No video

LIFE WISDOM : MAJIRA YA KUTENGANA NA WATU - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 17,863

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 88
@egnardamaicy3456
@egnardamaicy3456 5 ай бұрын
Hata hili somo ni sauti ya Mungu nilihitaji kusikia kitu kama hiki kabisaaa,
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Ameen, chukua hatua bila kuchelewa
@mariamwikedzi1638
@mariamwikedzi1638 4 ай бұрын
Asante kwa ujumbe mzuri
@BukelebeTv
@BukelebeTv 4 ай бұрын
Amina. Ahsante kaka Joel
@maryoswald4578
@maryoswald4578 16 күн бұрын
Ahsante sana kwa hili somo, Mungu akunarika sana kaka Nanauka, nimejifunza sana.
@pendogwisu
@pendogwisu 4 ай бұрын
Nakumbuka marafiki zangu walinitenga baada ya kuwa nawaeleza mafanikio yangu..nilipogundua nilijitenga nao na nikajifunza kukaa kimya
@Fantastic.-gm1eo
@Fantastic.-gm1eo 2 ай бұрын
Hii kitu ndo napitia saiz rafiki wote washaondoka na amebaki mmoja lakn nae ana chuki na ananizungumzia vibaya kwa watu kuhusu mafanikio sijui nimuondoeje kwenye maisha yangu maana ni rafiki yangu wa karibu sana😢😢
@user-oq4fv5ed7u
@user-oq4fv5ed7u 7 күн бұрын
More thanks Brother
@IreneSantu-fd7kb
@IreneSantu-fd7kb 4 ай бұрын
Asante Kaka Joel, hii ni yangu imekuja kwa wakati wake. Barikiwa saaana🥰
@mohamedKudura
@mohamedKudura 2 ай бұрын
Mungu akuongoze
@StambulMohmmedi
@StambulMohmmedi Ай бұрын
Nimekuelewa kaka ntafanyia kazi ili nipite vizur kweny hich kipind mung akubaliki sana uzidi kuwasaidia na wengine
@priscapius4253
@priscapius4253 5 ай бұрын
Thanks Joel. Umeongea somo zito na la maana sana leo. Natamani hata nikutafute tuongee ana kwa ana ili moyo wangu upone na nipate ufumbuzi.
@hamisally974
@hamisally974 5 ай бұрын
good morning top team
@impactospace
@impactospace 5 ай бұрын
Morning!!
@monicakauky8914
@monicakauky8914 3 ай бұрын
Nimejifunza kitu kizuri na Mimi nilikuwa kinganganizi ila sasa nimeelewa sitangangania watu.
@avitus-thobias
@avitus-thobias 5 ай бұрын
Thank you so much bro, ninabarikiwa sana na life wisdom series....
@jacksontumaini9108
@jacksontumaini9108 5 ай бұрын
See you at the top JAN 🇹🇿
@MSHINDICLEMENCE
@MSHINDICLEMENCE 5 ай бұрын
Ahsante kwa mafundisho yako chakwetu ni actions za kitu Tulichojifunza . See you at the top
@paulmlukumay
@paulmlukumay 4 ай бұрын
Asante Uncle Joel, Mungu amekutuma unene na mimi kuhusu jambo hili. Ndio wakati napitia sasa. God is Great.
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 5 ай бұрын
Yeah my brother Joel ❤
@FadgaThedecomposer-xs1hh
@FadgaThedecomposer-xs1hh 5 ай бұрын
Kwa mara ya kwanza nipo mapemaaa 🍁
@gidomonji1671
@gidomonji1671 4 ай бұрын
Kaka joeli umenigusa sana ninandoto za kufika mbali naomba msaada wako
@rosesimon4630
@rosesimon4630 5 ай бұрын
Hapo kwenye watu wenye ajenda za siri aisee ni maumivu sana Lakin Mungu ni mwema tumeshatengana sasa nimefungua ukurasa mpya
@michaelsafari
@michaelsafari 4 ай бұрын
Unanitia hamasa kweli mentor wangu Mr Joel ,juu nilikua naona nii mm ndio mkosa
@liliantitus7067
@liliantitus7067 4 ай бұрын
Asanteee Yesu Kristo kwa Ajili ya Hili SOMO.
@RuthMomanyi-bh3ez
@RuthMomanyi-bh3ez 5 ай бұрын
Kila leo najifunza tu hata nikiwatch late am blessed more grace mr.
@florakimario873
@florakimario873 4 ай бұрын
Upo sahihi Kaka barikiwa Sana. Endekea kuinjilisha kupitia kipaji ulichojaliwa na Mungu
@SaraSambo-po7cw
@SaraSambo-po7cw 4 ай бұрын
Shukran sana kaka Mungu Aendelee kukuweka kwaajili yetu nimejifunza meng Sana kupitia wew ubarikiwe Sana🙏
@stevenobunde9345
@stevenobunde9345 4 ай бұрын
Jo Asante sana kwa ushauri wako. Inakuaje jambo hili kwa wanandoa ni sahihi watengane??!!!
