Kaka ww nimtu muhimu sana katika jamii Asante Mungu kwa ajili ya kiumbe wako huyu. Sijuwi niseme nini kwa uwezo wake Mungu nimeona vipindi vyako vimenifariji sana nilikuwa namsongo mkubwa wa mawazo ila kwasasa nipo huru umenisaidia sana kaka kwa uwezo wa Mungu
@aminajuma14355 жыл бұрын
Asiah , kweli kabisa Mungu amzidishie umrimrefu na elimuzaidi
@asiahmariam39425 жыл бұрын
@@aminajuma1435 ameen
@johnkisskatembobagaya68364 жыл бұрын
Kwakweli Kaka hongera Sana namashauri yako, kweli ubarikiwe Sana maana maneno yako yamekuwa faraja ya moyo wangu,tena ulio yaongeleya yote yamenigusa,kwani nilikuwa nilisha chukuwa maamuzi mabaya.ila Kuna tatizo yule ambaye anaye nisababishiya strss Ni mutu wakaribu Sana,nilisha jaribu, kuongeya Naye bimeshindikana,najaribu kuambiya mwengine mutu iliamuonyeshe,pahali yakubadirika binaongezeka,kakangu nifanyeje sasa?yani nimeshindwa kwakweli
@aishaadam79455 жыл бұрын
Watanzania au dunia kwaujumla twahitaji watu kama wewe kaka angu Mungu akuzidishie
@fundieddy34905 жыл бұрын
Asante. Hili somo huwa linanipa faraja mno. Nina stress ya mahusiano. Ninatengeneza mazingira ya hovyo (nina uzembe wa kuwaamini watu pasipo kuwa na tahadhari, wananipa ahadi 'fake' nami ninatoa ahadi ambayo inakuwa 'fake'). Watu hawa wananilazimisha kuishi maisha yasiyokuwa ya kwangu k.m. KUWAKERA kitabia watu NINAOWAPENDA na KUWAHESHIMU ambao pia WANANIPENDA na WANANIHESHIMU.
@alimatambwe88646 жыл бұрын
I really love you guys yani vipindi vyako navipenda sana sana Kaka you so smart yani ukiadisia unanifanya mimi kufarijika Mungu akuweke maisha marefu tunakutemea Kaka
@robertmabu92895 жыл бұрын
aasantee sanaa bro good job
@rajabuadriano66205 жыл бұрын
Shukrani Sana Mr.Nanauka kwa elimu unayotoa kwa jamii kinachobaki Ni utekelezaji kwa anayeyachukua na kuyafanyia kazi. Mwenyezi MUNGU akuongezee maarifa zaidi na tuombee pia
@mkubwahamidu45953 жыл бұрын
Wewe ni mtu makini sana na wakuzingatiwa, hongera kwa upeo mkubwa ulionao, Mungu akuzidishie, amiin.
@user-tu1uh5sy8e3 ай бұрын
Kazi fiti Sana
@lilianmyenda63316 жыл бұрын
I've just came across your videos And I can't get enough of them
@fredynywage92115 ай бұрын
Ubalikiwe mtumish
@robertgwelela65816 жыл бұрын
Duuuh! Mungu atusaidie sana.
@boscothilia46436 жыл бұрын
Asante sana Joel Arthur Nnauka, session yako imeongeza kitu kikubwa
@mohamedkiyonjo25515 жыл бұрын
Asante sana umeniongezea kitu kikubwa sana
@josephnaaman18515 жыл бұрын
Naomba namba yako ya simu if posible
@lydiaedwin35485 жыл бұрын
ahsante kaka nimejifunza
@gibsonlaureangmail. Жыл бұрын
Dr Nanauka may God bless you,
@abuuharuna42786 жыл бұрын
kweli mr
@rahimaaaaa86996 жыл бұрын
Asante sana kaka
@saidihemed80016 жыл бұрын
Shukrani sanaa bro
@joelnanauka6 жыл бұрын
Saidi Hemed pamoja
@fatmarashidi83535 жыл бұрын
Nakuelewa sana
@danielmboje87512 жыл бұрын
Mzee uko vizuri endelea kutusaidia
@rubensanga91306 жыл бұрын
thanks a lot
@MariamuMussa-nc8lq11 ай бұрын
Asante sana kaka mimi nilikuwa na mawazo mpaka basi yani adi nikawa naogopa usingizi sipati nashukur mungu jamani🙏
@daviderinest82302 жыл бұрын
Asante sana umekuwa elimu kwangu
@dhulhammudy95965 жыл бұрын
Nakubal sana
@TheSalma19996 жыл бұрын
Kweli mahusiano
@Mjenzi10 ай бұрын
Nimependa tena
@evaristmbunde79472 жыл бұрын
Umezungumza Mambo mazur ya yamsingi Sana aiseeeeeee we kajamaaaaaa
@Double.B69610 ай бұрын
Nimedecrease stress just kwa kukusikiliza Nanauka ni mmoja. Wa wachache ninaowakubali of course thank you
@fofomohammed62536 жыл бұрын
Asante sana
@eliahlaizer99264 жыл бұрын
Broo tutengenezee group la wathsapp hata kama ni kulipia ni sawa
@noelakyungu6286 жыл бұрын
Thank you Coach
@joelnanauka6 жыл бұрын
noela kyungu karibu sana
@herbertmisango16093 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu na yenye balaka tele unafas kabisa kuwa mtawala. Katika nchi
@huldamichael44452 жыл бұрын
@@joelnanauka Hallow,nitapataje namba yako(ni muhimu mno pls)
@dulanus72865 жыл бұрын
Mr nilikuwa na unisaidie kuondoa stress nilipata kutoka na mahusiano
@nereaigogo44426 жыл бұрын
Mh si kwa nondo hii Yan hauchoki kusikiliza na kujifunza
@akidasalim38594 жыл бұрын
Nina shukuru sana katika somo hili
@jafarsamwel94985 жыл бұрын
Asant kak joel
@gibsonmasafa44266 жыл бұрын
Yeni mb zangu zina Isha harali
@mhoja20696 жыл бұрын
uko vizur
@joramkweka44704 жыл бұрын
Habari Dr Naitwa Nick mimi napitia hali hiyo naomba msaada wako
@charlesnyanda18462 жыл бұрын
mambo mengi unayozungumza mtu akiyasikiliza anafaid bg up
@amanijolam41406 жыл бұрын
uko vizuri sana ila na maswali mengi ya kukuuliza.
