa ndiyo nasimama siku zote ktk maisha.
@wimaaacharles40273 жыл бұрын
unajua sana kaka nilikua mbilula now kuptia elmu yko huez amn nina biashara nzur kabsaa
@noelinasaru1496 Жыл бұрын
Hongera sana kaka Joel.kwa mafundisho mazuri
@salmaabdillah80923 жыл бұрын
Allah akulipe KHERI Shujaa wetu na akulinde na kila Ovu,binafsi consistment and solution provide (najihsi Amani na furaha kumuondolea mtu Tatizo/shida)
@hafajusam4907 Жыл бұрын
Asante teacher kwa kunibadilisha
@ezekieldamiano18912 жыл бұрын
Ujumbe mzuri, natamani tukutane kwa maongzi
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
This man is a genious❤Ni kweli kabisa
@reginaldipeter22722 жыл бұрын
YEHOVA SHALOM Waamuzi 6:20-24.Nashukuru Sana kwa mafundisho.EL-SHADDAI Zaburi 77:1-20.
@husenboy6963Ай бұрын
Mungu akusaidie uzidi kutupa elimu brother
@aminaali79393 жыл бұрын
Waooooow asantè sana kaka nimekupata na nimekuelewa
@moshinurse8143 жыл бұрын
Naanza na speciality Joel asante sana nimejifunza mambo ya muhim sana
@fatherayobo11103 жыл бұрын
Asante 🙏🙏 sana na Mungu akubariki zaidi kwa hichi unacho kifanya
@mibarakatv84593 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kaka hakika nimejifunza katika eneo hili hakika certainity nitaofanyia kaz
@samwelmeena20403 жыл бұрын
thank you so much brother blessing
@deborahlusenga35743 жыл бұрын
Haya unayofundisha ni madini kwa kweli. Ahsante kwa masomo mazuri ya kutujenga. Barikiwa
@ramakatonyongo8932 Жыл бұрын
Nakukubali sana kaka Joel Nanauka mungu akupe maisha marefu zaidi
@lexybody13 жыл бұрын
Specialty na solution provider
@aminamasunga79393 жыл бұрын
I like your idea
@marcopeter4091 Жыл бұрын
Asante Mwalimu Wangu Joel
@salomemahenge16123 жыл бұрын
Daaah sijui kwann nimechelewa kuona kaka thanks very much umenisaidia kwa namna moja nimejua kua uwaminifu ndo kila kitu nakuto kujiwekea kushindwa asante kaka
@abdijelilithomas9963 жыл бұрын
Thank you for your advice
@emmanuelmwandu.3126 Жыл бұрын
Solution provider and consistency in value delivery. Be blessed man of God
@emmanuelmwandu.3126 Жыл бұрын
Kuamika , safiiii
@arensenrupia21203 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi umenijega pakubwa
@olimalinemessi4979 Жыл бұрын
Great lesson 🎉
@juliethfrank66263 жыл бұрын
Asante sana,tatizo langu ni kufanya vitu kwa muendelezo nitajitahi aisee
@KulwaMgeta-ef9zk Жыл бұрын
Asante na MUNGU akubariki
@mohammedrashid29062 жыл бұрын
Ahsante sana wew Mtu wa kutusaidia kila wakati Nakuthamini sana Ubarikiwe
@wilsonmaduhu60133 жыл бұрын
Asante kwa elimu
@athumanikhamisi3377 Жыл бұрын
جزاك الله خيرا اخي
@moshikilimanjaro56603 жыл бұрын
Asante, sana naomba uongelee customer service ,pia kuna shida sana ,na wengi hawajui inavyo wanavyo haribu mfano unaenda hotelini unaulizwa maswali na mlinzi,ni sawa ila inaharibu standard ya huduma,ndio maana kuna reception desk,au unaingia dukani jamaa wanasema huyu sio mnunuzi ilinikuta Bongo last year its so painful to me. Au unaingia kanisani siku ambazo sio za ibada kuulizia mchungaji unajibiwa hayupo na unasikia sauti yake.