@pialafrance7922
@pialafrance7922 4 ай бұрын
Hapa nmekuelewa mno mtumishi asante sana tena sana
@jumannemlimakala6442
@jumannemlimakala6442 5 ай бұрын
Asante Sana kaka Joel Nanauka kwa Elimu hii MUNGU HAKUBALIKI SANA 🤝
@hellyfridy
@hellyfridy 5 ай бұрын
Sioni kama wewe nimtu wakawaida naona kama joel ww sio mtu uliye zaliwa nikwamba kama uliumbwa tu kuja kuokoa. Hii imenigusamoja kwa moja had nikajihisi unasimulia maisha yangu halisi daa. sina uwezo mkubwa japo uelekeo nauona sana naomba no yako nitoe sadaka kidogo pls.
@user-pm3mt6iy6y
@user-pm3mt6iy6y 4 ай бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANAAA NAKUELEWAAA
@charletsada8779
@charletsada8779 5 ай бұрын
Ameeen barikiwa sana eeii hii moto dah! Let the living GOD to bless you
@user-yk2sf7vy3x
@user-yk2sf7vy3x 4 ай бұрын
Hili somo naona ni kwaajil yangu Asante sana
@rosadamassawe8019
@rosadamassawe8019 5 ай бұрын
Shukrani sana kaka Joel, we are proud to have you . Mungu akubariki sana
@clarasabutoke6907
@clarasabutoke6907 5 ай бұрын
Asante sana
@Globalpixel23
@Globalpixel23 5 ай бұрын
nimejifunza sana kitu kikubwa sante sana
@user-jg2qe4vj5t
@user-jg2qe4vj5t 5 ай бұрын
wakati ukifika no turn bck! C u around again ❤
@user-cd8rc5jp2i
@user-cd8rc5jp2i 5 ай бұрын
Joeli nanauka Ubarikiwe🙏🏾
@astoneluoga9870
@astoneluoga9870 4 ай бұрын
Nimeelewa sana zaid ya sana
@godfreynyangusy
@godfreynyangusy 5 ай бұрын
Asante sana kaka wewe ni mwalimu wa walimu mungu akusimamie.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Ameen Ahsante sana
@angelnjiku1979
@angelnjiku1979 5 ай бұрын
Thank you my bro kwa hili somo limeniongezea nguvu I'm in separation season
@samkimani5426
@samkimani5426 5 ай бұрын
Mafundisho haya ni mazuri sana
@michaelkabeta7974
@michaelkabeta7974 5 ай бұрын
Umeniongelea mm kabisa
@MARYTHEBLESSEDONE
@MARYTHEBLESSEDONE 5 ай бұрын
True brother God bless you for being the light to many🌸👌🙏
@user-zy4cm7od4h
@user-zy4cm7od4h 5 ай бұрын
Aisee blooo Joel nanauka 🙏
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 5 ай бұрын
Asante kaka yangu kwa elimu nzuri
@starplatnumz
@starplatnumz 5 ай бұрын
Mungu akulinde daima kaka
@abdallahshaibu6106
@abdallahshaibu6106 4 ай бұрын
NI kweli kabisa
@user-iv3fd1wp7p
@user-iv3fd1wp7p 5 ай бұрын
Kbs kaka Dah!!! Nimekubali,
@user-hm5zz4ec5v
@user-hm5zz4ec5v 5 ай бұрын
Asante baba Kwa mafudisho mazuri
@zainabudihenga8413
@zainabudihenga8413 5 ай бұрын
GROWING SEASON
@nightkibete3248
@nightkibete3248 4 ай бұрын
Asante sana ubarikiwe
@BisweckJchimenya
@BisweckJchimenya 5 ай бұрын
asante sanaaa kaka yanguuu.
@janetmbwana553
@janetmbwana553 5 ай бұрын
🙏🙏🙏 Barikiwa sana
@salomemrembo7482
@salomemrembo7482 5 ай бұрын
Morning. Very true hasanti kwa Nuru ya maisha
@BabalandaSimon-fk2vy
@BabalandaSimon-fk2vy 5 ай бұрын
Asante baba.
@method1314
@method1314 5 ай бұрын
Ubarikiwe sana mwalimu.
@asmaali1500
@asmaali1500 5 ай бұрын
Dah Asante sana Nanauka!
@pauljosephtarimo2279
@pauljosephtarimo2279 5 ай бұрын
Shukrani kwa somo
@dorotheawilliam9923
@dorotheawilliam9923 5 ай бұрын
Asante Mkurugenzi
@Sumay228
@Sumay228 5 ай бұрын
Current situation thank u!