@kaminyogemwachelwa98844 жыл бұрын
Safii sana kijana
@harunayussuf68664 жыл бұрын
Haya matatizo mabaya sana mungu tuepushe insha Allah
Eeeh kaka Mimi niko kwnye stress Kisa mapenz ata kujiuwa nime waza
@lavieriziki4705 Жыл бұрын
Muhimu sana
@robertgwelela65816 жыл бұрын
Kweli mwalimu stress nyingne hadi upate mtu sahihi wa kumwambia.
@yusuphmohamedy13166 жыл бұрын
Nakuku Bali Sana bro
@williamkihiyo37216 жыл бұрын
Yusuph Mohamedy tupo pamoja
@yusuphmohamedy13166 жыл бұрын
William Kihiyo asant
@joelnanauka6 жыл бұрын
ahsante sana Nakuku
@elishabatwel56426 жыл бұрын
brother wewe ni mtu nakukubali sana ,,unajua unafanya nn?!!!tunashukuru kutupa elimu nzuri
@user-hq2nc1bg1o9 ай бұрын
Bro Joel umeongea ukweli
@sebastianmassawe95276 жыл бұрын
Hakika kaka joel huwa nikisikiliza mafunzo yako huwa naelewa vzr zaidi kuliko maana unajuwa jinsi ya kupangilia mafundisho yako?
@user-to5ly8bq9g5 ай бұрын
Yaan ata mm ninayo hayo matatizo kabisa
@enockidrissa49043 жыл бұрын
Yaani yote umezungumza n sahihi bro
@yusuphmsely87345 жыл бұрын
minahitaji kitabu kinacho fundisha jinsi ya kupata mafanikio ntakipata wapi niwe najifunza mala kwa mala
@rosaliamayengo5203 Жыл бұрын
Mafundisho yako ni mazuri ila shida ni watu wenyewe wanaosabbisha stres waweza hoji kitu mfano umwmfumania mume live majibu anayokupa achana na mimi mi ni mwanaume huwzi kunizuia kuwa na wanawake wengi tena anaonhea kwa ujasiri sasa utafanyaje ?
@rahmahamisi76043 жыл бұрын
Yan mimi nikiwa na stress nakula sana
@saidihemed80016 жыл бұрын
Wapi tunaweza kupata copies za vitabu vyako kwa wakaazi wa Mbeya?
@joelnanauka6 жыл бұрын
Saidi Hemed wasiliana na 0756094875
@philomenamakonge2273 жыл бұрын
Je umeolewa kwenye ndoa miaka zaidi ya 20 ila kila siku hupewi matumizi unaachiwa 2000 au 1000 una familia ya watu sita je ufanye nini hapo lakini pia mume kila siku wanakunywa pombe je nifanyeje sasa
@NizaLuka-gi8hf10 ай бұрын
Sasa mkuu nikubaliniaje na hiyo hali? Yaani hiyo hali nilizike nayo vip
@hadasuleimanhaji7823 Жыл бұрын
Ukip0teza mtu wako wa karibu hasa mpenzi uliemueka moyoni ,kiukweli hutaki tena mpenzi mwengine unaamua bora uishi hivi hivi ,sijui hili utanisaidiaje wakati limenikaa kichwani
@hadasuleimanhaji7823 Жыл бұрын
Nimevutiwa sana na mada yako hiyo yaani mungu akubariki sana umeweza kunitoa mashimoni
@rajabukidanka49573 жыл бұрын
Mmh
@ayshakhamis10552 жыл бұрын
Hiyo hali ninayo natumia dawa gani ila nilipata ajali nikagonga kichwa chini kwenye vimbi nikakaa miezi miwiri ndio iyohali ikajitokeza akili inashidwa kufanya kazi pili moyo haunalaha sina amani kabisa
@froridaanthony32783 жыл бұрын
nakuelewaga wewe joel tu
@aminasaleh61343 жыл бұрын
nikwel unayosema na tunayo hayo
@enockidrissa49043 жыл бұрын
Naomba number yako
@allyabdallah58933 жыл бұрын
Nkubal san
@lydiaedwin35485 жыл бұрын
ahsante kaka nimejifunza
@graceanamichael41254 жыл бұрын
Nakushukuru kk nimekielewa
@graceanamichael41254 жыл бұрын
Nimejifunza vitu hapa
@user-to5ly8bq9g5 ай бұрын
Yaan ata mm ninayo hayo matatizo kabisa
@johnanah34385 жыл бұрын
Eeeh kaka Mimi niko kwnye stress Kisa mapenz ata kujiuwa nime waza