@roselynerwiza93832 жыл бұрын
Shukrani ubarikiwe sana
@greatman2963 жыл бұрын
Love and trust n vitu viwili tofaut!
@goldengerald6160 Жыл бұрын
Upo vizur asante kwa somo
@athanasmichael98593 жыл бұрын
Consistent value derivery
@mtashahussein6033 жыл бұрын
its good
@sexy_baby95993 жыл бұрын
Nashukuru tangu niamenza kukufuatilia naona kabisa natendea kazi mambo yangu maana kuna vujitabia nilikuwa navyo ila naona naviacha
@allysalehe47692 жыл бұрын
Nakukubali Sana broo unanihamasisha sana
@phabianiwilliam90045 ай бұрын
Mungu ni mkubwa kaka hakika wewe ni genius nitaanza kuzitumia zote kuanzia leo hii 10/01/2024🎉
@audakisa86853 жыл бұрын
Safi kabisa , ujumbe muhimu
@suzanagerald93773 жыл бұрын
Napenda sana mafundisho wako, Mungu akutete na akusaidie ktk yote.
@elifazikasindi.41463 жыл бұрын
When I face people with the solution will listen me.. Asante Sana JOEL NANAUKA.......
@nassorjuma39433 жыл бұрын
Asante mr. Joel
@paschalkadege89973 жыл бұрын
You are right Bro!
@jasongeofrey81173 жыл бұрын
Moja ya somo muhimu sana kaka.... Ahsante sana
@joniajohn47163 жыл бұрын
Thank you brother
@edwinalfred64602 жыл бұрын
Nimejifunza kaka Mungu akubariki sana. Natamani nitumie njia zote Ili niwe Bora zaidi.
@asantrowland21773 жыл бұрын
Thnk u 4presentatation, i wanna start w/soln prov n Build trust
@user-wm8lq6hq8v9 ай бұрын
Sure, brother thanks sana kwâ kujifunza vitu vingi leo
@dominicemanuel7483 жыл бұрын
Nashkuru kwa kua bhdo unaendelea kunijenga kwa namna moja ahsante sana
@kelvooonowbert7427 Жыл бұрын
Asante mwalim joeli
@patricktarimo26993 жыл бұрын
Ubarikiwe sana somo zuri
@januaryneville45783 жыл бұрын
Nimeipenda iyo
@dottogatuntu Жыл бұрын
Mungu akubaliki sana brother
@WilliamMihayo-iu7xp Жыл бұрын
Asee brother mungu akubaliki sana
@user-jy8xt3oy7e7 ай бұрын
1. trust 2. solution provision
@AsdAsd-qq1iv3 жыл бұрын
Asante sana kwa mafundisho yako yana nijenga sana Nancy kutoka Qatar
@husseinremmyjohn23503 жыл бұрын
Mashaallah 🧕
@zaujiaahmed8803 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@linussiwitilisitv48303 жыл бұрын
Asante sana kwa somo zuri Kocha natamani kuanza na Consitancy value delivery, Solution provider
@rajabadam75803 жыл бұрын
Dah na mm iyo nime ipenda
@finiasfidelis14753 жыл бұрын
Nitaanza na Specialty maana ni tatizo kubwa sana kwangu. Thank you bro Joel
@wilfredelimeleki45433 жыл бұрын
tiny boy upo na ww huku🤗
@edithajames4333 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mwl na kukupa maarifa zaidi
@veronicajohn35103 жыл бұрын
Kaka ahsante sana nimepata hiyo message kwa uzuri sana
@maryambassumbul5881 Жыл бұрын
Zote nimuhimu ubarikiwe sana💕
@danielmpole95083 жыл бұрын
Barikiwa na muumba wa mbingu na nchi
@rachelndaruboneye52193 жыл бұрын
Umeinua moyo ulioinama,,,I Know from now on I can do 👍💪yàan ukiwa unaongea hua Kuna vission inakuj kichwan kwang na ndioo inaniinspire San ku move on na naimsn ntafika kule nakotamani kifikaa nashukuruu Sana Kaka Joel n mdog mm lakin my future is more important than age