@jadenisaacj169
@jadenisaacj169 5 ай бұрын
Namimi baada yakuacha kazi sehemu niliko kukwa naganya kazi nime fanyikiwa kiukweli maishani
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Hongera Sana Sanaa
@ZubedaVicent
@ZubedaVicent 4 ай бұрын
Asante kwa mafundisho
@agkimedicallaboratory
@agkimedicallaboratory 5 ай бұрын
Thanks @kaka Joel
@impactospace
@impactospace 5 ай бұрын
Absolutely 🦁
@user-pm3mt6iy6y
@user-pm3mt6iy6y 4 ай бұрын
UPO SAWA KABISAA
@Keyjop
@Keyjop 5 ай бұрын
SoMo limekuja on time saana kaka😂
@user-dw1pu4eo2n
@user-dw1pu4eo2n 5 ай бұрын
Thank u
@user-gz1cd6kn5j
@user-gz1cd6kn5j 5 ай бұрын
Kweli nilipo taka kufunga ndoa nikagundua anitakii mema ana shilikiana na maasimu wangu nikaamua kuachana nae Yani maumivu kukiacha kitu ulichokizowea
@NatalieRian-qh1el
@NatalieRian-qh1el 5 ай бұрын
🙏🙏🙏✨
@user-bi6gl7he1k
@user-bi6gl7he1k 5 ай бұрын
🙏🙏
@user-op9lq3qw1k
@user-op9lq3qw1k 5 ай бұрын
💯🙏
@lilianjoseph1144
@lilianjoseph1144 5 ай бұрын
See me at the TOP.
@albertmbwilinge5449
@albertmbwilinge5449 5 ай бұрын
🏋🏾✊
@user-zn9ep3hi5q
@user-zn9ep3hi5q 5 ай бұрын
Kaka sana kwa elimu yako.
@elianzammari1421
@elianzammari1421 5 ай бұрын
Nikwel kaka kunawatu niliachana nao nikaanza kubadili mtazamo mawazo
@user-fq7ke7sd1y
@user-fq7ke7sd1y 5 ай бұрын
Nipo mkuu Leo mapema 😅
@user-hm5zz4ec5v
@user-hm5zz4ec5v 5 ай бұрын
14:46
@user-iv3fd1wp7p
@user-iv3fd1wp7p 5 ай бұрын
Naweza kupata story hii kwa njia ya sauti pls?
@markoalfred
@markoalfred 5 ай бұрын
Naomba namba yako nkupigie kaka
@hollonghangasamala9662
@hollonghangasamala9662 4 ай бұрын
Joel unahuduma ya ushauri? Kila nikiuliza hili swali sijibiwi. Why??
@hendrypeter6182
@hendrypeter6182 Ай бұрын
Anayo
@roseyongolo302
@roseyongolo302 5 ай бұрын
Naomba namba yako mtumishi
@user-nu6ge7rg7n
@user-nu6ge7rg7n 5 ай бұрын
🙏🙏
Sadhguru Speeches: The Hidden Weapon Against Feeling Unfulfilled!
2:09:11
Evan Carmichael
Рет қаралды 639 М.
Fortunately, Ultraman protects me  #shorts #ultraman #ultramantiga #liveaction
00:10
ПОМОГЛА НАЗЫВАЕТСЯ😂
00:20
Chapitosiki
Рет қаралды 29 МЛН
小丑把天使丢游泳池里#short #angel #clown
00:15
Super Beauty team
Рет қаралды 45 МЛН
LIFE WISDOM : MADHARA YA KUWA NA KIBURI - JOEL NANAUKA
14:28
Joel Nanauka
Рет қаралды 9 М.
Joel Nanauka : Nini Ufanye Unapopitia Nyakati Ngumu?
46:23
Joel Nanauka
Рет қаралды 25 М.
UKOMAVU WA KIAKILI (MENTAL TOUGHNESS) - JOEL NANAUKA
1:11:22
Joel Nanauka
Рет қаралды 189 М.
TENGENEZA UTAJIRI KUPITIA HISA na Emilian Busara
57:11
Edmund Munyagi
Рет қаралды 55 М.
AINA10 ZA WANAWAKE WASIOPENDWA
20:49
Mbeki TV
Рет қаралды 121 М.
Je,Wewe Una Maono Gani Kwenye Maisha Yako?
46:51
Joel Nanauka
Рет қаралды 180 М.
UHURU WA KWELI WA KIFEDHA - JOEL NANAUKA
1:14:26
Joel Nanauka
Рет қаралды 48 М.
Fortunately, Ultraman protects me  #shorts #ultraman #ultramantiga #liveaction
00:10